Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
45e6ddd001a1caba99eaae77f415b588.jpg


Embu isome hii alafu uniambie umeelewaje!!

Ipo sawa, the main issue ipo kwenye dhumuni. Kwanini utake kuuza Euro ili ununue USD? Wakati kwa kawaida Euro ni base currency kwa maana ina nguvu. Inaitwa short sababu unauza fedha yenye thamani ili ununue fedha mbayo ina thamani ndogo kwenye pair yako.

Kujibu hilo swali hapo ndio nimetolea maelezo na mfano pale awali. Kwamba ukiona kuwa USD itazidi kushuka unaamua kuuza euro ununue USD ili ikishuka utanunua tena euro kwa exchange rate ya chini zaidi (sababu USD imeshuka thamani) ambayo itakupa faida in terms of euro
 
Ipo sawa, the main issue ipo kwenye dhumuni. Kwanini utake kuuza Euro ili ununue USD? Wakati kwa kawaida Euro ni base currency kwa maana ina nguvu. Inaitwa short sababu unauza fedha yenye thamani ili ununue fedha mbayo ina thamani ndogo kwenye pair yako.
Kwa kifupi mkuu haya mambo yanachanganya na ndio maana nimeweka muda wa kusoma!!

Mwanzoni nlikua najua nimejua kumbe nilikua chaka!!

Taratibu tutaelewa no presha at all!
 
MKUU ONTATIO, hao watu 300 naomba, Napenda Sana Sana, niwemo. Nimerudia kusoma uzi ila sijaona jinsi watakavo patika. Pls, NAKUOMBA NIWEMO BROTHER.
 
Kuanza kujisomea mwenyewe kuna faida sana, ukienda kwenye Darasa la Ontario utakuwa una tiririka na kuelewa zaidi
Kweli kabisa mkuu!! Tena akikaa vibaya asishangae tukaanza kumpa somo hahahaaa!!

Kesho nikipata mda nitapitia forex mechanics chapter ya tano kama sikosei! Pia jaribu kupitia vitabu vingine na youtube videos mkuu!
 
Hii kitu iko vizuri ila inahitajika uelewa mzuri wa namna ya kutrade na utulize akili kwani ukileta mihemko kwenye pesa itakula kwako.
 
Kweli kabisa mkuu!! Tena akikaa vibaya asishangae tukaanza kumpa somo hahahaaa!!

Kesho nikipata mda nitapitia forex mechanics chapter ya tano kama sikosei! Pia jaribu kupitia vitabu vingine na youtube videos mkuu!

Naenda kimoja baada ya kingine mkuu. Nikimaliza hiki cha Ontario nasoma second edition yake nimeona online chenyewe kina chapter za ziada then nitasoma naked forex nitamalizia cha 7 winning strategies for FX. Nikitoka hapo ndio naingia YouTube na kuanza demo account huku nasubiri training ya Ontario.
 
Naenda kimoja baada ya kingine mkuu. Nikimaliza hiki cha Ontario nasoma second edition yake nimeona online chenyewe Lina chapter za ziada then nitasoma naked forex nitamalizia cha 7 winning strategies for FX. Nikitoka hapo ndio naingia YouTube na kuanza demo account huku nasubiri training ya Ontario.
Nimekupata mkuu!! Jua kuna viwili mkuu...kuna kimoja kiko nusu kingine kiko full...cheki post namba 441 utaona kilicho full!!
 
mkuu Bavaria je unaeza kuimaster hii kitu bila traininh?? kama ndio ebu nifungue kdogo kwa kunipa hints namna ya kuanza ili niielewe vema either through youtube, books or google koz i hope we umejifunza mwenyewe. afu malizia kwa kunambia unae mentor au lah?

Kama huna maarifa kabisa inabidi ufanye hata training ya kisela..

Unaweza ukawa unajidanganya..
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Naenda kimoja baada ya kingine mkuu. Nikimaliza hiki cha Ontario nasoma second edition yake nimeona online chenyewe kina chapter za ziada then nitasoma naked forex nitamalizia cha 7 winning strategies for FX. Nikitoka hapo ndio naingia YouTube na kuanza demo account huku nasubiri training ya Ontario.
Mkuu naomba ukiweke hapa basi hicho cha 7 winning strategy ili tuzidi kujifunza
 
Swali makini sana!
Boss si mbaya ukacheki YouTube videos, zitakutoa tongo tongo kwa kiasi kikubwa sana. Hata mimi binafsi zimenisaidia.

Lakini... kila trader ana strategy yake ya kutrade, sasa ukicheki sana YouTube unaeza ukajikuta unafika point unachanganywa, huyu anasema tumia fibonacci, mwindine anasema tumia lagging indicators, mwingine anasema tumia support and resistance. Sasa unakua huelewi which is which.

Forex unaeza kuanza na kiasi chochote, inaendana na ntu na ntu. Lakini kadri unavyokuwa na balance kubwa ndivyo unavyokua na wigo mpana wa kutrade. Kuna vitu nikiongea hapa hautaelewa viko technical kidogo. But mimi na recommend usiwe na less than $200.

Kuhusu muda wa kuvuna: Forex unavuna kadri unavyotrade winning trades. Unaeza ukaanza na $200 ndani ya wiki 1 (siku 5) una profit ya $500. Na muda wowote unaweza ukawithdraw, unaweza leo ukatrade ukapiga profits $50 na ukaichomoa yote ukafanya mambo yako mengine.
Nmeifatilia kidogo kwa kusoma vijitabu na nmejisajili kwenye platform ya ifc blocker kama demo account ili nipate ujuzi kidogo na kufahamu baadhi ya mambo kama leverage na ask currency,bid currency,pair currency ...kuikweli nimepata changamoto ya kurun ile software yao labda nikutafute mkuu unijuze jins ya kununua na kuuza kupitia hawa broker....
 
Kuna watu humu ndani waga wanaponda sana betting....ila hapa wanataka waingie hawajui kuwa hii ni gambling pia.

Nyinyi mnaosema hii ni gambling mnatukatisha tamaa mjue...gambling kivipi hebu fafanua mkuu mbona unazinga tena!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom