Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu mbona tunaibiwa Na wazungu hapa madini hata sijaona umepiga kelele humu jukwaani umemwona Ontario tu... Kingekuwa hiki kitu forex hakipo sawa kwa hyo hao broker WA nje we ndio unawaamini haaibi sio watu wangekuwa Na mawazo yako alibaba asingefika alipofika.
Umenipa raha sana
 
My story so far (Part 2!)

Baada ya kuunguza account mara mbili huu ndio mrejesho wangu...

Awali ya yote, niseme asante kwa wote mlionitia moyo kwa yaliyonitokea!! Nilipounguza account nilileta uzi hapa kushare nanyi yaliyonikuta(post namba 3357) pitia hii link...
FOREX: Biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo hakuna benki itataka uijue!

Mara ya kwanza niliunguza kwa uzembe wangu sikujifunza nikafungua ingine nika trade bado nikachezea za kichwa!! mara ya pili ndio akili ikastuck na kukaa sawa nikaona isiwe shida nikae chini niandike makosa yangu yanayofanya kila siku naunguza account!!!

Niliyaandika na kufanyia kazi moja baada ya lingine!!! Na nna mshukuru Mungu baada ya kuunguza account, nilipokuja kupost mrejesho humu nikakutana na hiki kitabu cha hawa jamaa wanajiita astrofx!

Hili ndio somo nililojifunza...kutoka astrofx book!!

View attachment 529798

Hapa niliona mengi na mengi nilijifunza kwenye kitabu cha astro fx ambacho kipo humu!! makosa yangu ilikua ni kutumia leverage kubwa(500:1) na ku open positions nyingi zenye volume kubwa na zinazorun in loss kitu ambacho kilipelekea Margin, free margin, na margin level zote kushuka na mwisho wa siku nikawa nime tia moto account, asikwambie mtu...iliniuma balaa!!!

Sasa baada ya kugundua makosa yangu nikaanza tafakari wapi nitapata pesa baada ya kuunguza account! kumbuka mda huo nimshachezea za kichwa na pesa sina!! Baada ya kuwaza mda mrefu nikakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza chuo nilinunuaga hisa za benk flani, basi bila hiyana nikafunua kabati kutafuta cheti changu cha hisa, nikaziuza!!

Baada ya kuuza nikatenga dola 100 kwa ajili ya ku-trade!!

This time nimekua makini kwenye positon sizes(nyingi zinachezea 0.01 mpaka 0.03) na leverage(1:100)!!

Sasa kwa siku moja i mean masaa 24, nimeweza kupata faida hiyo apoo kama unavoiona kwenye picha, ina weza ikawa sio kubwa ila am still grateful guys!!!

View attachment 529801

So kwa masaa 24 nimeweza kupata dola 26.02! ambayo ni sawa na 26.02*2250tsh = 58,545 Tsh!! hii ni ndani ya masaa 24!!

Lengo langu la kwanza lilikua kupata walau dola 15 per day nashukuru Mungu nimevuka lengo!!

Pia kama unafwatilia kuna habari ilitokea jana mida saa sita mpaka saa tisa huko Canada, hii ilipelekea dola ya canada kushuka ghafla, hahaha hapa paliniwezesha kupiga faida kwa kweli!!

Ushauri!!

Kuna huyu chalii wa sauzi anaitwa shezi kama sijakosea jina, katika moja ya video zake anadai kwamba "Don't wait, start, make mistakes and learn, dont wait to be perfect as you will never start if u want to be perfect" ... "most of people believe you gotta be perfect before you start, and if that is you're goal then you will never start" hayo ni maneno yake...

Nikiwa chuo mwaka wa kwanza tu nakumbuka tulipelekwa kwenda kufanya field practicals, kumbuka by that time hatukua mainjinia kamili lakini tulipewa mitambo kuiendesha na kupewa majukumu ya mainjinia bila kujali kwamba tulikua mwaka wa kwanza! My point is, practical ni muhimu, na kama alivyosema shezi dont wait to be perfect ndio uanze!! otherwise hata chuoni tusingepelekwa field kupewa majukumu ya wahandisi wakati sisi tulikuwa mwaka wa kwanza na hatukuhitimu mafunzo ya uhandisi!!

So to all those who we started together, take courage and start doing something, start small and make them mistakes!! dont wait to be perfect ndio uanze!! life is full of risks so even of you won't start then that's another risk!!!

Guys this thing is real! you can make loss or profits within very short period of time! but there's no way you can make it kama huwezi controll hisia zako (psychology) hasa unapopata loss, kusoma/kujifunza ni muhimu na haikwepeki, kufwatilia matukio yanayotokea huko majuu ni muhimu pia!!

Bottomline, In any business, Loss haikwepeki! kuna saa utapata faida pia kunasaa utachoma account, dont give up that's the essence of business homie!! Na utapounguza account, usijilaumu wala kuumia maana japo umepoteza pesa ila umepata experience!!! Please do not invest money which you're not willing to loose!!!

Kama ilivyo mbegu iliyo jangwani ikingoja mvua inyeshe ili iote, nasi basi tusikate tamaa katika kuomba Mungu na kufanya kazi, ili tuendelee kupambana na huyu adui anayejiita UMASKINI!!

Anyways, its weekend, na leo hamna market, acha niendelee kuweka mikakati na kujifunza kwa ajili ya soko jipya!!

One love, One God, One life...tuko pamoja wakuu!!

Wako katika kujifunza,

Lodrick Thomas (Eng.)
Nimekupenda buree... Bure kabisaaaa
Asante kwa ushauri na kutupa moyo tunaoogopa kuanza kutrade live
 
My story so far (Part 2!)

Baada ya kuunguza account mara mbili huu ndio mrejesho wangu...

Awali ya yote, niseme asante kwa wote mlionitia moyo kwa yaliyonitokea!! Nilipounguza account nilileta uzi hapa kushare nanyi yaliyonikuta(post namba 3357) pitia hii link...
FOREX: Biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo hakuna benki itataka uijue!

Mara ya kwanza niliunguza kwa uzembe wangu sikujifunza nikafungua ingine nika trade bado nikachezea za kichwa!! mara ya pili ndio akili ikastuck na kukaa sawa nikaona isiwe shida nikae chini niandike makosa yangu yanayofanya kila siku naunguza account!!!

Niliyaandika na kufanyia kazi moja baada ya lingine!!! Na nna mshukuru Mungu baada ya kuunguza account, nilipokuja kupost mrejesho humu nikakutana na hiki kitabu cha hawa jamaa wanajiita astrofx!

Hili ndio somo nililojifunza...kutoka astrofx book!!

View attachment 529798

Hapa niliona mengi na mengi nilijifunza kwenye kitabu cha astro fx ambacho kipo humu!! makosa yangu ilikua ni kutumia leverage kubwa(500:1) na ku open positions nyingi zenye volume kubwa na zinazorun in loss kitu ambacho kilipelekea Margin, free margin, na margin level zote kushuka na mwisho wa siku nikawa nime tia moto account, asikwambie mtu...iliniuma balaa!!!

Sasa baada ya kugundua makosa yangu nikaanza tafakari wapi nitapata pesa baada ya kuunguza account! kumbuka mda huo nimshachezea za kichwa na pesa sina!! Baada ya kuwaza mda mrefu nikakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza chuo nilinunuaga hisa za benk flani, basi bila hiyana nikafunua kabati kutafuta cheti changu cha hisa, nikaziuza!!

Baada ya kuuza nikatenga dola 100 kwa ajili ya ku-trade!!

This time nimekua makini kwenye positon sizes(nyingi zinachezea 0.01 mpaka 0.03) na leverage(1:100)!!

Sasa kwa siku moja i mean masaa 24, nimeweza kupata faida hiyo apoo kama unavoiona kwenye picha, ina weza ikawa sio kubwa ila am still grateful guys!!!

View attachment 529801

So kwa masaa 24 nimeweza kupata dola 26.02! ambayo ni sawa na 26.02*2250tsh = 58,545 Tsh!! hii ni ndani ya masaa 24!!

Lengo langu la kwanza lilikua kupata walau dola 15 per day nashukuru Mungu nimevuka lengo!!

Pia kama unafwatilia kuna habari ilitokea jana mida saa sita mpaka saa tisa huko Canada, hii ilipelekea dola ya canada kushuka ghafla, hahaha hapa paliniwezesha kupiga faida kwa kweli!!

Ushauri!!

Kuna huyu chalii wa sauzi anaitwa shezi kama sijakosea jina, katika moja ya video zake anadai kwamba "Don't wait, start, make mistakes and learn, dont wait to be perfect as you will never start if u want to be perfect" ... "most of people believe you gotta be perfect before you start, and if that is you're goal then you will never start" hayo ni maneno yake...

Nikiwa chuo mwaka wa kwanza tu nakumbuka tulipelekwa kwenda kufanya field practicals, kumbuka by that time hatukua mainjinia kamili lakini tulipewa mitambo kuiendesha na kupewa majukumu ya mainjinia bila kujali kwamba tulikua mwaka wa kwanza! My point is, practical ni muhimu, na kama alivyosema shezi dont wait to be perfect ndio uanze!! otherwise hata chuoni tusingepelekwa field kupewa majukumu ya wahandisi wakati sisi tulikuwa mwaka wa kwanza na hatukuhitimu mafunzo ya uhandisi!!

So to all those who we started together, take courage and start doing something, start small and make them mistakes!! dont wait to be perfect ndio uanze!! life is full of risks so even of you won't start then that's another risk!!!

Guys this thing is real! you can make loss or profits within very short period of time! but there's no way you can make it kama huwezi controll hisia zako (psychology) hasa unapopata loss, kusoma/kujifunza ni muhimu na haikwepeki, kufwatilia matukio yanayotokea huko majuu ni muhimu pia!!

Bottomline, In any business, Loss haikwepeki! kuna saa utapata faida pia kunasaa utachoma account, dont give up that's the essence of business homie!! Na utapounguza account, usijilaumu wala kuumia maana japo umepoteza pesa ila umepata experience!!! Please do not invest money which you're not willing to loose!!!

Kama ilivyo mbegu iliyo jangwani ikingoja mvua inyeshe ili iote, nasi basi tusikate tamaa katika kuomba Mungu na kufanya kazi na kujifunza mapya kila siku, ili tuendelee kupambana na huyu adui anayejiita UMASKINI!!

Anyways, its weekend, na leo hamna market, acha niendelee kuweka mikakati na kujifunza kwa ajili ya soko jipya!!

One love, One God, One life...tuko pamoja wakuu!!

Wako katika kujifunza,

Lodrick Thomas (Eng.)

Boss hizi ndo only positions ulizokuwa umeopen ambazo zimezalisha hiyo USD 25 kama faida..? Mbona naona kama ulikuwa unatembea na mwendo wa scalping na umetembea mwengo wa pip 1 ama mbili.?
 
Nimekupenda buree... Bure kabisaaaa
Asante kwa ushauri na kutupa moyo tunaoogopa kuanza kutrade live
Nashukuru sana, pia lazima tuwashukuru akina ontario kwa huu uzi!!

You should be aware that, there's nothing to fear except fear it self!!

Kama unasoma vitabu atleast unajua basics, so it's much easer to develop on that through demo accounts and if possible live account!!!

Tuko pamoja!!
 
Daaah nazidi kupata morali aisee hebu ngoja nikomae na hiki kitabu kwanza

Ila nilichogundua hiki kitabu kimeweka wazi mambo ya msingi sana yani hakujifichi na katika yote kimetumi lugha nyepesi sana kutoa ufafanuzi

Ukisoma naked forex na hiki basi unapata knowledge ya kutosha unatamani hata uanze Ku trade live ila kwanza tumalize theory

Ushauri mwingine kwa wote ni vizuri kuzipunguza zile namba za pesa kwenye demo angalau hata kufikia $200 ili Uwe unacheza na uhalisia kidogo man katika hali halisi hakuna anaeweza Ku trade na $10000000

Cha mwisho kwa sisi ambao tuna haraka ya mafanikio naomba tumalizr kwanza hiki kitabu cha mwisho alafu demo ifanye kazi ya ziada and then nitaku free to goo
Mkuu hicho kitabu naweza kukipata vip? Kama ni cha kudownload naomba unitumie hio link itakayoniwezesha mimi pia kukipata
 
Boss hizi ndo only positions ulizokuwa umeopen ambazo zimezalisha hiyo USD 25 kama faida..?
Good question mkuu!!!

Kwa kifupi nimeshindwa ku upload zote maana ziko nyingi sana, nadhani zinaweza zidi hata 40 au 50!! so nisingeweza screen shot zote!!
Mbona naona kama ulikuwa unatembea na mwendo wa scalping na umetembea mwengo wa pip 1 ama mbili.?
Yeah, to some points i must be honest, i found that being a day trader/scalper is something suits me the most!! about pips may be moja au mbili au tatu, ila ilikua soon nikiona maximum profit i exit the market na kutafuta another entry point!!!

Tuko pamoja mkuu!!
 
Wewe nawe member wa future broker unampigia chapuo nini? Yaani mume gang ili kuwatumbukiza watu na visenti vyao kwenye kuzimu!
Fursa nini mjombaaa! Ujanja ujanja tu wabongo, ngoja mliwe misingi yenu alafa mtanikumbuka wote humu vipofu. Eti fursa ya Forex TZ? Kuigaiga vitu msivo vijua ili kuibia watu mchana mchana!
nlchokigundia kutoka kwako bwana mberoya n kwamba forex unaijua vzuri sana ila knachokufanya uushambulie huu uzi kwa kasi ivo n kwamba una tatizo moja ambalo linakusumbua ambalo ni chuki, n ukwel ucopingika ya kwamba una chuki na mwanzilishi wa huu uzi
nowdays watu hawaumizi kichwa sana kama unavofikiri ww bdo una mawazo mgando kufikiri kwamba kama ww ulpitia hali ngumu had kufankiwa bac na wengine wateseke kama ww
funguka kjana watu wanapga hela kirahc tuu hata co kwa njia hii ya forex
watu wenye software, haya masocial media nk hawaitaji nguvu kubwa sana
so acha chuki man maisha co magumu na ungekua na kitu cha maana cha kufanya au n mtu wa status fulan ucngekuepo humu unapigizana makelele na ce ulietuita vpofu ungeendelea kupambana na deal zako ila kwa kua una stress na maisha yanakupeleka resi unajikuta huku koz uko idle, pole xana ndgu
 
Good question mkuu!!!

Kwa kifupi nimeshindwa ku upload zote maana ziko nyingi sana, nadhani zinaweza zidi hata 40 au 50!! so nisingeweza screen shot zote!!

Yeah, to some points i must be honest, i found that being a day trader/scalper is something suits me the most!! about pips may be moja au mbili au tatu, ila ilikua soon nikiona maximum profit i exit the market na kutafuta another entry point!!!

Tuko pamoja mkuu!!

Si mchezo! 40-50 trades per day!! All in all hongera sana japo hizo ni trade nyingi sana per day. Ila with time pengine uoga utapungua utaanza kusubiri faida ya pips 50 kwenda juu. Unastahili pongezi lkn
 
Good question mkuu!!!

Kwa kifupi nimeshindwa ku upload zote maana ziko nyingi sana, nadhani zinaweza zidi hata 40 au 50!! so nisingeweza screen shot zote!!

Yeah, to some points i must be honest, i found that being a day trader/scalper is something suits me the most!! about pips may be moja au mbili au tatu, ila ilikua soon nikiona maximum profit i exit the market na kutafuta another entry point!!!

Tuko pamoja mkuu!!

Hahahaaa, Naona umetumia hit and run technic.

Ila Kwa mujibu wa Pros hawashauri hii njia ya scal[ing kwa maana inakufanya unakuwa busy sana na screen kutafuta entry positions, na margin ya error inakuwa kubwa sana sababu ya muda mwingi unaotumia katika screen. Halafu kingine unakuwa unamfaidisha sana broker, Kwa maana i can imagine how much a broker made from you througn spreads with 40 scalping positions you opened.
 
Si mchezo! 40-50 trades per day!! All in all hongera sana japo hizo ni trade nyingi sana per day. Ila with time pengine uoga utapungua utaanza kusubiri faida ya pips 50 kwenda juu. Unastahili pongezi lkn

Huyu jamaa katisha sana, 50 trades per day si mchezo. Inakubidi uwe over concentrated kupata faida.
 
Huu uzi ni kitabu kingine muhimu.asante mnaoshea knowledge.
 
Hahahaaa, Naona umetumia hit and run technic.

Ila Kwa mujibu wa Pros hawashauri hii njia ya scal[ing kwa maana inakufanya unakuwa busy sana na screen kutafuta entry positions, na margin ya error inakuwa kubwa sana sababu ya muda mwingi unaotumia katika screen. Halafu kingine unakuwa unamfaidisha sana broker, Kwa maana i can imagine how much a broker made from you througn spreads with 40 scalping positions you opened.
Naelewa yote hayo mkuu!! The issue is you can not be so certain about the market, this is the fact!! mfano jana dola ya canada ilishuka sana na within a minute ikapanda tena, so ningekaa kungoja uendelee kushuka wenda ningechezea za kichwa tena who knows??

Katika kujifunza nimesoma mengi sana, ila at the end of the day it comes down to "what suits yo the most"!! Nakumbuka kwenye moja ya post zako ulisema ulijifunza kwenye vitabu ni vizuri kutumia stop loss ila ulipoangalia videos za nemeth (kama sijakosea jina) yeye anasema stop loss haitakiwi kuwepo!!! you see??

About broker kupata faida, siwezi pinga maana nao wanafanya business kama mimi so let them make profit as long as i make!!

So mwisho wa siku ni wewe kuangalia nini kinakufaa zaidi kama forex trader!! for me nimeona scalping suits me the most!!
 
Si mchezo! 40-50 trades per day!! All in all hongera sana japo hizo ni trade nyingi sana per day. Ila with time pengine uoga utapungua utaanza kusubiri faida ya pips 50 kwenda juu. Unastahili pongezi lkn
Bado najifunza, with time things gonna be okey!!

Thank you mkuu!!
 
My story so far (Part 2!)

Baada ya kuunguza account mara mbili huu ndio mrejesho wangu...

Awali ya yote, niseme asante kwa wote mlionitia moyo kwa yaliyonitokea!! Nilipounguza account nilileta uzi hapa kushare nanyi yaliyonikuta(post namba 3357) pitia hii link...
FOREX: Biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo hakuna benki itataka uijue!

Mara ya kwanza niliunguza kwa uzembe wangu sikujifunza nikafungua ingine nika trade bado nikachezea za kichwa!! mara ya pili ndio akili ikastuck na kukaa sawa nikaona isiwe shida nikae chini niandike makosa yangu yanayofanya kila siku naunguza account!!!

Niliyaandika na kufanyia kazi moja baada ya lingine!!! Na nna mshukuru Mungu baada ya kuunguza account, nilipokuja kupost mrejesho humu nikakutana na hiki kitabu cha hawa jamaa wanajiita astrofx!

Hili ndio somo nililojifunza...kutoka astrofx book!!

View attachment 529798

Hapa niliona mengi na mengi nilijifunza kwenye kitabu cha astro fx ambacho kipo humu!! makosa yangu ilikua ni kutumia leverage kubwa(500:1) na ku open positions nyingi zenye volume kubwa na zinazorun in loss kitu ambacho kilipelekea Margin, free margin, na margin level zote kushuka na mwisho wa siku nikawa nime tia moto account, asikwambie mtu...iliniuma balaa!!!

Sasa baada ya kugundua makosa yangu nikaanza tafakari wapi nitapata pesa baada ya kuunguza account! kumbuka mda huo nimshachezea za kichwa na pesa sina!! Baada ya kuwaza mda mrefu nikakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza chuo nilinunuaga hisa za benk flani, basi bila hiyana nikafunua kabati kutafuta cheti changu cha hisa, nikaziuza!!

Baada ya kuuza nikatenga dola 100 kwa ajili ya ku-trade!!

This time nimekua makini kwenye positon sizes(nyingi zinachezea 0.01 mpaka 0.03) na leverage(1:100)!!

Sasa kwa siku moja i mean masaa 24, nimeweza kupata faida hiyo apoo kama unavoiona kwenye picha, ina weza ikawa sio kubwa ila am still grateful guys!!!

View attachment 529801

So kwa masaa 24 nimeweza kupata dola 26.02! ambayo ni sawa na 26.02*2250tsh = 58,545 Tsh!! hii ni ndani ya masaa 24!!

Lengo langu la kwanza lilikua kupata walau dola 15 per day nashukuru Mungu nimevuka lengo!!

Pia kama unafwatilia kuna habari ilitokea jana mida saa sita mpaka saa tisa huko Canada, hii ilipelekea dola ya canada kushuka ghafla, hahaha hapa paliniwezesha kupiga faida kwa kweli!!

Ushauri!!

Kuna huyu chalii wa sauzi anaitwa shezi kama sijakosea jina, katika moja ya video zake anadai kwamba "Don't wait, start, make mistakes and learn, dont wait to be perfect as you will never start if u want to be perfect" ... "most of people believe you gotta be perfect before you start, and if that is you're goal then you will never start" hayo ni maneno yake...

Nikiwa chuo mwaka wa kwanza tu nakumbuka tulipelekwa kwenda kufanya field practicals, kumbuka by that time hatukua mainjinia kamili lakini tulipewa mitambo kuiendesha na kupewa majukumu ya mainjinia bila kujali kwamba tulikua mwaka wa kwanza! My point is, practical ni muhimu, na kama alivyosema shezi dont wait to be perfect ndio uanze!! otherwise hata chuoni tusingepelekwa field kupewa majukumu ya wahandisi wakati sisi tulikuwa mwaka wa kwanza na hatukuhitimu mafunzo ya uhandisi!!

So to all those who we started together, take courage and start doing something, start small and make them mistakes!! dont wait to be perfect ndio uanze!! life is full of risks so even of you won't start then that's another risk!!!

Guys this thing is real! you can make loss or profits within very short period of time! but there's no way you can make it kama huwezi controll hisia zako (psychology) hasa unapopata loss, kusoma/kujifunza ni muhimu na haikwepeki, kufwatilia matukio yanayotokea huko majuu ni muhimu pia!!

Bottomline, In any business, Loss haikwepeki na hata ukiangalia kwenye screen shot kuna ka-loss(-0.24)! kuna saa utapata faida pia kunasaa utachoma account, dont give up that's the essence of business homie!! Na utapounguza account, usijilaumu wala kuumia maana japo umepoteza pesa ila umepata experience(Haya maneno ya ONTARIO)!!! Please do not invest money which you're not willing to loose!!!

Kama ilivyo mbegu iliyo jangwani ikingoja mvua inyeshe ili iote, nasi basi tusikate tamaa katika kuomba Mungu na kufanya kazi na kujifunza mapya kila siku, ili tuendelee kupambana na huyu adui anayejiita UMASKINI!!

Anyways, its weekend, na leo hamna market, acha niendelee kuweka mikakati na kujifunza kwa ajili ya soko jipya!!

One love, One God, One life...tuko pamoja wakuu!!

Wako katika kujifunza,

Lodrick Thomas (Eng.)
Mkuu we ni kati ya watu muhimu sana katika hili jukwaa Asante sana kwa kuenddlea kutupa ujasiri.. Ombi langu wakati tunasubiri darasa ebu tupe muongozo wa kufungua live ac.. Ili kwa wale wenye uthubutu tuanze.. Asante
 
Mkuu we ni kati ya watu muhimu sana katika hili jukwaa Asante sana kwa kuenddlea kutupa ujasiri.. Ombi langu wakati tunasubiri darasa ebu tupe muongozo wa kufungua live ac.. Ili kwa wale wenye uthubutu tuanze.. Asante
I am humbled to hear that my friend!!

Infact nilishaanza kuelezea aina ya brokers!!

Ngoja najiandaa kuandaa article itayoelezea hayo mambo, possibly kesho au next week nitaiweka humu!!

Pamoja!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom