Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
JINSI YA KUPATA $30 NO DEPOSIT BONUS YA TEMPLER.
[T&C applies]

huenda ushatumia demo lakini uko na tatizo la mtaji... Au wengine tumeunguza akaunti, jinsi ya kuanza tena ni ngumu, hasa linapokuja suala la mtaji....

ANGALIZO:
Bonus hii ni kwa wateja wapya tu, kama ulishakuwa na akaunti ya Templer na ukaiwekea pesa, hautoweza kuipata, labda ufungue akaunt tofauti.

HATUA ZA KUFUATA:
1. Fungua akaunti mpya hapa:

Templer FX | Start with $30 No deposit Bonus

2. Verify email, namba ya simu (ni bora iwe voda, kwa ajili ya kutoa faida na kuendesha akaunti) na utambulisho wako.

3. Nenda MENU > OPEN ACCOUNT > chagua LIVE UNIVERSALFX > ok

4. Nenda Menu > Bonus > chagua akaunti yako ya universalFX, WEKA REDEEM CODE:

NDB30JN42017

Then submit.

5. Utapokea $30 katika akaunti uliyoifungua, mara nyingi within an hour.

6. Kama huna MT4 ,download hapa:

Playstore - Download MetaTrader 4 for Android

Start Trading!!


Ukihitaji msaada wowote, nicheck inbox
Jinsi ya kuipata hiyo bonus check hapa, lakn pia usisahau kupitia web ambazo mwl ameshare.. Ishu ni skills kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haiwi joint, ukipata bonus cna hakika kama unaweza kuifund...

Sent using Jamii Forums mobile app

Point yangu ni kuwa nimesoma masharti ya bonus account nikawa najiuliza kama ni ki-apply for bonus hiyo 30$ inawekwa kwenye hiyo UniversalFX account au napewa separate logins.? Maana kama itakuwa imeonganishwa na hiyo UniversalFX then masharti nayo yanakuwa applicable?
 
Point yangu ni kuwa nimesoma masharti ya bonus account nikawa najiuliza kama ni ki-apply for bonus hiyo 30$ inawekwa kwenye hiyo UniversalFX account au napewa separate logins.? Maana kama itakuwa imeonganishwa na hiyo UniversalFX then masharti nayo yanakuwa applicable?
Unapoomba bonus, inawekwa katika hyo akaunti, haitengenezwi nyngne. Login details ni zlezle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kwanza imevunja neckline... Signal hyo... Kazi kwenu...
Screenshot_20180818-204217_cropped.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
TEMPLER
with as minimun as $1 deposit and withdraw, via mpesa, skrill.
( https://templerfx.com )

PEPPERSTONE
minimum deposit of $25, no M Pesa. Available is skrill , netteller, direct bank and other ways...
( https://secure.pepperstone.com )

TICKMILL
minimum deposit $25. wako katika majaribio ya Mpesa, na wengine tulishajaribu kudeposit kwa mpesa na ikawa poa. japo ilisitishwa kwa muda. other deposit ways available includes skrill and visa.
NOTE: ukitaka kujisajili hapa hakikisha unatumia Tickmill Seychelles, huko ndipo Tanzania ipo, Haipo katika Tickmill UK.

( http://tickmill.com/seychelles )
 
Mkuu @ Mr Suprize hyo analysis ni kabla ya soko kufungwa ijumaa maana nikiangalia hyo last D1 candle imeshatembea sana
 
Best broker in Tanzania
Deposit na withdraw kwa mpesa ndan ya sekunde 10

Kujiunga ingia hapa templerfx

Enjoy trading without commision
 
*WAKANDA CAPITAL FOREX ACCOUNT MANAGEMENT*

Hii ni huduma mpya inayotolewa na *Wakanda Capital.*

Huduma hii ni mahususi kwa wale watu wenye uelewa na forex au wale wanaotrade ila hawana muda kutokana na majukumu ya kimaisha hivyo kupelekea kukosa muda wa kutrade kwa ufasaha. Hivyo, lengo la huduma hii ni kuweza kuwasaidia kumanage acc zao za Forex huku wao wakipata faida bila kufanya kazi yoyote.

*Je, ni nini kinahitajika ili kupata huduma?*
-Live Forex Account
-Templerfx kama broker
-Minimum Deposit ya $200

*Je, pesa ya kutrade ninaweka wapi?*
Pesa itawekwa kwenye acc yako. Kama huna acc ya Templer, unaweza kutumia link hii kufungua acc Templer FX Trader na ukimaliza utafanya usajili na kufungua live acc, baada ya hapo utadeposit kiasi husika. Kama ukikwama tupo hapa kukusaidia kwa kila step.

*Je, ninaweza kutoa faida inayopatikana?*
Acc ambayo itakuwa chini ya uangalizi wa *WAKANDA CAPITAL* inaruhusiwa kutoa pesa mara moja kwa mwezi, na faida ya mwezi husika itagawanywa 70% kwa 30%, ikiwa 70% itaenda kwa mwenye acc.

*Je, kama nina maswali zaidi nitawapata vipi*

Kwa maswali zaidi mnaweza kuwasiliana na (CEO) kupitia 0744839127 au (CFO) kupitia 0756684172.

*Wakanda Capital*

Sent using Jamii Forums mobile app
endapo nitadeposite hicho kiasi vipi mkiunguza akaunt hapo inakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom