Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Shukran sana kaka Ontario, mimi nimeshawishika na maelezo yako. Naomba kama hautajali uniambie vigezo vya kujiunga nikiwa ni mmoja kati ya hao 300 wa mwanzo. Lakini pia kama kuna uwezekano wa kupata list ya vitabu vya msingi kwa kupitia e-mail au njia yoyote utakayoona ni rahisi kwako.

Natanguliza shukran.
 
Shukran sana kaka Ontario, mimi nimeshawishika na maelezo yako. Naomba kama hautajali uniambie vigezo vya kujiunga nikiwa ni mmoja kati ya hao 300 wa mwanzo. Lakini pia kama kuna uwezekano wa kupata list ya vitabu vya msingi kwa kupitia e-mail au njia yoyote utakayoona ni rahisi kwako.

Natanguliza shukran.
Pitia comment zote vitabu wameweka ni kudownload tu
 
Nme ipenda sana bro ila naomba nifahamu hiyo biashara ita hitaji kianzio kama mtaji kiasi gani?
 
Mkuu ontario hii kitu nlisawah kuisikia kipind flan nlipokuwa nasoma huko ughaibun but at that time nlikuwa naona kama dili flan hiv la kitapel but for this thread nimeona ka mwanga about hii kitu count on me kwa hao 300 ila nipo mkoa tunaweza ata ku create group ya watusp ukawa unatoa elim kule kwa ambao hatuko,dar au ata hapa JF will,also be ok
 
Wazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
Iko poa hiyo ila ni ngumu
 
Am real interested on that pia nipo tayar kuifanya hii biashara mwanzo nilikuwa naipuuza puuza tu lakn sasa nahitaji kutake actions seriously
 
Swali moja dogo tu, hawa brokers ni wewe utatutafutia na tuwe na options au aliyepo ndio atafanya kwa watu wote?? Hofu yangu ni kwamba monopoly inapunguza aggressiveness.

Lingine ni kuhusu usajili, naona wewe unahangaika kusajili umeshindwa kwenda kwenye jikutano kubwa kabisa (kama ni kweli lakini maana na nyie kwa fix bwana hahaaaaaaa.... A real joke), sasa sisi tunaweza kuanza bila kisajili???

Tatu, ninaamini demo account itakuwa ni bure kabisa (demo si kitu cha kujaribia tu mkuu, yeaah siamini kama kinauzwa), sasa hiyo real account inapatikana kwa bei gani?? Maana nisije kujiokoteza $1000 najibeba kuingia nakuta real account costs $50,000 bila cent, ni pambio gani utaniimbia nifarijike??

No Debt shall remain unpaid

Hayo maswali yako sijui nikujibuje lkn nachoweza kusema "you are still a newbie". Naomba kwasasa usome kitabu linichoreccomend, utapata wide view ya nini nazungumza. Please naomba usome hiko kitabu, ukija kwenye classes utaelewa nini ni nini.
 
Mkuuu hiyo forex amazing nimeisoma chuo ktk coz fulan ( international tradea) daa kumbe ndo inamake profit kwa namna hii aisee umenimotive mbay sana nataman hat mm nipinge hiyo amazing forex coz I know very well.
 
Hayo maswali yako sijui nikujibuje lkn nachoweza kusema "you are still a newbie". Naomba kwasasa usome kitabu linichoreccomend, utapata wide view ya nini nazungumza. Please naomba usome hiko kitabu, ukija kwenye classes utaelewa nini ni nini.
Kwa sababu ya ukuaji wa teknolojia huwezi kutafuta means ya ku broadcast darasa? Ili ambao hatutakuwepo darasani tuone nini kinaendelea? Tukiwa mbali?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom