Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
mkuu gope natamani kuwa wa kwanza kuanza darasa live kwako maana mara nyingi nimekua nikitumia yutube videos lakini huwa sipati uelewa wa haraka maana kwenye videos hakuna option ya kuuliza swali pale ambapo hujaelewa
 
[emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]
IMG_20181219_184420.jpeg
 
hvi ontario mwenyewe yupo bado kwenye hizi shughuli?
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer FX Trader
 
Anapiga kimya kimya wapi wakati ametafuta wasauzi wengine wanafanya mentorship sema bongo sasa hivi mtu akishajua kuchora trendline tayari keshakuwa mentor kwa hiyo kafunikwa
Hahaha a hahhhaaaa. Kweli bhn kila mtu ni pro ckuiz haha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom