Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Ontario, I am patiently waiting for things to be ready. Pole for the hustle. Nasoma mdogo mdogo, kwenye technical analysis ni habari nyingine.......penye Nia pana njia. Kufanikiwa kwako ndo mafanikio ya familia yangu na jamii yangu. Mungu fanikisha hili.
 
Hahahaaa, Boss you let jealous people more Jealous and hatred when they see those 14k bucks. By the way good job dude.
37b5c0e91b406b7d20c9c5d678e7021b.jpg
Ukiona haupati haters jitathmini mara 2 - 2.
 
View attachment 555168
Guys nisaidieni kitu kimoja.

Nimesoma nia ya kufunzwa FOREX. Pages ni zaidi ya 200 nimeshindwa kuanzia page 1 mpaka ya sasa maana ni ndefu sana.

Ninachoomba ni tarehe ya kuanza hayo mafunzo tu.

Any Idea pls....


Mkuu naona umescreenshot sehemubya comment yangu.
Mkuu cha msingi kwanza ni wewe kusoma na kuelewa vitabu pendekezwa (nadhani umeshaanza kusoma tayari) Kuhusu tarehe ya mafunzo endelea kufuatilia uzi.

Ila Ontario alishasema kwenye training/mentorship utakachofundishwa ni jinsi kudownload hela tu....mengine unatakiwa iwe umeshasoma kwenye vitabu pendekezwa.

Sio unafika kwenye training mentor anasema stop loss unanyoosha mkono unauliza what is stop loss...tafadhali mkuu...soma soma soma...hata sisi bado tuna soma soma soma..

Karibu mkuu tuliamshe dude.
 
Mkuu naona umescreenshot sehemubya comment yangu.
Mkuu cha msingi kwanza ni wewe kusoma na kuelewa vitabu pendekezwa (nadhani umeshaanza kusoma tayari) Kuhusu tarehe ya mafunzo endelea kufuatilia uzi.

Ila Ontario alishasema kwenye training/mentorship utakachofundishwa ni jinsi kudownload hela tu....mengine unatakiwa iwe umeshasoma kwenye vitabu pendekezwa.

Sio unafika kwenye training mentor anasema stop loss unanyoosha mkono unauliza what is stop loss...tafadhali mkuu...soma soma soma...hata sisi bado tuna soma soma soma..

Karibu mkuu tuliamshe dude.
Hivyo vitabu pendekezwa ni vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Armani huyu, nimesoma vzr sana conversation hapo juu, he purely knows about forex and maybe he is a trader.

Sasa kuna vitu vitatu au vinne:

Kwanza, maybe he learnt forex in the hard way, ambapo alipoanza tu akawa anadonate pesa kwenye market, yani yeye kila siku alikua anapoteza, kiufupi alikua hatambui nini anafanya sokoni, so kwa experience hiyo anahisi hakuna successful retail traders.

Pili, huyu jamaa anaweza kuwa lile kundi la watu wenye roho ya kwanini, ni sawa na wahindi. Hawa jamaa wameanza kutrade muda mrefu sn, lkn kamwe hawezi kutoa siri, anamfundisha mwanae na mtoto wa dada'ke kisha wanapiga pesa kimya kimya, ni wale watu wanapenda wa-accumulate utajiri mkubwa sana kisha watu wasio na kipato waanze kuwalamba miguu. Sasa akiona watu wanachomoka, he feels threatened kua hakuna mtu atakayekubali kumlamba miguu.

Tatu, kama ulisoma vzr ile screenshot ya bio yake iliyoletwa na Lodrick, utagundua jamaa anarun capital group na bond house, hivi ni vitu vinavyotenganishwa na trading kwa mstari mwembamba sana. Hivyo jamaa anafeel so insecured kwamba Ontario labda anaanzisha same thing na yeye atakua knocked out of the game. Boss my principle is that, I never compete with anyone, I only compete with my own goals and visions, that's the only way I dominate.

Hoja zake za kitoto toto hata newbie ambae kasoma chapter 1 ya Millionaire trader How everyday people are beating Wall street at it's own game anaweza kumwelewesha. Mzee baba km unatafuta trader aliye successful, wala usiende mbali - am here, sijamake millions in the market, lkn nilipoanza na nilipo sasa kuna utofauti mkubwa sana. Huwezi nilinganisha na banker wa bank yoyote mzee, mshahara wa mwezi wa manager wako naweza kuupata in a matter of minutes.

Back to our thread

Guys yani kiuhalisia ilibidi hii ngoma ianze hii wiki, yani jana J3. Nimeshapambana in all ways, lkn kuna vitu vipo nje ya uwezo wangu. Gharama ambazo nilipanga awali kwaajili ya hii project zimeongezeka karibu mara 3 ya gharama ambazo nishatumia hadi sasa, na bado mambo hayajakamilika.

Nikaamua niongeze pesa zingine zaidi ili nikamilishe na tuanze haraka iwezekanavyo lkn hapo ndipo hujuma ilipotokea. Nikachomoa $15,000 from my trading account, sasa hivi ni kama wiki ya 2 kuna sehemu wanazizuia bila sababu. Nilipokua nasema - hakuna bank itataka uijue forex, sikua naleta mzaha. Kila mara pesa ikitumwa inakataliwa na wenye madaraka yao, bila sababu ya kueleweka. They feel so insecured, mtu mwenyewe wanaepambana nae ana miaka 23 tu [emoji23].

Hii ndio feedback ninayopewa:
822190e57cf36987efed78f11cdd0938.jpg
nimeficha jina la bank servant

Picha ya kwanza inaonesha kabisa kua $14,800 imetoka kwenye account ya broker wangu, na imeelekezwa kuja kwa account yangu hapa Bongo. Yani transaction iko successful.
Picha ya pili inaonesha transaction imekua rejected by international blah blah, na hivyo wameshindwa kuallocate pesa kwa bank yangu, so wanairudisha kwa broker wangu.

Hujuma za ki3ènge kabisa aisee, tena mchana kweupe. But it will get sorted out. Watu tushatatafuna ng'ombe mzm iweje mkia tuushindwe.

Let's keep patience na tuendelee kusoma wazee baba. Sihitaji mwanafunzi kilaza, km unajijua ww ni kilaza bora uniombe ushauri kuhusu kufuga kuku (been there, done that)

===============================

Na kwa wale ambao muda wote mnanilaumu kua nachelewa, nimekua mzito nk nk. Najua ni kiasi gani napambana na hali yng, nimekutana na mambo mengi sn hapa kati, mengi haswa, siwezi nikawa nasema kila kitu hapa, but trust me I've stand to be strong, ningeweza kukaa ndani na kutrade kila siku niingize $500 (yantosha), lkn kwakua niliapa kufanya hili, lazima nihakikishe naifanya with massive success.

So km upo huko unaendelea kunilaumu, nakushauri fanya what u think is best for you, tafuta wale wakenya walesema wanakuja for training, nenda YouTube tazama videos, then fund your account. Kisha leta majibu. In FX we get paid for Patience!! Period.
37b5c0e91b406b7d20c9c5d678e7021b.jpg
Ukiona haupati haters jitathmini mara 2 - 2.

Ontario-Keep it up brother and I understand you ll never give up. Please if there is any way I can help in this, count on me and am always here towards realization of a long waited dream for Tanzanian which was only revealed to Wahindi.
 
Huyu Armani huyu, nimesoma vzr sana conversation hapo juu, he purely knows about forex and maybe he is a trader.

Sasa kuna vitu vitatu au vinne:

Kwanza, maybe he learnt forex in the hard way, ambapo alipoanza tu akawa anadonate pesa kwenye market, yani yeye kila siku alikua anapoteza, kiufupi alikua hatambui nini anafanya sokoni, so kwa experience hiyo anahisi hakuna successful retail traders.

Pili, huyu jamaa anaweza kuwa lile kundi la watu wenye roho ya kwanini, ni sawa na wahindi. Hawa jamaa wameanza kutrade muda mrefu sn, lkn kamwe hawezi kutoa siri, anamfundisha mwanae na mtoto wa dada'ke kisha wanapiga pesa kimya kimya, ni wale watu wanapenda wa-accumulate utajiri mkubwa sana kisha watu wasio na kipato waanze kuwalamba miguu. Sasa akiona watu wanachomoka, he feels threatened kua hakuna mtu atakayekubali kumlamba miguu.

Tatu, kama ulisoma vzr ile screenshot ya bio yake iliyoletwa na Lodrick, utagundua jamaa anarun capital group na bond house, hivi ni vitu vinavyotenganishwa na trading kwa mstari mwembamba sana. Hivyo jamaa anafeel so insecured kwamba Ontario labda anaanzisha same thing na yeye atakua knocked out of the game. Boss my principle is that, I never compete with anyone, I only compete with my own goals and visions, that's the only way I dominate.

Hoja zake za kitoto toto hata newbie ambae kasoma chapter 1 ya Millionaire trader How everyday people are beating Wall street at it's own game anaweza kumwelewesha. Mzee baba km unatafuta trader aliye successful, wala usiende mbali - am here, sijamake millions in the market, lkn nilipoanza na nilipo sasa kuna utofauti mkubwa sana. Huwezi nilinganisha na banker wa bank yoyote mzee, mshahara wa mwezi wa manager wako naweza kuupata in a matter of minutes.

Back to our thread

Guys yani kiuhalisia ilibidi hii ngoma ianze hii wiki, yani jana J3. Nimeshapambana in all ways, lkn kuna vitu vipo nje ya uwezo wangu. Gharama ambazo nilipanga awali kwaajili ya hii project zimeongezeka karibu mara 3 ya gharama ambazo nishatumia hadi sasa, na bado mambo hayajakamilika.

Nikaamua niongeze pesa zingine zaidi ili nikamilishe na tuanze haraka iwezekanavyo lkn hapo ndipo hujuma ilipotokea. Nikachomoa $15,000 from my trading account, sasa hivi ni kama wiki ya 2 kuna sehemu wanazizuia bila sababu. Nilipokua nasema - hakuna bank itataka uijue forex, sikua naleta mzaha. Kila mara pesa ikitumwa inakataliwa na wenye madaraka yao, bila sababu ya kueleweka. They feel so insecured, mtu mwenyewe wanaepambana nae ana miaka 23 tu [emoji23].

Hii ndio feedback ninayopewa:
822190e57cf36987efed78f11cdd0938.jpg
nimeficha jina la bank servant

Picha ya kwanza inaonesha kabisa kua $14,800 imetoka kwenye account ya broker wangu, na imeelekezwa kuja kwa account yangu hapa Bongo. Yani transaction iko successful.
Picha ya pili inaonesha transaction imekua rejected by international blah blah, na hivyo wameshindwa kuallocate pesa kwa bank yangu, so wanairudisha kwa broker wangu.

Hujuma za ki3ènge kabisa aisee, tena mchana kweupe. But it will get sorted out. Watu tushatatafuna ng'ombe mzm iweje mkia tuushindwe.

Let's keep patience na tuendelee kusoma wazee baba. Sihitaji mwanafunzi kilaza, km unajijua ww ni kilaza bora uniombe ushauri kuhusu kufuga kuku (been there, done that)

===============================

Na kwa wale ambao muda wote mnanilaumu kua nachelewa, nimekua mzito nk nk. Najua ni kiasi gani napambana na hali yng, nimekutana na mambo mengi sn hapa kati, mengi haswa, siwezi nikawa nasema kila kitu hapa, but trust me I've stand to be strong, ningeweza kukaa ndani na kutrade kila siku niingize $500 (yantosha), lkn kwakua niliapa kufanya hili, lazima nihakikishe naifanya with massive success.

So km upo huko unaendelea kunilaumu, nakushauri fanya what u think is best for you, tafuta wale wakenya walesema wanakuja for training, nenda YouTube tazama videos, then fund your account. Kisha leta majibu. In FX we get paid for Patience!! Period.
...This is how I should sound after couple of month[emoji1] [emoji1] [emoji1]....meanwhile, let me invest my time on this....before I get sorted for life

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Armani huyu, nimesoma vzr sana conversation hapo juu, he purely knows about forex and maybe he is a trader.

Sasa kuna vitu vitatu au vinne:

Kwanza, maybe he learnt forex in the hard way, ambapo alipoanza tu akawa anadonate pesa kwenye market, yani yeye kila siku alikua anapoteza, kiufupi alikua hatambui nini anafanya sokoni, so kwa experience hiyo anahisi hakuna successful retail traders.

Pili, huyu jamaa anaweza kuwa lile kundi la watu wenye roho ya kwanini, ni sawa na wahindi. Hawa jamaa wameanza kutrade muda mrefu sn, lkn kamwe hawezi kutoa siri, anamfundisha mwanae na mtoto wa dada'ke kisha wanapiga pesa kimya kimya, ni wale watu wanapenda wa-accumulate utajiri mkubwa sana kisha watu wasio na kipato waanze kuwalamba miguu. Sasa akiona watu wanachomoka, he feels threatened kua hakuna mtu atakayekubali kumlamba miguu.

Tatu, kama ulisoma vzr ile screenshot ya bio yake iliyoletwa na Lodrick, utagundua jamaa anarun capital group na bond house, hivi ni vitu vinavyotenganishwa na trading kwa mstari mwembamba sana. Hivyo jamaa anafeel so insecured kwamba Ontario labda anaanzisha same thing na yeye atakua knocked out of the game. Boss my principle is that, I never compete with anyone, I only compete with my own goals and visions, that's the only way I dominate.

Hoja zake za kitoto toto hata newbie ambae kasoma chapter 1 ya Millionaire trader How everyday people are beating Wall street at it's own game anaweza kumwelewesha. Mzee baba km unatafuta trader aliye successful, wala usiende mbali - am here, sijamake millions in the market, lkn nilipoanza na nilipo sasa kuna utofauti mkubwa sana. Huwezi nilinganisha na banker wa bank yoyote mzee, mshahara wa mwezi wa manager wako naweza kuupata in a matter of minutes.

Back to our thread

Guys yani kiuhalisia ilibidi hii ngoma ianze hii wiki, yani jana J3. Nimeshapambana in all ways, lkn kuna vitu vipo nje ya uwezo wangu. Gharama ambazo nilipanga awali kwaajili ya hii project zimeongezeka karibu mara 3 ya gharama ambazo nishatumia hadi sasa, na bado mambo hayajakamilika.

Nikaamua niongeze pesa zingine zaidi ili nikamilishe na tuanze haraka iwezekanavyo lkn hapo ndipo hujuma ilipotokea. Nikachomoa $15,000 from my trading account, sasa hivi ni kama wiki ya 2 kuna sehemu wanazizuia bila sababu. Nilipokua nasema - hakuna bank itataka uijue forex, sikua naleta mzaha. Kila mara pesa ikitumwa inakataliwa na wenye madaraka yao, bila sababu ya kueleweka. They feel so insecured, mtu mwenyewe wanaepambana nae ana miaka 23 tu [emoji23].

Hii ndio feedback ninayopewa:
822190e57cf36987efed78f11cdd0938.jpg
nimeficha jina la bank servant

Picha ya kwanza inaonesha kabisa kua $14,800 imetoka kwenye account ya broker wangu, na imeelekezwa kuja kwa account yangu hapa Bongo. Yani transaction iko successful.
Picha ya pili inaonesha transaction imekua rejected by international blah blah, na hivyo wameshindwa kuallocate pesa kwa bank yangu, so wanairudisha kwa broker wangu.

Hujuma za ki3ènge kabisa aisee, tena mchana kweupe. But it will get sorted out. Watu tushatatafuna ng'ombe mzm iweje mkia tuushindwe.

Let's keep patience na tuendelee kusoma wazee baba. Sihitaji mwanafunzi kilaza, km unajijua ww ni kilaza bora uniombe ushauri kuhusu kufuga kuku (been there, done that)

===============================

Na kwa wale ambao muda wote mnanilaumu kua nachelewa, nimekua mzito nk nk. Najua ni kiasi gani napambana na hali yng, nimekutana na mambo mengi sn hapa kati, mengi haswa, siwezi nikawa nasema kila kitu hapa, but trust me I've stand to be strong, ningeweza kukaa ndani na kutrade kila siku niingize $500 (yantosha), lkn kwakua niliapa kufanya hili, lazima nihakikishe naifanya with massive success.

So km upo huko unaendelea kunilaumu, nakushauri fanya what u think is best for you, tafuta wale wakenya walesema wanakuja for training, nenda YouTube tazama videos, then fund your account. Kisha leta majibu. In FX we get paid for Patience!! Period.

Daaah hizi hujuma aisee....
Kweli ndo maana jamaa wanapambana kufa kupona kuhakikisha watanzania hatujui chochote kuhusu Forex. Mungu azidi kufungua njia zako Mkuu ONTARIO ili ufanikishe haya yote tuwakomeshe na wao!! Penye nia pana njia!!
 

Attachments

Mambo yakiwa tayari naomba utujulishe angalau siku mbili kabla ya tukio,maana wengine kazi zetu ni za safari sana.tupo tayari tunangoja darasa.
Cc ontario
 
MAANDIKO YANASEMA: Watashindana Lakini Hawatashinda . Mkuu Ontario hii vita ya uchumi kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutaishinda. Wengi hawataki wenzao wafanikiwe. Wengi wanawakatisha tamaa watu na kuwapa maneno kuwa forex is not for every one. Hapana forex ni kwa kila mtu na ili ufanikiwe huna budi kusoma na kupractice, ila usiposoma kweli inakuwa forex is not for every one. Na wahenga wanasema: Tumia pesa kupata pesa. Kama unaogopa kupoteza hela basi huwezi kuwa mfanyabiashara kamwe. Speaking from my experience, kuna biashara nilitaka kufanya, nimeweka kila kitu, baada ya siku 5 nasikia hakuna mtu atakayeruhusiwa kufanyabiashara hapa kisa tu mgogoro wa manispaa na wamiliki wa eneo hilo. Daaaah, nilijiona mwenye hasara sana lakini nilimuachia Mwenyezi Mungu kwani hii ilikuwa ni sehemu ya kujifunza na kuhandle risk kama hizi maana haikuwa mara ya kwanza kuanzisha biashara na kutokea mtu kuivuruga.

Mwisho, Subira kusoma na kuweka tamaa pembeni ndio silaha ya mafanikio katika Forex.

Ontario asante sana, nimeijua forex kupitia hii thread. Mwenyezi Mungu akubariki kwa hili maana umetusaidia watu wengi sana katika financial freedom.
 
ONTARIO Mbona kwenye vigezo vya kuhamisha fedha hao brokers wanajinadi kwamba Pesa haziwezi kutumwa wala kupokelewa(wala kupitia) kwa thirdpart,
It means kwamba ni direct to your Account uliyosajilia,
Sasa kumbe hakuna usalama huo wanaouzungumzia?
Manake naamini ulitolea kwa FNB(kama sikosei)
na Hii Bank ya FNB huwa inajinadi kama bank bora zaidi ya kutrade Forex,
sasa mbona wanayoyafanya ni kinyume na matarajio?
Au wanabanwa na sheria za BOT? Kana kwamba transaction zote lazima zipitie BOT kisha ndio zifike kwa mlenga(why wasiseme ukweli? Au mimi/sisi ndio hatujui?)
Hebu weka neno juu ya hili
 
ONTARIO Mbona kwenye vigezo vya kuhamisha fedha hao brokers wanajinadi kwamba Pesa haziwezi kutumwa wala kupokelewa(wala kupitia) kwa thirdpart,
It means kwamba ni direct to your Account uliyosajilia,
Sasa kumbe hakuna usalama huo wanaouzungumzia?
Manake naamini ulitolea kwa FNB(kama sikosei)
na Hii Bank ya FNB huwa inajinadi kama bank bora zaidi ya kutrade Forex,
sasa mbona wanayoyafanya ni kinyume na matarajio?
Au wanabanwa na sheria za BOT? Kana kwamba transaction zote lazima zipitie BOT kisha ndio zifike kwa mlenga(why wasiseme ukweli? Au mimi/sisi ndio hatujui?)
Hebu weka neno juu ya hili
Iko hivi!!

Pesa yoyote inayotoka nje ya nchi ama inayoingia nchini lazima iwe regulated na central bank, hasa baada ya Bunge ku review sheria mpya za money laundering (utakatishaji wa pesa). Sasa kama Central bank watahisi pesa zinazoingi/zinazotoka hazina uhalali basi wanaweza kuzizuia.

Kinachonishangaza ni kwamba kabla ya huu uzi niliwithdraw $18,000 and it was successful bila shida yoyote, tena it was less than 2 days. Karibu wiki 2 sasa napigwa dana dana katika kuchomoa hii $15,000, na ni baada ya kuweka huu uzi. Najua ni figisu figisu tu za jamaa fulani ambao wanafeel insecured. Inawezekana kabisa akawa individual tu kama wewe akatoa taarifa kwa BoT kua fedha zangu si halali, ili tu nikwame. But, he/they must be aware that I don't hv plastic balls, nna mapvmbu ya chuma.

The hustle is real, and we are starting in less than 2 weeks. We just hv to be patience. Mbona watu wanavumilia kusoma chuo miaka mi4, tunashindwaje kuvumilia mwezi mmoja??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom