Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
mkuu hii iko poa sana sanaaaaaaa nimeitumia sana hiii huwa sio kama indicator nyingine iko safi sana, naomba hiyoo yako maana yangu haina NEWS
NJO NA BANDO LAKO TU UNALO PENDA NIKUPE ZIPED FILE ZOTE 100
 
Lako si pesa nakutumia analysis hapa isipo tiki ijumaa mods wakupige ban
Mwambie achague "pair" anayoitaka
weka ya USD/EURO....nimetumia indicator zote,,,,signals zaidi ya 20 nimeinstall kwenye simu kutoka kwa mentor zaidi ya 10...ninachoambulia ni notification za STOP LOSS! kila baada ya masaa kadhaa...hahaha wekeni hapa tuone msilete janja janja huku mnaumia
 
Aisee hii kitu nimefundishwa sana chuoni, somo la Macroeconomic na Advanced macroeconomic. Kuna both stock trading na currency trading. Na tangu chuo nimefundishwa currency trading is subject to constant fluctuations that occurs in the minute. But the difference gap of one minute or second is a trading opportunity.

Sasa on which basis unaweza sema ni betting? Nimesoma probability pia lkn na hiyo ndio betting kwa sababu ya equal chance of pure occurrence of an event.

Forex is a typical business, shida ni sisi trader tunatumia broker labda hapo ndio penye shida endapo huyo brocker ni uchwara. Other wise unapofeli kitu does not mean ni kibaya kwa matumizi. Go rethink your strategy and come back. Ukishindwa achana na Forex fanya mengine.
Forex ya chuo ni tofauti na hii ya kutegemea chart za scammers wa Ulaya
 
weka ya USD/EURO....nimetumia indicator zote,,,,signals zaidi ya 20 nimeinstall kwenye simu kutoka kwa mentor zaidi ya 10...ninachoambulia ni notification za STOP LOSS! kila baada ya masaa kadhaa...hahaha wekeni hapa tuone msilete janja janja huku mnaumia
Hahaha, ndio maana nikasema we dogo mweupe sana kwa kichwa, hebu andika hiyo Pair Quotation vizuri alafu tuendelee maana katika Forex hamna pair ya namna hiyo, nina wasiwasi sana hata Intro ya Fx hauna kabisa kama umeshindwa hata kuandika pair
 
Hahaha, ndio maana nikasema we dogo mweupe sana kwa kichwa, hebu andika hiyo Pair Quotation vizuri alafu tuendelee maana katika Forex hamna pair ya namna hiyo, nina wasiwasi sana hata Intro ya Fx hauna kabisa kama umeshindwa hata kuandika pair
Hiyo pair ndio nimeiona kwa mara ya kwanza leo
 
weka ya USD/EURO....nimetumia indicator zote,,,,signals zaidi ya 20 nimeinstall kwenye simu kutoka kwa mentor zaidi ya 10...ninachoambulia ni notification za STOP LOSS! kila baada ya masaa kadhaa...hahaha wekeni hapa tuone msilete janja janja huku mnaumia
Nani alikwambia indicators ni kufanikiwa forex[emoji1]


Yani forex ingekuwa simple hivyo yani ukipata signals una Buy au Sell ndio ingekuwa biashara rahisi duniani. Wewe bado mweupe sana kichwani unahitaji muda zaidi kusoma.


Ungeendelea na Hayo ma signals yako ipo siku ungekuta si account tu ndio imeungua bali pia nyumba yenu nzima
 
Nani alikwambia indicators ni kufanikiwa forex[emoji1]


Yani forex ingekuwa simple hivyo yani ukipata signals una Buy au Sell ndio ingekuwa biashara rahisi duniani. Wewe bado mweupe sana kichwani unahitaji muda zaidi kusoma.


Ungeendelea na Hayo ma signals yako ipo siku ungekuta si account tu ndio imeungua bali pia nyumba yenu nzima
Dogo ni haki yake kulia Kama alifikiri Indicator ndio kila kitu
 
Bora betting aisee unaweza kufanya analysis timu ukatoboa...lakini Forex hata usome vitabu 100 bado hakuna kitu chart haieleki mara ipande,mara ishuke yaani unaweza kuwa kichaa ukaanza kuongea mwenyewe barabara kuna wanafunzi wa Ontario na tapeli msouth Cre hawana hamu kama wamedata hivi hahaha hii kitu isikie tu ni hatari mno
Km vile mtu aliyesomea arts umpe swali la advanced physics, atasema anaona madudu tuu hilo somo baya halifai, ila sio kwamba wote wanaona km yeye, so we fanya linalokufaa kwa upeo wako wewe, usijiingize kwenye biashara usiyo na upeo nayo hata siku moja maana unachezea pesa ambayo inatumika kweli, pata elimu sahihi ya kutosha ndo ufanye forex trading, otherwise unajipotosha na kuupotosha umma
 
watu wa Forex tunajijua...tunajifanya tuko smart, bright, tuna akili lakini ukweli tunaujua moyoni haha acha kufa na tai shingoni....tunaugulia maumivu moyoni ..nina uhakika kama kweli unafanya Forex hauna uhakika hata Pair moja kesho soko likifunguliwa uelekeo wake ukoje...tunabahatisha tu...hakuna hata trader mmoja anaejua uelekeo wa chart dakika tano zijazo utakuwaje hata ufanye analysis ya namna gani hakuna..tunachofanya ni kubahatisha tu.....Kama huamini nyie mnaojiita magwiji wa Forex mko smart kichwani tufanye analysis ya trade ya wiki moja tu kuanzia kesho jumatatu mpaka ijumaa kama hamjaangukia pua !!!! acheni kutudanganya forex ni bahati nasibu
We jamaa unafuatiliaga indices, stocks, au hata factors zinazoweza kusababisha currency ikaanguka, if you dont have information you dont have the right to utter, ile ni trading on currency, na siku zote inabid uwe na information za kutosha, hamna kazi ya kujibunia tu kila kazi ina "information" hata mkulima hawezi kulima zao la masika kipindi cha ukame akasema kilimo hakilipi, we km unataka forex bas kuwa mfuatiliaji uwe na taarifa za kutosha
 
Hahaha, ndio maana nikasema we dogo mweupe sana kwa kichwa, hebu andika hiyo Pair Quotation vizuri alafu tuendelee maana katika Forex hamna pair ya namna hiyo, nina wasiwasi sana hata Intro ya Fx hauna kabisa kama umeshindwa hata kuandika pair
haha si umeelewa ni EURO/USD watu wa forex tatiz mnajiona smarts sana lakini ukweli unabaki moyoni..tunaugulia maumivu na stress kila siku
 
We jamaa unafuatiliaga indices, stocks, au hata factors zinazoweza kusababisha currency ikaanguka, if you dont have information you dont have the right to utter, ile ni trading on currency, na siku zote inabid uwe na information za kutosha, hamna kazi ya kujibunia tu kila kazi ina "information" hata mkulima hawezi kulima zao la masika kipindi cha ukame akasema kilimo hakilipi, we km unataka forex bas kuwa mfuatiliaji uwe na taarifa za kutosha
Hata ufuatilie hizo stock, indices zote duniani ukija kutrade lazima uangukie pua tu,, ,,Forex haina cha shule wala ujuaji...hii ni bahati nasibu tatizo watu wa Forex mnajifanya mna akili mkiambiwa muweke analysis mnaleta bla bla kwa sababu mnajua mtachemsha ..forex haina cha elimu wala ujuaji ni bahati nasibu kama biko
 
haha si umeelewa ni EURO/USD watu wa forex tatiz mnajiona smarts sana lakini ukweli unabaki moyoni..tunaugulia maumivu na stress kila siku
Hamnaa km stress mbona doctor ana stress kuliko ww, huna information na forex huna hiyo urge to learn, huna interest na forex trading so wenzio wanazo interest wanafuatilia taarifa, trading without information ndo inakuletea hapo ulipo
 
Hiyo pair ndio nimeiona kwa mara ya kwanza leo
Wekeñi analysis ya wiki ijayo tuone.....najua hamuwezi mnajua mtaangukia pua....forex haina ujuaji wala cha elimu ni kubahatisha tu ndio maana mnaogopa kuweka analysis mtapata aibu
 
Hamnaa km stress mbona doctor ana stress kuliko ww, huna information na forex huna hiyo urge to learn, huna interest na forex trading so wenzio wanazo interest wanafuatilia taarifa, trading without information ndo inakuletea hapo ulipo
Information gani mkuu....Wale waxungu matapeli wanaochezesha ile charts hawaangaliagi cha information mkuu Forex haina cha information ni kamari
 
Wekeñi analysis ya wiki ijayo tuone.....najua hamuwezi mnajua mtaangukia pua....forex haina ujuaji wala cha elimu ni kubahatisha tu ndio maana mnaogopa kuweka analysis mtapata aibu
Hahahah, dogo nenda kaandae tu sare kesho shule, Forex imekushinda kabisa hata kuandika currency pair umeshindwa
 
Hahahah mkuu kubadilika huwa ni kugusa tu kuna comments zako za nyuma humu unaapa forex huachi ng'o na betting wala huna mpango wa kuuchana nayo ila asaiv naona kama imekufanya mbaya hebu Nambie kwa mtazamo wako kati ya forex na betting ipi ina nafuu?
Hahaha jamaa amepiga u-turn moja matata sana.
 
KAMA UMEELEWA LIKE HAPA kama kilaza pita hivi

why_traders_fail.png
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom