Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nimepakua videos baadhi YouTube ngoja nijifunze kwanza kabla sija deposit

Jifunze tena sana mwenzio mwezi wa pili huu najifunza tu japo napata profit kwenye demo ila sijajiridhisha na uwezo ila kazia sana price action.
 
Tafuteni candlestick trading bible..hiki kitabu kimemalza mizozo yote..

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
candlestick trading bible..
Alphaking2023 Rashidi7
1535688846604.png
 

Attachments

Anae htaji kujifunza ii ktu awe mtu mmoja private au ashirikiane na watu awajuao yy yhan wawe group ..mnichangie kidogo nipate kuwaelekeza kama mtakuwa ni fast learners au beginners ni somo la siku moja tu au kama ndio hamjui chochote kabsa ni somo la siku mbili tu yhan ni kuwapa vtu vya muhimu tu .. Tutatumia my real trading account ktk kujfunzia ...mbwembwe nyingi hazihitajiki chamsingi ni ku win the market

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babypips,Currency trading for dummies,10 essentials of forex trading na hiki ni lazima
Kila mwandishi huwa ana lugha tofauti ya kuelezea kitu, utakuwa na uelewa mkubwa sana iwapo utasoma kitu hiko hiko kimoja toka kwa waandishi tofauti tofauti.

Kimsingi "Babypips,Currency trading for dummies,10 essentials of forex trading" hivi ulivyosoma vinakidhi ufahamu wa jumla wa FX

Ila inatakiwa utambue kuwa bado kuna mengi hujayafamu.

Mfano
- How to use daily market cycle in trading FX
 
Kila mwandishi huwa ana lugha tofauti ya kuelezea kitu, utakuwa na uelewa mkubwa sana iwapo utasoma kitu hiko hiko kimoja toka kwa waandishi tofauti tofauti.

Kimsingi "Babypips,Currency trading for dummies,10 essentials of forex trading" hivi ulivyosoma vinakidhi ufahamu wa jumla wa FX

Ila inatakiwa utambue kuwa bado kuna mengi hujayafamu.

Mfano
- How to use daily market cycle in trading FX

ok alafu kwenye babypips nimeskip vitu course tatu ambazo ni:
1.Elliott wave&theory
2.Pivot point
3.na ile course inayohusu USA

je ,Hivi vitu ni lazima kwa beginner kuvijua?
 
Tutatumia my real trading account ktk kujfunzia ...mbwembwe nyingi hazihitajiki chamsingi ni ku win the market
Hili ndio kubwa zaidi

Kwa upande wangu nimegawa wanafunzi kwenye makundi matatu ya muda.

Muda:

- Wiki tatu (3): - Kwa anayeanza kabisa (Beginner)

- Siku mbili (2) - Kwa ambaye tayari amejifunza forex na anahitaji kujua jinsi ya kufanya TIMMING, kujua ENTRY NA EXIT ( Daily Market Cycle) SAHIHI katika soko

- Muda ni Masaa Matatu (Yes masaa matatu kwa US $150 tu) , kupitia ZOOM - Kwa ambaye anataka kujifunza TIMMING, ENTRY & EXIT hasa kwenye Daily Cycle, pamoja na kuwekewa custom indicator katika PC yake, ambazo zitakupatia notification kwenye simu yako (PUSH NOTIFICATION ) pindi market setup inapokuwepo sokoni.
NA MATOKEO YAKE NI HAPO KWAHPO KAMA IONEKANAVYO HAPA CHINI

1535697304800.png
 
Ukweli ni huu latika forex
- Waweza kusoma mamia ya vitabui
- Waweza tazama mamia ya video za forex
Lakini mwisho wa siku BADO UTAHITAJI MTU WA KUKUELEKEZA MAWILI MATATU YA KUKUFANYA ULIKABILI SOKO VYEMA.

Mfano hai ni kwa wadau wote walio pata mafunzo toka TMT, ni wengi, ni zaidi ya 1,000 LAKINI MPAKA LEO ASILIMI 95% HAWAWEZI KUJITEGEMEA KWENYE ANALYSIS NA KUINGIA SOKONI WENYEWE. Bado wanahangaika na trading signal na wengi wao wamekwisha kata tamaa kabisa

(ANDIKA MAHALA HII SENTENSI NILIYOANDIKA KWENYE ITALIC, then fanya tafiti zako hapa JF na mtaani kwa ujumla wake)

JE UNAJUA NI KWANINI???

Utakapo ellewa ni kwanini ndio utaelewa nini nakizungumzia.

JE HIZO VIDEO NI ZANINI??? - NI KWA AJIRI YA KUPANUA UFAHAMU, UELEWA WA FOREX, Tatizo linakuja kwenyeUTUMIAJI KWA VITENDO KILE ULICHOKISOMA.

FX sio vitabu wala sio video, FX ni JINSI UNAVYOLIKABILI SOKO - Kuingia salama na kutoka salama.
View attachment 846480
Haya maandishi yana MAANA KUBWA SANA. Ukiyaelewa haya maandishi basi utanielewa kile ninachokifundisha.

Ndio sababu walegwa nimewaweka kwenye makundi matatu.
- Wanao hitaji session moja ya masaa matatu
- Watakao pata session mbili yaani siku mbili tofauti.
- Na watakao jifunza kwa wiki tatu wenyewe kupitia video nitakazo toa. Anapokuwa amemaliza hilo zoezi ndipo Tunafanya LIVE SESSION na kuona jinsi gani
1. Tunachagua Pair ya kutrade
2. Vigezo gani tunatumia
3. Vitu vya kuzingatia
4. Viashiria vipi vinakupa uthibitisho kuwa sasa ingia sokoni.

KIUFUPI MIMI NIPO KUKUPUNGUZIA learning curve katika FX, Tuna PIN point vitu ambavyo huwezi kuvipata kwenye Vitabu wala kwenye videos
kwa kweli nitakuwa mwanafunzi wako soon.
 
Anae htaji kujifunza ii ktu awe mtu mmoja private au ashirikiane na watu awajuao yy yhan wawe group ..mnichangie kidogo nipate kuwaelekeza kama mtakuwa ni fast learners au beginners ni somo la siku moja tu au kama ndio hamjui chochote kabsa ni somo la siku mbili tu yhan ni kuwapa vtu vya muhimu tu .. Tutatumia my real trading account ktk kujfunzia ...mbwembwe nyingi hazihitajiki chamsingi ni ku win the market

Sent using Jamii Forums mobile app
I just only need 500$ hata muwe 100 ntawafundisha kwa iyo beiii siongezi

offer hii ni valid only for 2 week kuanzia siku ya leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom