Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Don't forget me Mr.Ontario I am arrived now in Tanzania a place called morogoro so on the starting day please niadi niwe miongoni mwao by Foreigner from Rwanda's welcome guys in Ruandaaa
 
Beautiful week ahead traders

Weekend imeisha tumeianza week nyingine. Nina matumaini hii itakua wiki ya mwisho kwangu kukamilisha kila kitu, then week ijayo we take off the ground. Pia naamini wengi wenu mnaendelea kujifunza na kuelewa msitu wa forex - hua tunasema '''Forex forest''' kwa kusoma vitabu.

Nina wazo 1 naomba tushauriane bosses :- Nina kitabu ambacho ningependa wote mkisome, yani hiki naeza sema ni A million dollar book, must read. Ukikisoma hiki unaondoa upupu wote kichwani - ukija class mimi na team yng ni kukupa tu strategy za kudownload pesa kutoka sokoni, na kisha tufanye live trade pa1, yani ukikisoma afu ukaja class ni km utakua unamsukuma mlevi.

Sasa shida ya hiki kitabu ni nilikinunua SA, na ni hardcopy - makumbuka nililipa Rand 650, km 105,000 TZS. Nimejaribu kila niliwezalo kupata soft copy yake lkn hakuna. Sasa ningependa nyinyi wote mkipate, maana strategy zilizopo humu ndani 80% ndizo mimi na team nzima tunazitumia.

Je tunafanyaje?! Mimi nilifikiria nimwagize kijana wangu m1 akichapishe, then tuangalie gharama itakua ngapi, kina page km 270 hivi, kisha dogo avipeleke steshenari fulani, wale watu wa Dar wataenda kukichukua from there.

=========================

Hua nina kawaida siku ya J3 kama leo silikurupukii soko hadi London session uanze - maana soko likitoka weekend hua lina hangover. sasa usiku wa leo nilikua ninakamua kitabu fulani kinaitwa How to profit in Gold, nilivyotaka kulala nokacheki soko kidogo (fx is an addiction), nikaona setup zimekubali, na fursa iko kwenye screen, nikaingia sokoni, nikalamba laki 3 za chap chap nikalala kwa amani
d74252be34d46d9d8b3b09744ef02ba0.jpg
Beautiful mind never fail too
 
96b926f603ace5decc014fa48bf24ed3.jpg
wadau msaada kidogo..

timing yangu ya kuingia kwenye trade inanitatiza..yaani kila wakati lazima nianzie kwa (-20)hata kama charts zinaonyesha kuwa the pair is appreciating..mfano ni hapo kwenye hiyo screenshort ambapo nimeingia kwenye market hapo kwenye alama ya mshale mwekundu na badala ya kupiga blues japo kitu kinapanda najipata nimezama kwenye reds,yani hasara..imekuwa ni mara kadhaa ambapo timing yangu inaingiana na set ups ila lazima kwanza niingie loss kisha kama itazidi kupanda ndio napata nimeingia kwenye blue(profits)...

naomba msaada tafazalini!
 
96b926f603ace5decc014fa48bf24ed3.jpg
wadau msaada kidogo..

timing yangu ya kuingia kwenye trade inanitatiza..yaani kila wakati lazima nianzie kwa (-20)hata kama charts zinaonyesha kuwa the pair is appreciating..mfano ni hapo kwenye hiyo screenshort ambapo nimeingia kwenye market hapo kwenye alama ya mshale mwekundu na badala ya kupiga blues japo kitu kinapanda najipata nimezama kwenye reds,yani hasara..imekuwa ni mara kadhaa ambapo timing yangu inaingiana na set ups ila lazima kwanza niingie loss kisha kama itazidi kupanda ndio napata nimeingia kwenye blue(profits)...

naomba msaada tafazalini!
jaribu platform hii
expertoption.com
 
jaribu platform hii
expertoption.com
mkuu kama kila wakati nitazipoteapotea challenges hizi naona sitapata maujuzi...maana nilianza na fxcm,kisha nikaingia go forex...sasa nataka nikomae hapa mt4 ndio niweze kupata maujanja ya kutosha..wazo lako liko vizuri ila kwa muda huu sitaki kuhamahama..
 
96b926f603ace5decc014fa48bf24ed3.jpg
wadau msaada kidogo..

timing yangu ya kuingia kwenye trade inanitatiza..yaani kila wakati lazima nianzie kwa (-20)hata kama charts zinaonyesha kuwa the pair is appreciating..mfano ni hapo kwenye hiyo screenshort ambapo nimeingia kwenye market hapo kwenye alama ya mshale mwekundu na badala ya kupiga blues japo kitu kinapanda najipata nimezama kwenye reds,yani hasara..imekuwa ni mara kadhaa ambapo timing yangu inaingiana na set ups ila lazima kwanza niingie loss kisha kama itazidi kupanda ndio napata nimeingia kwenye blue(profits)...

naomba msaada tafazalini!
Hili tatizo limekua likinipata hata mm pia mpaka nikaanza kucheza na average indicator
 
96b926f603ace5decc014fa48bf24ed3.jpg
wadau msaada kidogo..

timing yangu ya kuingia kwenye trade inanitatiza..yaani kila wakati lazima nianzie kwa (-20)hata kama charts zinaonyesha kuwa the pair is appreciating..mfano ni hapo kwenye hiyo screenshort ambapo nimeingia kwenye market hapo kwenye alama ya mshale mwekundu na badala ya kupiga blues japo kitu kinapanda najipata nimezama kwenye reds,yani hasara..imekuwa ni mara kadhaa ambapo timing yangu inaingiana na set ups ila lazima kwanza niingie loss kisha kama itazidi kupanda ndio napata nimeingia kwenye blue(profits)...

naomba msaada tafazalini!
Kuna sababu mbili. Moja ni broker wako ana spreads kubwa (hata kama ni ndogo lazima uanze na negative).Broker anachukua chake kwanza regardless una long au una short. Sababu ya pili ni aina ya pair unayo-trade. Brokers wana spreads za Majors na Minor pairs relatively low ukilinganisha na exotic pairs.

So kwa sababu ya kwanza hapo ndio maana mkuu ONTARIO yuko sensitive na brokers
 
Kuna sababu mbili. Moja ni broker wako ana spreads kubwa (hata kama ni ndogo lazima uanze na negative).Broker anachukua chake kwanza regardless una long au una short. Sababu ya pili ni aina ya pair unayo-trade. Brokers wana spreads za Majors na Minor pairs relatively low ukilinganisha na exotic pairs.

So kwa sababu ya kwanza hapo ndio maana mkuu ONTARIO yuko sensitive na brokers
naona sababu 1 ndiyo inahusika hapa..shukran sana mkuu
 
Kingekuwepo ningeshakipata siku nyingi boss - coz hua napenda soft copy hata nikiwa sehemu gani naweza chomoa simu kisha najikumbushia. Nina vitabu zaidi ya 600 kuhusu trading, forex, futures, commodities, cyptocurrencies, indices, wall street adventures - market wizards, financial economics, Hedgehogs, The bank n.k. lkn hiki sijakipata soft yake ht Amazon, acha nikirudi jioni nitakwambia jina lake, lkn ni km "mastering technical analysis for smart traders"

Mkuu ONTARIO Salamu tena. Tangu kwenye ule uzi wetu wa Matrekta nakufuatilia sana na hii issue ya Forex naiendeleza japo sipendi kusumbua huu uzi. Does that book of yours resemble this one here??

upload_2017-6-13_22-28-43.png


Kama ndio chenyewe nipe go ahead nikipandishe watu wapakue mkuu. Hiki kina page kama 319 hivi.
Tuko pamoja
 
96b926f603ace5decc014fa48bf24ed3.jpg
wadau msaada kidogo..

timing yangu ya kuingia kwenye trade inanitatiza..yaani kila wakati lazima nianzie kwa (-20)hata kama charts zinaonyesha kuwa the pair is appreciating..mfano ni hapo kwenye hiyo screenshort ambapo nimeingia kwenye market hapo kwenye alama ya mshale mwekundu na badala ya kupiga blues japo kitu kinapanda najipata nimezama kwenye reds,yani hasara..imekuwa ni mara kadhaa ambapo timing yangu inaingiana na set ups ila lazima kwanza niingie loss kisha kama itazidi kupanda ndio napata nimeingia kwenye blue(profits)...

naomba msaada tafazalini!

Hapo bila kuchelewa, jibu ni spread. Negative balance unayoiona inatokana na spread.
 
kuna changes zozote ulizozipata baada ya kutumia average indicators?
Hapana ni kuweza tu kutambua market direction.

naajifunza scalping kwa ajili ya short term trading, Labda hii inaweza kuwa na usaidizi.

Ila inawezekana kuna mahali pana tabu kidogo.
 
Mkuu ONTARIO Salamu tena. Tangu kwenye ule uzi wetu wa Matrekta nakufuatilia sana na hii issue ya Forex naiendeleza japo sipendi kusumbua huu uzi. Does that book of yours resemble this one here??

View attachment 523476

Kama ndio chenyewe nipe go ahead nikipandishe watu wapakue mkuu. Hiki kina page kama 319 hivi.
Tuko pamoja
Habari mkuu, hata kama akisema sio chenyewe, kiweke hapa tuendelee kusoma arifu!
 
Mkuu Bavaria account yangu ya Tshs naweza itumia kwa ku-deposit au ku-withdraw ela kutoka kwa broker?

Au lazima niwe na account ya dola au euro?

Je apart from FNB ni bank gani wako vizuri kwenye forex?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom