vanlizer_fx
Member
- Apr 20, 2021
- 50
- 95
- Thread starter
- #81
Use your brain proper
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu sio betting. Unatakiwa ufanye risk analysis kabla ya kujiingiza kwa project ya investment. Risks ni kubwa sana kwa investor mdogo katika hizo investments nimekuambia. Binafsi nawekeza in real estate na haijawahi niangusha. Faida inaweza isiwepo kubwa, lakini hasara hakuna.. na majengo ni yangu. Kwa hio unavyosema kila kitu kwenye maisha ni kamari.. sio kweli. Binafsi hata chuo nilichagua course ambayo ina ajira. Na KUOA SIJAOA NA SITAKI KUOA sababu kweli siku hizi ndoa ni kamari tu.
siyo kihivyo 😂😂🤣mpigwe tu
malizia nini kilifuataDaaaaah
"Asie sikia la mkuu huvunjika guu" na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"
"Ulafi ulimponza mzee fisi"[emoji24][emoji24]
Thread in a nutshell[emoji993]
____________________________
OK ngoja tuanze thread [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nijambo la kufurahisha sana kuona jinsi wazungu, wa south Africa wanavyopata mamilioni ya pesa kila siku kupitia biashara hii ya kudownload pesa [emoji23][emoji848]
Vijana wadogo wanaendesha magari ya kifahari very fu" ng expensive car, nyumba Kali Kali aisee nikashawishika sana na ukizingatia mda huo X wangu aliniambia sina mbele wala nyuma
Nikasema hapa kwenye forex ndio pa kutobolea maana tundu nimeliona nikawasa nitaendesha magari makali BMW i8, Cadillac escalade, Mercedes Benz, Lamborghini, Ferrari mtaa mzima Mimi ndio nitakua tajiri
Ukoo mzima utanitambua Mimi vizazi vingi kwenye ukoo wetu vitanijua mtaa mzima utajua kuna tajiri kijana mdogo under 20 age aisee
Nitakula bata[emoji485][emoji512][emoji513] na wasanii maarufu dunia akiana Drake, Rihanna, Chris brown na wengine Nita pop champagne[emoji898][emoji898][emoji898] na mawaziri na wafanyabiashara wakubwa kama upcoming young billionaire in Tanzania
Isee nitakua mtu maarufu sana hapa Tanzania na nchi nyingi zitanijua kama kijana tajiri zaidi duniania under 20's age
[emoji24][emoji24][emoji24]zikaanza nyakati za kutaka mafanikio kwa pupa ukawa ndio mwaka wa kupigwa na vitu vizito mfululizo, ni marungu na mawe jua na mvua zote zangu vumbi na matope vyote vyangu kwenye forex lakini naambulia kichapo kikali nakosa hata hela ya mswaki[emoji23][emoji23] kila nikipata hela akili inasema weka kwenye forex kijana hela nje nje[emoji23][emoji23] nikiweka ni marungu mfululizo kila siku ni heart attack disese[emoji848]
Nikasema au hii forex niya wa south Africa tu
Ukaafika mda wa kula maziwa na asali katika nchi ya ahadi [emoji898][emoji485]unajua kilifata nini?[emoji848][emoji848][emoji848]
Hiyo miaka 4 utakua ulipigwa za uso lkn ndani ya mwaka unarudisha zote ulizopteza miaka 4 nyuma,hkn km fx bana.Tusipangiane jinsi ya kutafuta bana we umefeli ni wewe si tulifeli na bado tukainuka,fx ingekuwa rahiisi basi kila mtu angefanya,fx sio kwa watu dhaifu,betting ni betting fx ni fx yani ni kama maziwa na tui la nazi vinafanana kwa kuangalia ila ni vitu viwili tofauti kabisa
Nimebet kwa zaidi ya miaka kumi tangu premier bet inaanza nimetrade miaka mitano ila sijaweza ifananisha fx na bet na iliniwia vigumu sana kutwist mind set kutoa za kubet kuweka za fx
Bet ukiliwa hakuna cha kujifunza wala backtesting ni kujilaumu tuu na kuwazia pesa zako,hasira,kuongeza mikeka mingine mingi,na kulaumu ukiweka mindset izo ktk fx utoboi nakuhakikishia,
miaka mitano ijayo tutakuwa mbali sana,kwanini fx isisajiliwe na gambling board[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo ww boc umejifunza miezi 6 ukawa pro trader au vp master?Hiyo gambling
Sema akili Yako ishaoza huwezi fikiria yaani hapo seller na buyer mnavutiana soko Hawa wamaliwa ndo hawa wengine wanapata
Siwezi kukuelezq Siri za forex kwa sababu wengi hampendi kusoma saikolojia ya mchezo ukichorew macandle na notes unaona kitu Cha maana il hujui siri imejificha Kwa dealers na promoter
Unaonekana bado hujaijua forex ni nini haswa.... nashauri ukae utulie kuisoma, kisha invest an amount which you can bear the risk[emoji106]Daaaaah
"Asie sikia la mkuu huvunjika guu" na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"
"Ulafi ulimponza mzee fisi"[emoji24][emoji24]
Thread in a nutshell[emoji993]
____________________________
OK ngoja tuanze thread [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nijambo la kufurahisha sana kuona jinsi wazungu, wa south Africa wanavyopata mamilioni ya pesa kila siku kupitia biashara hii ya kudownload pesa [emoji23][emoji848]
Vijana wadogo wanaendesha magari ya kifahari very fu" ng expensive car, nyumba Kali Kali aisee nikashawishika sana na ukizingatia mda huo X wangu aliniambia sina mbele wala nyuma
Nikasema hapa kwenye forex ndio pa kutobolea maana tundu nimeliona nikawasa nitaendesha magari makali BMW i8, Cadillac escalade, Mercedes Benz, Lamborghini, Ferrari mtaa mzima Mimi ndio nitakua tajiri
Ukoo mzima utanitambua Mimi vizazi vingi kwenye ukoo wetu vitanijua mtaa mzima utajua kuna tajiri kijana mdogo under 20 age aisee
Nitakula bata[emoji485][emoji512][emoji513] na wasanii maarufu dunia akiana Drake, Rihanna, Chris brown na wengine Nita pop champagne[emoji898][emoji898][emoji898] na mawaziri na wafanyabiashara wakubwa kama upcoming young billionaire in Tanzania
Isee nitakua mtu maarufu sana hapa Tanzania na nchi nyingi zitanijua kama kijana tajiri zaidi duniania under 20's age
[emoji24][emoji24][emoji24]zikaanza nyakati za kutaka mafanikio kwa pupa ukawa ndio mwaka wa kupigwa na vitu vizito mfululizo, ni marungu na mawe jua na mvua zote zangu vumbi na matope vyote vyangu kwenye forex lakini naambulia kichapo kikali nakosa hata hela ya mswaki[emoji23][emoji23] kila nikipata hela akili inasema weka kwenye forex kijana hela nje nje[emoji23][emoji23] nikiweka ni marungu mfululizo kila siku ni heart attack disese[emoji848]
Nikasema au hii forex niya wa south Africa tu
Ukaafika mda wa kula maziwa na asali katika nchi ya ahadi [emoji898][emoji485]unajua kilifata nini?[emoji848][emoji848][emoji848]
Uko wapi bro mindset yako iko 99% kwenye uhalisia wa dunia vijana wengi tunakosa this mindset..Sasa kila kitu si unakifanya kwa kutafuta ama kuchanganua Mambo mkuu kuwa one outcome is possible to occur than one
Yaani unatafuta odds ziwe nyingi za kui favour outcome Fulani.
Kumbuka hapa naongea mathematically labda hutonielewa.kasome probability labda twaweza elewana
Mfano unatafuta kazi kampuni fulani lazima kwanza uichunguze ikoje inavyolipa.
Hata investors kabla hawajaja kwa nchi fulani lazima wachanganue Mambo ya kisiasa,kiuchumi.
Kabla hujafungua biashara mahali fulani ni lazima utafute uwezekano wa mbegu yako kuota.
Hebu niambie kimojawapo katika maisha yako unachokifanya bila kupiga hesabu.
Mwenyewe kuzaliwa ni probability Mana ingeweza kutokea miscarriage ama ukashikwa na magonjwa ya utotoni ama around billions of sperms alizotoa babaako yako ilikuwa na probability kubwa ya kuogelea na kuwahi kulifikia yai.
Niambie unachofanya ambacho una uhakikaa nacho. Mfano hujui Kama kesho utaiona
Sijakataaa unavyodai biashara ya real estate Haina risk unakumbuka Kuna miaka Japan waliwekeza kwa majengo USA baadaye iyo biashara iliporomoka Sana wakapata hasara. Tafuta house bubble mkuu.
Pia unapojenga kumbuka pia nyumba yako yaweza kuungua ama any natural calamity ikaikumbuka investment.
Hapo uliposema kuwa unacheki risk ni kweli Ila pia penye high risk Kuna high return.
So ukiogopa risk utakaa bila kufanya kitu
Kuna risk kila sekta mkuu. Hata mkeo unajua kuwa anachapwa na anaweza akaleta magonjwa sema Nini hujaiogopa iyo risk umeamua kuzama ndoani ili umeki family uitwe baba ama mama.
Sio kuwa nakuombea Bali nakuonyeshea everything is risk hata kukaa bila kuteki risk ni risk pia.
Ina Mana mfano unapojenga hela unayojengea ungeamua kununulia Kosta ndani ya kila mwaka na nusu Kosta inakujengea na unaweza dumu nayo above five years.
Ila umeamua ku diversify your capital.
Pia kumbuka unapo diversify it means you don't know what are you doing na pia hauna uhakika na ukifanyacho.
Ni sawa hauna uhakika kuwa mbinguni hakuna Mungu
Watu wengi pamoja na huyu kijana yeye anajua ama anaijua keshoa yake kuwa alipooa ana uhakika kuwa wataZeeka ama atazaliwa na huyo mke wake, yaani bana hajui hata nyumba aliyojenga inaweza ikapitiwa na earthquake, yeye mwenyewe anasafiri kwenye gari yake hajui anaweza akapata ajali na yumo na watt wake na mke wake, hajui kuwa future is uncertainty hakuna anayeijua kesho sema anajiona bingwa kinyama, matibabu yenyewe madaktari wanacheza na probable or probability Ile kapime ichi anataka awe na namna ya kutoa outcome ya ishu inayokusumbua. Na ndio mana odds zinaweza zikawa against na yeye, nothing is certainty only tax and death Mana hizo Zina guarantee. Ila mengine hatuyajui like hata umri wetu wa kuishi, ama ukifanya biashara utafikia kiasi gani ama Leo utauza mauzo.kiasi GaniUko wapi bro mindset yako iko 99% kwenye uhalisia wa dunia vijana wengi tunakosa this mindset..
👍 Vijana wajifunze risk management kwenye kitu chochote wanachofanya watabadilisha maisha coz everything ni risk..Watu wengi pamoja na huyu kijana yeye anajua ama anaijua keshoa yake kuwa alipooa ana uhakika kuwa wataZeeka ama atazaliwa na huyo mke wake, yaani bana hajui hata nyumba aliyojenga inaweza ikapitiwa na earthquake, yeye mwenyewe anasafiri kwenye gari yake hajui anaweza akapata ajali na yumo na watt wake na mke wake, hajui kuwa future is uncertainty hakuna anayeijua kesho sema anajiona bingwa kinyama, matibabu yenyewe madaktari wanacheza na probable or probability Ile kapime ichi anataka awe na namna ya kutoa outcome ya ishu inayokusumbua. Na ndio mana odds zinaweza zikawa against na yeye, nothing is certainty only tax and death Mana hizo Zina guarantee. Ila mengine hatuyajui like hata umri wetu wa kuishi, ama ukifanya biashara utafikia kiasi gani ama Leo utauza mauzo.kiasi Gani
Kumbe Kama unanielewa wewe ndio mana umeuliza Niko wapi, hata kuoa huwezi enda oa Malaya wa kona bar ama demu aliyekuwa na history ya kugongwa na Kila mtu, biashara zenyewe lazima tufungulie mahala ambapo unaweza ukatoboa , ama penye watu wengi, lazima ujue mahala pa kuishi, hata simu yenyewe ukitaka kununua lazima ufanye utafiti wake , hapo unafanya analysis ya risk or in case uki lose, umeona Yale magari yetu yameporwa Mali huko goma, Hawa jamaa sijui Kama walikata insurance, everything is risk, hata kwenye sofa unakufa umekaa,👍 Vijana wajifunze risk management kwenye kitu chochote wanachofanya watabadilisha maisha coz everything ni risk..
Zama dm tuchekiane , like minded automatic mnakuwa pamojaUko wapi bro mindset yako iko 99% kwenye uhalisia wa dunia vijana wengi tunakosa this mindset..
Hit me at pm your WhatsApp number please👍 Vijana wajifunze risk management kwenye kitu chochote wanachofanya watabadilisha maisha coz everything ni risk..