Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Vifaranga wa mwezi mmoja kwa sh 5000 na vifaranga wa miezi miwili kwa shilingi 7000 wanapatikana na mayai kwa sh 10,000 kwa wingi kabisa weka Oder yako mapema 0754826041 na
WhatsApp 0756520955
 
Traders nauliza hawa mentors wanaotoa signals mfano dola 100 kwa afu wanakwambia more than 300 pips.. Uwa zinalipa kweli kwamba after 1 month una faida yako nzuri? Au chenga tu
 
Traders nauliza hawa mentors wanaotoa signals mfano dola 100 kwa afu wanakwambia more than 300 pips.. Uwa zinalipa kweli kwamba after 1 month una faida yako nzuri? Au chenga tu
Achana na mambo ya kununua signal boss just develop your skills, kama una shida na signal watu wapo wanaotoa za bure unaweza kutumia hizo wakati unaendelea kujinoa
 
Traders nauliza hawa mentors wanaotoa signals mfano dola 100 kwa afu wanakwambia more than 300 pips.. Uwa zinalipa kweli kwamba after 1 month una faida yako nzuri? Au chenga tu
Binafsi sishauri kununua signal, kitu ambacho walau nami nakifanya ni investment, yaani unapata mtu anakufanyia account management, wakati wewe ukiendelea kujinoa taratibu...

Signals hazitokupa muda wa kujifunza,
Account Management itakuwa inakupa pesa ya kufund akaunt yako kila ukiilipua![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hii biashara ngumu sanaa
Broo forex uki imaster ni tamu sana, usikate tamaa mapema na usiwe na tamaa ya kupata fedha haraka. Usione fulani anapiga hela nzuri kwenye fx na wewe ukadhani kwamba utapiga hivyo hivyo fasta bila kupiga msuli wa kutosha. Ugumu wa jambo upo kichwani na wala si kwenye jambo lenyewe. It is more psychological. Kama saikolojia yako inaona fx ni ngumu na kweli itakuwa ngumu hasa lakini kama utaiona kwamba fx inawezekena kuisoma na kupiga profit za ajabu ajabu pia inawezekana.
 
Mwenye uelewa na haya maswala ya Forex, unakaribishwa kuchangia tafadhali. [emoji4]
 
Binafsi sishauri kununua signal, kitu ambacho walau nami nakifanya ni investment, yaani unapata mtu anakufanyia account management, wakati wewe ukiendelea kujinoa taratibu...

Signals hazitokupa muda wa kujifunza,
Account Management itakuwa inakupa pesa ya kufund akaunt yako kila ukiilipua![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀😁 sawa mkuu
 
Ni njia sahihi lakini sio kwa kila kijana ukumbuke kuwa hakuna kazi ambayo Kila mtu ataweza kuifanya ata kama anaipenda kiwango gani.

Forex inahitaji knowledge na mtaji pia ina hasara kubwa kuliko biashara yeyote ile na faida yake pia ni kubwa utamu wa forex pesa zake ni tamu kama za kuokota vile tatizo ni namna ya kufikia hizo levo za kufaidika nayo kama hauko tayari kupoteza pesa usifanye biashara ya forex utalia na kusaga meno.

wenye mawazo ya utajiri wa usiku mmoja nenda shambani ukalime huu ndio ushauri wangu kwa newbies.
 
Ni njia sahihi lakini sio kwa kila kijana ukumbuke kuwa hakuna kazi ambayo Kila mtu ataweza kuifanya ata kama anaipenda kiwango gani.

Forex inahitaji knowledge na mtaji pia ina hasara kubwa kuliko biashara yeyote ile na faida yake pia ni kubwa utamu wa forex pesa zake ni tamu kama za kuokota vile tatizo ni namna ya kufikia hizo levo za kufaidika nayo kama hauko tayari kupoteza pesa usifanye biashara ya forex utalia na kusaga meno.

wenye mawazo ya utajiri wa usiku mmoja nenda shambani ukalime huu ndio ushauri wangu kwa newbies.
[emoji1] [emoji1] shukrani mkuu kwa ushauri wako pia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom