[/QUOTE]Inawezekana kwa brokers wanaotumia mastercard direct kufund.HAIWEZEKANI HELA YA MASTERCARD KUTOKA MPESA IENDE KWA BROKER. [. QUOTE="AMLIGHT, post: 29226203, member: 185932"]I think it's possible. Hata kuna mtu nlimwambia afanye hvyo. Ckucheck kama alifanikiwa au la
Yan pesa uliyoweka kwa skrill kupitia voda mastercard haiwezi kwenda fxtm?Yes nimefanya hvyo bro, inasema funds zilizokuwa deposited kwa mastercards haziwez tumika kufanya merchant payments
Nimekusoma, tatzo kuna hii 'funds deposited by MasterCard can only be used for money transfer and prepaid cards' hairuhusu kulipa kwenye merchant sites kma fxtmMimi nimedeposit.
Fungua Fxtm
Nenda deposit account,
Chagua akaunt ya kufund (iwe ile trading account, co wallets)
Chagua njia ya kufund iwe skril
Jaza amount,
Accept,
Itafungua web ya skrill,
Jaza email unayotumia skrill na password,
Then binya pay.
Kumbuka kama fxtm wana makato kidogo kudeposit kwa skrill, ni nzuri salio la skrill liwe walau $105 kama wataka kuweka $100
Hapo umekwama mkuu, ila unaweza irudisha kwa mastercard then ukampa mwenye skrill akaweka kwake, then akakutumia wewe ukafund huko. Japo hapo makato yatakuwa mengi sana.Nimekusoma, tatzo kuna hii 'funds deposited by MasterCard can only be used for money transfer and prepaid cards' hairuhusu kulipa kwenye merchant sites kma fxtm
Hakuna namna, waswahili wanasema mtaka cha uvunguni........Hapo umekwama mkuu, ila unaweza irudisha kwa mastercard then ukampa mwenye skrill akaweka kwake, then akakutumia wewe ukafund huko. Japo hapo makato yatakuwa mengi sana.
Nyanyua kitanda boss... Hakuna namna[emoji1][emoji1][emoji1]Hakuna namna, waswahili wanasema mtaka cha uvunguni........
Yes nimefanya hvyo bro, inasema funds zilizokuwa deposited kwa mastercards haziwez tumika kufanya merchant payments
Inafanyikaje hii boss?cha mhimu wote ambao tunataka kutumia skrill cha mhimu Fanya full verification kwanza kabla ya kudeposite pesa isije ikapiggwa pin baada mihamala kadhaa kufanyika
Mi najua ni sawa tuHiv kunatofaut gn kama uki open position nyng ukatrade kwa small amount each.
na uka open position moja tu kwa big amount
Mzee unakera na link zako kila baada ya page moja unatuma link za affilitate.. 🤔🤔Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.
Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.
BAADA YA KUJISAJILI
Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.
JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.
Templer FX Trader
1st Reminder.Hbr zenu wakuu,
Mtu yeyote ambaye ana audio version ya BTMM videos au anajua namna ya kufanya conversion, naomba anisaidie sana..!
I humbly submit.
Alafu we kafala ww utakua kashoga na vilink vyako kupend mteremkoKwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.
Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.
BAADA YA KUJISAJILI
Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.
JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.
Templer FX Trader
Mabroker wengi hata huyu fxtm analazimisha kwamba njia uliyotumia kufund lazima itumike hiyohiyo kwa first withdrawal... Mpesa master card inaexpire ndani ya mwezi mmoja sasa itakuwaje au hiyo target yao itafika ndani ya mwezi?
Hapa kama una mpango wa withdraw haraka lakini kama ni long terms haina shida
Ukideposit kwa first MasterCard utatolea halo hapo within a certain time Luna brokers wame limit only in 60 days mfano pepperstone wemgine hawana limitation wanataka tu only first withdraw iwe through the first way u have used to deposit
Baada ya hapo utatoa kwa njia yeyote so ni uamuzi tu.
FBS wanatoa cola 50Nataka kujua kuhusu bonus jaman,bonus ambayo ntaruhusiwa kutoa faida bila kudeposity