Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
For the true fact of Market unpredictability and volatility then scalper wako kwenye hatari kubwa ya kuburn account kuliko swinger.

Kuna yule jamaa wa Ghana alikuwa professional scalper akaaminiwa hadi na mabenki na kupewa Kazi ya kutrade kwa niaba yao kwa techniques zake matata za kuscalp mbona alichoma mapema tu mabilion ya pesa za Benki ya uswisi wakamfunga na kumfunga jela. This implies to us also market is unpredictable na hivyo ukiwa scalper huko mmagumu. Imagine professional anachoma mabilioni je wewe mwenye miezi mitano?

But swinger anaweza kuplace trade na kuja kuangalia hata mwaka ujao akajikita in profit. Na hii ndio siri ya Forex..chukua kidogo kidogo in a long run uwe consistency profitable but sio kwa mkupuo..no huwezi utakuwa market donor tu.
Scalping is noisy trading. Mi binafsi hata kutrade kwenye 1hr time frame bado naona ni noisy trading. Na prefer kutrade kuanzia 4hrs time frame as minimum. Na mara nyingi ukitrade kwenye ukitrade kwenye 4hrs time frame na kuendelea ukichnaganya na strategies zako za trading na kama trend itakwenda vizuri utafurahi. Scalping inabidi uwe umepiga weed japo kidogo!
 
Scalping is noisy trading. Mi binafsi hata kutrade kwenye 1hr time frame bado naona ni noisy trading. Na prefer kutrade kuanzia 4hrs time frame as minimum. Na mara nyingi ukitrade kwenye ukitrade kwenye 4hrs time frame na kuendelea ukichnaganya na strategies zako za trading na kama trend itakwenda vizuri utafurahi. Scalping inabidi uwe umepiga weed japo kidogo!
Oooopsiii! Hatimea umeelewa sasa mzawa.

Eti mtu anatrade 15M chart na proudly anajiita scalper..wewe hata market maker hana hiyo jeuri.
 
1518985578388.png
 
nataka nianze kufanya trading lakini wiki ya pili sasa nashindwa kukamilisha kipengela cha profile haswa adrees..sina box la posta ninalo limiliki blocker ni tickmill..ushauri wenu please ,,au kama kunaanae mfahamu blocker mwingine ambaye niwauhakika na sio complicated kama huyo anijuze ...natamani nianze kutrade hata leo maana nimesha choka kutrade kwa kutumia demo account
 
nataka nianze kufanya trading lakini wiki ya pili sasa nashindwa kukamilisha kipengela cha profile haswa adrees..sina box la posta ninalo limiliki blocker ni tickmill..ushauri wenu please ,,au kama kunaanae mfahamu blocker mwingine ambaye niwauhakika na sio complicated kama huyo anijuze ...natamani nianze kutrade hata leo maana nimesha choka kutrade kwa kutumia demo account
Cc AMLIGHT
 
nataka nianze kufanya trading lakini wiki ya pili sasa nashindwa kukamilisha kipengela cha profile haswa adrees..sina box la posta ninalo limiliki blocker ni tickmill..ushauri wenu please ,,au kama kunaanae mfahamu blocker mwingine ambaye niwauhakika na sio complicated kama huyo anijuze ...natamani nianze kutrade hata leo maana nimesha choka kutrade kwa kutumia demo account
www.templerfx.com
 
Choosing A Broker
(And Suggestions)

Unawezaje kuchagua broker? Kuna mengi ambayo unaweza kuyatilia maanani kabla hujachagua broker, na hvyo kukuepushia kuhamahama kwa mabroker tofauti tofauti.

Kuna waswahili wanasema "Utazunguka mabucha yote nyama ni ile ile", Trust me, wanakudanganya... Kuna mahali utapata nyama ya jana, kwingine ya juzi na kwngne ya leo leo[emoji3] [emoji3]

Hebu tuone sifa nzuri za mabroker.

1. Urahisi wa kuweka na kutoa pesa.

Hii ndo sifa ya kwanza na ya muhimu kuliko zote. Tunatrade ili tupate pesa, na pesa inayopatikana iweze kutumika pale inapohtajika.
Kama kuna ugumu katika kutoa pesa, then ni kama kuweka pesa bank isiyo na ATM, ambayo ukichelewa muda wa kazi ijumaa hata upatwe na tatzo jms, itabd usubiri j3... Mengine mnayafahamu...

2. Regulated Broker
Ni muhimu broker unayemtumia akawa regulated, kutrade na broker asiye regulated ni sawa na kumkopesha mtu laki tano, na hali unajua anadaiwa zaidi ya milioni.... Trust me, likitokea la kutoa (sio mara nyingi lakini), hauna hata wa kum consult.

3. Standard and Mini Accounts.
Standard akaunt ni zile ambazo ukideposit $1 utaiona hvyo katika trading platform, na mini ni zile ambazo ukideposit $1 katika trading platform unakuta 10 au 100 ( kuwa makini, sijaandika $10 au $100, kwa sbb haziwi dola tena AFTER BEING CONVERTED )
Mini akaunti ni MUHIMU SANA kwa newbies na wanaotaka kutest new strategies (this is half real half demo)

4. Customer Care...
Wote tunajua inavyoboa service provider anapozingua, hafu unampgia either hapokei, au hajibu ili kukupa msaada...

5. Unataka kutrade pair zipi?
Japo wote ni mabroker, co wote wana pair zinazofanana... Kuna wengine wana pair nyingi zaidi kuliko wengine. Kuna wengine wana Cryptocurrency wengine hawana... Ni muhimu kujua pair unayo itaka kama ipo, hasa pair ambazo ni Exotics... Ushawah ona pair inaitwa NOKSEK? au SGDJPY? Au EURPLN?

6. SPREADS.
hadi nimeandika kwa herufi kubwa![emoji3]
Small spreads with commission? A bit large without commission? Ukikosea hapa, ni tabu tupu!
f344deb5862650ce39e3906a36871138.jpg





Suggestions:

JAFX ( JAFX - Trade With A Reputable Forex Broker )
Huyu sifa yake kubwa ni Cryptocurrency. Kuna cryptocurrencies zaidi ya 60, kwa huyu broker, na vile cryptos unaweza trade wakati wowote, kwa broker huyu hakuna jumamosi wala jumapili. Trade wakati wowote upendao.
Spreads zake kwa pair nyngne ni kubwa lakini bearable, ila Cryptocurrency ni ndogo sana ukilinganisha na mabroker wengne.View attachment 690245





Templer FX ( TemplerFX | Trade With Standard And Cent Accounts
Sifa yake kubwa ni kuweka na kutoa kwa Mpesa, na wanajitahd katika customer services... Pia huyu ana Cent Accounts.


Pepperstone ( Pepperstone | Forex Trading with Pepperstone - Australia's Fastest Growing Forex Broker )
Broker wa australia ambaye akaunti yake ya razor ( small spreads with commission )sometimes hufika spreads zero kwa baadhi ya pair... Ugumu unakuja kwenye kufund, hana mpesa, lakini ana options nyingi, ikiwemo skrill ( www.skrill.com )na neteller.View attachment 690251




Tickmill Tickmill - Trade With Trusted Forex Broker
Moja ya broker wanaoheshimika sana. Standard account yao ina spreads kubwa, pro ina spreads ndogo ikiwa na commission.
Kwa sasa wapo katika majaribio ya kudeposit kwa kutumia mpesa, airtel na tigopesa

Kuna sifa nyngne? Changia kwa reply ya post hii.

Trade Safely!
See You At The Top!
ongeza mkuu
 
Tutakubaliana tu mkuu maana nakupa fact in issue na experienced trader yeyote yule analijua hili.

Pia Mimi nimekuwa shaidi maana nilishawahi kudouble account kwa lot ndogo sana but the secret nilihold until the trend was completed ya D1...very easy,safe and in risk managed manner. Scalping is more riskier and less profitable maana unalazimika kutumia lot kubwa ili ukamue fasta sasa kwa vile market is unpredictable hapo sasa ndio kuunguza account ni sekunde tu..ila ni ngumu sana swinger kuchoma account maana analazimika kuweka decent lot ya kuvumilia market volatility..kuna watu wanaplace trade then wanaenda na kwenye shughuli zao coz they are risk management ziko on point. Kuna kundi niliona mentor anaweka signal anawambia jamaa hold "until next month" na humo jamaa wana mkwanja kama Freemason but they have very good lot size ambazo ni friendly na risk managed.

Kuna jamaa yangu yeye ana account ya dola $100 yeye huwa anaweka trade 3 za lot ya 0.01 then anahold hadi week mbili from resistance zone to support.. Anachopata ni kikubwa kuliko sisi tuliokuwa tunajifanya scalpers na kuunguza account juu..tunaunguza..maana scalping inatawaliwa sana na greedy ya kupata zaidi tofauti na swingers ambao ni calm and patience which is key in Forex trading success.
Rafiki unaongea vitu very constructive. Mimi ni scalper but nakubaliana na ww kuwa scalper anatrade kwa kurisk mnoo coz scalpers tuna hunt few pips (short market moves) which are very unpredictable and we usually use huge lot size which is too risky.
In my opinion, scalping is good If you have a good capital which can torelate market shocks but kwa vi account vidogo scalping equal to feeding broker's pocket.
 
Dunia ya leo imejaa utapeli sana hii ni KAMARI tu hakuna namna
Nguvu inayotumika kuaminisha watu kuwa forex ni kamari itumike hivyo hivyo kwa tatu mzuka, BIKO na wengine kama hao. Maana kama kuna kamari inayotia umasikini maelfu kama sio mamilioni ya maskini wa TZ ni Tatu mzuka na BIKO. Hizo buku na jero watu masikini wanazopoteza kila siku kwa kuwachangia Tatu mzuka na BIKO kwa mategemeo kwamba watapata mamilioni ya hiyo ndiyo kamari hasa inayotakiwa kupingwa humu ndani ya jukwaa hili. Forex ni business kama ilivyo business nyingine siyo gambling hata kidogo.

Wengine wanasema eti forex ni betting, yes kwa kiasi fulani naweza kukubaliana nao maana kuna utofauti kidogo kati ya BETTING na GAMBLING. Kwenye betting unapata fursa ya kusoma mazingira ya mchezo (unafanya analysis) then ndio unaamua kucheza huo mchezo kutokana na hiyo analysis yako. Lakini gambling hakuna fursa ya kufanya analysis ni kubahatisha tu. Na hicho ndicho BIKO na tatu mzuka wanafanya. Kwa hiyo kuliko kukomaa na forex komaeni na hao wanaowaongezea umaskini maelfu kama siyo mamilioni ya watz maskini kila kukicha!
 
Nguvu inayotumika kuaminisha watu kuwa forex ni kamari itumike hivyo hivyo kwa tatu mzuka, BIKO na wengine kama hao. Maana kama kuna kamari inayotia umasikini maelfu kama sio mamilioni ya maskini wa TZ ni Tatu mzuka na BIKO. Hizo buku na jero watu masikini wanazopoteza kila siku kwa kuwachangia Tatu mzuka na BIKO kwa mategemeo kwamba watapata mamilioni ya hiyo ndiyo kamari hasa inayotakiwa kupingwa humu ndani ya jukwaa hili. Forex ni business kama ilivyo business nyingine siyo gambling hata kidogo.

Wengine wanasema eti forex ni betting, yes kwa kiasi fulani naweza kukubaliana nao maana kuna utofauti kidogo kati ya BETTING na GAMBLING. Kwenye betting unapata fursa ya kusoma mazingira ya mchezo (unafanya analysis) then ndio unaamua kucheza huo mchezo kutokana na hiyo analysis yako. Lakini gambling hakuna fursa ya kufanya analysis ni kubahatisha tu. Na hicho ndicho BIKO na tatu mzuka wanafanya. Kwa hiyo kuliko kukomaa na forex komaeni na hao wanaowaongezea umaskini maelfu kama siyo mamilioni ya watz maskini kila kukicha!
Mkuu kwenye Betting kuna Leverage???? Nijibu
 
Ndio maana nimeona hata ninyamaze tu maana kwenye mtandao humu unaweza kuwa unabishana na mwanao au mpwa wako. Very imbecilic.

Hiyo hela anayoonyesha haikufanyi uwe millionaire kama at only 20 years kama dogo Sandile shezi maana hukamui vizuri trend Bali inakufanya ubadilishe tu mboga na laba Kali za Gucci only..ni sawa na unatrade then ukipata kifaida kidogo then unatoka wenzako wanahold hadi week mbili profit yenu haiwezi kuwa sawa licha ya same lot mliotumia.

Huyu hapa janki msouth anaitwa Vaphi yeye sio institution ni yeye mwenyewe huwa anahold hadi week mbili trade zake na hii ndio result zake mostly
2757bc698bb50732f1efbfc03437137e.jpg

This is the power of holding I'm talking about angekuwa scalper hapa asingepata hata robo ya huu mkwanja maana angelazimika kuexit trade early.



huyu hapa scalper anaye tengeneza zaidi ya mara 20 ya kiasi alicho hold Vaphi...kupitia scalping tu.😀😀😀😀
28158859_1560920374027152_7030935255385112576_n.jpg
 
huyu hapa scalper anaye tengeneza zaidi ya mara 20 ya kiasi alicho hold Vaphi...kupitia scalping tu.😀😀😀😀View attachment 698340
Acha ubishi mkuu! Unaona risk management ipo sawa hapo lot ya 50 vipi market ikicheza kidogo against his trade...anachoma akaunti mapema. Maana kwa hiyo lot hata taasisi kama edge fund and banks haziweki lot za namna hii this is greedy bastardisation na Forex haitaki greedy..inataka risk management.

Forex is not all about knowing the technical and fundamental news..Forex is about how you can manage your calculated risk. Maana Forex kabla hata hujaanza kutrade unaambiwa your capital is at risk kwa hiyo Kazi kubwa uliyonayo ni kuhakikisha unaguard mtaji wako kwa huyu jamaa kaweka mtaji wake uchi..soon ataanza kuita Forex is a scam.
 
Acha ubishi mkuu! Unaona risk management ipo sawa hapo lot ya 50 vipi market ikicheza kidogo against his trade...anachoma akaunti mapema. Maana kwa hiyo lot hata taasisi kama edge fund and banks haziweki lot za namna hii this is greedy bastardisation na Forex haitaki greedy..inataka risk management.

Forex is not all about knowing the technical and fundamental news..Forex is about how you can manage your calculated risk. Maana Forex kabla hata hujaanza kutrade unaambiwa your capital is at risk kwa hiyo Kazi kubwa uliyonayo ni kuhakikisha unaguard mtaji wako kwa huyu jamaa kaweka mtaji wake uchi..soon ataanza kuita Forex is a scam.
Kila nikikuta comments zako zinaniacha na Kitu kichwani
 
Kila nikikuta comments zako zinaniacha na Kitu kichwani
Wow! Nimefurahi kusikia hivi ingawaje unaonekana wewe ni open minded unaruhusu material mapya yaingie kichwani mwako tofauti na wale closed mind wanachokijua wao ndio hicho hicho hawataki Mawazo mapya hata kama yana ukweli ndani yake.

Hongera utafika mbali..ila wenye majina ya Daudi huwa tuna bahati sana ya kuwa open minded and charismatic hivyo mafanikio kwetu huwa ni guaranteed.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom