Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Bado mnakomaa? Loh. Tafuta comment zangu za nyuma juu hili suala la forex

Naona kabisa nilikuwa sahihi. Hamna shangwe hapa kwa uzi. Inaonyesha kupigwa ndo mpango mzima kwa kila aliyetia mguu online forex. Hii kitu sio kamali lakin ni utapeli tupu.

Tangia siku zile hamna aliyepata? Yaaani sisi wote? Anyway, labda tusubiri mpaka baada ya miaka 10 na baada ya jasho jingi ndo tutapata. Biashara kichaa hii. Si bora ufungue genge au ukalime
Wafungue macho brother nadhani hawajajua ni namna gani wanaibiwa hela zao bila kujitambua alafu wanaoibiwa ni wasomi kabisa sijui huko vyuoni walikwenda kufanya nini. Haya mambo yatawaacha wengi katika umasikini
 
Wafungue macho brother nadhani hawajajua ni namna gani wanaibiwa hela zao bila kujitambua alafu wanaoibiwa ni wasomi kabisa sijui huko vyuoni walikwenda kufanya nini. Haya mambo yatawaacha wengi katika umasikini
Mkuu unasikia neno forex tu basi halafu unatoa comment utadhani umeshawah Fanya acha kukatisha watu tamaa Fala wewe
 
Wafungue macho brother nadhani hawajajua ni namna gani wanaibiwa hela zao bila kujitambua alafu wanaoibiwa ni wasomi kabisa sijui huko vyuoni walikwenda kufanya nini. Haya mambo yatawaacha wengi katika umasikini
Yaani mtu anatengeneza maisha na mafanikio anayaona kupitia forex alafu unasema hajui kama anaibiwa

..bruh you live dogmatic (kimbwambwa kufuata mkumbo)
 
Wafungue macho brother nadhani hawajajua ni namna gani wanaibiwa hela zao bila kujitambua alafu wanaoibiwa ni wasomi kabisa sijui huko vyuoni walikwenda kufanya nini. Haya mambo yatawaacha wengi katika umasikini
Shida ya watanzania ndiyo hii..jambo likikushinda unalazimisha na wengine washindwe....kumbuka hatufanani uelewa ndiyo maana kuna wauza nyanya na wengine wanauza nguo..wengine magari..
We kama umejaribu forex ikakupa mimba kula embe bichi kimya kimya.

Hakuna biashara rahisi duniani....hata wakina Mengi hapo walipo walistrugle with strong determination....

Biashara yoyote ukiingia kichwa kichwa bila knowledge utahisi ni utapeli...unaweza ukawa na yard ya kuuza magari na bado ukaona ni utapeli..

tatizo tunatofautia mtazamo..

Forex hatuiachi hata muongee kwa kwa kutumia makalio.
 
Naombeni mnielekeze. Nimefungua demo account ya forex, nataka niibadili dola 100 kuwa Japanese yen. Je nijazaje? Kama ilivyo kwrnye picha
Screenshot_20181023-084119.png
 
Bado mnakomaa? Loh. Tafuta comment zangu za nyuma juu hili suala la forex

Naona kabisa nilikuwa sahihi. Hamna shangwe hapa kwa uzi. Inaonyesha kupigwa ndo mpango mzima kwa kila aliyetia mguu online forex. Hii kitu sio kamali lakin ni utapeli tupu.

Tangia siku zile hamna aliyepata? Yaaani sisi wote? Anyway, labda tusubiri mpaka baada ya miaka 10 na baada ya jasho jingi ndo tutapata. Biashara kichaa hii. Si bora ufungue genge au ukalime
We ni mwanaume acha mambo ya kike...
Kama jambo limekushinda vunga acha wanaoliweza wakomae....si kila unachokiona ni sahihi kwa kila mtu..
hata shuleni si kila mtu aliweza kufaulu Physics...so kama ulifeli somo fulani usitake kuiaminisha dunia kuwa hilo somo halifai....hapo jua kichwa chako ni nazi ndiyo maana ukashindwa...ndivyo ilivyo forex, ikikusginda kaa kimya kuna wenzako wanadownload pesa..
 
It's time wanaokuja na kuipondea forex, au wanaofanya forex, iwe ni kuwakaushia tu.. Forex inatupa stress za kutosha, achana na hao wanaotaka kutuongezea stress.

Bahati mbaya au nzuri, tunajua tunachopata na/au tunacholoose... It's my money I use it the way I want...

Kama nkiamua kuichezea kamari humu nkapigwa, ni pesa yangu, its like wao, mbona wakienda bar wakanunua bia hata kreti, kwa pesa zao hatuwafuatilii...

They just have to think kwamba, badala ya bia au beach, tumechagua MT4.

Kila mtu afanye analoona ni sahihi kwake... Asiwepo wa kumfuatilia, au kumteka[emoji1][emoji1], mwenzake.

Keep Calm and Analyse Your Charts.

We don't have to insult them to let them know what's going on. Just let them be. Maybe one day they'll know what's going on....
 
Habari
Mimi pia nimevutiwa sana na hii biashara ya forex baada ya kuattend semina moja iliyofanyika Belmont Hotel hapa Mwanza Ila sikupata nafasi ya kujifunza kwa sababu ya shuleNaomba mnisaidie ni vitabu gani vizuri nivisome kwa ajili ya kujifunza vizuri kuhusu forex na namna ya kutrad kwa kifupi kutrade in details
 
Habari
Mimi pia nimevutiwa sana na hii biashara ya forex baada ya kuattend semina moja iliyofanyika Belmont Hotel hapa Mwanza Ila sikupata nafasi ya kujifunza kwa sababu ya shuleNaomba mnisaidie ni vitabu gani vizuri nivisome kwa ajili ya kujifunza vizuri kuhusu forex na namna ya kutrad kwa kifupi kutrade in details
Kwa vitabu zaidi anzia hapa:

FX Trading Books

Hii ni telegram channel, utatakiwa kuwa na telegram app kwa simu yako.

Kuna vitabu vingi sana. Recommended ni forex trading for dummies, naked forex, astro Forex na forex trading bible....
 
Wafungue macho brother nadhani hawajajua ni namna gani wanaibiwa hela zao bila kujitambua alafu wanaoibiwa ni wasomi kabisa sijui huko vyuoni walikwenda kufanya nini. Haya mambo yatawaacha wengi katika umasikini

Kama hujui kitu kaa kimya sio lazima uongee

Next time ukiwa unapinga kitu uwe na evidence sio kubwabwaja tu

kafanye research after that uje comment hapa
 
Kama forex ingekuwa inalipa kiasi hiki mnachokesha mnatuambia masikioni kwetu why nyie mnaojiita maguru na mapro kwenye FOREX kila siku mnaanzisha magroup ya kutoza watu pesa?
Mara group ya signals
Mara sijui vitabu kila kukicha
Tumestuka now nyie ni wapigaji kama wapigaji wengine
 
Hello , I'am Chris i'am the writer of the candlestick trading bible ebook , i sent you a message to remove , but it is still here .i don't want to report it to google because you have google ads on your forum. so please you don't have a right to give it away. and please remove it .Thank you
 
Hello , I'am Chris i'am the writer of the candlestick trading bible ebook , i sent you a message to remove , but it is still here .i don't want to report it to google because you have google ads on your forum. so please you don't have a right to give it away. and please remove it .Thank you
Acha mbwembwe we fala
 
Wafungue macho brother nadhani hawajajua ni namna gani wanaibiwa hela zao bila kujitambua alafu wanaoibiwa ni wasomi kabisa sijui huko vyuoni walikwenda kufanya nini. Haya mambo yatawaacha wengi katika umasikini

Yaani kuna watu wengine kama wewe mmejaa u-k kichwani mpaka mnatia kichefuchefu. Kama wewe haya mambo hayapandi au imani yako haikuruhusu kaa pembeni na utulie usitake kujifanya much know kuliko hata watu usiowajua. Kama kweli una uchungu na hela za watz zinazopotea kila siku nenda kaishauri serikali ifungie tatu mzuka, biko, sportpesa na wengine kama hao maana huko ndiyo mamilioni ka siyo mabilion ya hela za walalahoi wengi zinapotelea. Hiyo michezo ni PURE GAMBLING (hakuna cha indicator wala nini labda kidogo sport betting angalau unaweza kufanya ka analysis za team). Kama kampuni moja kwa 7 days inaweza kutengeneza kuanzia 500M mpaka 1B tzs au hata zaidi na washindi wachache tu (max 5) kwa kila kampuni kwa pamoja wanapata 50,0000 au chini ya hapo ni nani amepoteza hela nyingi kama siyo walalahoi, mimi siamini kwamba kwenye forex hapa tz retail traders wanaweza kupoteza kiasi kama hicho kwa wiki moja tu, (That is ridiculous!).
 
Kama forex ingekuwa inalipa kiasi hiki mnachokesha mnatuambia masikioni kwetu why nyie mnaojiita maguru na mapro kwenye FOREX kila siku mnaanzisha magroup ya kutoza watu pesa?
Mara group ya signals
Mara sijui vitabu kila kukicha
Tumestuka now nyie ni wapigaji kama wapigaji wengine
Mim nmeanza real account mwez ulopita kwa mtaji wa $50 na kufikia Jana tu nmefanikiwa kujaza profit ya $565
Na jana nmeamua kuchomoa $250 japo kuwa bado haijanifikia mkonon ili kudhibitisha ntatuma evidence pindi itapofika mkonon
 
Inatajirishaje?jamani
Nani alikwambia ukicheza forex lazima unatajirika? Wapi pameandikwa hivyo kwenye kitabu gani? Acheni uzwazwa bwana. Kama unataka kujua forex sema wanaume tukufundishe au soma vitabu acheni umbea na ushambenga! Au kacheze biko na tatu mzuka uptate million 350
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom