Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
hawa waliofeli huwa wanachelewa sana kujitambua kwa vile wanakuwa wamefungwa sana akili na kukingwa wasisanuliwe kwa kuambiwa usiongee na negative people watakumaliza dreams zao.View attachment 604927 View attachment 604924
Kwa swali hili nina imani nitakua sijavunja misingi ya jamii forums
Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara? Nimesoma sana posts za forex humu ndani lakini naona watu wanakula tu🙂🙂, Najiuliza sana maana naona sample za kula tu watu wakivuta tu pesa, je kati ya watu 300 waliokula training na wanatrade hakuna aliyepoteza, Kuna post imeanzishwa ya ushuhuda wa mafanikio ya wiki chache tangu walipoanza kufundishwa forex na nimegundua shuhuda ni za wale waliopiga pesa tu, Je hakuna waliopunwa , kwanini zisiwekwe picha za ushuhuda kula hasara ili tujifunze kwamba forex sio kula tu.
- Kama wapo kwanini tusitumie mifano yao pia kama lessons ili tumfukuze pepo kuliwa katika injili hii ya Forex?☺
Waache wabaki masikni hivyo hivyo.Km wafuasi wa ccm wanavyodanganya kuwa kuwa sana ccm,kujipendekeza sana wote kutwapa raia wote fursa. Km serikali imeshindwa tunza watu watu ikachagua wachache wa kudanganyia wengine,nchi nzima ikienda jipendekeza ikulu si itakuwa bora serikali ihudumie raia kwa taratibu kwa vile kujipendekeza kutakua na ushindani kuliko ajira halali.?
wacheza upatu wengi ni unreachable km wafuasi wa wasabato masalia, wafuasi wa alqaeda wanaonyimwa elimu ya dunia,kisha wanaaambiwa watu wengine wasio fikra zao wako wrong.Ni ngumu kujitokeza.wengine wanaambia wapambane hadi kieleweke.Wanapewa hesabu za kuchanganya ili wasijue wapi ipo shida kiahesabu.
Kama zile hesabu za muhongo za madini ili kumyimba mengi mlango wa kuingia ktk gas. Zilikuwa damna wrong ila wahuni walikuwa wakismhangilia hadi kufunika sauti nyingine.Na kusoma number bila kumpa mtu copy ningumu kukeep track.
Utaanza kuwasikia numbe inapofikia pagumu haua mtu mpya, na wanaoendesha upatu wakibanwa na fbi au nchi nyingine napo pakianza kufikia mwisho.Utaanza sikia kilio.hapo ujue ngoma imeshakata au ndio inakata.