Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mambo yameiva!
1141237601.jpeg
2065892344.jpeg
 
BROKERS WITH MOBILE MONEY DEPOSIT/WITHDRAWS.

Ukiachana na Templer ( https://templerfx.com ), kuna broker mpya kutoka South ambaye naye amekuja na staili hii ya Mobile Money Deposit/Withdraws. Uzuri wa Templer ni minimum deposit, mpaka $1.

Broker huyu anayeitwa CIFX Markets ( https://secure.cifxmarkets.com/live-account-register), ameenda mbali zaidi, kwa kuruhusu deposits na withdraws kupitia mitandao tofauti. Kwa sasa anasupport Vodacom Mpesa, Tigo pesa na Airtel money.

Lakini tofauti na Templer, huyu ana minimum amount ya $200.

Kikubwa anachomzidi templer ni spreads.... Pia hana commission na swap pia. Anaweza kuwa mzuri sana kwa swingers.
CIFX Hapatikani tena, nahisi amefunga biashara[emoji25][emoji25][emoji25]

Noma sana kwa wale walikuwa na mafungu ya kutosha kwa akaunt zao..
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer FX Trader
 
Mfano ukifungua demo acc. Unapewa kias fulan cha dollars.. Sasa ili upate profit kupitia zile dollars game linaendaje aisee? Ufafanuz tafadhar
Pia kwann kila pair inakua na value mbil mfano. Look below ths picture
Screenshot_2018-11-07-10-00-08.jpeg
 
Kwa kukusaidia tu ingia hii website www.babypips.com upate nondo zaidi za forex maana unaonekana umedandia treni ya mwendo kasi kwa mbele. Soma kwanza upate basics ndio uingie kwenye kutrade kwenye demo huku ukiendelea kusoma zaidi na zaidi. Hii biashara bila kusoma utakuwa unapoteza tu muda wako na hutaiweza huo ndio ukweli japo ni mchungu! Pili usiwe na tamaa ya kupata hela haraka utaishia kukata tamaa mapeeema maana hii biashara kama huna elimu ya kutosha ya kutrade hasara nje nje kwa wingi!
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer FX Trader
Je, waweza tumia airtelmoney au halopesa?
 
Mfano ukifungua demo acc. Unapewa kias fulan cha dollars.. Sasa ili upate profit kupitia zile dollars game linaendaje aisee? Ufafanuz tafadhar
Pia kwann kila pair inakua na value mbil mfano. Look below ths pictureView attachment 924337
Pia unaweza ingia YouTube kwenye Chanel ya scalp kings fx.

Hapo utajifunza basics kwa urahisi sana tena kwa kiswahili.
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer FX Trader
 
HIGHEST PEAK BILLIONAIRES (T.L STRATEGY) [emoji409][emoji410]
We provide free setups and signal by using our major killer strategy.
More setups,pips 2000 per week hit me @JohnsonMFx
HIGHEST PEAK BILLIONAIRES (T.L STRATEGY)
Follow link to join our free analysis channel
IMG_20181108_123454_963.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom