Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
It is unfortunate that being optimistic won't make things easier for you.

They say if you whant to end with $1000 begin with $2000.

Yes you may apply risk management techniques but challenges are still there.

One can be good at technical analysis but political event may ruin your deal unexpectedly.

Well, there's so called Stoploss which is pretty good tool to manage loss. You may find it useful.

Good luck

Pamoja mkuu

Hii SL nimeiona imekuwa mentioned huko ninapo pitiapitia. Natumaini utaendelea kuwa around katika kutupiga msasa

Binafsi sina mpango wa kutrade hivi karibuni labda Mwakani, kwasasa nimejikuta naenjoy hii knowledge kwahiyo uzoefu wako ni muhimu mkuu
 
Okey lets assume natrade na pairkama hii...EUR/USD

Going long: nitanunua euro ikiwa chini na kuiuza soon ikipanda bei!! Hapa nakua naamini kwamba base currency yangu in this case euro itapanda thamani!! Kwa lugha ingine tunasema euro is bullish!!

Like wise, going short ni kwamba

Nakua naamini at some point euro kama base currency yangu itashuka thaman...sasa mimi kama bearish trader nitauza euro ikiwa thaman ya juu na kuinunua tena ikishuka thamani!!

Sijui kama nimeingia chaka ila thats what i understood!!

ONTARIO Bavaria mwongozo tafadhali!!
Kama ndo ivo nashukuru mkuu umenipa mwanga maana ni concept iliyokua inaniumiza kichwa hebu tusubiri comment ya wakali wa hizi kaz
Cc:Bavaria
 
Mimi pia nilikuwa na uelewa Kama wako awali ila Baada ya kusoma mfano wa calculation ya profit for getting short kwa kutumia pips kwenye page 18 ndio nikaelewa vizuri zaidi
Narudi na mrejesho mkuu! You wait!
 
Acha ni practice nilicho soma, nitarekebishwa Kama nimeingia Chaka

Going long (buying pair) ni kununua pair yaani unauza currency iliyo na thamani ndogo (counter currency) na kununua iliyo na thamani kubwa (ambazo mostly ni USD, GBP, EUR) ili baadae thamani yake ikipanda uuze mfano USD/JYN unauza japanese Yen (JYN) ili ununue dola ya kimarekani (USD) uje kuuza baadae ikipanda

Getting short (selling pair) ni kuuza pair yaani unauza currency yenye thamani kubwa(base currency) na kununua currency yenye thamani ndogo kwenye mfano wa wa USD/JYN unauza USD kununua JYN ili JYN ikishuka zaidi utumie hiyohiyo JYN kununua USD Ila kwasababu itakuwa imeshuka thamani Ina maana utapata USD nyingi zaidi ya kile kiasi ulichonunulia JYN kabla JYN haijashuka
asante baba..ingekuwa vyema kuuliza ili watu wapate uzoefu zaidi...
 
Hapo kwenye short nahisi umekosea

EUR/USD ukienda short kwenye hii pair Ina maana una Amini kuwa USD ambayo no counter currency itazidi kushuka dhidi ya Euro kwahiyo unauza euro ili ununue USD then USD ikizidi kushuka utauza hizo USD ununue euro kwa value ya mwisho ya pair yako

Mfano EUR/USD imeshuka kutoka 1.2345 mpaka 1.2335 Ina maana ukiwa na 10,000 euro wakati value ya pair ni 1.2345 utapata USD 12345 sasa value ya pair ikishuka mpaka 1.2335 ina maana ukiamua kuuza USD zako 12345 Ina maana utapata euro 10,008 (12345/1.2335) kwahiyo unakuwa na faida ya euro 8 kutoka kwenye euro 10,000 ulizokuwa nazo awali

Kifupi going short ni pale unapo nunua counter currencies maana nyingi huwa zinashuka thamani most of the times sababu zinakuwa ni weak currencies

I stand to be corrected
Kama hutojali fafanua tena vizuri kuanzia kuanzia going long then going short kwa mfano kama hapo juu mkuu
 
Mkuu A2G

Consider EUR/USD...

The aim is to make profit and to minimize loss!

Now,

Going long: Hapa I hope that euro itaongezeka thamani, so nitanunua euro na kungoja ipande thaman...na ikipanda tu nauza!!

Haya...

Going short: Hapa nakua naamini usd kama quote currency itapanda thaman so nitauza euro ili ninunue usd!!

Au nitanunua usd kwa kutumia euro!!
 
Mkuu A2G

Consider EUR/USD...

The aim is to make profit and to minimize loss!

Now,

Going long: Hapa I hope that euro itaongezeka thamani, so nitanunua euro na kungoja ipande thaman...na ikipanda tu nauza!!

Haya...

Going short: Hapa nakua naamini usd kama quote currency itapanda thaman so nitauza euro ili ninunue usd!!

Au nitanunua usd kwa kutumia euro!!

Kwenye going long upo sahihi lakini short huwa ni kwa weak currency yani counter currencies ambazo Mara nyingi huwa hazipo stable zinashuka thamani Mara kwa mara

Kwa mfano wako USD ndio counter currency kwahiyo unakuwa una amini kwamba itashuka na kushuka kwake italeta faida in euro sababu ukitumia euro kununua USD Kabla dola haija shuka, kwahiyo utauza euro utanunua UsD,mpaka hapa unakuwa una USD mkononi halafu unasubiri ishuke, ikisha shuka utauza USD ununue euro na hii itakupa euro zaidi ya zile ulizokuwa nazo awali
 
Kwenye going long upo sahihi lakini short huwa ni kwa weak currency yani counter currencies ambazo Mara nyingi huwa hazipo stable zinashuka thamani Mara kwa mara

Kwa mfano wako USD ndio counter currency kwahiyo unakuwa una amini kwamba itashuka na kushuka kwake italeta faida in euro sababu ukitumia euro kununua USD Kabla dola haija shuka, kwahiyo utauza euro utanunua UsD,mpaka hapa unakuwa una USD mkononi halafu unasubiri ishuke, ikisha shuka utauza USD ununue euro na hii itakupa euro zaidi ya zile ulizokuwa nazo awali
45e6ddd001a1caba99eaae77f415b588.jpg


Embu isome hii alafu uniambie umeelewaje!!
 
Kama hutojali fafanua tena vizuri kuanzia kuanzia going long then going short kwa mfano kama hapo juu mkuu

Going long ni kununua pair, yani unaamini kuwa currency itapanda thamani kwahiyo unauza weak currency (counter currency) unanunua strong currency (base currency) ili ikipanda uuze

Mfano USD/JYN = 156.78 hii maana yake 1USD ni sawa na 156.78 JYN

Sasa kulingana na analysis zako umeona kuwa USD itapanda thamani dhidi ya JYN (Japanese Yen) kwahiyo unauza JYN. Let's assume una Yen 10,000 kwahiyo ukiuza hizi Yen ununue dola utapata USD 63.78

Dola ikishapanda thamani dhidi ya Yen mfano imeenda kuwa 1USD = 156.88 Ina maana USD 63.78 (63.78x156.88) itakuwa sawa na yen 10,005 ambayo ni faida ya Yen 5 kutoka kwenye Yen 10,000 ulizokuwa nazo awali

Huu ndio uelewa wangu
 
Nashauri Muwambie Ukweli Kabisa Watu wanahitaji Milioni Ngapi Watu wako Excited sana wanaona It real deal I'm warning you Guys! Mimi ni mwalimu wa Haiba ya Michezo I have some advise for you.

Siyo Rahisi wewe Kupata Fedha kirahisi Na sh.200,000 yako na Unaweza Ukaliwa pia ukashangaa ipo sh.196,000.


Nashauri kama mna Fedha chache please Fugeni Nguruwe (sorry for Muslims) au Kuku au Unaweza Kufanya Kitu kingine.

Concept yaake ni ya Kawaida Unanunua Pesa ya Kigeni kwa Bei ya Chini na Kuiuza Kwa Bei ya Juu mfano

U$/YEN 1/76.662 Asubuhi
Jioni Unakuta
U$/YEN 76.664 hapo siyo lazima jioni Mda wowote ambapo kutakua Kuna Mabadiliko katika Global trade.

Mara nyingi vina badilika hivyo Vipoint vya Mwisho Sasa chukua Calculator 76.654-76.652 hapo Utapata Faida ya $0.002 zidisha Sasa $10,000 (Kiasi Hiki sidhani kama Watu wengi humu wanacho) Hapa ukiuza Utapata faida ya $20 ambayo ni sawa na sh. 44,000 kwa ulivyouza kwa Mtu aliyewekeza kwa $10,000 Sasa Imagine wewe mwenye Mtaji wa sh.1,000,000 uliyefungua Group la WhatsApp tayari ambayo Sawa na $500 Sasa zidisha kwa 0.002 hapo Ujajikuta Unatapa $1 (Toa Pesa ya Kula na Bundle) maana lazima Ukodoe macho. Pia hiyo $ Unaweza Kuipoteza wewe its a win/lose situation Kimsingi

Speculating =Gambling

Mimi si wa Discourage Watu ila Ni vema Kila kitu kikawa Uchi Inspirational Speakers do make things look easier many entered in the game and got fuckedUp!

Nakushauri Vijana wenye pesa ndefu ingieni.

Baadaye Kidogo wakuu!
hata ukifuga nguruwe au kuku unaweza kuamka asubuhi na kukuta wote wamekufa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom