FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

Kudos bro, even though some claim "Honest Doesn't Pay"!
All and all ni kuweka vitu wazi, kama sigara, ukivuta waweza pata madhara, ukinywa pombe n.k. n.k.
Ila kama biashara yatangazwa bila kusema "Risk" basi ujuwe hapo kuna walakini, utashambuliwa na wanaohusika kwa kusema ukweli, wengi wetu tutaliwa sana na hii kitu, wachache wataiweza, ila nina uhakika, "Agents" watakuwa mamilionea...

Sasa ndio umeonyesha wazi sababu ya wewe kutema nyongo zote ulizonazo tangu mwanzo wa huu Uzi.

Kumbe kinachokusumbua kichwani mwako ni wivu!???

Yaani unaona wanaotoa mafunzo (ambao kwa majibu wako wewe unawaita "agents" )wanapata sana pesa ambazo wewe zinakuuma sio??

Unaposema "wengi wetu tutaliwa" utaliwa wewe na nani!? na wewe ni mmoja wa wanaofanya forex chini ya hao unaowaita "agents"?

Kama jibu ni hapana kwanini unakuwa na kiherehere na kujifanya unaumia sana kwa pesa ambazo hazikuhusu?

Kwako wewe ukweli kuhusu forex ni upi na uongo ni upi? Na ni kipi ambacho hakijawekwa wazi tangu awali?

Wewe una akili timamu kweli??
 
Wewe ni mjinga. Na hujui lolote kuhusu forex. Yaani hujui fxtm ni broker kama broker wengine alafu Unasema ni mmiliki wa forex??

Siku nyingine acha kukurupuka.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] .
Dont take it serious ...Wote tumeijua forex baada ya Ontario kutushirikisha .
Calm down na enedelea kijifunza kama mm nnavyojifunza .
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] .
Dont take it serious ...Wote tumeijua forex baada ya Ontario kutushirikisha .
Calm down na enedelea kijifunza kama mm nnavyojifunza .
Unaposema wote una maanisha nini??

Acha kuwa mpuuzi kabla hujapost ujinga jitahidi hata kugoogle basi!!
 
Unaposema wote una maanisha nini??

Acha kuwa mpuuzi kabla hujapost ujinga jitahidi hata kugoogle basi!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Ushaanza kutumiamhii kitu wewe sio bure ..maana una Povu hatari .
9075046de87be76a17d4f4b954f5f852.jpg
 
Naona kuna kampeni zimeanza kupigwa humu kwa lengo la kuwatia watu uoga wa kutrade kwenye forex. Kwa wale mlioanza kutrade na mlioanza kujifunza Forex msikatishwe tamaa na maneno ya watu ambao wanapenda kuona vijana wakiteseka na maisha magumu mitaani wakati wanaelimu ya kutosha.

NOTE: Forex ina faida kwa walioielewa.
 
Yaani wewe ulianza process za kujisajili FXTM kabla ya kusoma vitabu na kuelewa FOREX ni kitu gan na inaendeshwa vipi..kama kweli ungekuwa umesoma vitabu usingearisha upupu wako na kuanza kuuliza mmiliki wa FOREX ni nani
 
Sasa ndio umeonyesha wazi sababu ya wewe kutema nyongo zote ulizonazo tangu mwanzo wa huu Uzi.

Kumbe kinachokusumbua kichwani mwako ni wivu!???

Yaani unaona wanaotoa mafunzo (ambao kwa majibu wako wewe unawaita "agents" )wanapata sana pesa ambazo wewe zinakuuma sio??

Unaposema "wengi wetu tutaliwa" utaliwa wewe na nani!? na wewe ni mmoja wa wanaofanya forex chini ya hao unaowaita "agents"?

Kama jibu ni hapana kwanini unakuwa na kiherehere na kujifanya unaumia sana kwa pesa ambazo hazikuhusu?

Kwako wewe ukweli kuhusu forex ni upi na uongo ni upi? Na ni kipi ambacho hakijawekwa wazi tangu awali?

Wewe una akili timamu kweli??
Toka nachangia sijamshambulia mtu, sasa tulinganishe wewe na mimi nani ana wivu, changia thread acha kushambulia mtu!
Kumbuka "Small Mind Talk About People and NOT Issues"!
 
jifunze kufanya research mkuu coz sometimes unaeza ukadhan umeongea point kumbe mashudu tuu tena concrete ones,,. ingia google fanya research then uje na majibu halaf by hapo tunaweza tukaanza kujadili coz u look like u know nothing about forex,,sio u look like,,, u know nothing so fanya utafiti,,,. avatar yako pia nimeipenda
Google ni shamba la bibi ambalo si kila habari iliyopo huko ni ya kweli , Habari nyingi ni za magumashi na zinawekwa na mtu yoyote!! kama msomi unaweka source za taarifa zako kuwa ni google nitakushangaa, acha watu wajadili na mjibu maswali kwa ufasaha kuhusu haya matango pori mnayotaka kuwalisha watanzania,,, na kwa kuwa mmechukua jukumu la kuelimisha watu kwa kuchukua Tshs 130,000/= zao basi mnatakiwa iwe ni wajibu kwenu kujibu maswali na kufafanua kwa kina sio kutuambia tuende google. Mada muanzishe nyie halafu majibu akajibu google?
 
Majibu mazuri . Kama hao watu ni Brokers Ontario yeye yupo chini ya nani , maana nyepesi Ontario anafanya haya kutoka source ipi ?
Kama hakuna na biashara hii kwa tafsiri imekaa bila kua na source maalamu basi sawa, coz ni hapo tutaongelea issue ya imani tu ya mtu mmoja mmoja ..either kujoin or not .
Mkuu ukizeeka utakuwa mchawi kama Bado ni kijana alafu umekurupuka sana kiongozi ulitakiwa uijue vizuri forex Na sio kukurupuka kiasi hiki, apa umedhihirisha wewe ni mweupe pee kichwani.....wacha tulioelewa tuendelee Na harakati zetu Na sio huu ulozi wako unatuletea apa
 
Google ni shamba la bibi ambalo si kila habari iliyopo huko ni ya kweli , Habari nyingi ni za magumashi na zinawekwa na mtu yoyote!! kama msomi unaweka source za taarifa zako kuwa ni google nitakushangaa, acha watu wajadili na mjibu maswali kwa ufasaha kuhusu haya matango pori mnayotaka kuwalisha watanzania,,, na kwa kuwa mmechukua jukumu la kuelimisha watu kwa kuchukua Tshs 130,000/= zao basi mnatakiwa iwe ni wajibu kwenu kujibu maswali na kufafanua kwa kina sio kutuambia tuende google. Mada muanzishe nyie halafu majibu akajibu google?
akili yako zinafanana na avatar yako,,hahahahahahaahahahaha
 
Mada muanzishe nyie halafu majibu akajibu google?

JF-Expert Member! Mnashida gani? Google ni "search engine" inakusaidia wewe kupata taarifa , sasa inategemea wewe unatafuta taarifa wapi, kwa mfano taarifa nyingi za Wikipedia hazikamiliki sasa ukichukua taarifa kutoka hapo ukaja nazo huku tutakuangalia tu na kukuacha maana itakuwa haina maana!!

Zipo sources zingine very reliable ndo maana unaelekezwa fanya Googling ili ujue na si kutujaza story za kijiweni huwa wengine hatuna time nazo.
 
Moja Ya Majina Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Katika Historia Ya Malawi Ni Nabii Wa Afrika Kusini Na Mjasiriamali, Aliyezaliwa Malawi Shepherd Bushiri Anamiliki Mali Zenye Makadirio Ya Shilingi Dola Milioni 200. Bushiri Na Mkewe, Mary, Wana Wafuasi Katika Mitandao Ya Kijamii Wanaofikia Zaidi Ya Milioni 2.5, Na Kuwafanya Kuwa Mojawapo Ya Wanandoa Wenye Ushawishi Mkubwa Zaidi Katika Bara. Pia Wana Kampuni Ya Madini, Kampuni Ya Mawasiliano Ya Simu Inayoitwa PSB, Na Kituo Cha Televisheni Kinachotangaza Kote Bara Na Pia Chuo Kikuu Cha SB, Ambacho Kina Matawi Yake Huko Sudan Kusini Na Kusini Mwa Afrika.
huyu jamaa ndio role model wangu,nafunga mwaka na kitabu chake kimoja kuhusu forex
 
Nyinyi mko stubborn sana kutetea vitu msivyojua. Nyinyi vijana wa kibongo wajuzinuzi mnajifanya mnajuua! Kwa taarifa yenu, nyinyi wote hamjui forex trading, mko empty kanisa,! Mnatakiwa mtandikwe viboko barabara mpaka mkome. Dawa yenu ipo jikoni inachemka
Kwahiyo ngozi yako nyeusi ndiyo imeendelea katika forex trading? Wewe husitukane watanzania kiwa tuna wivu, kwa sababu ya kutotaka kushabikia wezi katika forex yenu husiyoijua.
ww jamaa una roho mbaya,ndio maana uliamua kutuchonjea.nipe miezi 3,lzm nikuajiri ww.
 
Nyinyi mko stubborn sana kutetea vitu msivyojua. Nyinyi vijana wa kibongo wajuzinuzi mnajifanya mnajuua! Kwa taarifa yenu, nyinyi wote hamjui forex trading, mko empty kanisa,! Mnatakiwa mtandikwe viboko barabara mpaka mkome. Dawa yenu ipo jikoni inachemka
Kwahiyo ngozi yako nyeusi ndiyo imeendelea katika forex trading? Wewe husitukane watanzania kiwa tuna wivu, kwa sababu ya kutotaka kushabikia wezi katika forex yenu husiyoijua.
ww jamaa una roho mbaya,ndio maana uliamua kutuchonjea.pole sana
 
haki nilivyosoma bandiko hili nimecheka kimoyomoyo!. mkuu, fxtm ni broker kama brokers wengine sidhani kama ungepata taarifa sahihi kuhusu swari lako juu kinachoendelea tz. cha kukusaidia wafate jpmarket kwenye website yao hawa broker nadhani watakupa taarifa sahihi nini kinaendelea tz. fx haina mmiliki mkuu ni wewe na broker wako mwaminifu akuwezeshae kuingia sokoni
 
Back
Top Bottom