FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

we kama mimi
forex ni nzuri na mbaya na vyote vinategemea uelewa wa mhusika
itakuwa nzuri pale utakapo elewa na kama mambo yataenda upande wako......
itakuwa mbaya kama hujaelewa na mambo yasiwe upande wako...
usilazimishe watu waamini ni mbaya wakati hujawahi jaribu......

watu wanatofautiana akili, mfano mimi sijagusa forex hata kidogo maana sina muda wa kusoma[/QUO
we kama mimi aiseeeee naona uvivu sana kusoma hayo mavitabu yao kwanza sina muda kabisaaaa
 
Yaani mtu badala ajibu hoja kishawish anakuja na Povu as Long anatetea alichojiunga nacho...Ningewashauri tu nyie mliopo kwnye biashara hiyo hakuna haja ya kujibu hoja hii ya (kipuuzi) kama mnavyodai kwa hasira ...Tumieni advantage hii kuelezea na kukosoa upotoshaji kama upo.

Wewe kichaa akibeba nguo zako utamkimbiza ama ? . Mm nawashangaa inakuaje challenge ndogo kama hiinaproovoke vip mkifika stage ya kuanza kupata Risk kwnye Bussines si mtataga
 
Yaani mtu badala ajibu hoja kishawish anakuja na Povu as Long anatetea alichojiunga nacho...Ningewashauri tu nyie mliopo kwnye biashara hiyo hakuna haja ya kujibu hoja hii ya (kipuuzi) kama mnavyodai kwa hasira ...Tumieni advantage hii kuelezea na kukosoa upotoshaji kama upo.

Wewe kichaa akibeba nguo zako utamkimbiza ama ? . Mm nawashangaa inakuaje challenge ndogo kama hiinaproovoke vip mkifika stage ya kuanza kupata Risk kwnye Bussines si mtataga

Ukichaa ni kuwauliza MTN ya SA jaza ujazwe ya Tigo
 
Jamani mwenye vitabu vya betting na gambling atupie hapa. Tusaidiane wana kubet km ambavyo wa forex wanavyopeana vitabu.
 
shida kina ontario kuna vitu vingi wanavijua hila hawaelezi ukweli sababu itaharibu mbinu yao ya kupiga hela zetu.. ukiuliza kitu wanajificha kwa kusingizia usome vitabuuu..

mchezo wanaoufanya hawa walimu wetu kutotuambia ukweli

"You pack people into a class and ask them to pay R25,000 for two days, promise them riches but less than 1% of them will make a little money ," says Forex Academy's Ernest Klokow. "These people are overpromising because quick returns are largely not possible."

"What they don't tell you is that all beginner traders have a 99 percent chance of failing," warns Real Trader's Chrizette Rossouw. Rossouw had her accounts completely wiped out when she started trading and it took her years before she made any real money out of forex trading.

Don't Be Fooled By The Likes of Sandile Mantsoe And Fake Forex Traders Who Flex on Social Media

Why Forex Trading Is Becoming Such A Big Deal In SA



akili yangu inaniambia mwishoni watu watalia
 
shida kina ontario kuna vitu vingi wanavijua hila hawaelezi ukweli sababu itaharibu mbinu yao ya kupiga hela zetu.. ukiuliza kitu wanajificha kwa kusingizia usome vitabuuu..

mchezo wanaoufanya hawa walimu wetu kutotuambia ukweli

"You pack people into a class and ask them to pay R25,000 for two days, promise them riches but less than 1% of them will make a little money ," says Forex Academy's Ernest Klokow. "These people are overpromising because quick returns are largely not possible."

"What they don't tell you is that all beginner traders have a 99 percent chance of failing," warns Real Trader's Chrizette Rossouw. Rossouw had her accounts completely wiped out when she started trading and it took her years before she made any real money out of forex trading.

Don't Be Fooled By The Likes of Sandile Mantsoe And Fake Forex Traders Who Flex on Social Media

Why Forex Trading Is Becoming Such A Big Deal In SA



akili yangu inaniambia mwishoni watu watalia
Sasa wakilia wewe inakuhusu nin?? Au umewapa pesa??
 
una uhakika gani kama sijawapa au nimewapa?

. In the End, we will remember not the action of our enemies, but the silence of our friends by martin luther.

kukaa kimya kwenye uovu ni mbaya kuliko muovu mwenyewe.. pale utakapokuja ona mstaafu kapigwa hela zake na kafa kwa presha.. ndipo nafsi itakusuta kama umemuua wewe.. na kuwaza kwa nini hukusema ili watu wajue kwa undani.

kwenye biashara yeyote kuna msemo unasema "Caveat Emptor" au lugha ingine ni let the buyer beware.. hiki kitu hawafanyi.. wanaficha ficha details nyingi sana

Sasa wakilia wewe inakuhusu nin?? Au umewapa pesa??
 
Majibu mazuri . Kama hao watu ni Brokers Ontario yeye yupo chini ya nani , maana nyepesi Ontario anafanya haya kutoka source ipi ?
Kama hakuna na biashara hii kwa tafsiri imekaa bila kua na source maalamu basi sawa, coz ni hapo tutaongelea issue ya imani tu ya mtu mmoja mmoja ..either kujoin or not .
Kwa hiyo baada ya wewe kutokujua ONTARIO yuko chini ya nani ndio ukaamua umpachike awe chini ya FXTM??
Kwanini usingefanya research basi hao FXTM ni kina nani ndio uje na allegations zako??
 
Mkuu mimi nimekuelewa vizuri sana na pengine una lengo zuri tu la kuwasaidia watu ila njia uliowasilisha UZI wako ndo inakufunga na ndio maana reply zinakua kama ni povu kwako la hasha si povu ni outcome ya namna ulivyowasilisha UZI wako.
Kwa haraka haraka wewe pia si mjuzi sana katika Forex hivyo basi ulipoanza kufanya research na kutojirizisha na majibu uliyoyapata ulitakiwa uwasilishe UZI kwa kutaka kujua zaidi au "kuuliza" kwa bahati mbaya sijaona kiulizo(?) sehemu yeyote ile, next time kwa ushauri tu ukiona kitu huna uhakika nacho 100% jaribu kuomba ushauri/ufafanuzi zaidi na si ulivyowasilisha hoja yako ndio maana watu ambao wanajua zaidi hawaonekani kuonyesha ushirikiano na wewe.

Always get your FACTS right, inasaidia sana.
 
Back
Top Bottom