ONTARIO
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 1,884
- 17,096
- Thread starter
- #661
Sawa nimekusoma
Lakini let be honest for a minute
Foreign Exchange Market ni speculative process.
Kwa maana hii naona nafasi ya traders wadogo kupiga chapaa inakuwa minimized na upatikanaji wa taarifa kwao.
Pia ni ukweli traders wadogo hawana control yoyote dhidi ya brokers wanaowatumia
Hii business haina regulations, only demand and supply ndiyo inasimamia kila kitu. Hapa maana yake broker ndiyo "King" anaweza amua kufanya manipulation
Pia kwa sababu ya high volume of liquidity traders wadogo ni rahisi sana ku-over trade na mambo yakiwa tofauti ni kilio.
Wangapi hapa wapo tayari ku-risk $1000?
Je hizo $1000 zikipukutishwa wataongeza nyingine kufidia losses?
Binafsi naona forex unahitaji kwanza kuwa na vijisenti kwasababu kuna msemo Failure is the mother of success.
Na hii ipo ki mkakati maana kupigwa kwenye forex week chache za mwanzo ni rahisi kama vile mtoto anayefijunza kutembea anavyoanguka mara kwa mara
Binafsi naona ili upate profit lazima muda mrefu wa kujifunza uhusike na kama ulivyosema usiingize emotions. Yaani uwe professional kabisa.
Boss!! Twende pole pole. Kwa kiasi fulani nakubaliana na hoja zako, kwa kiasi fulani napingana na hoja zako pia.
Yes! Fx ni speculation. How does that minimizes retail trader's profitability. Hebu nambie vizuri.
Pili, unasema retail trader hawezi kumRegulate broker... sijui umeandika kwa bahati mbaya ama vipi? Yani unamaanisha Trader amregulate vipi broker, forex is about you and the market. Broker hana chochote zaidi ya kukupa platform inayokulink na global market. Sasa unataka trader aRegulate nini, specifically??
Pia unasema broker is the 'king' - king wa nini?! Hapa kuna soko, hapa kuna wewe trader, general principle iliyopo kama ulivyosema ni demand and supply ya currencies ktk soko, sasa hapa Broker anakuaje king?! How can a broker manipulate a $5 trillion market?! Nakubali market makers wana nguvu yao, but that doesn't mean wanaweza kukusababisha kila trade iwe losing trade. Hiyo haipo.
Swala la kuover trade ni discipline na psychology ya mtu, haziendani kutokana na liquidity iliyopo sokoni. Mtu akiamua kuover trade ni kwa mapenzi yake.
Hakuna haga principle 1 ya trading inayosema unahitaji vijisenti - traders need right information, right knowledge, skills and strategies pamoja na emotions control. Mtu anaweza kuraise $100 hadi kuwa $1000 ndani ya less than a month. Na vile vile kutokana na leverage pesa hiyo hiyo unaweza kuipoteza kama haujui nini unafanya.
Zaidi ya yote ninakubaliana na wewe kuwa forex si get rich quick scheme, inabidi ufahamu ndani nje, inabidi uwe na knowledge, inabidi ugharamie muda mwingi kujifunza. Na zaidi ya yote huwezi kuwa Pro trader bila kuwa newbie - lazima utoke from 1 point to another. Kwasababu mtu si Pro hakumfanyi asijifunze forex na kuwa Pro, we all started from somewhere. It takes time, but it's worth it.