Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Swali makini sana!
Boss si mbaya ukacheki YouTube videos, zitakutoa tongo tongo kwa kiasi kikubwa sana. Hata mimi binafsi zimenisaidia.

Lakini... kila trader ana strategy yake ya kutrade, sasa ukicheki sana YouTube unaeza ukajikuta unafika point unachanganywa, huyu anasema tumia fibonacci, mwindine anasema tumia lagging indicators, mwingine anasema tumia support and resistance. Sasa unakua huelewi which is which.

Forex unaeza kuanza na kiasi chochote, inaendana na ntu na ntu. Lakini kadri unavyokuwa na balance kubwa ndivyo unavyokua na wigo mpana wa kutrade. Kuna vitu nikiongea hapa hautaelewa viko technical kidogo. But mimi na recommend usiwe na less than $200.

Kuhusu muda wa kuvuna: Forex unavuna kadri unavyotrade winning trades. Unaeza ukaanza na $200 ndani ya wiki 1 (siku 5) una profit ya $500. Na muda wowote unaweza ukawithdraw, unaweza leo ukatrade ukapiga profits $50 na ukaichomoa yote ukafanya mambo yako mengine.
Duuuh hatar utajir nje nje
 
Thank you sir.. mungu akubaliki akutie nguvu ufanikishe lengo lako.. utusaidie watanzania wenzio.. kwa kwerii tupo pamoja katika hili. Thank you again.
 
Hii ndiyo spirit inayotakiwa kwenye nchi yetu hakika. Ubarikiwe mkuu. Sio kila siku kuambiana sisi ni maskini; sisi bado hatuwezi, nk. Hakuna kinachoshindikana. Tunahitaji tu watu wa ku-motivate na kuchochea moto kama wewe ONTARIO . Safi sana.
 
Kiongozi Mimi niko Mwanza nikotayar kuja Dar pale utapoanza naomba sana usiache jina langu nimefatilia huu uzi toka usku wakuamkia Leo kuanzia saa tisa nimeenda page by page mpaka kuna kucha nmeishia 75/131,Naomba sana usiniache niwe miongoni mwa wawakilishi wa kanda ya ziwa lakin pia nmeisha wambia baadhi ya rafiki zangu asbh hii ilinao wachangamkie fulsa hii ,Ubalikiwe sana kwa kujitoa kwako kwa ajili ya wengi.
 
ONTARIO Napenda kujua lini utaanza training ya hii kitu ili iwe rahisi kwangu kupanga ratiba zangu kwani niko nje ya Dar.
 
Kiongozi Mimi niko Mwanza nikotayar kuja Dar pale utapoanza naomba sana usiache jina langu nimefatilia huu uzi toka usku wakuamkia Leo kuanzia saa tisa nimeenda page by page mpaka kuna kucha nmeishia 75/131,Naomba sana usiniache niwe miongoni mwa wawakilishi wa kanda ya ziwa lakin pia nmeisha wambia baadhi ya rafiki zangu asbh hii ilinao wachangamkie fulsa hii ,Ubalikiwe sana kwa kujitoa kwako kwa ajili ya wengi.
Better ujiunge group la WhatsApp la humu utapata ABC ya hii kitu.
 
Nashukuru kwa maelekezo mazuri sana, mimi nahitaji kuwa mmoja kati ya Watu 300 wa mwanzo wa kupata mafunzo, niko tayari kupokea mafunzo na nitakuwa nafuatilia Updates kila siku ili kuona maendeleoo ya jambo hili muhimu unalolianzisha ili litusaidie wote. Shukrani and Godbless You!
 
Boss! Great minds discuss ideas not people. Boss let's discuss ideas.

Boss mimi namfahamu SB si kwa kusikia maneno ya watu, nimekaa kanisani kwake and I see him metre chache kutoka nilipo. Huyu ana waumini mil 20+ duniani kote, wote hao ni wapuuzi kumfata?! Again kwa mafanikio aliyonayo ni jambo la ajabu sana akose maadui, na kitu maadui wanaweza kumfanya SB ni kumchafua jina.
Kwa hyo hata ngwajima nae atakuwa kwenye hii trade ?
 
Kifupi ipo hivi.

Chukua 1.2345 toa 1.2335 unapata 10 pips.

Chukua hizo 10 pips zidisha kwa lot size yako.

Kama ni micro lot utakuwa unapata 0.01*10=0.1 USD

Kama ni mini lot utakuwa umepata 0.1*10=1 USD

Kama ni standard lot utakuwa umepata 1*10 = 10USD.

Kwa kila pip unatengeneza hizo USD hapo pembeni..

Hiyo ni shortcut huwa naitumia, ukiweka pembeni spread na leverage. Ukiweka hivyo viwili, mahesabu yanakuwa marefu zaidi..

Mkuu naomba unisaidie hapa, nimesoma nikaelewa juu ya PIP(Percentage in Point). Nikaelewa na Lot size kuwa ni multiplication factor kwa kila PIP moja na kwamba hii hutokana na jinsi ulivyochagua. Pia nikaelewa Leverage kiwa ni Pesa ya mkopo ambayo unakopeshwa ili ufanyie biashara (kwa case yetu biashara ni forex).

Sasa nisichoelewa ni kwamba
1. Je Brokers wanakopesha( refer piping & Lot size ). Kama wanakopesha, ikitokea nikaloose na akaunt ikawa burnt, hiyo loss ambayo imetokana na pesa za kukopeshwa nikaingiza katika stake yangu, je broker ankuwa compensated vipi.? Na kama Brokers hawakopeshi, je hiyo multiplication factor ( LOT) pesa yake inatokea wapi.?


2. na katika real bussines, LOT size gani inayokuwa recomended na ambayo ipo profitable/advantageous kwa trader.?


Kama nimeingia chaka popote hapo juu naomba mwongozo.

CC: ontario
 
Kwenye going long upo sahihi lakini short huwa ni kwa weak currency yani counter currencies ambazo Mara nyingi huwa hazipo stable zinashuka thamani Mara kwa mara

Kwa mfano wako USD ndio counter currency kwahiyo unakuwa una amini kwamba itashuka na kushuka kwake italeta faida in euro sababu ukitumia euro kununua USD Kabla dola haija shuka, kwahiyo utauza euro utanunua UsD,mpaka hapa unakuwa una USD mkononi halafu unasubiri ishuke, ikisha shuka utauza USD ununue euro na hii itakupa euro zaidi ya zile ulizokuwa nazo awali
Sasa kama USD ndo unategemea ishuke kwa nini uzinunue wakati zikishashuka zitakuta EURO chache tofauti na mwanzo? Maana zikishuka zimepungua thamani, so USD nyingi zitakupa EURO chache tofauti tofauti na ulizouza mwanzoni.

So binafsi nafkiri going short itakuwa ni kuuza weak currency(unayo tegemea ishuke) ukisubiri ishuke against EURO uinunue tena maana utapata USD nyingi kwa sababu thamani yake itakuwa imeshuka dhidi ya EURO
 
45e6ddd001a1caba99eaae77f415b588.jpg


Embu isome hii alafu uniambie umeelewaje!!
Mkuu na mm nimewaza kitu kama hiki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom