vanlizer_fx
Member
- Apr 20, 2021
- 50
- 95
Daaaaah
"Asie sikia la mkuu huvunjika guu" na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"
"Ulafi ulimponza mzee fisi"[emoji24][emoji24]
Thread in a nutshell[emoji993]
____________________________
OK ngoja tuanze thread [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nijambo la kufurahisha sana kuona jinsi wazungu, wa south Africa wanavyopata mamilioni ya pesa kila siku kupitia biashara hii ya kudownload pesa [emoji23][emoji848]
Vijana wadogo wanaendesha magari ya kifahari very fu" ng expensive car, nyumba Kali Kali aisee nikashawishika sana na ukizingatia mda huo X wangu aliniambia sina mbele wala nyuma
Nikasema hapa kwenye forex ndio pa kutobolea maana tundu nimeliona nikawasa nitaendesha magari makali BMW i8, Cadillac escalade, Mercedes Benz, Lamborghini, Ferrari mtaa mzima Mimi ndio nitakua tajiri
Ukoo mzima utanitambua Mimi vizazi vingi kwenye ukoo wetu vitanijua mtaa mzima utajua kuna tajiri kijana mdogo under 20 age aisee
Nitakula bata[emoji485][emoji512][emoji513] na wasanii maarufu dunia akiana Drake, Rihanna, Chris brown na wengine Nita pop champagne[emoji898][emoji898][emoji898] na mawaziri na wafanyabiashara wakubwa kama upcoming young billionaire in Tanzania
Isee nitakua mtu maarufu sana hapa Tanzania na nchi nyingi zitanijua kama kijana tajiri zaidi duniania under 20's age
[emoji24][emoji24][emoji24]zikaanza nyakati za kutaka mafanikio kwa pupa ukawa ndio mwaka wa kupigwa na vitu vizito mfululizo, ni marungu na mawe jua na mvua zote zangu vumbi na matope vyote vyangu kwenye forex lakini naambulia kichapo kikali nakosa hata hela ya mswaki[emoji23][emoji23] kila nikipata hela akili inasema weka kwenye forex kijana hela nje nje[emoji23][emoji23] nikiweka ni marungu mfululizo kila siku ni heart attack disese[emoji848]
Nikasema au hii forex niya wa south Africa tu
Ukaafika mda wa kula maziwa na asali katika nchi ya ahadi [emoji898][emoji485]unajua kilifata nini?[emoji848][emoji848][emoji848]
"Asie sikia la mkuu huvunjika guu" na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"
"Ulafi ulimponza mzee fisi"[emoji24][emoji24]
Thread in a nutshell[emoji993]
____________________________
OK ngoja tuanze thread [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nijambo la kufurahisha sana kuona jinsi wazungu, wa south Africa wanavyopata mamilioni ya pesa kila siku kupitia biashara hii ya kudownload pesa [emoji23][emoji848]
Vijana wadogo wanaendesha magari ya kifahari very fu" ng expensive car, nyumba Kali Kali aisee nikashawishika sana na ukizingatia mda huo X wangu aliniambia sina mbele wala nyuma
Nikasema hapa kwenye forex ndio pa kutobolea maana tundu nimeliona nikawasa nitaendesha magari makali BMW i8, Cadillac escalade, Mercedes Benz, Lamborghini, Ferrari mtaa mzima Mimi ndio nitakua tajiri
Ukoo mzima utanitambua Mimi vizazi vingi kwenye ukoo wetu vitanijua mtaa mzima utajua kuna tajiri kijana mdogo under 20 age aisee
Nitakula bata[emoji485][emoji512][emoji513] na wasanii maarufu dunia akiana Drake, Rihanna, Chris brown na wengine Nita pop champagne[emoji898][emoji898][emoji898] na mawaziri na wafanyabiashara wakubwa kama upcoming young billionaire in Tanzania
Isee nitakua mtu maarufu sana hapa Tanzania na nchi nyingi zitanijua kama kijana tajiri zaidi duniania under 20's age
[emoji24][emoji24][emoji24]zikaanza nyakati za kutaka mafanikio kwa pupa ukawa ndio mwaka wa kupigwa na vitu vizito mfululizo, ni marungu na mawe jua na mvua zote zangu vumbi na matope vyote vyangu kwenye forex lakini naambulia kichapo kikali nakosa hata hela ya mswaki[emoji23][emoji23] kila nikipata hela akili inasema weka kwenye forex kijana hela nje nje[emoji23][emoji23] nikiweka ni marungu mfululizo kila siku ni heart attack disese[emoji848]
Nikasema au hii forex niya wa south Africa tu
Ukaafika mda wa kula maziwa na asali katika nchi ya ahadi [emoji898][emoji485]unajua kilifata nini?[emoji848][emoji848][emoji848]