Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry mkuu....Very Simple .Fanya hesabu ya haraka haraka....kuanzia October 2016;
1.Nilianza na Gold Plus 2 @ $2086 = $4172 .Kila moja inagenerate USD 630 kwa mwezi ,lengo kila mwezi niongeze Gold Plus mbili
2.Nika-reinvest faida $630 * 2 =$1260 nikaongeza $2912 Iiliniweze kupata Gold Plus nyingine mbili (1260+2912=$4192)
3.Nikawa na Gold Plus nne kila moja ina generate USD 630 kwa mwezi * 4= 2520
4.Nika reivenst faida $2520 nikaongeza $1652 ili kupata Gold Plus nyingine mbili = $4192
5.Nikawa nina Gold Plus Sita,kila moja inagenerate USD 630 kwa mwezi *6 = $ 3780
6.Nikareinvest Gold Plus moja zadi kwa $ 2086.
7.Hapo utaona Jumla ya investments ni USD 14,994
8.Kuanzia February mpaka leo nina Gold Plus Saba...kila moja inagenerate $ 630 kwa mwezi(sija invest tangu February),hivyo ndani ya miezi minne Feb-May(630 * 7 * 4 = 17,640).- Hii ndiyo hela ambayo nimeitengeneza bila kuizungusha tena.... Nimepanga sehemu ya hela hii nitaiingiza kwenye Forex Trading
NB: Nakubali hii inaweza kuwa biashara kimeo,lakini sijapata mbadala kabisa...nimesha APA sintofanya biashara isiyo na risk milele sababu zimenichosha sana.....longolongo ni nyingi hasa biashara inayohusisha binadamu moja kwa moja .....nimeshaonja tamu ya online platforms sasa naingia mzimamzima kwenye Forex Trading mungu akinijalia nitafunga mkanda hadi South Afirca kwa ajili ya hii mavitu....Kanuni zake nazijua na naziheshimu ikiwemo "DO not invest the money that you can not afford to Loose".....Nimeshapiga misele ya kutosha ,sihitaji ushauri wowote mbadala
Umeongea kitu kizuri, lakini mdogo mdogo tutafika...Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Hebu nionyeshe hicho kitu kizuri alichoongea hapo kwenye hilo bandiko lake!?Umeongea kitu kizuri, lakini mdogo mdogo tutafika...
Hiyo ni kawaida...waliosoma uchumi watatuambia...kuna kitu kinaitwa sijui marginal nini ya kuconsumetaratibu uzi unaanza kwenda mwendo wa kinyonga sasa kile kimue mue na papara zinaanza kupotea wengi humu wameshagundua hii kitu si nyepesi kama walivyodhani inaitaji muda kujifunza, utaalamu na bongo inayochemka si bongo lala....binafsi nilivyoipitia pitia nimeona hapa ili kumaster vizur hii course inabidi muda usiopungua miezi mitatu hadi sita uwe unajifunza hii kitu taratibu tena kila siku..elimu zaidi na practicals kwa demo ndio muhimu....anyway ngoja niishie hapo.
tulia mzee ufahamishwe...forex trading sio lazima ufanye dili zako kwa kutumia pesa za tanzania...ndani ya soko la fedha kuna currency pairs tofauti na tena nyingi tu ambazo waweza kufanya trade zako kwa kuziuza au kuzinunua..mfano kuna USD/JPY,GBP/USD,AUD/CHF na nyingine nyingi..unapo fungua akaunti yako haya utayafahamu kwa undani..ila hamna yeyote anayelazimishwa kujiunga...ni uamuzi wako binafsi...Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Kwani wewe umeelewa vipi?Hebu nionyeshe hicho kitu kizuri alichoongea hapo kwenye hilo bandiko lake!?