Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kifungulie kwenye computer yako halafu ondoa password protection ndio ukitume Tena [emoji848]
Naona kinahitaji permission password ili niweze kubadilisha from password security to No security, ambayo mm sina.
Kwakuwa wengine wameweza pata jaribu tena uone kama itawezekana.
 
Shukrani sana wakuu sisi wengine tunakamua tu vitabu na kupitia mawazo yenu, Bavaria Viking, Ontario mnanipa inspiration ya hali ya juu sana nikiona mnavyotoa maujuzi yenu humu naamini nami one day ntakua nawapa lesson wadau wengine. Mbarikiwe sana
 
Nimevutiwa sana na Hii kitu lakini alivyomleta huyu nabii umenichanganya zaidi, Kuna thread upo humu ndani ukimjadili Prophet Bushiri na namna anavyodanganya watu. Japo kweli huyu Bwana ni Tajiri sana, Ikiona Binadamu anamiliki Ndege yake Binafsi ujue kweli ni tajiri
 
A MILLION DOLLAR BOOK BY astroFX RECOMMENDED BY Pro Fx trader ONTARIO.

Wadau niwapendao sana ninafuraha sana kitabu nimekisakanyua mtandaoni mpaka nimekipata bureeee kabisa tena soft copy.

Tangu saa moja hv sikuwa online nimerudi home saa sita hv usiku ikabidi nipitie uzi pendwa FOREX nikasoma tangu nilipoishia awali na kukuta kaka ONTARIO ameachia jina, cover page na table of content ikabidi nisakanye internet. hv saa 7 usiku huu ndo kitu kinatick hichoo. Nimeona nisifaidi peke yangu niwapandishie hapa jukwaani ili sote tufaidike.

Yaani natamani nisilale nilianzishe na kitabu hiki pendwa sana lakini akili imechoka nitaanza nikiamka mdogo mdogo nikiwa job.

Kitabu hiki kinafunguka kwa password

Password: forexwinners.net


WE ARE PROUD OF YOU ONTARIO.
Good job mkuu. Appreciate
 
Shukrani kwa mdau alietuwekea hapa hiki kitabu.

Shukrani kwa ontario
  • Nimeondoa password iliyokuwepo
  • Download attachment au tumia G.DRIVE link:Click Hapa

Naona kinahitaji permission password ili niweze kubadilisha from password security to No security, ambayo mm sina.
Kwakuwa wengine wameweza pata jaribu tena uone kama itawezekana.
Mimi bado,now kinasema error the document had 0 kb
Kina password soma post yangu vizuri bila password hakifunguki
mbona kinaitisha password?..
Hakifunguki hata ukiweka password
 

Attachments

Nacheka sana. Ni furaha kabisa nikipita humu naona discussions zinaendelea. Msione nimekaa kimya, hua nasoma kila post tangia post ya 1 hadi hii ya 3213. Nikiangalia comment kama hii naona mwanga, nilivyokuwa infant trader nilikua nina akili kama zako boss. Yani ulikua ukifungua charts zng unakuta kuna indicators kama 10 hivi, nilikua naziamini sana hizi makitu.

With time zikawa zinapungua. Leo hii ukiona analysis yangu hukuti indicator hata 1. That's being professional, hkn Pro anayetumia indicator, utakachokiona kwenye charts zake ni horizontal na inverted lines. Tena saa zingine mtu anaangalia tu hivi charts anajua nini kinaendelea bila ya mstari wwt. Hiyo ndio maana halisi ya Naked forex, yani charts ziwe uchi, zisizibwe zibwe na indicators. Patterns hazijawahi kumpoteza mtu, floor and ceiling ndio mchawi wa price action.

Na hii ndio strategy nataka team nzima itumie... The winning major keys!!

Kuhusu kitabu
Imenichukua muda mwingi kujibu kuhusu kitabu nilichokizungumza awali, sikutaka kujibu kitu ambacho sina uhakika nacho. Siku zote nipo Dar hapa kushughulikia mambo ya hii forex, kitabu nilikua sina access nacho, nilikiacha Bagamoyo.

Kile kitabu bana hata mimi sikukinunua bookshop, nilikichukua kwa mwanangu mmoja SA. Yeye alipewa alipokua ameenda forex course England kwenye darasa la AstroFX, so ukilipa $5000 kama fees unapewa na hicho kitabu as learning guideline.

Kitabu kimeandikwa na Aman Natt na Shaun Lee, kinaitwa learning guideline by AstroFX - mastering technical analysis. Kimetoka mwaka jana July kama sikosei. Kitabu kitamu sana hiki kwa level yenu - bado sijapata mawazo mazuri kutoka kwenu ili kila mtu ambae yupo interested akipate. Mimi mkiniambia nifanye chochote, I'll just do that kwa roho nyeupe, msiposema kitu pia nami nakausha, sina cha kupoteza, mimi nimeshakisoma mara 4.
4f5e467eec51868cec4ee1e6defcc8.jpg
Hapa screen shot ya cover page

cc7f2cd523ba7c9344700e16ccbe70.jpg
Hapa table of contents.


Zaidi ya yote - mambo yanaenda vizuri, mnaeza kudhani Ontario amelala tu kitandani anatrade account yake, but kiukweli nafight sana ili office iwe up and running ASAP. Msione nachukua muda mwingi, I am preparing the best thing for us all. Mambo yataanza soon. Let's keep the faith.

Mkuu hiki kitabu ungekiweka Stationery yoyote tu hata huko huko Bagamoyo nitakifata na kukipiga copy. Au kiweke stationery yoyote ya karibu na ulipo mimi najitolea kukifata na kukipiga copy then atakayetaka copy atakuja maeneo ya jirani na CBE anatoa copy anakamua mzigo.
 
mkuu hicho kitabu, kama ulivyosema mwanzo weka stationery yoyote utakayoona inakupendeza. tena kama kaushauri ongea na uyo mwenye stationery kama anaweza kukufanyia mpango wa commision yoyote japo upate kavocha ka bando kidogo. sisi tutakifata hukohuko mkuu wetu.
 
Binafsi natumia indicators kuangalia kama pair ipo oversold au overbought.
Miaka fulani indicator ilinipeleka chaka hadi leo sitaki tena kuziamini.

Wakuu Bavaria ONTARIO nilikuuliza swali moja lakini naona labda hukuliona; ni hivi kwa live trading kutumia price action unatumia catalyst (Engulfin candles/pin bars/ Head and shoulders/Double top, Double bottom etc) moja kuingia kwenye position au unatumia multiple catalyst kufanya analyisis? Yani mtu unaweza uka master moja ukawa profitable au lazima uwe master wa Nyingi? Na unatumia ipi zaidi kufanya analyisis yako? Na exit zako unapangaje?
 
A MILLION DOLLAR BOOK BY astroFX RECOMMENDED BY Pro Fx trader ONTARIO.

Wadau niwapendao sana ninafuraha sana kitabu nimekisakanyua mtandaoni mpaka nimekipata bureeee kabisa tena soft copy.

Tangu saa moja hv sikuwa online nimerudi home saa sita hv usiku ikabidi nipitie uzi pendwa FOREX nikasoma tangu nilipoishia awali na kukuta kaka ONTARIO ameachia jina, cover page na table of content ikabidi nisakanye internet. hv saa 7 usiku huu ndo kitu kinatick hichoo. Nimeona nisifaidi peke yangu niwapandishie hapa jukwaani ili sote tufaidike.

Yaani natamani nisilale nilianzishe na kitabu hiki pendwa sana lakini akili imechoka nitaanza nikiamka mdogo mdogo nikiwa job.

Kitabu hiki kinafunguka kwa password

Password: forexwinners.net


WE ARE PROUD OF YOU ONTARIO.

Dah, aisee inaonekana ndo chenyewe. Good job son.
 
Mkuu hiki kitabu ungekiweka Stationery yoyote tu hata huko huko Bagamoyo nitakifata na kukipiga copy. Au kiweke stationery yoyote ya karibu na ulipo mimi najitolea kukifata na kukipiga copy then atakayetaka copy atakuja maeneo ya jirani na CBE anatoa copy anakamua mzigo.
Tayari kimewekwa hap juu.
 
hi Guys.i started this trade 10 yrs a go just after i graduated My bachelor degree .SI mchezo is is a long business 1000s of hours learning,and dedication from demo to Live account.I burned my account once.its is along journey dont risk the money you need.Ntashare historia yangu ya ups and down kwenye hii uzi ili tujifunze kwa pamoja.Thanks
 
Shukrani kwa mdau alietuwekea hapa hiki kitabu.

Shukrani kwa ontario
  • Nimeondoa password iliyokuwepo
  • Download attachment au tumia G.DRIVE link:Click Hapa

mkuu ontario embu tuambie kitabu chenyew ndio hichiii tuanze kukaza msuli au vp baba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom