Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Hii ni kwa ajili yako mkuu sana Lodrick Thomas pamoja na infant traders wengine.

Naona umeingia live, hongera sana kwa uthubutu uliochukua, so impressing. Lakini nashangaa unafanya makosa ambayo ni very obvious hutakiwa kufanya. As I said earlier, There's a very thin line separating forex and gambling, mstari unaotenganisha FX na betting ni mwembamba sana. Kuna picha (screen shot) ulishare, 1 kwa 1 niseme unachokifanya si financial trading bali ni gambling.

bfbf24ad647c84b3ea5514832e37ef56.jpg
Edited: screen shot ya Lodrick

Kwenye fx, Ukifanya analysis unatoka na conclusion 1 tu; Either to buy or to sell or to stay away from the market... and the most important thing is ni kuanalyse entry point and exit point. Lazima utambue kuwa it takes the same skills and efforts to realise there isn't a trade as it takes to find a trade

Ulichokifanya kwenye hiyo screen shot ni indiscipline, utovu wa nidhamu. Haiwezekani same currency EURUSD ukasell na ukaBuy [emoji23] [emoji23] . Yani ni utovu wa hali ya juu sana in forex. Yani hapo maana yake ni liwalo na liwe - cha kufia nini (kama ulipita jeshi). Hapo ulipaswa ufunge trades za sell na kuacha za buy zirun or vise versa. Na kama haukua na uhakika bora ungelikimbia soko hadi opportunity ije.

FX ni kama biashara zingine boss, kama hakuna fursa basi hakuna haja ya kufanya biashara. Ni jambo la ajabu sana mtu akaenda Rorya vijijini huko kisha akafungua massage parlour, sawa na FX yani hauoni fursa lkn unalazimisha kutrade.

Kuuza na kununua currency pair 1 boss ni kosa litakuja kuunguza a/c yako kama ukiliendekeza. Yani ni jambo la ajabu sana unakuta mtu yupo kwenye Buy ya XAU/USD at the same time yupo kwenye sell ya AUDUSD. Au unakuta mtu anauza Aussie (AUDUSD) na muda huo huo ananunua kiwi (NZDUSD). Yani ni nidhamu ya kiwango cha standard gauge. Au unakuta mtu amebuy Brent oil (USOIL) at the same time yupo ktk buy ya USDCAD.

●●But usiwe na presha ndipo tulipotoka bro... Tutaelezeana mdogo mdogo - lkn ukiwa na haraka haraka, unaeza kujifunza kwa njia ngumu na ndefu sn.

Wiki iliyopita currencies zilikua hazijakaa poa sana, hasa pairs za USD. Kuna yule Kijana wangu mmoja akaingia buy USDCAD alivyonitumia screen shot, nikashtuka sana maana tyr alikua ana loss ya -60 USD. Nikamwambia funga positions zote, kisha nikamwambia nunua mafuta chap chap - Dogo akaingia sokoni akanunua mafuta, ndani ya muda wa km siku 2 akagonga zake $140 tukaifunga wiki kwa amani.

7487ad807e0d79626fd67ae928c87495.jpg
Edited: screen shot ya jamaa'ngu.


==============================

Edited:

Pia kwa lot size unayotumia eeishhh. Itakuchukua muda mfupi sana kutia kiberiti account yako. Kijana wangu alianza $150 (though sikukubaliana naye - hakukua na jinsi) mpk leo account yake ina balance ya 437... lkn anatumia lot za 0.01 mwisho kbs ni 0.02 kama nikimruhusu. Unachokifanya wewe kwa account ya $70 kutumia lot ya 0.23 ni uncalculated risk ama uroho. Boss forex ukiiletea uhoro inakuchambua kama karanga.
Very professional advice. Nimependa sana uchambuzi wako huu kk.

Nami ktk kujifunza kwangu demo niligundua kuwa kama nime buy EUR/USD I don't expect at all nikafungua Sell position ya GBP/USD.

Salute boss
 
Siyp benki zote zenye visa unaweza kuzitumia kupokelea malipo toka nje ya nchi kwa njia ya VISA/Master. Kuna benki nyingine ni vimeo haswa, wakiongozwa na NBC.
Hao jamaa ctak ht kuwasikia,benki bora ni ECO bank,FNB na equity,kwa kigezo cha customer care na uharaka wa kupata kadi yako na masharti nafuu ya kufungua acc.
 
Unajua boss kama umegundua kuna baadhi ya info nimekwepa sana kuzishare - nina sababu zangu. Forex is big boys' game. Unacheza na pesa ambazo sijui umezitoa ktk mazingira gani, sijui hustle uliyotumia. Forex unatengeneza pesa - una download pesa, pia forex unapoteza pesa kama mvuke, in a milli second ushapoteza $1000.

Najua kuna info nikitoa watu vidole vinawawasha, wamesoma chapter 2 za trading on the zone, na kuangalia YouTube wanahisi wamekua gurus tyr. Sasa nikitoa info zote kuna watu wataenda kuchinjwa na soko, kisha mimi nitakuja kutukanwa hapa bila sababu. Kitu ambacho sikitaki in my life. Ndio maana hata walioingia live wakikutana na manyota nyota ya sokoni hawawezi kuja kunilaumu, coz it was on their own risk. Lkn naamini mtu akiwa vzr, akausoma mchezo vzr basi ni ngumh kuchoma account mara 1. Hiyo stage 98% ya nyinyi hamjafika - ndio maana sitaki kuzungumza vitu vyote kuepusha lawama.

Pia nakukumbusha... Books will give u only 40% ya unachotaka kukijua kuhusu forex, the market will give u the remaining 60% ya unachotaka kukijua sasa ukiingia kwa mihemuko utatoka na mihemuko pia. Na pia utafahamu skills nyingi sana sana sana - But what matters most in forex ni the skill of Buying and selling, lkn ili wewe ufanikiwe unahitaji 10% tu ya trading skills hizo 90% ni psychology, narudia psychology.
Mhhh,sawa mkuu nimekupata ila hapo kwe 10% kwa 90% daah pagumu hapo!!
 
Mkuu ONTARIO kwanza nianze kwa kusema asante sana hasa kwa kutumia dakika zako ulizopewa na Mungu siku ya leo ku-spot makosa ambayo wenda yangeendelea kuwa na madhara sio kwangu tu hata kwa member wengine(bila kujali ni mzoefu au lah)!

Kwangu mimi hamna kitu nathamini kama TIME, kama mtu kutumia muda wake ku-add value katika maisha ya wengine!!!

Once again shukran sana mkuu!!

Pili, It is a mistake that I commit several times (I must admit this), na kupitia haya makosa tunayoyafanya leo ndio tunakua bora kesho!! Hii ni kosa ambalo nililifanya likani-cost kipindi flani na mpaka naandika hapa nilika sijui kama ni moja ya makosa!! Boss, watu wali-risk mengi mpaka leo hii tuna Tanzania iliyo huru, naimani hili kosa nilililofanya litakua fundisho sio kwangu tu bali na kwa wengine pia!!

Zaidi ya yote ningeomba maelezo zaidi katika hii paragraph...



-Nimeelewa uliposema nisinunue na kuuza the same currency kwa muda mmoja!

-Mfano, Je ni sahihi kununua EURUSD na kuuza EURGBP at once??

-Je ni sahihi kuuza EURUSD na kuuza EURGBP??

Tuendelee kuwekana sawa mkuu na kukumbushana pale inapobidi!!

Yah yah sawa kabisa. You are very right!!

■unaweza ukanunua EURUSD na ukauza EURGBP. EUR anaeza akawa bullish ukimlinganisha na USD so utanunua. Wakati huo huo GBP akawa so strong kuliko EUR, so EURGBP ikawa bearish so unauza hiyo pair.

■Kitu ambacho mimi nakizungumzia ni correlation kati ya currencies fulani mfano Aussie na Kiwi ni kama dada na kaka wa baba mmoja. Kiwi akiwa na Nguvu 90% Aussie lazima nae awe na nguvu. So kwa wakati mmoja huwezi ukanunua NZDUSD na muda huo huo ukauza AUDUSD. Ni kama unajitekenya na kucheka mwenyewe.

■Pia kuna currency zina collerate sana na commodities. Mfano OIL na CAD - siku zote OIL ikiwa ina nguvu ni asilimia 98% utakuta CAD inapata nguvu pia - CANADA ni 1 of the biggest supplier wa OIL kwa Western countries. So lazima uzingatia huo mchezo. Huwezi ukanunua USDCAD wakati USOIL, UKOIL zipo bullish. Ni mchezo wa kujitekenya. Pia siku zote OIL ikiwa ina nguvu jua ni kilio kwa JPY - JAPAN ni mtuniaji mkubwa sana wa mafuta lkn hana hata kisima ki1, so siku OIL ikianza kua bullish basi JPY inaishiwa nguvu, so unakuta pairs zote za JPY zinakua bearish. Colleration ingine muhimu ni ya XAU (Gold) Vs USD.

■Forex is a continuous process of learning and enjoying the process. Nisikufiche - forex is addictive, ikichanganya inakua kama chakula chako, inakua kama maji yako, inakua kama oxygen. Muda wote unawaza charts, hata ukiona kichwa cha JPM automatically kichwani unaanza kuchora patterns double top ama H & S, Paka akikatiza tu unakumbuka kangaroo tail. Sasa ukifanya withdraw ya kwanza ndio unakua addicted kbs. Weekend kama hivi mimi natamani iishe hata kabla sijatuma hii text, ili week ianze niingie sokoni.
 
Habari yako mkuu ONTARIO

1.Nimesoma cooment yako ya nyuma kwamba ulitrade mafuta, Hapa umenuchanganya sana maana i thought forex inahusisha tu pesa za nchi mbali mbali na wala sio mafuta.

2. Mpaka sasa nimeshindwa kupata vitabu vya forex, Ka vp naomba unipe list nivishushe.

Ni hayo tu ambayo ningeomba unieleweshe
Mafuta na dola vina uhusiano sababu marekani ni consumer mkubwa wa mafuta, dola ipo sensitive kwenye bei ya mafuta na dola ndio baba lao kwenye currency, sio mafuta tu pia gold, na hatifungani (bonds) na stock za makampuni flani zinahusika sababu movement kwenye interest za hatifungani na bei za baadhi ya hisa zinasababisha fedha fulani kushuka au kupanda...kama nipo wrong wadau wanikosoe
 
Weekend bhana, leo nimefurahi sana

Unajua bana mimi chuo nilisoma BSc. Petroleum Chemistry hapo UDSM, basically hii ni sayansi inayohusika na refinery ya gas na mafuta. Yani crude gas and oil tunazibadili kua final usable products kama LPG, CNG, Ammonia, ammonium fertiliser, mambo ya diesel, jet fuel, gasoline nk nk. Hapo chuo tulikua wachache watu kama 21 hivi, so Prof ni rahisi kujua darasa zima.

Sasa tulikua na Prof mmoja, alikua kama mama'etu. Yani kwenye pindi lake alikua anatuPump vby mno na kututamanisha kuhusu hii field yetu, kua kuna pesa vby mno, site kuna marupurupu, incentives, mishahara ya kibabe... Basi kila akiwa anakuja pindi watu wanatamani kumsikiliza yule mama, anafundisha kidogo anaruka kwenye mambo ya site, michongo na madili ya gas na mafuta... yani hapo sisi tunakua tunahamasika vby mno, yani tukampendaga bure yule mama. Akawa kama rafiki yetu, akawa academic advisor wa karibia sisi wote... yani she was more than a friend.

Leo bana kuanzia saa 5 asubuhi nilikua Golden Tulip na mtu wangu wa faida. Tumekaa pale, tumezungumza sana, tukala lunch na kila kitu. Mchana mida ya saa 8.30 akaja huyu Prof wangu wa chuo, nikamuona ila yeye hakuniona. Akawasha PC yake akaagiza kinywaji, akaendelea na shughuli zake, baadae kidogo akaja mwenzie ambae ni km mzungu wakaagiza misosi wakawa wanakula.

Mimi nikamshtua muhudumu, nikamwambia yule mama pale nipo nae, so anipe bill yake. Bill ikaletwa nikailipia... Baadae Prof anataka kulipa ndio anaambiwa tyr bill yao imeshalipwa, kucheki ni mimi... Dah basi tukaanza pale story baada ya story.

Madam ananiuliza vipi bana unafanya kazi wapi?? Nikamwambia bado sijaajiriwa Prof, akashangaa sasa imekuaje unaweza kuja huku na kutumbua pesa. Akawa ananilaumu nimesoma Petroleum bure, bora ningesoma hata education hiyo mambo niwaachie watu wengine - kwamba niliwazibia watu wengine nafasi. Ndio nikamweleza kua kusoma petroleum kumenisaidia kuweza kua na uelewa mpana wa OIL hata sasa naweza kutrade OIL professionally. Nikaanza kumwambia mambo ya Spot Crude oil (USOIL.sp), Spot Brent Oil (UKOIL.sp), July Crude Oil (USOIL), July Brent Oil (UKOIL). Prof akabaki anatumbua macho - yani nimempoteza haelewi kitu.

Prof wangu nikaanza kumkamulia pindi pale - prof akawa anatikisa tu kichwa. Nikamwonesha trading platform yangu, yani ndio nikamchanganya kabisa - alivyoona figures ndio akachanganyikiwa kbs tena zikiwa ktk international currencies - yani 1/3 ya mshahara wake wa mwezi mimi naupata in few trading hours
573a5c51f0f4267caaa9ed62658a7719.jpg
Edited: screen shot nilivyoTrade OIL ijumaa pekee

Yani Prof kawa very inspired, anatamani classes zianze hata leo... kachukua namba zng za simu kanitumia text za kutosha kua nisimsahau. Hahahaaa!!

Umekuwa mwalimu wa mwalimu! Big up!
 
Mafuta na dola vina uhusiano sababu marekani ni consumer mkubwa wa mafuta, dola ipo sensitive kwenye bei ya mafuta na dola ndio baba lao kwenye currency, sio mafuta tu pia gold, na hatifungani (bonds) na stock za makampuni flani zinahusika sababu movement kwenye interest za hatifungani na bei za baadhi ya hisa zinasababisha fedha fulani kushuka au kupanda...kama nipo wrong wadau wanikosoe
Hata mimi nilikua na wasi wasi na hio point. Pitia hizi links..

Canadian Dollar Continues To Drop, But Why?

Why Do Oil Prices and the Canadian Dollar Move Together?
 
Yah yah sawa kabisa. You are very right!!

■unaweza ukanunua EURUSD na ukauza EURGBP. EUR anaeza akawa bullish ukimlinganisha na USD so utanunua. Wakati huo huo GBP akawa so strong kuliko EUR, so EURGBP ikawa bearish so unauza hiyo pair.

■Kitu ambacho mimi nakizungumzia ni correlation kati ya currencies fulani mfano Aussie na Kiwi ni kama dada na kaka wa baba mmoja. Kiwi akiwa na Nguvu 90% Aussie lazima nae awe na nguvu. So kwa wakati mmoja huwezi ukanunua NZDUSD na muda huo huo ukauza AUDUSD. Ni kama unajitekenya na kucheka mwenyewe.

■Pia kuna currency zina collerate sana na commodities. Mfano OIL na CAD - siku zote OIL ikiwa ina nguvu ni asilimia 98% utakuta CAD inapata nguvu pia - CANADA ni 1 of the biggest supplier wa OIL kwa Western countries. So lazima uzingatia huo mchezo. Huwezi ukanunua USDCAD wakati USOIL, UKOIL zipo bullish. Ni mchezo wa kujitekenya. Pia siku zote OIL ikiwa ina nguvu jua ni kilio kwa JPY - JAPAN ni mtuniaji mkubwa sana wa mafuta lkn hana hata kisima ki1, so siku OIL ikianza kua bullish basi JPY inaishiwa nguvu, so unakuta pairs zote za JPY zinakua bearish. Colleration ingine muhimu ni ya XAU (Gold) Vs USD.

■Forex is a continuous process of learning and enjoying the process. Nisikufiche - forex is addictive, ikichanganya inakua kama chakula chako, inakua kama maji yako, inakua kama oxygen. Muda wote unawaza charts, hata ukiona kichwa cha JPM automatically kichwani unaanza kuchora patterns double top ama H & S, Paka akikatiza tu unakumbuka kangaroo tail. Sasa ukifanya withdraw ya kwanza ndio unakua addicted kbs. Weekend kama hivi mimi natamani iishe hata kabla sijatuma hii text, ili week ianze niingie sokoni.
Sasa haya madude tungeyapata wapi nisingekosea!!

Shukrani kwako mkuu!

From now on, nitabuy na kusell (at once) pairs ambazo hazina uhusiano. Pia incase pairs zina uhusiano sinta buy na kusell at once, kama ni ku-sell nita sell tu na kama ni ku-buy nitabuy tu na sio kumix!

Once agin, Thanks alot arifu!!
 
ONTARIO ....Rafiki yangu leo nimekumbuka kitu nimejicheka sanaaa mwanzo nasikia Forex trading nikajua jamaa anafanya biashara ya makufuri ya forex sasa nikajiuliza huyu mzungu ananiambia Forex inalipa sana ananitumia mastatistics yanahusika vipi nikajaribu kafatilia video zake za training ila sikumuelewa.
Baadae nikaona jamaa wengi tu followers wangu wa nje ya nchi wanafanya the same business nikawa hata sielewi japo nikaanja kuitamani sana.
But leo nimekutana na thread yako imenipa mwanga sana wenzetu wanapiga pesa hatari nilijaribu kutaka kujifunza kupitia wao sikufanikiwa ila naamini kupitia wewe ndie utatusaidia hii mentoring ya Forex Trading. Stay blessed
 
Unajua boss kama umegundua kuna baadhi ya info nimekwepa sana kuzishare - nina sababu zangu. Forex is big boys' game. Unacheza na pesa ambazo sijui umezitoa ktk mazingira gani, sijui hustle uliyotumia. Forex unatengeneza pesa - una download pesa, pia forex unapoteza pesa kama mvuke, in a milli second ushapoteza $1000.

Najua kuna info nikitoa watu vidole vinawawasha, wamesoma chapter 2 za trading on the zone, na kuangalia YouTube wanahisi wamekua gurus tyr. Sasa nikitoa info zote kuna watu wataenda kuchinjwa na soko, kisha mimi nitakuja kutukanwa hapa bila sababu. Kitu ambacho sikitaki in my life. Ndio maana hata walioingia live wakikutana na manyota nyota ya sokoni hawawezi kuja kunilaumu, coz it was on their own risk. Lkn naamini mtu akiwa vzr, akausoma mchezo vzr basi ni ngumh kuchoma account mara 1. Hiyo stage 98% ya nyinyi hamjafika - ndio maana sitaki kuzungumza vitu vyote kuepusha lawama.

Pia nakukumbusha... Books will give u only 40% ya unachotaka kukijua kuhusu forex, the market will give u the remaining 60% ya unachotaka kukijua sasa ukiingia kwa mihemuko utatoka na mihemuko pia. Na pia utafahamu skills nyingi sana sana sana - But what matters most in forex ni the skill of Buying and selling, lkn ili wewe ufanikiwe unahitaji 10% tu ya trading skills hizo 90% ni psychology, narudia psychology.
Mkuu Ontario
Naomba nikiri kuwa niliguswa sana na uzi huu kiasi cha kujichimbia mahali kila siku usiku nikisoma posts, vitabu na youtube.
NIMEFUNGUA DEMO NA LIVE
kwa live nilifungua micro account, nimepata ufanisi kiasi cha kuridhisha ktk real account, na kwa demo nilifanya vizuri sana lakini jana ijumaa niliichoma account yote kutoka profit ya $10,879
na hii kuna jambo nililifanya lkn bado natafiti nitaleta mrejesho ktk hili.
Na ninapopitia posts zako kuna mambo ya msingi nimejifunza na ninaamini next week nitakuwa bora zaidi.
Mkuu usikate tamaa tuko pamoja sana, nitaleta ushuhuda wa ufanisi hapa.
Asanteni wote
@lodric Thomas..nawe umekuwa wa msaada kwangu
 
ONTARIO ....Rafiki yangu leo nimekumbuka kitu nimejicheka sanaaa mwanzo nasikia Forex trading nikajua jamaa anafanya biashara ya makufuri ya forex sasa nikajiuliza huyu mzungu ananiambia Forex inalipa sana ananitumia mastatistics yanahusika vipi nikajaribu kafatilia video zake za training ila sikumuelewa.
Baadae nikaona jamaa wengi tu followers wangu wa nje ya nchi wanafanya the same business nikawa hata sielewi japo nikaanja kuitamani sana.
But leo nimekutana na thread yako imenipa mwanga sana wenzetu wanapiga pesa hatari nilijaribu kutaka kujifunza kupitia wao sikufanikiwa ila naamini kupitia wewe ndie utatusaidia hii mentoring ya Forex Trading. Stay blessed
Pole sana mkuu!!

Kuna vitu vingi sana waafrica hasa waafrica wa tanzania (No disrespect) hatuvijui na bahati mbaya wengine wanaona kama usanii flani wakati hata wanachokiona usanii hawakijui kinahusu nini!!

By then ungejifunza mda huu si ungekua unatembea barabarani huku unapiga mruzi kwa mbaaaali bila kupasuliwa kichwa na huyu magu wetu!!!

Anyways, its never too late,hata sisi tunajifunza, karibu uungane nasi. Ukitaka vitabu vipo humu!!!
 
Mkuu Ontario
Naomba nikiri kuwa niliguswa sana na uzi huu kiasi cha kujichimbia mahali kila siku usiku nikisoma posts, vitabu na youtube.
NIMEFUNGUA DEMO NA LIVE
kwa live nilifungua micro account, nimepata ufanisi kiasi cha kuridhisha ktk real account, na kwa demo nilifanya vizuri sana lakini jana ijumaa niliichoma account yote kutoka profit ya $10,879
na hii kuna jambo nililifanya lkn bado natafiti nitaleta mrejesho ktk hili.
Na ninapopitia posts zako kuna mambo ya msingi nimejifunza na ninaamini next week nitakuwa bora zaidi.
Mkuu usikate tamaa tuko pamoja sana, nitaleta ushuhuda wa ufanisi hapa.
Asanteni wote
@lodric Thomas..nawe umekuwa wa msaada kwangu
Nashukuru sana mkuu, pia hongera sana kwa maendeleo yako!!

Tuko pamoja, tujifunze bila kukata tamaa!!

Karibu sana mkuu!
 
Yah yah sawa kabisa. You are very right!!

■unaweza ukanunua EURUSD na ukauza EURGBP. EUR anaeza akawa bullish ukimlinganisha na USD so utanunua. Wakati huo huo GBP akawa so strong kuliko EUR, so EURGBP ikawa bearish so unauza hiyo pair.

■Kitu ambacho mimi nakizungumzia ni correlation kati ya currencies fulani mfano Aussie na Kiwi ni kama dada na kaka wa baba mmoja. Kiwi akiwa na Nguvu 90% Aussie lazima nae awe na nguvu. So kwa wakati mmoja huwezi ukanunua NZDUSD na muda huo huo ukauza AUDUSD. Ni kama unajitekenya na kucheka mwenyewe.

■Pia kuna currency zina collerate sana na commodities. Mfano OIL na CAD - siku zote OIL ikiwa ina nguvu ni asilimia 98% utakuta CAD inapata nguvu pia - CANADA ni 1 of the biggest supplier wa OIL kwa Western countries. So lazima uzingatia huo mchezo. Huwezi ukanunua USDCAD wakati USOIL, UKOIL zipo bullish. Ni mchezo wa kujitekenya. Pia siku zote OIL ikiwa ina nguvu jua ni kilio kwa JPY - JAPAN ni mtuniaji mkubwa sana wa mafuta lkn hana hata kisima ki1, so siku OIL ikianza kua bullish basi JPY inaishiwa nguvu, so unakuta pairs zote za JPY zinakua bearish. Colleration ingine muhimu ni ya XAU (Gold) Vs USD.

■Forex is a continuous process of learning and enjoying the process. Nisikufiche - forex is addictive, ikichanganya inakua kama chakula chako, inakua kama maji yako, inakua kama oxygen. Muda wote unawaza charts, hata ukiona kichwa cha JPM automatically kichwani unaanza kuchora patterns double top ama H & S, Paka akikatiza tu unakumbuka kangaroo tail. Sasa ukifanya withdraw ya kwanza ndio unakua addicted kbs. Weekend kama hivi mimi natamani iishe hata kabla sijatuma hii text, ili week ianze niingie sokoni.

Mkuu leo umeniongezea nondo za ki-professor.
 
Lodrick Thomas kweli kabisa mkuu manake ni tangu mwaka jana.... ANY way ninaomba hii training isinipite Mungu awe upande wangu.
Mkuu nifanyie mpango wa hizo material sijui napataje japo nimeanza kusoma kile kitabu cha Currency Trading For Dummies - 2nd Edition by Brian Dolan.
Pia natamani effectively nianze kujifunza na hizo trial software na nijue ntazipataje
pia kianzio kizuri ni bei gani?
hahahaha nina haraka kama Ontario alivyokuwa kuwa Mike
 
Lodrick Thomas kweli kabisa mkuu manake ni tangu mwaka jana.... ANY way ninaomba hii training isinipite Mungu awe upande wangu.
Mkuu nifanyie mpango wa hizo material sijui napataje japo nimeanza kusoma kile kitabu cha Currency Trading For Dummies - 2nd Edition by Brian Dolan.
Pia natamani effectively nianze kujifunza na hizo trial software na nijue ntazipataje
pia kianzio kizuri ni bei gani?

hahahaha nina haraka kama Ontario alivyokuwa kuwa Mike
Kweli hapo umedhihirisha una haraka mkuu!!

Sizani kama ni muda muhafaka wa kuanza na trial/demo accounts!

Kama una kitabu cha forex for dummies, tafuta cha bible of forex kipo humu na kizuri sana, pia kuna cha stro fx na naked forex!! nadhan Mwl.RCT atatusaidia kukupatia u-download!!

Ukienda vizuri na hivi vitabu wala hutakua na swali kama la kwenye bold!!

Karibu sana mkuu!
 
Asan
Kweli hapo umedhihirisha una haraka mkuu!!

Sizani kama ni muda muhafaka wa kuanza na trial/demo accounts!

Kama una kitabu cha forex for dummies, tafuta cha bible of forex kipo humu na kizuri sana, pia kuna cha stro fx na naked forex!! nadhan Mwl.RCT atatusaidia kukupatia u-download!!

Ukienda vizuri na hivi vitabu wala hutakua na swali kama la kwenye bold!!

Karibu sana mkuu!
Asante sana mkuu ngoja nicheki na Mwl.RCT kupata hivo vitabu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom