Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
Kudos bro, even though some claim "Honest Doesn't Pay"!
All and all ni kuweka vitu wazi, kama sigara, ukivuta waweza pata madhara, ukinywa pombe n.k. n.k.
Ila kama biashara yatangazwa bila kusema "Risk" basi ujuwe hapo kuna walakini, utashambuliwa na wanaohusika kwa kusema ukweli, wengi wetu tutaliwa sana na hii kitu, wachache wataiweza, ila nina uhakika, "Agents" watakuwa mamilionea...
Sasa ndio umeonyesha wazi sababu ya wewe kutema nyongo zote ulizonazo tangu mwanzo wa huu Uzi.
Kumbe kinachokusumbua kichwani mwako ni wivu!???
Yaani unaona wanaotoa mafunzo (ambao kwa majibu wako wewe unawaita "agents" )wanapata sana pesa ambazo wewe zinakuuma sio??
Unaposema "wengi wetu tutaliwa" utaliwa wewe na nani!? na wewe ni mmoja wa wanaofanya forex chini ya hao unaowaita "agents"?
Kama jibu ni hapana kwanini unakuwa na kiherehere na kujifanya unaumia sana kwa pesa ambazo hazikuhusu?
Kwako wewe ukweli kuhusu forex ni upi na uongo ni upi? Na ni kipi ambacho hakijawekwa wazi tangu awali?
Wewe una akili timamu kweli??