Dusty Foot
JF-Expert Member
- Dec 15, 2014
- 228
- 300
Duuuh hatar utajir nje njeSwali makini sana!
Boss si mbaya ukacheki YouTube videos, zitakutoa tongo tongo kwa kiasi kikubwa sana. Hata mimi binafsi zimenisaidia.
Lakini... kila trader ana strategy yake ya kutrade, sasa ukicheki sana YouTube unaeza ukajikuta unafika point unachanganywa, huyu anasema tumia fibonacci, mwindine anasema tumia lagging indicators, mwingine anasema tumia support and resistance. Sasa unakua huelewi which is which.
Forex unaeza kuanza na kiasi chochote, inaendana na ntu na ntu. Lakini kadri unavyokuwa na balance kubwa ndivyo unavyokua na wigo mpana wa kutrade. Kuna vitu nikiongea hapa hautaelewa viko technical kidogo. But mimi na recommend usiwe na less than $200.
Kuhusu muda wa kuvuna: Forex unavuna kadri unavyotrade winning trades. Unaeza ukaanza na $200 ndani ya wiki 1 (siku 5) una profit ya $500. Na muda wowote unaweza ukawithdraw, unaweza leo ukatrade ukapiga profits $50 na ukaichomoa yote ukafanya mambo yako mengine.
Acha kukatisha watu tamaaa....!Mihemuko!
Better ujiunge group la WhatsApp la humu utapata ABC ya hii kitu.Kiongozi Mimi niko Mwanza nikotayar kuja Dar pale utapoanza naomba sana usiache jina langu nimefatilia huu uzi toka usku wakuamkia Leo kuanzia saa tisa nimeenda page by page mpaka kuna kucha nmeishia 75/131,Naomba sana usiniache niwe miongoni mwa wawakilishi wa kanda ya ziwa lakin pia nmeisha wambia baadhi ya rafiki zangu asbh hii ilinao wachangamkie fulsa hii ,Ubalikiwe sana kwa kujitoa kwako kwa ajili ya wengi.
We jamaa bana duuh!! Mihemko kama ya yule jamaa aliyeparamia mchanga wa watu akisaka front peji ya gazeti??Mihemuko!
Kwa hyo hata ngwajima nae atakuwa kwenye hii trade ?Boss! Great minds discuss ideas not people. Boss let's discuss ideas.
Boss mimi namfahamu SB si kwa kusikia maneno ya watu, nimekaa kanisani kwake and I see him metre chache kutoka nilipo. Huyu ana waumini mil 20+ duniani kote, wote hao ni wapuuzi kumfata?! Again kwa mafanikio aliyonayo ni jambo la ajabu sana akose maadui, na kitu maadui wanaweza kumfanya SB ni kumchafua jina.
Kifupi ipo hivi.
Chukua 1.2345 toa 1.2335 unapata 10 pips.
Chukua hizo 10 pips zidisha kwa lot size yako.
Kama ni micro lot utakuwa unapata 0.01*10=0.1 USD
Kama ni mini lot utakuwa umepata 0.1*10=1 USD
Kama ni standard lot utakuwa umepata 1*10 = 10USD.
Kwa kila pip unatengeneza hizo USD hapo pembeni..
Hiyo ni shortcut huwa naitumia, ukiweka pembeni spread na leverage. Ukiweka hivyo viwili, mahesabu yanakuwa marefu zaidi..
Sasa kama USD ndo unategemea ishuke kwa nini uzinunue wakati zikishashuka zitakuta EURO chache tofauti na mwanzo? Maana zikishuka zimepungua thamani, so USD nyingi zitakupa EURO chache tofauti tofauti na ulizouza mwanzoni.Kwenye going long upo sahihi lakini short huwa ni kwa weak currency yani counter currencies ambazo Mara nyingi huwa hazipo stable zinashuka thamani Mara kwa mara
Kwa mfano wako USD ndio counter currency kwahiyo unakuwa una amini kwamba itashuka na kushuka kwake italeta faida in euro sababu ukitumia euro kununua USD Kabla dola haija shuka, kwahiyo utauza euro utanunua UsD,mpaka hapa unakuwa una USD mkononi halafu unasubiri ishuke, ikisha shuka utauza USD ununue euro na hii itakupa euro zaidi ya zile ulizokuwa nazo awali
Mkuu na mm nimewaza kitu kama hiki
Embu isome hii alafu uniambie umeelewaje!!