Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Hizo hesabu zako labda ukacheze wewe mwenyewe ili utengeneze matokeo kama unavyowaza wewe. Huko kote watu walishapita longi, na nikuambie kitu kuhusu hizi biashara kichaa , unaweka hata timu moja tuu kwa hela kubwa inapitiwa fafsa kipindi cha kwanza tuu. Cha msingi kama unataka mali fanya kazi na uwe na nidhamu ya fedha. Hizi kamari zitakufanya ufe maskini kila siku unacheza na kuwa na matumaini ya kupata kesho mara timu moja imezingua , mara mhindi mchawi unakuja kushtuka uzee huu hapa fedha zote umemalizia kwenye kamari hata hujajenga. Kama biblia inavyosema dhambi ikishakukomaa huzaa mauti, hali kadhalika beti ikisha kukomaa huzaa CASINO , CASINO IKIISHA KUKOMAA HUZAA FOREX FOREX IKIISHA KUKOMAA HUZAA MAUTI
Asante Mkuu! Ila Nakuomba Subiri Mrejesho
 
Betting Utamtajirisha mhindi.... Bora ucheze BIKO uijue nguvu ya buku.....
 
Please msiingize wanawake kwa sasa tunajitahidi hatuna wivu wa kijinga wengi tu tunasifiana na hata kuinuana kiuchumi lakini nashangaa wanaume ndio mmekuwa na vijiba mnaoneana wivu na hata kuchongeana siku hizi.

Dada yangu wala usipate shida, unajua kuna vitu vingine vinafanyika mtu unajiuliza huyu anaefanya ni mtu mwenye akili timamu ama anaongozwa na hisia za chuki zilizopitiliza?

Huyo Chasha Poutry Farm anakawaida ya kutuma PM na anafanya hivyo si kwa mtu mmoja hata mimi kanitumia sana PM anatulazimisha tusikubaliane na anachosema Ontario, kwanza alianza wakati ule Ontario anapost picha za Shambani kwake pamoja na Mabanda yake ya Kuku, sasa alichokuwa anakifanya Chasha ni kutuma PM kwa watu na kusema hizo siyo shughuli halali za Ontario bali ni picha tu kazitoa South Africa na ndiyo maana anaficha sura, mimi nikamuuliza wewe ni Verified User mbona Avator yako umeweka picha ya Kuku? Kwa maana hiyo wewe ni Kuku? Hakujibu

Tunapata shida sana na huyu mtu ana chuki tena chuki yake ni mbaya mno na kwa muktadha huu inaonyesha kuwa huyu mtu hata maisha yake ni failure inakuwaje mtu unaonyesha chuki za wazi wazi ambazo si za msingi?

Ndiyo maana nikaufananisha wivu wake kuwa ni wa kike. Dada yangu kama umekwazika uniwie radhi si kuwa na maana hiyo, najua sasa hivi Wanawake mnapambana sana na hali zenu!
 
Habari Wanajamvi:
Baada Ya Kumsoma Sana My Bro ONTARIO. Kupitia Uzi Wake Wa Fursa Za Forex Na Kauli Zake Za Kutia Moyo Kiukweli Nilihamasil Sana Na Kufikiria Vitu Vingi Sana!
Mwisho Nikaiona Hii Fursa Ya Kujaribu.
Kwa Muda Mrefu Nimemsoma ONTARIO Na Wafuasi Wake Wa Forex! Nikagundua Wote Wana Kauli Moja
FOREX FAIDA= KUSOMA SANAVITABU VYAO + KUWA UPDATED JUU YA TAARIFA MBAMBALI ZA ULIMWENGU.

Nikafikiria Na Kuamua Kurudisha Hizi Kauli Na Biashara Ya Kubeti!
Nikagundua Kote Kunaweza Kuea Sawa.

WHY?

1.Kwenye Forex Watu Wanasoma Sana. The Same Kwenye KuBeti Watu Wanasoma Na Kufuatilia Sana Mienendo Ya Mechi Zilizopita. Misimamo Ya Ligi Etc

2. Kwenye Forex Watu Wanategemea Profit Kubwa Kwa Kuwa Mjanja Na Kuwa Updated! Na Kwenye Kubeti Pia Ukiwa Mjanja Na Updated Unakula Everyday.

FURSA YANGU

Naanza Leo Usiku Kwa Mtaji Wa 50,000/= Nitaleta Mrejesho Kwa Picha After 7 Days.

Ipo Hivi:
Utaanza Na Mtaji Wowote Ila Ukiwa Mkubwa Utapata Faida Zaidi.

Tufanye Kila Siku Ukawa Una Beti Tshs 10,000/= Kwa Kutengeneza Mikeka Miwili Kwa Kufuata Timu Za Aina Hii:

1. Utaweka Timu 2 Tu.
2.ODD Zsizidi 1.7
3. Timu Lazima Iwe Ya Nyumbani

MAHESABU

ODD Ni 1.7
Timu Mbili
Stake Ni 5,000/=
Total ODDS = 2.89

So Hela Utayopata Kwa Mkeka Mmoja Ni Sawa Na
2.89*5000 = 14450/=
Kwa Mikeka Miwili
1445*2 = 28,900/=

Kwa Mwezi = 28,900 * 31 Days Ambayo Ni Sawa Na

895,900/=

Assume Hapa Kati Ukaliwa Kama 300k Faida Itapungua Na Kuwa 500k.

MY TAKE:

Mimi Nimeamua Badala Ya Forex Nitawekeza Huku! Then Nitaleta Mrejesho Kama Anavyofanya Bwana ONTARIO! Wa Forex Baada Ya 1 Month.

Nipeni 1 Month Ya Mrejesho
Naanza Na 50,000/=

MODERATOR

Tafadharini Msifute Wala Kuunga Au Kuhamisha Huu Uzi! Nataka Kujaribu Fursa Niliyoiona Mimi.

MAWAZO, USHAURI, KEJERI, MATUSI VINAKARIBISHWA

MREJESHO
11/11/2017
Thread yako inaendana na ID yako. [HASHTAG]#TanzaniaYaViwanda[/HASHTAG]
 
Mkuu utarudi na mrejesho huku unalia machozi,,football betting haina guarantii ht uweke timu 1 yenye odd ndogo kabisa unachezea tuu za uso
 
Dada yangu wala usipate shida, unajua kuna vitu vingine vinafanyika mtu unajiuliza huyu anaefanya ni mtu mwenye akili timamu ama anaongozwa na hisia za chuki zilizopitiliza?

Huyo Chasha Poutry Farm anakawaida ya kutuma PM na anafanya hivyo si kwa mtu mmoja hata mimi kanitumia sana PM anatulazimisha tusikubaliane na anachosema Ontario, kwanza alianza wakati ule Ontario anapost picha za Shambani kwake pamoja na Mabanda yake ya Kuku, sasa alichokuwa anakifanya Chasha ni kutuma PM kwa watu na kusema hizo siyo shughuli halali za Ontario bali ni picha tu kazitoa South Africa na ndiyo maana anaficha sura, mimi nikamuuliza wewe ni Verified User mbona Avator yako umeweka picha ya Kuku? Kwa maana hiyo wewe ni Kuku? Hakujibu

Tunapata shida sana na huyu mtu ana chuki tena chuki yake ni mbaya mno na kwa muktadha huu inaonyesha kuwa huyu mtu hata maisha yake ni failure inakuwaje mtu unaonyesha chuki za wazi wazi ambazo si za msingi?

Ndiyo maana nikaufananisha wivu wake kuwa ni wa kike. Dada yangu kama umekwazika uniwie radhi si kuwa na maana hiyo, najua sasa hivi Wanawake mnapambana sana na hali zenu!

Mimi mwenyewe nimemshangaa naona amekuwa na juhudi sana za kumkandia mwenzake may be kuna mahali anazibiwa ndio maana. Nilitaka tu kukwambia hata wanaume wako na wivu mbaya wengine hata wa kuharibiana au kuchongeana nimeona hii kwa macho yangu ndio maana sielewi huo wivu wa kike ukoje? Binadamu wote huwa tuko na roho ya ubinafsi na umimi so vijiba vipi kwa wote. Ila wengine wamevuka mipaka kama hawa tunaowaona kwenye hii thread.
 
vp mkuu unafunguaje account yake ya real account.maana kwa master card ya NMB inazingua mkuu
Kwa wanao tumia iq option broker nitafteni, nina toa signal za uhakika na free kwa makubaliano ya kulipwa baada yakupata faida yako.
vp mkuu unafunguaje account yake ya real account.maana kwa master card ya NMB inazingua mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom