Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
upload_2018-7-23_19-33-50.png


Siku ya leo imetawaliwa na BLUE pips katika group ya DayTradersTz

- Waweza kujiunga na telegram channel DayTradersTZ kupitia hii link: DayTradersTZ au Ingia kwenye telegram yako pale kwenye search box andika @DTTfx
 
Nimejaribu kutengeneza trading risk/money management template ya kuni-guide wakati ninapokuwa natrade forex. Hiyo ni mtazamo wangu kama unawazo mbadala fungukeni ili tuweze kusaidiana kupunguza kasi ya kuunguza account zetu hasa kwa newbies! NAWASILISHA!
 

Attachments

Nimejaribu kutengeneza trading risk/money management template ya kuni-guide wakati ninapokuwa natrade forex. Hiyo ni mtazamo wangu kama unawazo mbadala fungukeni ili tuweze kusaidiana kupunguza kasi ya kuunguza account zetu hasa kwa newbies! NAWASILISHA!
upload_2018-7-25_19-13-19.png

Nimeipitia, iko vyema.

Mapungufu yako kwenye SL, kuna pair zina spread kubwa, bado broker hajaweka zake.

Hapo naona SL iko too tight labda kama una ECN account yenye spread ndogo kwa major pairs kama EURUSD, USDJPY na GBPUSD, na ukawa una trade only majors.

Hiyo SL ya 10pips ni kwa lower time frame kama 5minutes, na kwa scalpers. Ila kwa higher time frame hizo pips kwa SL ni ndogo sana.

Kinacho waumiza wengi ni kutaka ku_double account ndani ya siku chache.

Unakuta mtu ana account size ya chini ya dola 100, ila anatembea na lot kubwa.
 
View attachment 818642
Nimeipitia, iko vyema.

Mapungufu yako kwenye SL, kuna pair zina spread kubwa, bado broker hajaweka zake.

Hapo naona SL iko too tight labda kama una ECN account yenye spread ndogo kwa major pairs kama EURUSD, USDJPY na GBPUSD, na ukawa una trade only majors.

Hiyo SL ya 10pips ni kwa lower time frame kama 5minutes, na kwa scalpers. Ila kwa higher time frame hizo pips kwa SL ni ndogo sana.

Kinacho waumiza wengi ni kutaka ku_double account ndani ya siku chache.

Unakuta mtu ana account size ya chini ya dola 100, ila anatembea na lot kubwa.
Thanks kwa comment! Labda we unapendekeza stoploss iwe ngapi minimum kwa 1hr timeframe na kwa lot size ipi?
 
GBPJPY, EURUSD naziogopa sana kila nikizigusa zinanitoa sokoni na huge losses nikazifuta, ngoja nizirudie kwa somo lako
Mnamo mwaka jana nilijitahid sana kufatilia uzi huu na hata kuanza kujifunza lkn nilijikuta nafail sabab hii issue ilinitak kutumia muda mwing kidog na nilikuwa tight san na masomo so kiukwel forex ikabaki stry kwa kichwa chang ila natamani sana kuijua hiii biashara na hata kuweka mzigo wangu
Kwahyo mkuu mfundushwaji nipo hapa naweka contact zangu unipe somo ikiwezekana uwe mentor wng km nikishindwa kuelewa haraka
Cont:0769939879
:0718979610
Email:kulwankenzule431@gmail.com
 
Kwenye kozi nzima uki_sum up utagundua kuwa umejifunza vitu vitatu
1. Market cycle - Daily, Weekly etl
2. Timming - Entry / Exit time, Market sessions na ni muda gani hutakiwi kuingia sokoni.
3. Pattern

Ukimaster hivyo vitatu, ukitazama tu_chart unajua hapa market iko level ipi?, Je uingie sokoni au usiingie sokoni? Na kwa sababu zipi??

Kozi nzima ya BTMM inakufungua mambo mengi ambayo retail traders hawajui.
Mwl naomba nisaidie nijue hivi vitu mkuu.
 
Sahihi kabisa
Ndio sababu kwa pairs kama: GBPAUG, GBPJPY, GBPNZD
- Waweza SELL kwenye ASIAN session, na pair hiyo hiyo uka_buy LONDON session ambapo entry inakuwa kati ya saa tatu na nusu asubuhi hadi saa sita, Then take profit inakuwa kabla ya saa 10jioni.

- naona tunazungumza lugha inayofanana.
- nakutakia kila lakheri mdau.
Mkuu hili suala la session hasa kwa saa zetu za kibongo linanichanganya mkuu.

Naomba unisaidie mkuu. Kwa kibongo nitajuaje saiv ni London, Asian, Newyork...
 
Kwa wale wanaopenda kumtumia broker Templerfx, unaweka na kutoa pesa kwa M PESA, kiwango cha chini kudeposit ni $1 , uki withdraw ndani ya dakika 30 unapokea hela yako kwenye simu. Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako chochote kama cha kupigia kura au uraia, E-mail pamoja na namba ya simu, chini ya saa 72 usajili unakuwa umekamilika na unaweza kuanza ku Trade Live.

Jisajili TemplerFX | Promo


Ukihitaji msaada nicheki Inbox
 
Thanks kwa comment! Labda we unapendekeza stoploss iwe ngapi minimum kwa 1hr timeframe na kwa lot size ipi?
Kikawaida mimi ninapotrade natazama high probability setups... Then sl huwa nyuma ya previus swing high au low... Ninaogopaga sana kutumia pips kama kipimo cha sl kwa sbb wakati mwngne kama idadi hyo ya pips haiko nyuma ya swing low au high inaweza kufikiwa kirahisi tu... Haya ni maoni yangu tu
 
Ninaogopaga sana kutumia pips kama kipimo cha sl kwa sbb wakati mwngne kama idadi hyo ya pips haiko nyuma ya swing low au high inaweza kufikiwa kirahisi tu... Haya ni maoni yangu tu
Je katika Timeframe ipi? unazungumzia
 
Daah, gharama za BTMM ni ghali sana, nikapata material yote uvivu ukanishika,

nilijitrain kutazama chati kwa muda mrefu sana plus kusoma candlestick sana

nikimpata mtu wa kufundisha nitasoma
Candlestick ni kitu rahisi sana kuelewa in a matter of a week unajua kila kitu.. In short hii ni siku ya nne nasoma candlestick naona mwanga taratibu nikimaliza hii naingia course nyingine nahisi itakua rahisi pia kama nilimaster company na hire purchase in a matter of one month najiahidi after four months naanza kuingia sokoni kudownload pesa.
 
Candlestick ni kitu rahisi sana kuelewa in a matter of a week unajua kila kitu.. In short hii ni siku ya nne nasoma candlestick naona mwanga taratibu nikimaliza hii naingia course nyingine nahisi itakua rahisi pia kama nilimaster company na hire purchase in a matter
Tatizo likokwenye real application ya hicho unachokisoma

Tatizo liko kwenye entry na exit

Tatizo liko kwenye market timming.

Tatizo liko kwa martket maker

Sio rahisi kihivyo unavyo zungumzia.
 
Tatizo likokwenye real application ya hicho unachokisoma

Tatizo liko kwenye entry na exit

Tatizo liko kwenye market timming.

Tatizo liko kwa martket maker

Sio rahisi kihivyo unavyo zungumzia.
Of course hakuna kitu rahisi yes.
Ila kama unakumbuka enzi za shule(mimi June 2018) zile topic ngumu ndo tunazifaulu vizuri why??

Jibu kama siyo juhudi na seriousness naomba unielezee vizuri kaka mkubwa.
Note: I only red business in books (at school)

Forex Beginner.
 
Of course hakuna kitu rahisi yes.
Ila kama unakumbuka enzi za shule(mimi June 2018) zile topic ngumu ndo tunazifaulu vizuri why??

Jibu kama siyo juhudi na seriousness naomba unielezee vizuri kaka mkubwa.
Note: I only red business in books (at school)

Forex Beginner.

Make sure chief unapitia right information tu..!!

Hardworking is worthless if you are working on nonsense..!!
 
Last edited:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom