Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
sio huyo Sandile mkuu....au unafikiri ni Sandile tu alietajirika kwa FOREX TRADE? South Africa wapo wengi tu wametajirika kwa hii biashara.....nimemsahau jina dogo yuko jela sasa hivi kwa kumuua mpenzi wake

Sandile Mantsoe.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
brother it takes courage nili
kuna yule dogo aliemuua mpenzi wake juzi juzi South Africa....nae alikuwa anafanya hii biashara alikuwa na mpunga wa maana....FOREX ukiielewa vizuri jihesabu milionea

inahitaji utulive wakati wa kujifunza mkuu. mentors wengi bado nao wanagain knowlagde kila siku hvyo tunaangalia kuwa na mentor wetu.
 
Naimani mko salama wana JF!

So far so good, achilia mbali kusoma na kujua how to trade au kuwa na capital/pesa kwenye account bado kuna kitu ambacho ni LAZIMA wewe kama trader ujue. Forex inaendeshwa kwa matukio mbali mbali yanyotokea duniani na nnaposema duniani namaanisha mataifa makubwa sio haa yetu ya dunia ya tatu!

Mfano, nakumbuka baada ya Donald trump kushinda uchaguzi (kabla hajaapishwa), soko la hisa na bidhaa mbali mbali duniani hasa USA zilitikisika sana hapa utajiuliza kwanini??

Kuna matukio kama lile la brexit,lile tukio la Uingereza kujitoa kwenye umoja wa Ulaya, japo sikusikia any bad new infact kwasababu sikufwatilia, ila I believe hili tukio lilitikisa sana thamani ya euro na pound!!

Haya turudi tena kwenye chokochoko za china, usa, Russia, iran, North korea na israel. Hizi zote ukiziangalia kwa angle flani zina impact katika forex. Kuna wakati naamini hizi chokochoko zinaanzishwa maksudi ili kutikisa ulimwengu wa flow ya pesa!

Haya turudi huku kwetu, baada ya magufuli kushindwa biashara/makambuni baadhi yalifungwa, je ni kwanini?? Najua wale wenzangu weanaopenda majibu mepesi watadhani wamefunga kwa sababu walikua hawalipi kodi which to some point is not true! Tuangalie lile tukio la ACACIA, baada ya kutokea yaliyotokea jamaa hisa zao zilishuka, je kwanini?? Hapa tuombe wasiende mahakamani na wakashinda kesi maana kwa hasara waliyoipata hawatatuacha salama!

Pia mikutano mbali mbali ya kimataifa kama G7 na G20 ikitokea, kuna mengi yanajadiliwa na kwa upande flani yana impact katika uchumi na siasa ambazo kwa upande Fulani yatapelekea kuyumba au kukua kwa soko la pesa!

Kwa kifupi tu FOREX inaendeshwa na matukio, na matukio haya ni yanagawanyika katika sehemu tatu, yaani siasa/politics, jamii/social na uchumi/economic! Na haya matukio yakitokea jua kuna faida au hasara inatengenezwa.

Bottom line, FOREX imeegemea katika speculation, na kwa trader/speculator mzuri, kuwa na capital tu haitoshi, ni lazima pia ukawa MFWATILIAJI MZURI wa habari na matukio mbali mbali kimataifa hasa ya nchi ziizoendelea na zenye nguvu duniani yaani G7 na G20!

Wasalaam!

Mwenzako katika kujifunza,

LT(Eng.)

Ukiona Trump ana tweet kuhusu uchumi wa marekani, basi ujue kwenye pair za USD lazima kitu kitikisike..

Traders wame-fall in love with Trump, mpaka watu wanahisi na yeye ana trade..
 
Duh! Hapa kuna harufu ya MIHELA.

ushauri: Ontario ni JF nickname, wanaotaka kujiunga na mtandao muwe makini as nasikia harufu ya matapeli kuiona fursa Hii ya aggressive people. Atakupigia mtu au atatafuta njia ya kuteka minds za watu kwa jina la ONTARIO akulize pesa ngumu za Magufuli.

Let we be extra careful na hizi moves.
Yes, we should be risk takers, but we must be calculative risk takers.

Nia njema ilete mema kwa umakini.

Poor mentality, hakuna mtu ambae amewahi kufilisika kwa kutapeliwa dola mia tatu, inaonekana wewe hela ineshikana na moyo wako. Pole bro.
 
Ukiona Trump ana tweet kuhusu uchumi wa marekani, basi ujue kwenye pair za USD lazima kitu kitikisike..

Traders wame-fall in love with Trump, mpaka watu wanahisi na yeye ana trade..
hii ni training kwangu pia
 
Ukiona Trump ana tweet kuhusu uchumi wa marekani, basi ujue kwenye pair za USD lazima kitu kitikisike..

Traders wame-fall in love with Trump, mpaka watu wanahisi na yeye ana trade..
Mimi siamini kama ha-trade! na yeye sio mjinga mpaka kusema hataki mshahara wa rais! yeye sio mjinga mpaka akaacha kazi zake zilizokua zinamuingizia billions of money na kwenda kuwa rais tena bila mshahara!!

Lazima tujue USD ndio major currency katika soko la pesa, lazima kuna impact inatokea ukiona matukio hasa yanayohusisha USA!
 
Mimi siamini kama ha-trade! na yeye sio mjinga mpaka kusema hataki mshahara wa rais! yeye sio mjinga mpaka akaacha kazi zake zilizokua zinamuingizia billions of money na kwenda kuwa rais tena bila mshahara!!

Lazima tujue USD ndio major currency katika soko la pesa, lazima kuna impact inatokea ukiona matukio hasa yanayohusisha USA!

Kama hutatajirika wakati wa Trump, basi atakayekuja mwingine anaweza asiwe ana manipulate soko kama trump..

Nasubiri impeachment ya Trump, ntacheka..
 
hii ni training kwangu pia

Duh? Sikujua. I discuss with the guy just for fun.

Moreover, hiyo ndo fundamental analysis inaingia. Kufuatilia taarifa zote za uchumi, majanga, vita, ugaidi unaoendelea nchi za dunia ya kwanza.

Kuna pair zinakuwa affected kukiwa na mvua sana kwenye hiyo nchi au ugonjwa fulani ukiingia unapoathiri major export ya hiyo nchi.

Mfano, New Zeland, ukiingia ugonjwa hadi uzalishaji wa maziwa ukashuka, basi kwa kiasi fulani New Zeland Dollar lazima itikisike.
 
Mimi siamini kama ha-trade! na yeye sio mjinga mpaka kusema hataki mshahara wa rais! yeye sio mjinga mpaka akaacha kazi zake zilizokua zinamuingizia billions of money na kwenda kuwa rais tena bila mshahara!!

Lazima tujue USD ndio major currency katika soko la pesa, lazima kuna impact inatokea ukiona matukio hasa yanayohusisha USA!

Bloomberg TV, CNN, BBC, Al Jazeera lazima ziwe uwanja wako wa nyumbani.

Kuliko kupoteza muda kushinda kwenye page ya Mange huko Insta, just focus on relevant issues zinazoongeza something in your bank account.
 
Thread nzuri sana hii na faida kwa wote pia..Sasa tulioko mkoani inakuwaje maana nipo Arusha n i just gave birth about 3days na sitopenda hii inipite
 
Thread nzuri sana hii na faida kwa wote pia..Sasa tulioko mkoani inakuwaje maana nipo Arusha n i just gave birth about 3days na sitopenda hii inipite
Hongera bibie,

Wa kike au kiume . . ?
Nataka kukutabiria hapa hapa kama hii business itakufaa . .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom