Labda mimi celewi vizuri, Mwl unambie.
WAVE HUPANDA NA KUSHUKA.
Tunabuy inapopanda.
Tunasell inaposhuka.
Sasa huyu jamaa kabuy saa 12:01, 12:20, 13:21.
Inaonekana graph ikapanda sana. Wakati inarudi chini, jamaa hakuclose position badala yake akaanza kusell, saa 14:04 na saa 14:14.
Ndo mana sell ya 14:04 ina faida kubwa kuliko saa 14:14 sababu graph bado inashuka.
Sasa kama kasell mpaka saa 14:14 tangu 14:04 na kapata value zote hzo, kumaanisha graph imedrop katika opposite direction ya kubuy, je wakati alipobuy alifikisha faida gani ambayo kailuz kwa kutotake profit?
Sijajua lakini, mana scalping mi siijuagi, lakini naamini haiwezagi kuhold position kwa 2hours.
Ila bado naamini alichokifanya ni makosa.
View attachment 582083
NB: Tazama time za kubuy, na kusell, na ujue kuwa amount inayoonekana katika kuseli imepungua katika upande wa kubuy, mana ni graph inashuka toka kwa resistance kurudi kwa support...
Ni value ambayo angekuwa ame make kama angetake profit (close buy position) katika resistance kabla ya kusell wakat graph inaanza kurudi katika support...
Nipo tayari kurekebishwa.
<> semper fi <>