Pamoja sanaPoapoa karibu kwenye ulimwengu wa uvumilifu, kujifunza na kujikubali.
Kuna broker fulan anaitwa Fxcm nadhan yuko vzur maana nmepitia taarifa zake kwa kina sana lkn kuna hawa broker FBS,INSTAFOREX name TEMPLERFX sio wazur kwa upande Wang
Naihitaj kujua kutoka kwenu wakuu kma npo sahihi
Hivi hi Ni tembo MasterCard , au ni Visa MasterCard?Si kuna master card ,visaa ,sasa mara ya mwisho nimeona skrill wanasema hawakubal mastercard kwa mda huo..sijui kwa sasa kama wana kubali
Hivi hi Ni tembo MasterCard , au ni Visa MasterCard?View attachment 906910
Kwa hyo Ni hii ambayo Skrill hawazngui , Yan Ni faster tu wanakubal?Tembo visa card mkuu..si unaona chata la visa hapo
Bado mnakomaa? Loh. Tafuta comment zangu za nyuma juu hili suala la forex
Naona kabisa nilikuwa sahihi. Hamna shangwe hapa kwa uzi. Inaonyesha kupigwa ndo mpango mzima kwa kila aliyetia mguu online forex. Hii kitu sio kamali lakin ni utapeli tupu.
Tangia siku zile hamna aliyepata? Yaaani sisi wote? Anyway, labda tusubiri mpaka baada ya miaka 10 na baada ya jasho jingi ndo tutapata. Biashara kichaa hii. Si bora ufungue genge au ukalime
Mkuu usiwajibu kitu hawa...mtu hajui hata pips ni nini..huwez bishana naeNaona unavyojatibu kujifananisha wewe na wenzako Hahahah
Forex is not for everyone bruh
Kwa hyo Ni hii ambayo Skrill hawazngui , Yan Ni faster tu wanakubal?
Kweli asee bora kuwaachaMkuu usiwajibu kitu hawa...mtu hajui hata pips ni nini..huwez bishana nae
Unataka screenshot? Za kazi gani? Hata wanaolima wakisema wanafanikiwa mtasema wapge picha mashamba muamini kuwa wanalima na mazao yamekubali[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Bado mnakomaa? Loh. Tafuta comment zangu za nyuma juu hili suala la forex
Naona kabisa nilikuwa sahihi. Hamna shangwe hapa kwa uzi. Inaonyesha kupigwa ndo mpango mzima kwa kila aliyetia mguu online forex. Hii kitu sio kamali lakin ni utapeli tupu.
Tangia siku zile hamna aliyepata? Yaaani sisi wote? Anyway, labda tusubiri mpaka baada ya miaka 10 na baada ya jasho jingi ndo tutapata. Biashara kichaa hii. Si bora ufungue genge au ukalime
Chap kwa harakaKwa hyo Ni hii ambayo Skrill hawazngui , Yan Ni faster tu wanakubal?
Mkuu toa matako yako hapa kalime mwenyew tutakupiga midole kama unachezea uzi wetuBado mnakomaa? Loh. Tafuta comment zangu za nyuma juu hili suala la forex
Naona kabisa nilikuwa sahihi. Hamna shangwe hapa kwa uzi. Inaonyesha kupigwa ndo mpango mzima kwa kila aliyetia mguu online forex. Hii kitu sio kamali lakin ni utapeli tupu.
Tangia siku zile hamna aliyepata? Yaaani sisi wote? Anyway, labda tusubiri mpaka baada ya miaka 10 na baada ya jasho jingi ndo tutapata. Biashara kichaa hii. Si bora ufungue genge au ukalime
Nenda Google andika Tanzanian Bank SWIFT CODE wataleta list angalia ya Bank yako then maliza kazi.Jaman naombeni msaada kwenye hili
Leo nmejaribu kuwithdrawal $250 kupitia skrill akaunti kwa Mara ya kwanza kwenda mpesa MasterCard ila nmekumbana na ugumu kidogo
Nilikuwa nahitaji ku add bank account lkn kuna neno hili ''"SWIFT""' sijalielewa linaanisha nini na linataka nini?????
Jamani naomba msaada kwenye hili wakuu
Ukiletewa ingiza hizo namba usitake kuelewa saana ,alafu usiwe na papara kwenye kusoma list maana unaweza ukawa ya Bank yako huioni kwa ajiri ya shauku ya helaNenda Google andika Tanzanian Bank SWIFT CODE wataleta list angalia ya Bank yako then maliza kazi.
The forex engineer[emoji573]mtafute pancho_panchilo instagram
Mwingine ni pancho panchilo wa forex engineersKuna mtu aitwa Francisco Chanimbaga wa FMI, umewahi kumsikia? Naye anatoa huduma hyo. Huyu, namrecommend. Startup Capital $1000.
kuna mwingine aitwa Idris Masudi, huyu usimjaribu, labda kama umeamua tu kupoteza pesa yako. Startup Capital $300.
Kuna mwingine aitwa Steve, huyu yuko friendly, atakuwa fresh, kaandika na kitabu cha forex chaitwa 012 Effect. Startup Capital $1000.
Kwan mpesa MasterCard waliingia ubia na benk gan kutengeneza hizi MasterCard?