Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Duh! Mkuu hii ilikuwa comment yangu ya page ya ngapi sijui nyuma huko ndio unaileta sasa!! Watu wanaongelea lounge sasa embu tupe maoni yako

By the way nime acknowledge kuwa naelewa kwamba hajibu pm kwahiyo ile ilikuwa ombi maalumu na nilikuwa nasubiri akubali ndio pm itumwe. Anyways, unaonaje wazo la kuwa na lounge? [emoji2]

If my reply resembles yours it could be hitting an iron while it is still hot...anyway it was my free thought when i quited.

First of all you should be a risk taker to be in this business..but from this very beginning you are trying to show us that you are a timid kind of a trader...calm down bro..relax bring your advice to ONTARIO via this platform..let members discuss the issue and if it will be worth doing it we will support it 100% and if not 0%.
Unajua mkuu sidhani kama kuna haja ya kuleta sijui magroup ya whats,insta,Facebook n.k mtajikuja mnaleta magroup ya kimkoa,wilaya,mtaa hadi ya kifamilia hapa..wewe ingia chimbo kama next wiki unatakiww kupresent thesis yako kwa ma professor. Ontario ameshatuambia tumsubirie kila kitu kitakuwa sawa na hakuna mtu ataachwa as long as ni member wa JF...nikuambie kitu mkuu kuna watu wameshaanza kumpiku Ontario humu ndani kana kwamba ndiyo wao walioanzisha hili wazo.
Mimi nionavyo ni vyema tukamsubiri Ontario ili hata kama utapata tatizo aweze kutusaidia kwa urahisi zaidi.

Anyway ni kipindi cha pili sasa ngoja nimcheki CHICHAROTOZ..
 
Tujiulize motivation ya mtu anayemkatisha tamaa Ontario ni nini?
Je, ni Network Marketing tuseme atapata wateja wa Ontario wajiunge chini yake?
Je, ni sifa anataka kama Ontario anazopewa hapa?
Watanzania tuna roho ya kimasikini na ya kishamba sana. Hatupendi tuone mtu anapiga hatua kwenda mbele.
Furaha yetu tuone mwenzetu amefeli ndo furaha inakuja.
Basi, kama huyo mtu anataka sifa, akaanzishe Traders Lounge yake.

Watashindana nae ila hawatamsinda he was,he is and still "an edge above the rest"
 
Trade like a Pro

Mimi nikifanya analysis situmii indicator yoyote (hua naziita takataka), kitu kikishakua laggish kwangu kinakua senseless automatically. So hua natumia price action. Yani nikisema price action namaanisha kuamgalia movement ya currencies nyuma na kuamini kua itabehave ivo hata baadae, ni sawa na kusema - kama mvua ilinyesha mwezi wa 2 na wa 3, basi hata mwakani itanyesha miezi hiyo hiyo.

1. Najaribu kuangalia behaviour ya EURUSD kwa wiki ijayo.

f3ec03cd66b6348a970505daf0fa7794.jpg


1 kwa 1 naona wazi kuna pattern ya head and shoulder - hii ni 1 ya pattern maarufu sana na ya kuaminika pia... kinachotokea ni hiki:-

Kwa chart yetu hii iliyoform ni head and shoulder TOP.
●Hatua ya kwanza ni kuform bega la kushoto. Price itapanda kutoka chini (neckline) hadi price ya juu, kisha itarudi tena kwenye neckline yetu. - kwenye chart yetu ya EURUSD hii imetokea.

●Hatua ya 2 ni kutengeneza kichwa, hapa price itapanda kutoka kweye neckline na kuzidi usawa wa bega la kushoto kisha itarudi tena chini na kugonga neckline yetu. ' kwenye chary yetu ya EUTUSD hii imetokea.

●Hatua ya 3 ni kutengeneza bega la kulia, hapa price itapanda tena na kufika level ya bega la kushoto, the irudi tena kwenye neckline.

●Hatua ya mwisho baada ya kutengeneza bega la kulia, price itashuka chini vby mno hadi kugonda support level ya huko chini.

Sasa kwa analysis yng naona hatua zote 3 za mwanzo zimeform, na forecast yangu ni kuwa price itashuka vibaya sana. Pia tukiangalia historical data, wakati price ilikua kwenye hiyo level automatically ili reverse na kuvunja hiyo support level na kushuka hadi chini kwenye support mpya ya 1.08568. Hiki ndicho nitaexpect kitokee wiki ijayo.

So EURUSD will be strong BEARISH so it's a good indication for a serious sell.
Yaani nimesoma hii ninasikia hadi utamu, so professional analysis.
Level hizi zinafurahisha sana[emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
ONTARIO habari yako kiongozi,kwanza tunakushukuru sana sana kwa nia yako njema ya kuwatamanisha mafanikio vijana wenzako ambao pasi na shaka tu wengi ambao tunatamani kama si kuyapata basi kuyafikia walau kuyaakisi katika ukweli.

Wazo lako la kuanzisha darasa mujarabu kwa biashara ya forex ni la kuungwa mkono na kupongezwa na wote wenye nia ya kujikwamua kupitia huduma hiyo.

Ila pamoja na hayo mkuu ningekushauri kama ingekupendeza pamoja na kuandaa darasa ambalo malengo ni watu 300 wa awali na hii ni kwa bure kama ulivyosema ,na kwa kuwa wahitaji wa kuhudhuria darsa hilo kwa makisio yanaonyesha kuwa huenda wakawa ni wengi zaidi,napendekeza uongeze ubunifu wa kutoa darasa hilo pia kupitia online video(youtube) ili kusudu wale /sisi ambao tuko mbali na dar,au ambaye amejiunga na jamii forum siku ambayo tayari darasa hilo limepita (japo litakuwa endelevu) aweze kunufaika kwa kutazama darasa lote hilo kupitia youtube channel yako then kwa suala la usimamaizi na mentorship akaja ofisini kwenu akiwa walau anamwangaza wa kujua abc za forex trade.

Hii utakuwa umesaidia maelfu ya vijana wengi a afrika mashariki wanaoelewa lugha ya kiswahili kuifahamu forex lakini pia itakufanya uwe karibu zaidi na watu kwa kuwa naamini video hizo zitakuwa na mfululizo maalumu.

natumaini utakuwa umelielewa lengo langu na kama itakupendeza na kuona inafaa kulizingatia liweke kwenye hansad zako kwa ajili ya mazingatio ili kuona ni kwa namna gani lengo lako jema linafanikiwa,nitafurahi kwa mrejesho kutoka kwako.
 
If my reply resembles yours it could be hitting an iron while it is still hot...anyway it was my free thought when i quited.

First of all you should be a risk taker to be in this business..but from this very beginning you are trying to show us that you are a timid kind of a trader...calm down bro..relax bring your advice to ONTARIO via this platform..let members discuss the issue and if it will be worth doing it we will support it 100% and if not 0%.
Unajua mkuu sidhani kama kuna haja ya kuleta sijui magroup ya whats,insta,Facebook n.k mtajikuja mnaleta magroup ya kimkoa,wilaya,mtaa hadi ya kifamilia hapa..wewe ingia chimbo kama next wiki unatakiww kupresent thesis yako kwa ma professor. Ontario ameshatuambia tumsubirie kila kitu kitakuwa sawa na hakuna mtu ataachwa as long as ni member wa JF...nikuambie kitu mkuu kuna watu wameshaanza kumpiku Ontario humu ndani kana kwamba ndiyo wao walioanzisha hili wazo.
Mimi nionavyo ni vyema tukamsubiri Ontario ili hata kama utapata tatizo aweze kutusaidia kwa urahisi zaidi.

Anyway ni kipindi cha pili sasa ngoja nimcheki CHICHAROTOZ..

Hahahaaa sio mbaya lkn watu wakimuongezea Ontario mawazo ya kuboresha wazo wakati tunasubiri mrejesho wake. Siunaona hata yeye ameukubali sana ushauri.

Match njema mkuu
 
Trade like a Pro

Najaribu pia kuangalia pair ya GBPJPY hapa nitatupia sakafu na paa, wenyewe wanaita floor and ceiling ama support and resistance.
3c4997e41214250ceb283a8e46739868.jpg


Nikichora hizo zones zangu, automatically zinanirudisha hadi Feb 2013 wakati price ilikua ktk hiyo zones. Price kwanza ikagusa paa, baadae ikaanza kushuka chini hadi ikagonga sakafu kisha ikapanda kwa mwendo wa kumsukuma mlevi.

Oct 2016 pia price ikarudi kwenye hiyo zone tena, ikatii support na resistance yangu, ikagonga paa, then ikashuka chini kwenye sakafu kisha ikapanda tena hadi kwenye paa. Na sasa imeshuka kwenye sakafu yangu... ninachokiona ni piga uwa galagaza lazima price ipande tena juu.

So hapa bila shaka GBPJPY itakua bullish so I expect to buy.

Mambo kama haya ndio tutahadithiana darasani wakuu.

Enjoy the week ahead beautiful people
Duh, so beautiful to see
Darasa litakua safi sana. Full shangwe
 
Hahahaaa sio mbaya lkn watu wakimuongezea Ontario mawazo ya kuboresha wazo wakati tunasubiri mrejesho wake. Siunaona hata yeye ameukubali sana ushauri.

Match njema mkuu

Thanx...morenooooo gooooool
 
Fulltime traders utakuwa unapiga hela hadi unaumwa..
Utakuwa unawaza jinsi gani ya kutumia..
Ukiunguza account wenzako watakukopesha 1000$ za kurudi kwenye business.
Hapo nje mmepaki BMW za kutosha..
Weekends mtakuwa mnawaza wapi mkapumzike.
Au 10% ya hela mtakayotengeneza ijumaa mnawapelekea yatima na wasiojiweza. Au mnatafuta siku mnaenda kula na watoto yatima sehemu au kwenda nyumba za kulea wazee kuwapa misaada.
Mnarudisha kiasi fulani cha fedha yenu kwenye jamii.

Kwahiyo Lounge ni platform nzuri sana..
Enzi zetu tunaanza forex tulikuwa tunajificha chumbani, tunafanya analysis wenyewe na loss tukipata hatujui tunapataje.
It was a true try and error method.
Ila mkiwa kwenye Lounge ukipata loss wenzako watakuelekeza wapi unapata loss.
Hahaa wakuu, very interesting

A fantancy life becoming real and so livable. Well nimeshaanza countdown tangu kitabu changu cha kwanza kusoma.

Now I hardly remember passwords zangu kwenye accounts za mikeka, nguvu zote zimewekwa huku. Let's see where will this take us to!
 
Fulltime traders utakuwa unapiga hela hadi unaumwa..
Utakuwa unawaza jinsi gani ya kutumia..
Ukiunguza account wenzako watakukopesha 1000$ za kurudi kwenye business.
Hapo nje mmepaki BMW za kutosha..
Weekends mtakuwa mnawaza wapi mkapumzike.
Au 10% ya hela mtakayotengeneza ijumaa mnawapelekea yatima na wasiojiweza. Au mnatafuta siku mnaenda kula na watoto yatima sehemu au kwenda nyumba za kulea wazee kuwapa misaada.
Mnarudisha kiasi fulani cha fedha yenu kwenye jamii.

Kwahiyo Lounge ni platform nzuri sana..
Enzi zetu tunaanza forex tulikuwa tunajificha chumbani, tunafanya analysis wenyewe na loss tukipata hatujui tunapataje.
It was a true try and error method.
Ila mkiwa kwenye Lounge ukipata loss wenzako watakuelekeza wapi unapata loss.
We Bavaria acha kunirusha mkuu
Unavyosimulia naiona picha ya kutimia ndoto zangu
Nime hustle sana with no success yet
Sasa naona mwanga kwenye maisha yangu
Ntakomaa na hii kitu haijalishi ni mda gan mpaka niiweze

#i chose Forex to be my career
Since 26may2017 hii post ilivyowekwa
 
Nimekutan na 'Islamic forex brokers' hivyo mwenye idea atupe tuelewe! Kwan Kuna idea za baadhi ya watu wanasema biashara hii ni haraam!!
 
Trade like a Pro

Mimi nikifanya analysis situmii indicator yoyote (hua naziita takataka), kitu kikishakua laggish kwangu kinakua senseless automatically. So hua natumia price action. Yani nikisema price action namaanisha kuamgalia movement ya currencies nyuma na kuamini kua itabehave ivo hata baadae, ni sawa na kusema - kama mvua ilinyesha mwezi wa 2 na wa 3, basi hata mwakani itanyesha miezi hiyo hiyo.

1. Najaribu kuangalia behaviour ya EURUSD kwa wiki ijayo.

f3ec03cd66b6348a970505daf0fa7794.jpg


1 kwa 1 naona wazi kuna pattern ya head and shoulder - hii ni 1 ya pattern maarufu sana na ya kuaminika pia... kinachotokea ni hiki:-

Kwa chart yetu hii iliyoform ni head and shoulder TOP.
●Hatua ya kwanza ni kuform bega la kushoto. Price itapanda kutoka chini (neckline) hadi price ya juu, kisha itarudi tena kwenye neckline yetu. - kwenye chart yetu ya EURUSD hii imetokea.

●Hatua ya 2 ni kutengeneza kichwa, hapa price itapanda kutoka kweye neckline na kuzidi usawa wa bega la kushoto kisha itarudi tena chini na kugonga neckline yetu. ' kwenye chary yetu ya EUTUSD hii imetokea.

●Hatua ya 3 ni kutengeneza bega la kulia, hapa price itapanda tena na kufika level ya bega la kushoto, the irudi tena kwenye neckline.

●Hatua ya mwisho baada ya kutengeneza bega la kulia, price itashuka chini vby mno hadi kugonda support level ya huko chini.

Sasa kwa analysis yng naona hatua zote 3 za mwanzo zimeform, na forecast yangu ni kuwa price itashuka vibaya sana. Pia tukiangalia historical data, wakati price ilikua kwenye hiyo level automatically ili reverse na kuvunja hiyo support level na kushuka hadi chini kwenye support mpya ya 1.08568. Hiki ndicho nitaexpect kitokee wiki ijayo.

So EURUSD will be strong BEARISH so it's a good indication for a serious sell.
Nice one mkuu, tukifikia level hii uzi utakua mtamu zaidi. Hapo umetupa glimpse of your approach to technical analysis. Kwa mfano huo, napenda kujua umetumia time frame gani...na pia kama huwa una cross check na kupata overview ya fundamentals ya pair husika kwanza kabla hujaweka order
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Ontario na wengine

Leo nimeona nidownload hivyo vitabu ambavyo ni recommended
Ila mimi nitaprint kabisa, sio kwenye printa za black n white bali nitapeleka kwa publishing house(Nafahamiana na watu hao) atakipanga vizuri, ataprint na kitatoka kama kitabu halisia kwani atafanya perfect binding na lamination kwa juu
Sababu ya kufanya hivi ni kuwa mimi huwa ni mvivu wa kusoma kwenye softcopy kwani macho huniuma....
Kikiwa tayari nitawaeleza kwani si wote wanaoweza soma kwenye soft copy

Nikimaliza nitawajulisha wote au nitawasiliana na Ontario afu yeye atawajulisha nyinyi

Ila hili nitafanya kwa ajili yangu na nyinyi ili ikitokea mtu anataka basi vikiwa tayari tutajulishana
Hiyo itakua safi sana mkuu fanya hivyo ase
 
We Bavaria acha kunirusha mkuu
Unavyosimulia naiona picha ya kutimia ndoto zangu
Nime hustle sana with no success yet
Sasa naona mwanga kwenye maisha yangu
Ntakomaa na hii kitu haijalishi ni mda gan mpaka niiweze

#i chose Forex to be my career
Since 26may2017 hii post ilivyowekwa

Ufanye kwa vitendo, usije ukaishia njiani ukaanza kulaani kila mtu.
 
Trade like a Pro

Mimi nikifanya analysis situmii indicator yoyote (hua naziita takataka), kitu kikishakua laggish kwangu kinakua senseless automatically. So hua natumia price action. Yani nikisema price action namaanisha kuamgalia movement ya currencies nyuma na kuamini kua itabehave ivo hata baadae, ni sawa na kusema - kama mvua ilinyesha mwezi wa 2 na wa 3, basi hata mwakani itanyesha miezi hiyo hiyo.

1. Najaribu kuangalia behaviour ya EURUSD kwa wiki ijayo.

f3ec03cd66b6348a970505daf0fa7794.jpg


1 kwa 1 naona wazi kuna pattern ya head and shoulder - hii ni 1 ya pattern maarufu sana na ya kuaminika pia... kinachotokea ni hiki:-

Kwa chart yetu hii iliyoform ni head and shoulder TOP.
●Hatua ya kwanza ni kuform bega la kushoto. Price itapanda kutoka chini (neckline) hadi price ya juu, kisha itarudi tena kwenye neckline yetu. - kwenye chart yetu ya EURUSD hii imetokea.

●Hatua ya 2 ni kutengeneza kichwa, hapa price itapanda kutoka kweye neckline na kuzidi usawa wa bega la kushoto kisha itarudi tena chini na kugonga neckline yetu. ' kwenye chary yetu ya EUTUSD hii imetokea.

●Hatua ya 3 ni kutengeneza bega la kulia, hapa price itapanda tena na kufika level ya bega la kushoto, the irudi tena kwenye neckline.

●Hatua ya mwisho baada ya kutengeneza bega la kulia, price itashuka chini vby mno hadi kugonda support level ya huko chini.

Sasa kwa analysis yng naona hatua zote 3 za mwanzo zimeform, na forecast yangu ni kuwa price itashuka vibaya sana. Pia tukiangalia historical data, wakati price ilikua kwenye hiyo level automatically ili reverse na kuvunja hiyo support level na kushuka hadi chini kwenye support mpya ya 1.08568. Hiki ndicho nitaexpect kitokee wiki ijayo.

So EURUSD will be strong BEARISH so it's a good indication for a serious sell.

I am back mkuu...

EURUSD.PNG


EURUSD has a STRONG BEARISH pattern. But,

It can break the resistance line at the current 23% Fib retrenchment level mpaka 61% ambapo kuna kama pips 256 hivi.

au Itapanda juu kidogo kama pips 198 then itashuka chini kwa nguvu sana hadi fib level ya 61% ambapo itakuwa kama pips 463..

Your trade setup itakuwa either short time bullish and long bearish au long time bearish endapo itabreak..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom