Black Idea
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 124
- 148
Hahahahahahaha…! (Vikumbo hivi ni Kama comedy vile)
Baba yangu mzazi aliwahi kuniambia kuwa, "kuna watu hapa mjini wana pesa lakini ni vilaza wakubwa wa kufikiri juu ya nini wazifanyie...!"
Kazi yao kubwa ni kufanya uviziaji wa mawazo ya wasaka tonge na kuyatekeleza ktk ufanisi ambao utasema lile wazo lilikuwa lake… I have seen this for multiple times Na ninaendelea kulishuhudia….!
Mind you guys, rafu kama hizi (ambazo kitaalamu wanaita ushindan wa kibiashara) kokote kule duniani haziwez kukosekana…. Na kulalamika won’t set us free…
Kwa mtazamo wangu, the only way kuepuka rafu, ushindani and the like ni kuishia hatua ya awal kabisa ya kazi za mjasiriamil ambayo ni kubuni wazo….. Nikiwa Na maana unabaki nalo moyoni, haufany utekelezaji wa aina yeyote ule.. Kitu ambacho itakuwa sawa Na bure…!
Na Kama ukifanya utekelezaji kitu ambacho ni muhimu na ni kama ishara ya kujiamini…. Kulalamika katika hatua hii won’t help zaidi ya kupoteza muda wa kufikiri namna ya kukumbana na changamoto hiyo....!
Mimi hili nililiona right from the start kipind ONTARIO ameamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi…. Naamini hata ONTARIO pamoja Na Wakuu wengine walilitambua hili…!
Naamini pia, kwa mtu makini kama ONTARIO, suala hili tayari ameshaliwekea mpango mkakati tokea mwanzoni kabla ya kuliweka wazo hadharani….
Na kwa Wakuu wote, the best way to feel sorry for ONTARIO is by giving him advice on how to face the competition which is currently inevitable na si kwa kuwazonga washindani wake(sijui wanafanya hichi mara kile) na kuishia kulalamika….! Ni Kwa kuja Na mbinu mbadala ya nini kifanyike huku tukiwaenzi wahenga waliosema PENYE WENGI PANA MENGI…!
Mkuu naomba uniwie radhi kama nitakuwa nimekukwaza kukuquote...
Umesomeka vyema sana,
everything is under consideration
nikimaanisha hata MHENGA MKUU (ONTARIO) alipoanzisha huu uzii alijua mambo kama hata yapo,
Alijua JF pia kuna FX traders, kuna waliomfuata WAKAMKOROMEA kwa nini kaleta uzi kama huu, kuna WALIOMPONGEZA pia.
Hapa kwenye huu uzi pia kuna FX TRADERS wakongwe na wamekua wakisaidia naive kama mimi na wengine kuweza kujua nini cha kufanya kabla hawajapata kile MHENGA MKUU alichokua amedhamiria
ONTARIO lengo lake ni kusaidia watu wabadili maisha baada ya kuona kuna posibility kubwa ila sio kana kwamba wote wataelewa na kuifanya FX.
KITU alichosema SOMENI VITABU, FANYENI PRACTICE, ALAFU SOMENI TENA, na akatoa na list ya vitabu vya kusoma, maana hata yeye anasoma sana vitabu vya FX
Source za material pia zipo online na nyingine ndio kama hzo juhudi watu wanafanya ili atleast watu waelewe FX na sidhani kama wana nia ya kumkatizia ONTARIO kwa mbele.
alafu cha mwisho mara zote kuna the best na the first, ONTARIO sio the first in FX ila ni BEST FX TRADER hapa TZ kwa kuwa amedare kuileta hadharani na kusimamia Mpango wake kwa watz kujua FX.
My take to JF FX lets read and dig knowledge.