Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Sasa nimeelewa huenda sasa ivi dogo Sandile anatumia muda mwingi kutrain watu ili wakishaingia kwenye business ya trading sasa anakua anawauzia signals ambapo ni biashara nzuri tu mana ngozi nyeusi nyingi hazina mbongo za kufanya technical and fundamental analysis na hapo huenda mkuu wetu Antario nae kajifunza kitu kupitia hyo nae anataka kupractice hapa kwetu which is very good and its opportunity kwa ss wazee wakujiongeza tutajua kutrade na tutakua willing kununua signals kwakua inshortrun hatutakua na uwezo mkubwa wa kufanya analysis lakin kimya kimya tutakua tunajifua kumaster hizo makitu badae sasa na sie tutaungana nae kuuzie watu signals. Thanks mkuu we ilete tu hyo training tunaisubiri kwa hamu huku tukila orientation course kwa kuperuzi peruzi vitabu japo haya macourse yetu ya sayansi yanatupa shida kwel kuelewa mambo ila kwakua yalitujenga katika suala zima la kukaza msuli mpaka kieleweke tutaenda sawa tu na hawa wenzetu walosomea finance na economics.Nawaza tu kwa sauti huku nikikomaa na hichi kijitabu ambacho kinanifanya nione maluweluwe lakin taratiibu tunaelewa!!
 
Very Simple .Fanya hesabu ya haraka haraka....kuanzia October 2016;
1.Nilianza na Gold Plus 2 @ $2086 = $4172 .Kila moja inagenerate USD 630 kwa mwezi ,lengo kila mwezi niongeze Gold Plus mbili
2.Nika-reinvest faida $630 * 2 =$1260 nikaongeza $2912 Iiliniweze kupata Gold Plus nyingine mbili (1260+2912=$4192)
3.Nikawa na Gold Plus nne kila moja ina generate USD 630 kwa mwezi * 4= 2520
4.Nika reivenst faida $2520 nikaongeza $1652 ili kupata Gold Plus nyingine mbili = $4192
5.Nikawa nina Gold Plus Sita,kila moja inagenerate USD 630 kwa mwezi *6 = $ 3780
6.Nikareinvest Gold Plus moja zadi kwa $ 2086.
7.Hapo utaona Jumla ya investments ni USD 14,994
8.Kuanzia February mpaka leo nina Gold Plus Saba...kila moja inagenerate $ 630 kwa mwezi(sija invest tangu February),hivyo ndani ya miezi minne Feb-May(630 * 7 * 4 = 17,640).- Hii ndiyo hela ambayo nimeitengeneza bila kuizungusha tena.... Nimepanga sehemu ya hela hii nitaiingiza kwenye Forex Trading
NB: Nakubali hii inaweza kuwa biashara kimeo,lakini sijapata mbadala kabisa...nimesha APA sintofanya biashara isiyo na risk milele sababu zimenichosha sana.....longolongo ni nyingi hasa biashara inayohusisha binadamu moja kwa moja .....nimeshaonja tamu ya online platforms sasa naingia mzimamzima kwenye Forex Trading mungu akinijalia nitafunga mkanda hadi South Afirca kwa ajili ya hii mavitu....Kanuni zake nazijua na naziheshimu ikiwemo "DO not invest the money that you can not afford to Loose".....Nimeshapiga misele ya kutosha ,sihitaji ushauri wowote mbadala
Sorry mkuu....
Kabla sijakuuliza swali linalohusu huki ulichoandika hapa.
Naomba kwanza kujua hizo investment ulikuwa unazifanyia nchi gani? Ni Tanzania, Kenya, Uganda, SA, Japan, USA au wapi?
 
taratibu uzi unaanza kwenda mwendo wa kinyonga sasa kile kimue mue na papara zinaanza kupotea wengi humu wameshagundua hii kitu si nyepesi kama walivyodhani inaitaji muda kujifunza, utaalamu na bongo inayochemka si bongo lala....binafsi nilivyoipitia pitia nimeona hapa ili kumaster vizur hii course inabidi muda usiopungua miezi mitatu hadi sita uwe unajifunza hii kitu taratibu tena kila siku..elimu zaidi na practicals kwa demo ndio muhimu....anyway ngoja niishie hapo.
 
Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Umeongea kitu kizuri, lakini mdogo mdogo tutafika...
 
taratibu uzi unaanza kwenda mwendo wa kinyonga sasa kile kimue mue na papara zinaanza kupotea wengi humu wameshagundua hii kitu si nyepesi kama walivyodhani inaitaji muda kujifunza, utaalamu na bongo inayochemka si bongo lala....binafsi nilivyoipitia pitia nimeona hapa ili kumaster vizur hii course inabidi muda usiopungua miezi mitatu hadi sita uwe unajifunza hii kitu taratibu tena kila siku..elimu zaidi na practicals kwa demo ndio muhimu....anyway ngoja niishie hapo.
Hiyo ni kawaida...waliosoma uchumi watatuambia...kuna kitu kinaitwa sijui marginal nini ya kuconsume

Yan maana yake ukiwa na kiu unakunywa maji kwa papara wakati wa kumalizia unamalizia kizembe

Watu wametulia wanasubiria what next juu ya hiyo training

Hapa ni schedule ya ONTARIO tu ndo tunaisubiri...
 
Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
tulia mzee ufahamishwe...forex trading sio lazima ufanye dili zako kwa kutumia pesa za tanzania...ndani ya soko la fedha kuna currency pairs tofauti na tena nyingi tu ambazo waweza kufanya trade zako kwa kuziuza au kuzinunua..mfano kuna USD/JPY,GBP/USD,AUD/CHF na nyingine nyingi..unapo fungua akaunti yako haya utayafahamu kwa undani..ila hamna yeyote anayelazimishwa kujiunga...ni uamuzi wako binafsi...

risk takers wenzangu,mwendo ni polepole...tutafika tu!!
 
Je hii issue ni fursa pia kwa tabaka la chini wenye ku afford mtaji wa $50 and less ??
 
Kuna watu wajuaji kwa kiwango cha STANDARD GAUGE wanajidai ku-diss sana juhudi za
ONTARIO katika hili.... Mi nazan tuwaombee washindwe na walegee.. wengine tushavurugwa hapa wacha masikhara bana, kama ni ku-loose wacha tu-loose tuu {though najua hakuna atakaye loose kizembe zembe}... hapa afe SIMBA afe MMASAI ili gemu mpaka mwisho wake ujulikane..Na kwa mtazamo wangu hapa hawa wanao diss washaona tunavyokwenda kuwa independent ki-mkwanja thats y wana tisha na kudiss, eeeeeheeeeee nilitaka kusahau.. kama ukijifanya kutukatisha tamaa uje na njia mbadala sio unamwaga povu alafu unaondoka kizembe zembe... tofauti na hapo....
NASEMA MMEChELEWA SANA MEN

By the way mkuu
ONTARIO nakukumbusha mimi mkulima mwenzio ntakaa siti namba mbili wakati wa training........

Gracias
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom