Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Nadhani wenye akili na macho wajionee how smart and open you are. Kwa wale wenye utata mna la kuongeza?

Kudos! This is brilliant. Acha niendelee kupiga mondo za spreads na trading style hapa tutafika tu[emoji39][emoji39]
 
Yeah sure huku kwa sie ma risk taker wala hata hatuwezi umia kama ambao wanaogopa gambling.

General Rule.... " Do not invest what you can not afford to Lose"

Sure, And this rule applies to this bussines too.
 
Hahaha, vipi kuhusu Figisu za kuleta mizengwe wakati wa kutoa hela...
Unadhani kwanini wawe wasumbufu?
 
Hahaha, vipi kuhusu Figisu za kuleta mizengwe wakati wa kutoa hela...
Unadhani kwanini wawe wasumbufu?
 
For real, hii kitu iko poa. Naijuaga kwenye theory tu lakini practically nipo mtupu.
 

Mkuu si kila anaye uliza ni muoga wa kuibiwa wengine tunauliza for understanding mkuu. Wewe upeo wako wa kufikiri umeishia hapo kwenye legality sababu hujui chochote kuhusu application development ndio maana huoni risk kwenye hilo eneo, acha sisi tunao jua risk kwenye hilo eneo tuulize
 
Nadhani wenye akili na macho wajionee how smart and open you are. Kwa wale wenye utata mna la kuongeza?

Kudos! This is brilliant. Acha niendelee kupiga mondo za spreads na trading style hapa tutafika tu[emoji39][emoji39]

Fibonacci, Candle sticks, Live trading, Order Trading. Tutafika tuu mkuu, Mdogo mdogo na kwa msaada wa wadau. Haya mambo bwana..!
 

Mkuu hapo umepotea mkuu, Tena ur deadly wrong..... Wewe wa computer science hunitoi kwenye software dev hata kidogo. Ninaanza from scratch sihitaji hata source code ya mtu

Nimepiga language za kutosha na sahizi nafanya accounting packages kwa kutumia SQL baada ya kukutana na weakness kubwa kwenye excel database systems. Usione ukadhani mkuu

Au nikupe access yangu ya linda.com ambayo nimelipia subscription ya miezi 6 na kila siku ninakula course for 2hours.
 

Good for u but u don't knw me either wala sihitaji kujua hizo mbwembwe zako.

I knw what I am asking na sihitaji kuprove kwako kuwa Mimi ni nani. Nadhani umesoma vizuri jibu la Ontario na umeona kuwa kuna broker alifungiwa SA so labda ungejiuliza kwanini alifungiwa na pia ungejua kuwa level of access ya broker to the application Ina impact kwenye risk ninayo ongelea.

Unaweza kutojua kuwa hujui mkuu, it doesn't cost you anything to be humble
 

hahahaaa, easy bro. Lets focus katika hii kitu ya finance/Accounts. Sote humu tumeacha specialization zetu tumeikimbilia new challenge. Tukianza ya hivi tutaharibu thread yenyewe hii ikaonekana haina maana. Ila hapo kwenye Lynda nitakucheki.

Lets get back in FOREX bussines.
 

Easy dudes.
 

Kama ulilifahamu hilo next time usirudie kumwambia mtu kitu ambacho kipo nje ya mada ukidhani hakifahamu.

Sahizi unafundishwa jinsi ya kufanya analysis na kuinvestigate how the system works na mfugaji wa kuku, Which means Auditing yako na Computer Science haikukusaidia. Sumbua kichwa chako kufatilia mambo kama una doubts usitafute slope kama mnavyodai nyie wa computer science ati everything is from the internet.

Najua nimekushtua na Computer Science yako japokua mie nimepiga Social Science.

Hayo mambo ya hujui mie ni na cjui nini kamuulize mke wa waziri aliyepigishwa fine na traffic na akapandishwa cheo
 

Basi sawa mkuu ngoja tusiharibu uzi
 
Daaah!! Noma sana kuitwa mfuga kuku na ndani nimefungia jiwe la petroleum refinering[emoji23] .
 
Naona watanzania wengi wanaimaiman na hii buzness forex....
Bas kwasabab kama iman inaweza kuamisha mlima kama vitabu vya dini vinavyosema... Kwa iman hii nawaona mabilionea umu....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…