Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu najua na ninaamini unaelewa kuwa vitabu vingi vya Forex concepts zao ni kuhusu Resistance, Trendline, Zones, Support n.k.

Nakuomba utafute vitabu vinavyozungumzia Forex kwa utofauti na hizo takataka nimezotaja. Kama Forex ingekuwa ni support na resistance mbona Kuna watu wanachora vizuri hizo S&R na waishia kupigwa kama kawa.


Hivi Pesa imekuwa rahisi kihivyo uchore resistance tu na Pesa ije!! Wake up guys Find knowledge. Eti uchore trendline Pesa ije. Huu ni ukweli ambao nitapingwa humu na kila mtu kwasababu tumelishwa hii sumu kuanzia vitabu na wanaotufundisha.


Mbaya zaidi Mtu akijua kuchora S&R au Trend Line anakuwa Mwalimu. Ni mwendo wa kulishana sumu sumu sumu.



Siri kubwa ninayokupa hakuna successful trader anaefanikiwa kwa kuchora S&R au TL. Huo ni uchuro tu (Samahani kwa kusema lugha mbovu ). Na wengi hawawezi kukupa njia ya mafanikio yao. Ukiwa mdadisi na kuweka akili yako iwe huru kufikiri nje ya box utaelewa na kujua ninachomaanisha.
Kweli kabisa mkuu wengi wanaofundisha wanaishia hapo hapo hawakuelezi cha undani zaidi
 
Mkuu Khantwe Na Wewe Ukishafanyiwa Training Ukaelewa Vizur Na Wewe Unatafuta Wanafunz Wako Wa Kuwafanyia Ni Kama Vile Pyramid Scheme , Hii Biashara Ni Kula Uliwe, Today You Win Tomorow You Lose Hakuna Cha Pro Wala Amateur! Haina Cha Technique Wala 4mula! Hizo Technique Ni Njia Tu Za Mentors Kuwahadaa Trainees!
 
Mkuu najua na ninaamini unaelewa kuwa vitabu vingi vya Forex concepts zao ni kuhusu Resistance, Trendline, Zones, Support n.k.

Nakuomba utafute vitabu vinavyozungumzia Forex kwa utofauti na hizo takataka nimezotaja. Kama Forex ingekuwa ni support na resistance mbona Kuna watu wanachora vizuri hizo S&R na waishia kupigwa kama kawa.


Hivi Pesa imekuwa rahisi kihivyo uchore resistance tu na Pesa ije!! Wake up guys Find knowledge. Eti uchore trendline Pesa ije. Huu ni ukweli ambao nitapingwa humu na kila mtu kwasababu tumelishwa hii sumu kuanzia vitabu na wanaotufundisha.


Mbaya zaidi Mtu akijua kuchora S&R au Trend Line anakuwa Mwalimu. Ni mwendo wa kulishana sumu sumu sumu.



Siri kubwa ninayokupa hakuna successful trader anaefanikiwa kwa kuchora S&R au TL. Huo ni uchuro tu (Samahani kwa kusema lugha mbovu ). Na wengi hawawezi kukupa njia ya mafanikio yao. Ukiwa mdadisi na kuweka akili yako iwe huru kufikiri nje ya box utaelewa na kujua ninachomaanisha.
umesema vema mkuu fx is more than reading books.,walioijua hii siri ni wachache na wanapiga pesa hatari.,ndio maana mimi tangia mwanzo sikuhangaika kujichosha na haya mavitabu niliamua kutumia approach tofauti kabisa
 
Mkuu Khantwe Na Wewe Ukishafanyiwa Training Ukaelewa Vizur Na Wewe Unatafuta Wanafunz Wako Wa Kuwafanyia Ni Kama Vile Pyramid Scheme , Hii Biashara Ni Kula Uliwe, Today You Win Tomorow You Lose Hakuna Cha Pro Wala Amateur! Haina Cha Technique Wala 4mula! Hizo Technique Ni Njia Tu Za Mentors Kuwahadaa Trainees!
Sikubaliani na wewe hata kwa 20% ... Mtu Mwenye Mawazo kama yako bado hajaielewa Forex , You better either quit it down or learn more to become Good One.



Kama unakula Pips za kutosha why uwapige watu "Vihela" vya signals. Amini nakwambia kuna watu katika Tanzania hii hii wanapiga hela kimya kimyaaaaaaa na hawajitangazi wala kutoa matangazo ya training. Kuna jamaa namjua kuna mwezi alipiga dola 6000 (Dola ya U.S.A sio Zimbabwe) kwa wiki 3 tu. Na nilitumia mbinu za kijasusi kujua kama kapiga hii amount. Jamaa ni msiri sana. Alilogin in Kwenye Mt4 ya ya simu yangu ili acheki account yake baada ya simu yake kuzingua na alikuwa mbali na PC. Mwisho wa siku alisahau kulog Out. Nikawa nasoma trades zake ni balaa.


So nikuombe spend muda mwingi kuwa mdadisi na kuwa Unique Trader.
 
Sikubaliani na wewe hata kwa 20% ... Mtu Mwenye Mawazo kama yako bado hajaielewa Forex , You better either quit it down or learn more to become Good One.



Kama unakula Pips za kutosha why uwapige watu "Vihela" vya signals. Amini nakwambia kuna watu katika Tanzania hii hii wanapiga hela kimya kimyaaaaaaa na hawajitangazi wala kutoa matangazo ya training. Kuna jamaa namjua kuna mwezi alipiga dola 6000 (Dola ya U.S.A sio Zimbabwe) kwa wiki 3 tu. Na nilitumia mbinu za kijasusi kujua kama kapiga hii amount. Jamaa ni msiri sana. Alilogin in Kwenye Mt4 ya ya simu yangu ili acheki account yake baada ya simu yake kuzingua na alikuwa mbali na PC. Mwisho wa siku alisahau kulog Out. Nikawa nasoma trades zake ni balaa.


So nikuombe spend muda mwingi kuwa mdadisi na kuwa Unique Trader.
Kinachotukwamisha watanzania ni Kukosa taarifa kwasababu hatutaki kutafuta taarifa hiyo ni kutokana na kutokuona umuhimu wa taarifa.

MTU unaambiwa ukiwa forex trader unakuwa Tajiri kwa muda mfupi. Ukiwa forex trader umasikini byeeeee ndani ya muda mfupi. Je,huo ndio uhalisia ???. Sio uhalisia Na ukiwa trader with this mentality you'll end up being frustrated.


Muasisi wa huu uzi Kuna Siku aliunguza account ya dola 4000 nadhani, alipatwa na presha almanusura yawe mengine. Alikimbizwa Dar hali mbaya. Hiki Kisa kiwape uhalisia wa biashara hii. Biashara hii sio majigambo ya kutandaza hela, magari au Nyumba.
 
Mkuu najua na ninaamini unaelewa kuwa vitabu vingi vya Forex concepts zao ni kuhusu Resistance, Trendline, Zones, Support n.k.

Nakuomba utafute vitabu vinavyozungumzia Forex kwa utofauti na hizo takataka nimezotaja. Kama Forex ingekuwa ni support na resistance mbona Kuna watu wanachora vizuri hizo S&R na waishia kupigwa kama kawa.


Hivi Pesa imekuwa rahisi kihivyo uchore resistance tu na Pesa ije!! Wake up guys Find knowledge. Eti uchore trendline Pesa ije. Huu ni ukweli ambao nitapingwa humu na kila mtu kwasababu tumelishwa hii sumu kuanzia vitabu na wanaotufundisha.


Mbaya zaidi Mtu akijua kuchora S&R au Trend Line anakuwa Mwalimu. Ni mwendo wa kulishana sumu sumu sumu.



Siri kubwa ninayokupa hakuna successful trader anaefanikiwa kwa kuchora S&R au TL. Huo ni uchuro tu (Samahani kwa kusema lugha mbovu ). Na wengi hawawezi kukupa njia ya mafanikio yao. Ukiwa mdadisi na kuweka akili yako iwe huru kufikiri nje ya box utaelewa na kujua ninachomaanisha.
Acha maneno mengi na kutafuta namna ya kuibia watu.
 
Sikubaliani na wewe hata kwa 20% ... Mtu Mwenye Mawazo kama yako bado hajaielewa Forex , You better either quit it down or learn more to become Good One.



Kama unakula Pips za kutosha why uwapige watu "Vihela" vya signals. Amini nakwambia kuna watu katika Tanzania hii hii wanapiga hela kimya kimyaaaaaaa na hawajitangazi wala kutoa matangazo ya training. Kuna jamaa namjua kuna mwezi alipiga dola 6000 (Dola ya U.S.A sio Zimbabwe) kwa wiki 3 tu. Na nilitumia mbinu za kijasusi kujua kama kapiga hii amount. Jamaa ni msiri sana. Alilogin in Kwenye Mt4 ya ya simu yangu ili acheki account yake baada ya simu yake kuzingua na alikuwa mbali na PC. Mwisho wa siku alisahau kulog Out. Nikawa nasoma trades zake ni balaa.


So nikuombe spend muda mwingi kuwa mdadisi na kuwa Unique Trader.
Ujasusi uliotumia hapo ni UPI?
 
acheni kuharibu uzi mzuri kama huu kwa kuweka majigambo yenu yasiyo na maana

kama una hints ziweke hapa tupige pesa kwa pamoja ukishindwa basi ni PM mm ayo maujuzi

msiugeuze uzi huu kuwa wa mipasho
 
Acha maneno mengi na kutafuta namna ya kuibia watu.
Bullish Engulfing wewe, hujielewi hata kidogo.


Preview back usome comments zetu humu tangu kuanzishwa kwa Uzi huu. Wewe umeanza kuujua huu Uzi majuzi unajiona legend.


Msimamo wangu sijawahi kujibu issue yoyote ya fx PM kwangu. Na sijawahi kutapeli mtu
 
acheni kuharibu uzi mzuri kama huu kwa kuweka majigambo yenu yasiyo na maana

kama una hints ziweke hapa tupige pesa kwa pamoja ukishindwa basi ni PM mm ayo maujuzi

msiugeuze uzi huu kuwa wa mipasho
Misukule Kama wewe nilijua tu itajitokeza. Badala ya kuongea issues unafanya personal attacks.
 
Bullish Engulfing wewe, hujielewi hata kidogo.


Preview back usome comments zetu humu tangu kuanzishwa kwa Uzi huu. Wewe umeanza kuujua huu Uzi majuzi unajiona legend.


Msimamo wangu sijawahi kujibu issue yoyote ya fx PM kwangu. Na sijawahi kutapeli mtu
Acha maneno mengi hupati MTU wa kutapeli. Indicator trader wewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom