Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nafkiri lile wenge la forex limeisha jinsi ilivyokuja masikioni kwa watu na matarajio yaliyokwa kabla na ukweli uliopo na uliokutwa juu ya forex baada ya kuingia. Basi kwa kuwa ukweli umejulikana twende hapa, hii ni kwa wote tuliopo kwenye biashara hii tukasome kitabu hiki ambacho kimefafanua basic logics kutoka katika vitabu kadhaa muhimu vya forex na kuwekwa kwenye nakala moja kwa lugha ya kiswahili. Jinsi ya kukipata mawasiliano haya
0625934471 & 0653935820. Popote ulipo Tanzania hii.
IMG_20180205_165937_736.jpg
 
Choosing A Broker
(And Suggestions)

Unawezaje kuchagua broker? Kuna mengi ambayo unaweza kuyatilia maanani kabla hujachagua broker, na hvyo kukuepushia kuhamahama kwa mabroker tofauti tofauti.

Kuna waswahili wanasema "Utazunguka mabucha yote nyama ni ile ile", Trust me, wanakudanganya... Kuna mahali utapata nyama ya jana, kwingine ya juzi na kwngne ya leo leo[emoji3] [emoji3]

Hebu tuone sifa nzuri za mabroker.

1. Urahisi wa kuweka na kutoa pesa.

Hii ndo sifa ya kwanza na ya muhimu kuliko zote. Tunatrade ili tupate pesa, na pesa inayopatikana iweze kutumika pale inapohtajika.
Kama kuna ugumu katika kutoa pesa, then ni kama kuweka pesa bank isiyo na ATM, ambayo ukichelewa muda wa kazi ijumaa hata upatwe na tatzo jms, itabd usubiri j3... Mengine mnayafahamu...

2. Regulated Broker
Ni muhimu broker unayemtumia akawa regulated, kutrade na broker asiye regulated ni sawa na kumkopesha mtu laki tano, na hali unajua anadaiwa zaidi ya milioni.... Trust me, likitokea la kutoa (sio mara nyingi lakini), hauna hata wa kum consult.

3. Standard and Mini Accounts.
Standard akaunt ni zile ambazo ukideposit $1 utaiona hvyo katika trading platform, na mini ni zile ambazo ukideposit $1 katika trading platform unakuta 10 au 100 ( kuwa makini, sijaandika $10 au $100, kwa sbb haziwi dola tena AFTER BEING CONVERTED )
Mini akaunti ni MUHIMU SANA kwa newbies na wanaotaka kutest new strategies (this is half real half demo)

4. Customer Care...
Wote tunajua inavyoboa service provider anapozingua, hafu unampgia either hapokei, au hajibu ili kukupa msaada...

5. Unataka kutrade pair zipi?
Japo wote ni mabroker, co wote wana pair zinazofanana... Kuna wengine wana pair nyingi zaidi kuliko wengine. Kuna wengine wana Cryptocurrency wengine hawana... Ni muhimu kujua pair unayo itaka kama ipo, hasa pair ambazo ni Exotics... Ushawah ona pair inaitwa NOKSEK? au SGDJPY? Au EURPLN?

6. SPREADS.
hadi nimeandika kwa herufi kubwa![emoji3]
Small spreads with commission? A bit large without commission? Ukikosea hapa, ni tabu tupu!
f344deb5862650ce39e3906a36871138.jpg





Suggestions:

JAFX ( JAFX - Trade With A Reputable Forex Broker )
Huyu sifa yake kubwa ni Cryptocurrency. Kuna cryptocurrencies zaidi ya 60, kwa huyu broker, na vile cryptos unaweza trade wakati wowote, kwa broker huyu hakuna jumamosi wala jumapili. Trade wakati wowote upendao.
Spreads zake kwa pair nyngne ni kubwa lakini bearable, ila Cryptocurrency ni ndogo sana ukilinganisha na mabroker wengne.View attachment 690245





Templer FX ( TemplerFX | Trade With Standard And Cent Accounts
Sifa yake kubwa ni kuweka na kutoa kwa Mpesa, na wanajitahd katika customer services... Pia huyu ana Cent Accounts.


Pepperstone ( Pepperstone | Forex Trading with Pepperstone - Australia's Fastest Growing Forex Broker )
Broker wa australia ambaye akaunti yake ya razor ( small spreads with commission )sometimes hufika spreads zero kwa baadhi ya pair... Ugumu unakuja kwenye kufund, hana mpesa, lakini ana options nyingi, ikiwemo skrill ( www.skrill.com )na neteller.View attachment 690251




Tickmill Tickmill - Trade With Trusted Forex Broker
Moja ya broker wanaoheshimika sana. Standard account yao ina spreads kubwa, pro ina spreads ndogo ikiwa na commission.
Kwa sasa wapo katika majaribio ya kudeposit kwa kutumia mpesa, airtel na tigopesa

Kuna sifa nyngne? Changia kwa reply ya post hii.

Trade Safely!
See You At The Top!
Good
 
Mkiwa mnapata loss pia mtupie hapa
. Maana hii forex Leo unapata faida ya $100 kesho loss $700.....
Nikushauri k2?! Halafu you wl thank me later?!
Ktk maisha yako ya kutrade, Always use a stop loss(s/l) walio iweka pale hawakua wajinga.
Hii mambo ya kuliacha li account liko uchi tu trades ziko on halafu unaenda kulala...mtalia sana.
Kwamfano umeshaona uko kene major resistance na Doji au spinning top ishatokea pale kama comfirmation,then the high of the doji should be ur stop loss.
Ukifanya hivi, hata kama utakula loss u wl never burn ur accnt.Never
Pale jangid last time akati nimeenda kwa REA for consulation nilikutana na jamaa yy alikuaga ile intake ya kwanza jamaa alianzaga na $300 akatrade for 3months akakuza hadi $4000 afu akaziunguza ndani ya cku1.na hyo haikua mara ya kwanza ku burn account, ashaburn zaidi ya mara 5.alipoanza tu kucmulia stori yake kuhusu kuburn account hata kabla hajasema ilikuaje tayar nilikua nishajua kosa lake.
Always use stops, remember there is always a price that says we r wrong.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom