Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Screenshot_2017-06-12-19-10-14.png

Mi naendelea kujifua mdogo mdogo
 
Ontario
Yan naomba muongozo no time to waste kama ofisi imeshafunguliwa nije ofsn nije nielewe huko huko
 
Wakati nafungua akaunti nimekutana na kipengele kimeandikwa "Tax Identification Number" hapo nimeshindwa kuelewa hiyo namba. KAMA KUNA MTU ALIPITA HICHO KIPENGELE ANITOE VUMBI KICHWANI
 
Wakati nafungua akaunti nimekutana na kipengele kimeandikwa "Tax Identification Number" hapo nimeshindwa kuelewa hiyo namba. KAMA KUNA MTU ALIPITA HICHO KIPENGELE ANITOE VUMBI KICHWANI
Hiyo ni real au demo
 
Wakati nafungua akaunti nimekutana na kipengele kimeandikwa "Tax Identification Number" hapo nimeshindwa kuelewa hiyo namba. KAMA KUNA MTU ALIPITA HICHO KIPENGELE ANITOE VUMBI KICHWANI
Hiyo ni TIN no mkuu
 
Unapotea sana mkuu,naona co learner tena unakua mkufunzi
mi nipo kaka..ndio nimezama kisawasawa kwenye vitabu..mwendo wangu nauita [HASHTAG]#mwendo[/HASHTAG] wa vipara..yani taratibu..sitaki jambo lolote linifutu..nategemea na wewe pia unapiga darasa la uhakika mwenzangu..
 
Nianze kwa kusema kuwa hii biashara inawezekana maana kila kitu ni online so unanunua popote na kuuza popote...
Nilichogundua kwanza inabidi uwe mentally and physically fit kwasababu kuna programming inahusika ili uwe updated mda wote unless unakula hasara ya kutosha
Pia ni siku 5 za wiki ndio unaweza kuwa active sasa kama wewe ni mwajiriwa inabidi ujipange maana mda wote utajikuta unatafuta masomo ya kununua na kuuza, kiujumla hii ni kazi kama hazi nyingine tena inayohitaji mtu makini sana.
Sure.
 
Mkuu ONTARIO naamini icons wazo zuri kipelekwe Stationary then sisi wa mikoani tutume pesa ili tuweze kutumiwa hata kwa njia ya mabasi naamini tutakipata kwa usalama.
 
Mkuu ONTARIO naamini icons wazo zuri kipelekwe Stationary then sisi wa mikoani tutume pesa ili tuweze kutumiwa hata kwa njia ya mabasi naamini tutakipata kwa usalama.
Ni kweli mkuu ili na sisi wa mikoani hii kitu isitupite pembeni. Ni bora tukaongeza kiasi cha pesa ili tutumiwe vitabu ikiwa mkuu Ontario ataafiki.
 
mi nipo kaka..ndio nimezama kisawasawa kwenye vitabu..mwendo wangu nauita [HASHTAG]#mwendo[/HASHTAG] wa vipara..yani taratibu..sitaki jambo lolote linifutu..nategemea na wewe pia unapiga darasa la uhakika mwenzangu..
Demo pembeni kidoogo nimezama kwenye vitabu mkuu
C unajua spidi zetu too slow too sure.
 
Mm nilimwacha kumsikiliza pale tu aliposema usitumie stop loss hapo nilinawa mikono kabisa
Mkuu, tatizo lilokupata ni pale ambapo anaelekeza setting za zone recovery kwani hazionekani
 
What a busy monday,

Mkuu ontario usisahau kutupa jina la hicho kitabu cha master trade. Ingekuwa vyema hata ukatupigia picha mbele na nyuma ili tuone title na autor plus ISBN number.

Na sisi tujaribu kukitafuta, Labda tunaweza pata bahati kukiona.

CC: Ontario
 
Beautiful week ahead traders

Weekend imeisha tumeianza week nyingine. Nina matumaini hii itakua wiki ya mwisho kwangu kukamilisha kila kitu, then week ijayo we take off the ground. Pia naamini wengi wenu mnaendelea kujifunza na kuelewa msitu wa forex - hua tunasema '''Forex forest''' kwa kusoma vitabu.

Nina wazo 1 naomba tushauriane bosses :- Nina kitabu ambacho ningependa wote mkisome, yani hiki naeza sema ni A million dollar book, must read. Ukikisoma hiki unaondoa upupu wote kichwani - ukija class mimi na team yng ni kukupa tu strategy za kudownload pesa kutoka sokoni, na kisha tufanye live trade pa1, yani ukikisoma afu ukaja class ni km utakua unamsukuma mlevi.

Sasa shida ya hiki kitabu ni nilikinunua SA, na ni hardcopy - makumbuka nililipa Rand 650, km 105,000 TZS. Nimejaribu kila niliwezalo kupata soft copy yake lkn hakuna. Sasa ningependa nyinyi wote mkipate, maana strategy zilizopo humu ndani 80% ndizo mimi na team nzima tunazitumia.

Je tunafanyaje?! Mimi nilifikiria nimwagize kijana wangu m1 akichapishe, then tuangalie gharama itakua ngapi, kina page km 270 hivi, kisha dogo avipeleke steshenari fulani, wale watu wa Dar wataenda kukichukua from there.

=========================

Hua nina kawaida siku ya J3 kama leo silikurupukii soko hadi London session uanze - maana soko likitoka weekend hua lina hangover. sasa usiku wa leo nilikua ninakamua kitabu fulani kinaitwa How to profit in Gold, nilivyotaka kulala nokacheki soko kidogo (fx is an addiction), nikaona setup zimekubali, na fursa iko kwenye screen, nikaingia sokoni, nikalamba laki 3 za chap chap nikalala kwa amani
d74252be34d46d9d8b3b09744ef02ba0.jpg
I support this.. Since you personally use this book and we've all seen how u do ur magic, no one will take this for granted.
We nenda tu kaache stationary uone watu tutakavyokizukia.
Ts a good way.. U jus name the stationary we'll handle the rest.
 
Wakati nafungua akaunti nimekutana na kipengele kimeandikwa "Tax Identification Number" hapo nimeshindwa kuelewa hiyo namba. KAMA KUNA MTU ALIPITA HICHO KIPENGELE ANITOE VUMBI KICHWANI

Weka TIN number mzee ya TRA
 
Actually binafsi nilikua naisoma hii business kupitia mtandaoni but nimeiona kama ni tofauti na nilvyoelewa kwako!!/..
Its like kamali ujue dollar vs euro or USD vs Indian rupee uweze soma kama itapanda au itashuka....then from there ukibet right ndo unakula Fedha!!. Au cyo hii forex trading ....
Jibu lako Mkuu n la muhimu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom