Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kama mkifanya juhudi you will thank me letter mimi naingiza tuu pesa kila dakika,saa,siku hadi mwezi sehemu yoyoye ile mimi naingiza pesa haijalishi nimelala,nafanya mazoezi nasafiri n.k lakini biashara yangu ya forex haisimami ni smartphone au laptop yangu tu na bundle la 500 mimi naingiza pesa.
8ec47477cd071f7b9948d7e0c9417521.jpg
f6f994938d364fe35003ce1ff4e92f33.jpg
6ffc779cf3cb14aaf8a36eff50bf2f00.jpg
5f6677d855cfcda27573e70daa85f958.jpg
663aa20b63a19601c456c8f49eada9cc.jpg
0cc65c133e47d8014e66e9ab81fdd9e7.jpg
d394adeda12cd54c49e57f9065bd31eb.jpg
89c43279fe59354715784a5bdbc67f2a.jpg
kwenye kila jambo gumu kuna njia rahisi ya kutatua tatizo nitaanda materials jinsi gani unaweza kupiga pesa nyingi kwa kutoumiza kupekua habari za uchumi na biashara ulimwenguni na kukesha na graph.Njia ni rahisi mno naimani mtanishukuru kesho kwa watu wote wanaojua na hata wasio jua kiingereza au ambae hata hakusomea kabisa mambo ili kwapamoja kama taifa tuinuke kiuchumi na kufanya majukumu yanayo tukabiri kimaisha ikiwemo pia kumtumikia Mungu.asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya Unachokifanya, nakupa ruhusa lkn usijaribu kukifanya mbele yangu boss. Tengeneza group la whatsapp danganya watu huko lkn ukifanya mbele yangu yani umenidharau sana kwamba I am clueless about forex. Umeniboa sana mzee wangu.
a6ccac7d3f767dc845d78aeeaf1bed79.jpg
 
Aiseee bro unachofanya si sahihi. Nilikua nangoja tu unijibu.

Aina hii ya uhuni hua siipendi kabisa sheikh wangu. Let's keep it real!!

Mimi nikikwambia najua vitu vingi sana kuhusu forex, nieleweke hivyo. Hizo trades ambazo unazipiga screen shot tangu mwanzo nazifahamu. Thabani Ngcobo ni mwanangu sana, nilikua nae Juzi juzi tu aisee, yani hata ukiniamsha usiku ukanionesha trades zake wala sitahitaji kunawa uso kuzitambua.

Forex haina siasa boss. You either learn the art or be an observer. Naomba utuombe msamaha kwa ulichokifanya, otherwise tutakuona vitu vyote ulivyozungumza ni ujanja ujanja. Hizo trades za Thabani Ngcobo na umezitoa kwa IG yake. Sitaki kuleta hapa ushaidi just kulinda heshima yako. But let's try to put it real.

Kuhusu forex wadanganye watu mkiwa wawili sehemu mmetualia, lkn usizungumze forex mbele yangu ukadhani forex nimeijua juzi. Acha izo jombaa!! Sisi hua Thaba tunamuita Mr. 0.5 - nitajitahidi kumleta aje atusalimie.



Duuuuu....Ontario mwenyenzi Mungu akupe uhai mrefu maana......iwe siri yangu na Mungu wangu.

Sasa nimeelewa kwa nn umeunlike ile like uliyonipa baada ya kumqoute jamaa alipoweka zile screenshot za Mwanzo.

Ila kuna kitu jamaa alimjibu @ Daudi mchambuzi nikaona jamaa yupo nondo sana Kuhusu hii ishu...sasa Sijui Yale maelezo aliyatoa Wapi...duuuu ..Sijui bwana....hii dunia hii....
 
Aiseee bro unachofanya si sahihi. Nilikua nangoja tu unijibu.

Aina hii ya uhuni hua siipendi kabisa sheikh wangu. Let's keep it real!!

Mimi nikikwambia najua vitu vingi sana kuhusu forex, nieleweke hivyo. Hizo trades ambazo unazipiga screen shot tangu mwanzo nazifahamu. Thabani Ngcobo ni mwanangu sana, nilikua nae Juzi juzi tu aisee, yani hata ukiniamsha usiku ukanionesha trades zake wala sitahitaji kunawa uso kuzitambua.

Forex haina siasa boss. You either learn the art or be an observer. Naomba utuombe msamaha kwa ulichokifanya, otherwise tutakuona vitu vyote ulivyozungumza ni ujanja ujanja. Hizo trades za Thabani Ngcobo na umezitoa kwa IG yake. Sitaki kuleta hapa ushaidi just kulinda heshima yako. But let's try to put it real.

Kuhusu forex wadanganye watu mkiwa wawili sehemu mmetualia, lkn usizungumze forex mbele yangu ukadhani forex nimeijua juzi. Acha izo jombaa!! Sisi hua Thaba tunamuita Mr. 0.5 - nitajitahidi kumleta aje atusalimie.
oooonh afadhali Kamanda wetu uko makini katika kuangalia hawa wezi wasije kutapeli watu....Aisiii yaani hadi ana screen shoot ili watu wamuamini Kamanda Ontario itabidi huu uzi uwe unapita mara kwa mara otherwise watu wengi watajifanya wewe
 
Duuuuu....Ontario mwenyenzi Mungu akupe uhai mrefu maana......iwe siri yangu na Mungu wangu.

Sasa nimeelewa kwa nn umeunlike ile like uliyonipa baada ya kumqoute jamaa alipoweka zile screenshot za Mwanzo.

Ila kuna kitu jamaa alimjibu @ Daudi mchambuzi nikaona jamaa yupo nondo sana Kuhusu hii ishu...sasa Sijui Yale maelezo aliyatoa Wapi...duuuu ..Sijui bwana....hii dunia hii....
Sipo hapa kumdhalilisha mtu boss wangu, wala sinaga tabia ya kudisrespect skills za mtu. Mimi I am honest, nawajua SA traders wengi sana, trader uchwara na real traders nawajua. Mimi Thabani nimekaa nae meza 1 tikatrade NFP pamoja. I know him.

Sasa mtu akija kwa nia ya kutapeli watu afu mbele yangu sijui najisikiaje. Nahisi kama hizo pesa watu wanazopigwa mimi ndio nimewaibia, coz I can say mimi ndio nimefungua watu wengi macho kuhusu hii fx. Sasa mtu akipigwa obvious mimi ndio jina langu litakua la kwanza kutajwa. Been building my reputation since I was 19, sio vzr nikapoteza reputation yangu kwa us3nge wa watu kama hawa.

Mimi I am working my ass off kuhakikisha tuwe na traders lounge, ambapo kila NFP tunakuwa na Trader makini from anywhere on planet kutrade nae kwenye launge. Forex knowledge haina mwisho kamwe. Lkn wt kama hawa wanaumiza sana... *****!!
 
Duuuuu....Ontario mwenyenzi Mungu akupe uhai mrefu maana......iwe siri yangu na Mungu wangu.

Sasa nimeelewa kwa nn umeunlike ile like uliyonipa baada ya kumqoute jamaa alipoweka zile screenshot za Mwanzo.

Ila kuna kitu jamaa alimjibu @ Daudi mchambuzi nikaona jamaa yupo nondo sana Kuhusu hii ishu...sasa Sijui Yale maelezo aliyatoa Wapi...duuuu ..Sijui bwana....hii dunia hii....

Tafuta uZi mmoja wa ONTARIO unaitwa USIJAE UPEPO Utajifunzq vitu
 
Fanya Unachokifanya, nakupa ruhusa lkn usijaribu kukifanya mbele yangu boss. Tengeneza group la whatsapp danganya watu huko lkn ukifanya mbele yangu yani umenidharau sana kwamba I am clueless about forex. Umeniboa sana mzee wangu.
a6ccac7d3f767dc845d78aeeaf1bed79.jpg
Nilifwatilia background yake nikasema acha nikae kimya kwanza, nisiwe negative...

Hizi ni post zake za mwaka huu, nyingi ni za mwezi wa 6!!

Natafuta ajira wakuu
Nauza mashine ya juisi ya miwa isio tumia umeme
Nauza subwoofer
Nauza sofa+kitanda+mtungi wa gas
Natafuta kazi yoyote wakuu
Nauza water dispencers kwa 30,000
Natengeneza blog kwa 10,000/=
 
ONTARIO, you are so special and one of a kind. Mungu akulinde ktk maisha yako yote na aendelee kukufanikisha ktk kila unachokipanga.

Ningekuwa mwenyewe nadhani ningeingia mkenge lkn to be by your side I am now surely feeling safe as far as forex is concerned.

Nami nilishangaa sana huyu mtu imekuwaje yaani tangu 26 May 2017 ulipoweka uzi huu to date OR even before alikuwa wapi kama alitaka kuwasaidia watanzania wenzake? Kumbe ni mpvvzi tu!!!!

Nimejifunza sana kupitia huu upvvzi wake.
Lakini nimejifunza kupitia post zake za utapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipo hapa kumdhalilisha mtu boss wangu, wala sinaga tabia ya kudisrespect skills za mtu. Mimi I am honest, nawajua SA traders wengi sana, trader uchwara na real traders nawajua. Mimi Thabani nimekaa nae meza 1 tikatrade NFP pamoja. I know him.

Sasa mtu akija kwa nia ya kutapeli watu afu mbele yangu sijui najisikiaje. Nahisi kama hizo pesa watu wanazopigwa mimi ndio nimewaibia, coz I can say mimi ndio nimefungua watu wengi macho kuhusu hii fx. Sasa mtu akipigwa obvious mimi ndio jina langu litakua la kwanza kutajwa. Been building my reputation since I was 19, sio vzr nikapoteza reputation yangu kwa us3nge wa watu kama hawa.

Mimi I am working my ass off kuhakikisha tuwe na traders lounge, ambapo kila NFP tunakuwa na Trader makini from anywhere on planet kutrade nae kwenye launge. Forex knowledge haina mwisho kamwe. Lkn wt kama hawa wanaumiza sana... *****!!

Basi baba usijae upepo
 
Kama mkifanya juhudi you will thank me letter mimi naingiza tuu pesa kila dakika,saa,siku hadi mwezi sehemu yoyoye ile mimi naingiza pesa haijalishi nimelala,nafanya mazoezi nasafiri n.k lakini biashara yangu ya forex haisimami ni smartphone au laptop yangu tu na bundle la 500 mimi naingiza pesa.
8ec47477cd071f7b9948d7e0c9417521.jpg
f6f994938d364fe35003ce1ff4e92f33.jpg
6ffc779cf3cb14aaf8a36eff50bf2f00.jpg
5f6677d855cfcda27573e70daa85f958.jpg
663aa20b63a19601c456c8f49eada9cc.jpg
0cc65c133e47d8014e66e9ab81fdd9e7.jpg
d394adeda12cd54c49e57f9065bd31eb.jpg
89c43279fe59354715784a5bdbc67f2a.jpg
kwenye kila jambo gumu kuna njia rahisi ya kutatua tatizo nitaanda materials jinsi gani unaweza kupiga pesa nyingi kwa kutoumiza kupekua habari za uchumi na biashara ulimwenguni na kukesha na graph.Njia ni rahisi mno naimani mtanishukuru kesho kwa watu wote wanaojua na hata wasio jua kiingereza au ambae hata hakusomea kabisa mambo ili kwapamoja kama taifa tuinuke kiuchumi na kufanya majukumu yanayo tukabiri kimaisha ikiwemo pia kumtumikia Mungu.asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app



Nimeunlike like niliyokuwa nimekupa..

Tapeli mkubwa wewe....achana na sisi bwana tena tusikuone tena kwenye huu Uzi.
 
Mmh!..kuna watu wanataka kutuvuruga tena?walikua wapi cku zote?hapa inabidi tumuamini ontario tu.hawa jamaa wengine watatuvuruga na screenshot zao.cku zote walikua kimya
 
Nilifwatilia background yake nikasema acha nikae kimya kwanza, nisiwe negative...

Hizi ni post zake za mwaka huu, nyingi ni za mwezi wa 6!!

Natafuta ajira wakuu
Nauza mashine ya juisi ya miwa isio tumia umeme
Nauza subwoofer
Nauza sofa+kitanda+mtungi wa gas
Natafuta kazi yoyote wakuu
Nauza water dispencers kwa 30,000
Natengeneza blog kwa 10,000/=
izo thread za jamaa zime nifanya nicheke kweli
wa bongo kwa kufosi king aaaah hatuna mpinzani aisee!!
[emoji23] [emoji23]

Sent from my iphone 6s using Jamii Forum Mobile app
 
izo thread za jamaa zime nifanya nicheke kweli
wa bongo kwa kufosi king aaaah hatuna mpinzani aisee!!
[emoji23] [emoji23]

Sent from my iphone 6s using Jamii Forum Mobile app
Nilivoziona mara ya kwanza nikajua acc wanatumia wengi au alikua anapost matangazo kwa ajili ya wenzake...nikaona nikae kimya!!

Labda tungoje aje atoe hoja, wenda sisi ndio tunamhisi vibaya!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipo hapa kumdhalilisha mtu boss wangu, wala sinaga tabia ya kudisrespect skills za mtu. Mimi I am honest, nawajua SA traders wengi sana, trader uchwara na real traders nawajua. Mimi Thabani nimekaa nae meza 1 tikatrade NFP pamoja. I know him.

Sasa mtu akija kwa nia ya kutapeli watu afu mbele yangu sijui najisikiaje. Nahisi kama hizo pesa watu wanazopigwa mimi ndio nimewaibia, coz I can say mimi ndio nimefungua watu wengi macho kuhusu hii fx. Sasa mtu akipigwa obvious mimi ndio jina langu litakua la kwanza kutajwa. Been building my reputation since I was 19, sio vzr nikapoteza reputation yangu kwa us3nge wa watu kama hawa.

Mimi I am working my ass off kuhakikisha tuwe na traders lounge, ambapo kila NFP tunakuwa na Trader makini from anywhere on planet kutrade nae kwenye launge. Forex knowledge haina mwisho kamwe. Lkn wt kama hawa wanaumiza sana... *****!!
Dah!! Aisee kweli umemtoa huyu jamaa knock out... Hahah

Ila nakuelewa sana hasa uliposema umewahi kukaa na jamaa meza moja mkatrade NFP, lazma umind yani ni sawa ukakutana na mtu anatumia identity ya mtu unaemjua vizuri sana kama your sibling labda.. Aisee lazma nizae na wewe.

All in all mpaka tunafikia lengo tutaendelea kuona mengi sana.. Huu ni mwendelezo tu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Aisee baada ya kuhifadhi cku nyingi page iliokua na hizo video leo nikapata chance bwana ya kuzdowload na kuziangalia ndomaana nimeamua kuquote hii comment yako leo hii baada ya kuiangalia hiyo video ya kwanza hapo..
Hilo pindi lilikua la ukweli sana jamaa anatiririka utam kinoma kweli too bad audio imekata ila it's one of the best webinar nlizowahi kuziona!! Jamaa anaelekeza vizuri sana!!

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Tuma link tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matapeli yako mengi sana aisee watu wawe makini sana Chief Ontario ni bora umemtoa nduki huyo jamaa,kwani watu wanaona nongwa gani kuwa Ontario ndio kawa wa kwanza ku introduce Forex hapa Tz.Wako waliokuwa wana habari za Forex au either wanajua na ku trade kabisa lakini kwa roho mbaya zao hawakuanzisha harakati na wabongo wengine waijue Forex sijui wanaona pesa zitaisha au sijui vipi hawa watu roho zao mabya sana,roho mbaya kweli ni Donda ndugu lisilopona.Pesa inayozunguka kwenye currency market pekee ni nyingi sana almost 5 trillion usd per day.Its a lot of money ni suala la proper knowledge,skills and capital zako tu ndio zitakufanya mtu a fetch any amount anayotaka. Washaona watu wanakombolewa na kijana mdogo kama Ontario lakini mwenye bidii na anaamini katika bidii na kujifunza tu,basi wao wanaona choyo.Wabongo tuachane na blah blah.Chief Ontario big up sana bila wewe hapo wengi walikuwa wanaingia chaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni wiki kadhaa tu mkuu.nna experience ya muda sasa na makovu ya kutosha hapo mwanzo wakati naanza kama una roho ndogo unaweza ukachanganyikiwa akili.kwa faida ya wote msije mmkata tamaa mwanzo mgumu mm nimewahi unguza akaunti mara kibao tena ni mamilion ya shilingi.Ngojea niwaoneshee trade history zangu za nyuma na muone kuwa kila kitu kinawezekana ukiwa na imani na juhudi pia nakutokata tamaa
47a5b0d7da234b4c9d61f94108e2a3ec.jpg
b1dcd6c0fac679fbdcdc7f1ae98f0548.jpg
lakini sikukata tamaa na nikaanza kupata faraja baadaya kuingia serious kwenye vitabu
3d77acf65b9106963c972da088a45ca1.jpg
8d8dcaf219fdf32acb1e5ab6cc1a68bb.jpg
37bb6114b0ff13e87aa174874dc7f61e.jpg
2c631a1a238eb8e86561fdc12825c7f8.jpg
bc29606da7d8d270d0f261ec5c3d0377.jpg
690c45fd0c36c8ae769df71cf2e262f6.jpg
mkuu sio mbaya na wewe ukatupa list ya vitabu ulivopitia ili vitusaidie..nimejifunza kitu toka kwako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom