Shaibu Hiwalisi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 603
- 582
Yamebakia masaa 5 tuendelee kudaunilodi madola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejiunga jamii forum tarehe 07.12.2017 umeukuta huu Uzi tumeshausongesha vya kutosha . Muda huo wewe unalinda korosho za Bibi yako namtumbo.Acha maneno mengi hupati MTU wa kutapeli. Indicator trader wewe
Elimu yangu ni ya Chuo Kikuu natafuta kazi katika sekta yoyote inayoweza kuniingizia kipato - JamiiForumsacheni kuharibu uzi mzuri kama huu kwa kuweka majigambo yenu yasiyo na maana
kama una hints ziweke hapa tupige pesa kwa pamoja ukishindwa basi ni PM mm ayo maujuzi
msiugeuze uzi huu kuwa wa mipasho
Ww ni noma sanaUmejiunga jamii forum tarehe 07.12.2017 umeukuta huu Uzi tumeshausongesha vya kutosha . Muda huo wewe unalinda korosho za Bibi yako namtumbo.
Umepata simu ya tecno ukaweza kudownload mt4 unajiona unajua forex. Nipo kwenye huu Uzi wa Forex kuanzia siku ya kwanza hii ndio misimamo yangu. Sijawahi kutaka hela ya MTU kwasababu nina uwezo wa kuipata sokoni.
Nakuwekea account yangu moja uone nilichovuna last week, Mbuzi wewe. Hiyo hela najua hujawahi kuishika.
Nimetoa muda wangu kukuelimisha wewe kilaza unakuja kusema Mimi natafuta watu hahahaha Jinga sana wewe. Utapeli wangu naufanyia sokoni na sio kwa kapuku kama wewe.View attachment 975639
Sikubaliani na wewe hata kwa 20% ... Mtu Mwenye Mawazo kama yako bado hajaielewa Forex , You better either quit it down or learn more to become Good One.
Kama unakula Pips za kutosha why uwapige watu "Vihela" vya signals. Amini nakwambia kuna watu katika Tanzania hii hii wanapiga hela kimya kimyaaaaaaa na hawajitangazi wala kutoa matangazo ya training. Kuna jamaa namjua kuna mwezi alipiga dola 6000 (Dola ya U.S.A sio Zimbabwe) kwa wiki 3 tu. Na nilitumia mbinu za kijasusi kujua kama kapiga hii amount. Jamaa ni msiri sana. Alilogin in Kwenye Mt4 ya ya simu yangu ili acheki account yake baada ya simu yake kuzingua na alikuwa mbali na PC. Mwisho wa siku alisahau kulog Out. Nikawa nasoma trades zake ni balaa.
So nikuombe spend muda mwingi kuwa mdadisi na kuwa Unique Trader.
Ww endelea kusubiri watu waje inbox kununua vitabu vyako vya kitapeli.Umejiunga jamii forum tarehe 07.12.2017 umeukuta huu Uzi tumeshausongesha vya kutosha . Muda huo wewe unalinda korosho za Bibi yako namtumbo.
Umepata simu ya tecno ukaweza kudownload mt4 unajiona unajua forex. Nipo kwenye huu Uzi wa Forex kuanzia siku ya kwanza hii ndio misimamo yangu. Sijawahi kutaka hela ya MTU kwasababu nina uwezo wa kuipata sokoni.
Nakuwekea account yangu moja uone nilichovuna last week, Mbuzi wewe. Hiyo hela najua hujawahi kuishika.
Nimetoa muda wangu kukuelimisha wewe kilaza unakuja kusema Mimi natafuta watu hahahaha Jinga sana wewe. Utapeli wangu naufanyia sokoni na sio kwa kapuku kama wewe.View attachment 975639
Acha utapeli.Mkuu najua na ninaamini unaelewa kuwa vitabu vingi vya Forex concepts zao ni kuhusu Resistance, Trendline, Zones, Support n.k.
Nakuomba utafute vitabu vinavyozungumzia Forex kwa utofauti na hizo takataka nimezotaja. Kama Forex ingekuwa ni support na resistance mbona Kuna watu wanachora vizuri hizo S&R na waishia kupigwa kama kawa.
Hivi Pesa imekuwa rahisi kihivyo uchore resistance tu na Pesa ije!! Wake up guys Find knowledge. Eti uchore trendline Pesa ije. Huu ni ukweli ambao nitapingwa humu na kila mtu kwasababu tumelishwa hii sumu kuanzia vitabu na wanaotufundisha.
Mbaya zaidi Mtu akijua kuchora S&R au Trend Line anakuwa Mwalimu. Ni mwendo wa kulishana sumu sumu sumu.
Siri kubwa ninayokupa hakuna successful trader anaefanikiwa kwa kuchora S&R au TL. Huo ni uchuro tu (Samahani kwa kusema lugha mbovu ). Na wengi hawawezi kukupa njia ya mafanikio yao. Ukiwa mdadisi na kuweka akili yako iwe huru kufikiri nje ya box utaelewa na kujua ninachomaanisha.
Mkuu unafika mbali. Lakini kama wewe una mbinu za kimafia kwa nini usitudokezee na sisi wenzio? Sisemi ukae utufundishe ila tupe hata hints na sie tupate 2000$ kwa wiki [emoji39][emoji39]
Ukisoma niliyoandika kila kitu kipo bayana. Nimesema soma literatures ambazo zina mafunzo zaidi ya S&R,TL n.k ....Mkuu unafika mbali. Lakini kama wewe una mbinu za kimafia kwa nini usitudokezee na sisi wenzio? Sisemi ukae utufundishe ila tupe hata hints na sie tupate 2000$ kwa wiki [emoji39][emoji39]
Ndio tabu ya mbongo. Sijakuomba hata 100 unaniita tapeli.Acha utapeli.
Mfano...Ukisoma niliyoandika kila kitu kipo bayana. Nimesema soma literatures ambazo zina mafunzo zaidi ya S&R,TL n.k ....
mabofuleMfano...
Huyu ni mwandishi au jina la kitabumabofule
huyo mabofule we mtafutie chai tuHuyu ni mwandishi au jina la kitabu
Huyu jamaa anataka kutapeli watu maana katika forex usipochora na kutumia horizontal support and resistance au trendline basi ni lazima utatumia indicators ambazo ni sawa na dynamic support and resistance.Mkuu unafika mbali. Lakini kama wewe una mbinu za kimafia kwa nini usitudokezee na sisi wenzio? Sisemi ukae utufundishe ila tupe hata hints na sie tupate 2000$ kwa wiki [emoji39][emoji39]
Acha utapeli.Ukisoma niliyoandika kila kitu kipo bayana. Nimesema soma literatures ambazo zina mafunzo zaidi ya S&R,TL n.k ....
Utaambiwa umekariri shauri yakoHuyu jamaa anataka kutapeli watu maana katika forex usipochora na kutumia horizontal support and resistance au trendline basi ni lazima utatumia indicators ambazo ni sawa na dynamic support and resistance.
Eti jamani kwani kutafuta kazi dhambiIyo ndio roho ya utaftaji mkuu