Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Thanks he we go, naplan tarehe 1 nianze real account, I don't care, lets me starts so that I can learn more
Kila la heri ndugu!! Utaona utofauti sana kwenye kutrade kwa real na demo acc!! Kama ukianza, usisahau kutumia stop-loss, pia hakikisha leverage isiwe kubwa sana na lot size iwe minimum...isiwe kubwa!! Usifungue/usikae na position nyingi at once hasa ambazo ziko kwenye loss!!

Ni vyema pia ukajua stop-out level ya broker wako ni ngapi na ujue pia marginal call level ni ngapi (hivi ni vitu vya muhimu sana kujua kwa usalama wa account yako)!!

Ukipata uzoefu Zaidi utaweza kuzibadilisha hizo parameters (leverage, position size e.t.c)!!

Kila la heri!
 
Kila la heri ndugu!! Utaona utofauti sana kwenye kutrade kwa real na demo acc!! Kama ukianza, usisahau kutumia stop-loss, pia hakikisha leverage isiwe kubwa sana na lot size iwe minimum...isiwe kubwa!! Usifungue/usikae na position nyingi at once hasa ambazo ziko kwenye loss!!

Ni vyema pia ukajua stop-out level ya broker wako ni ngapi na ujue pia marginal call level ni ngapi (hivi ni vitu vya muhimu sana kujua kwa usalama wa account yako)!!

Ukipata uzoefu Zaidi utaweza kuzibadilisha hizo parameters (leverage, position size e.t.c)!!

Kila la heri!
thanks champion
 
Ningependa kumshukuru Mr Ontario kwa kuleta huu uzi humu JF ingawaje alileta tu uzi then hakutaka kujibu sms zetu pm na wala hakuweka njia ya kumpata yeye private lakini yote kwa yote ninamshukuru sana ninakiri bila huu uzi kuletwa humu sijui Forex ningeijulia wapi nimefanya network nyingi sana lakini kama mnavyojua watu wa network mafanikio kwenye network marketing yapo lakini ni ya kusubiria baada ya miaka kadhaa hivyo kwa siku za mwanzoni unajikuta una pretend like millionaire kumbe siri za uchumi wako anaeijua ni mifuko yako tu hivyo kupitia uzi huu wa Mr Ontario umenifumbua macho nikapiga chini kila kampuni niliyokuwapo hapo awali nikaanza kufuatilia hii issue kwa rafiki yangu ambae ni mkenya akaniambia kuwa anaifahamu na hivyo nikamuomba muongozo na akaniahidi kunipiga tafu katika kumanage account yangu ambayo ni real ili kwamba huku najifunza na huku niwe naendelea kugonga pesa hiyo alinipa kama golden chance Mana nilimlaumu kwanini hakuniambia hiki kitu before kumbe anakijua kina faida na kipindi hicho hicho na yeye alikuwa ni downliner kwenye kampuni fulani nikaona kama alikuwa ananichora akaniambia kuwa kipindi tunahangaika na network marketing hizo zingine huku yeye alikuwa anaendelea kujifunza Forex hivyo baada ya makubaliano yetu nikamtumia pesa kwa ajiri ya account management nikaendelea kutafuta ujuzi wa hii kitu mpaka nimekutana tena na waalimu wengine kutoka South Africa kijana niliyebahatika kukutana nae ni msouth lakini anaweza kuzungumza na kiswahili kama unavyojua south Africa kuna vyuo kibao vya Forex unachagua tu uende ukajifunzie wapi hivyo nikazungumza nae anaitwa Mr Brotha Ayo hivyo tupo kwenye mipango ya kuwashusha hawa jamaa kutoka South Africa waje bongo kufundisha hiki kitu unaweza kutembelea website yao hii

FOREX TRADING AS AN INVESTMENT OPTION| WORKSHOP|
Utasoma maelezo yote na unaweza kulipia kabisa ada yako hapo kwenye website yao kwa sababu kila kitu kimeelezwa humo kwenye hiyo link tena kwa lugha yetu mama ila ukiona huelewi basi wewe nitumie sms pm ili nikusaidie tatizo lako namba zangu za simu sitoweka hapa ila nitazitoa kwa mtu ambae ni serious ndo nitakupatia namba ili tuzidi kuwasiliana.asanteni sana wana jamvi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ONTARIO fanya UPESI aiseeee, Wahenga wa namna hii n hatari kwa afya ya kizazi kiPYAA.
 
kitabu alichoomba sana Bavaria kwa Mwl.RCT hiki hapa kwenye pdf, kwa wale ambao kiliwasumbua kukonvert, ila kipo kama story story tena fupi fupi tuambizane wajuz nacho nikizuri kwa forex mana sijakisoma
Sidhani kama inahitaji uambiwe kuhusu uzuri wa kitabu wakati wewe mwenyewe unacho, ni vyema ukakisoma kufahamu kama kinakufaa kwa namna yoyote ile(si lazima ikawa kwa forex) au hakikufai
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom