Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Acha maneno mengi hupati MTU wa kutapeli. Indicator trader wewe
Umejiunga jamii forum tarehe 07.12.2017 umeukuta huu Uzi tumeshausongesha vya kutosha . Muda huo wewe unalinda korosho za Bibi yako namtumbo.

Umepata simu ya tecno ukaweza kudownload mt4 unajiona unajua forex. Nipo kwenye huu Uzi wa Forex kuanzia siku ya kwanza hii ndio misimamo yangu. Sijawahi kutaka hela ya MTU kwasababu nina uwezo wa kuipata sokoni.


Nakuwekea account yangu moja uone nilichovuna last week, Mbuzi wewe. Hiyo hela najua hujawahi kuishika.


Nimetoa muda wangu kukuelimisha wewe kilaza unakuja kusema Mimi natafuta watu hahahaha Jinga sana wewe. Utapeli wangu naufanyia sokoni na sio kwa kapuku kama wewe.
 

Attachments

  • IMG_20181223_201403.jpg
    28.6 KB · Views: 45
Ww ni noma sana
 

hilo nakuunga mkono, wapo wengi wanapiga kimya kimya
 
Ww endelea kusubiri watu waje inbox kununua vitabu vyako vya kitapeli.

Acha upuuzi.
 
Acha utapeli.
 
Mkuu unafika mbali. Lakini kama wewe una mbinu za kimafia kwa nini usitudokezee na sisi wenzio? Sisemi ukae utufundishe ila tupe hata hints na sie tupate 2000$ kwa wiki [emoji39][emoji39]
Ukisoma niliyoandika kila kitu kipo bayana. Nimesema soma literatures ambazo zina mafunzo zaidi ya S&R,TL n.k ....
 
Mkuu unafika mbali. Lakini kama wewe una mbinu za kimafia kwa nini usitudokezee na sisi wenzio? Sisemi ukae utufundishe ila tupe hata hints na sie tupate 2000$ kwa wiki [emoji39][emoji39]
Huyu jamaa anataka kutapeli watu maana katika forex usipochora na kutumia horizontal support and resistance au trendline basi ni lazima utatumia indicators ambazo ni sawa na dynamic support and resistance.
 
Huyu jamaa anataka kutapeli watu maana katika forex usipochora na kutumia horizontal support and resistance au trendline basi ni lazima utatumia indicators ambazo ni sawa na dynamic support and resistance.
Utaambiwa umekariri shauri yako
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…