Forex ilivyofilisi maduka yangu mawili ya nguo

Forex ilivyofilisi maduka yangu mawili ya nguo

Forex INA pande mbili unaweza kufanya kama kamali au kama biashara ni maamuzi yako tu.
Huyu ni kilaza muache Mana naona Kama amekariri maisha yake.
Hata hajui Warren buffet,Joji Soros wanafanya biashara gani ama akina Ray dalio.
Akina jp Morgan,Merrill Lynch,
Yeye akariri kuwa kujenga nyumba sio kamari.
Anaweza akajenga nyumba baadaye ilo eneo likawa la familia ama likaleta mgogoro ama watumishi wakahamishiwa dodoma ,ama wanafunzi wakajengewa hostel za Bei nafuu na serikali wakahama.
Duu kweli sijui huyu alisoma history ipi.
Hajui kuwa professional doctors huwa Wana probability kwenye career zao.
Kama wametoa dawa wanacheki imeleta effects gani mfano kwa watu buku so wanafanya research
 
Soma Hio Ili Uelimike. Watu Mna Matatizo Sana. Eti kwa nini nakata insurance. Nilishakuambia, hakuna investment nzuri isio na risks. Lakini UWEZEKANO WA KUTOBOA KATIKA INVESTMENTS NYINGI UPO 100% USIPOKATA TAMAA NA UKIENDELEA KUJIFUNZA NAMNA YA KUONDOA RISKS. Ila hizo Betting Zenu UWEZEKANO WA KUTOBOA NI 0% na USIPOKATA TAMAA.. ETI UKAENDELEA KU-BET NDIO UNAZIDI KULIWA SABABU TEARI ODDS ZIKO AGAINST YOU. HATA UFANYEJE, UWEZEKANO WA KUPUNGUZA RISKS HAUPO.
Hujanielewa nawewe. Kama unaongelea casino as gambling zile huwa ndo Zina win mkuu.
Ila elewa hakuna investment ambayo ni 100% sure.
Hata duka unavamiwa unaibiwa sio risks hizo.
Usikariri kuwa kamali ni kwenda Las Vegas na kuanza kubeti.
Pia elewa kuwa wapo wanaoishi wewe unapopaogopa.
Kuna kuuza drugs unaogopa risk mwenzako anacheza kamari maisha yake anatoboa mkuu.
Wewe upo na nyumba zako ambazo unapokea hela za nyanya.
Mwenzako Mara moja tayari Ana hela za kwenda visiwa vya Caribbean na Latino America kucheza na watt wa huko.
Sasa wewe Kodi ya laki mbili ama tano lini utashika.
Pia kila mtu huwa Ana risk appetite.
Usikariri kuwa kamari ni kwenda casino tu.

Nimekuambia kuwa hata unapowasha gari yako kwenda point B from A hujui hapo katikati utakutana na Nini kwa sio kamari iyo.
Hjui Kama utakutana na lisemi likanyage benzi yako iwe chapati ama like kontena lianguke juu yako.

Yaani wewe ni kilaza mpaka naumia kukufahamisha
 
Forex ni betting. Stock market ni betting. Cryptocurrency investments ni betting. Kwa hizo investments, Watu wanaweka millions of dollars ambayo hata ikipotea hawajali. Sasa ww unaweka hela yako pekee kwenye kamari? Lazima ulie tu
😂😂
Ni sawa tu na kupokea mshahara wote ukaenda kuuchezea kamari Casino!
 
Hakuna biashara isio na Risk. Lakini Risks ya investments kama real estate ni ndogo sana. Waliopoteza nyumba USA mwaka 2008 ni mabwege sababu ambao hawakupoteza nyumba sasa ivi nyumba zina thamani zaidi ya mara 2 tokea 2008. TATIZO WATU HAMJUI KUTOFAUTISHA KATI YA RISKS YA KU-INVEST HELA ZAKO KWA INVESTMENTS NYINGINE NA RISKS YA KU-INVEST HELA ZAKO KWENYE INVESTMENTS ZA KAMARI KAMA FOREX, BETTING NK.. hizo biashara nyingine AMBAZO SIO KAMARI, Mtu ukiendelea kupambana na kujifunza kupunguza risks LAZIMA UTATOBOA. ILA HIZO ZA KAMARI,,, RISKS ALWAYS NI KUBWA NA UTAFILISIKA KIMOJA KAMA MLETA MADA NA HAKUNA SOMO LA MAANA UTAKALOKUWA UMEJIFUNZA ZAIDI YA KUJIFUNZA KWAMBA KAMARI NI MBAYA...
Hata forex Ina namna ya kupunguza risk za kupoteza wengi wanai treat Kama kamari really wakati inatakiwa uwe speculation.
Unaponunua nafaka zipande uuze kwa so zinaweza zisipande Bei zikashuka kwani sio kamari iyo ama wewe umekariri kamari ni kubeti mpira.
 
Hujanielewa nawewe. Kama unaongelea casino as gambling zile huwa ndo Zina win mkuu.
Ila elewa hakuna investment ambayo ni 100% sure.
Hata duka unavamiwa unaibiwa sio risks hizo.
Usikariri kuwa kamali ni kwenda Las Vegas na kuanza kubeti.
Pia elewa kuwa wapo wanaoishi wewe unapopaogopa.
Kuna kuuza drugs unaogopa risk mwenzako anacheza kamari maisha yake anatoboa mkuu.
Wewe upo na nyumba zako ambazo unapokea hela za nyanya.
Mwenzako Mara moja tayari Ana hela za kwenda visiwa vya Caribbean na Latino America kucheza na watt wa huko.
Sasa wewe Kodi ya laki mbili ama tano lini utashika.
Pia kila mtu huwa Ana risk appetite.
Usikariri kuwa kamari ni kwenda casino tu.

Nimekuambia kuwa hata unapowasha gari yako kwenda point B from A hujui hapo katikati utakutana na Nini kwa sio kamari iyo.
Hjui Kama utakutana na lisemi likanyage benzi yako iwe chapati ama like kontena lianguke juu yako.

Yaani wewe ni kilaza mpaka naumia kukufahamisha
Wewe NDIO USIKARIRI KWAMBA FOREX SIO BETTING.. Mwenzako kaliwa maduka mawili ya nguo yotee. MIMI SIPOTEZI MUDA KUELIMISHA MTU KAMA WW NDUGU YANGU. NENDA KAFANYE FOREX.. UTALIA TU.. GUARANTEED!!
 
Kuna biashara nyingi sana nchi hii zinafeli na watu wanapata hasara ila husikii vikipingwa vita lakini forex kheee sijui iliwakosea nini hata betting haipingwi vita kabisa.
Ontario alizaba watu na kitu kizito kichwani
 
IMG_1332.jpg

Mambo ni mengi!
 
F
Daaaaah

"Asie sikia la mkuu huvunjika guu",
na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"

"Ulafi ulimponza mzee fisi"[emoji24][emoji24]

Thread in a nutshell[emoji993]
____________________________

OK ngoja tuanze thread [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nijambo la kufurahisha sana kuona jinsi wazungu, wa south Africa wanavyopata mamilioni ya pesa kila siku kupitia biashara hii ya kudownload pesa [emoji23][emoji848]

Vijana wadogo wanaendesha magari ya kifahari very fu""" ng expensive car ,nyumba Kali Kali aisee nikashawishika sana na ukizingatia mda huo X wangu aliniambia sina mbele wala nyuma

Nikasema hapa kwenye forex ndio pa kutobolea maana tundu nimeliona nikawasa nitaendesha magari makali BMW i8,Cadillac escalade,Mercedes Benz,Lamborghini, Ferrari mtaa mzima Mimi ndio nitakua tajiri

Ukoo mzima utanitambua Mimi vizazi vingi kwenye ukoo wetu vitanijua mtaa mzima utajua kuna tajiri kijana mdogo under 20 age aisee

Nitakula bata[emoji485][emoji512][emoji513] na wasanii maarufu dunia akiana Drake,rihanna, Chris brown na wengine Nita pop champagne[emoji898][emoji898][emoji898] na mawaziri na wafanyabiashara wakubwa kama upcoming young billionaire in Tanzania


Isee nitakua mtu maarufu sana hapa Tanzania na nchi nyingi zitanijua kama kijana tajiri zaidi duniania under 20's age

[emoji24][emoji24][emoji24]zikaanza nyakati za kutaka mafanikio kwa pupa ukawa ndio mwaka wa kupigwa na vitu vizito mfululizo, ni marungu na mawe jua na mvua zote zangu vumbi na matope vyote vyangu kwenye forex lakini naambulia kichapo kikali nakosa hata hela ya mswaki[emoji23][emoji23] kila nikipata hela akili inasema weka kwenye forex kijana hela nje nje[emoji23][emoji23] nikiweka ni marungu mfululizo kila siku ni heart attack disese[emoji848]


Nikasema au hii forex niya wa south Africa tu

Ukaafika mda wa kula maziwa na asali katika nchi ya ahadi [emoji898][emoji485]unajua kilifata nini

nimechoka kuandika itaendelea......
Fx niya kwenda nayo mdogomdogo pupa lazma uwekwe waaaa. Wanasema markets ziko na high risk ukikumbuka uliambiwa huna mbele wala nyuma na X basi badala yakutumia 0.2 lot size kwa account ya $100 unapata unatandika lot ya 0.5 au above uku umefanya analysis ya kiwaki basi unatulizwa tuu. One thing fx is not a scam na tuache kupangilia hela ambazo hatujatia mkononi. Chezea a quality lifestyle, tutulie tuendelee kusoma mdogomdogo consistency is the key. Wakumbaf wanapiga ela 😂😂
 
Forex inahitaji elimu sahihi ukiingia nakujaribu bila kupata elimu sahihi utatoka na kuja kushuhudia mambo ambayo si sahihi firex ni kazi ngumu na tam sana
 
Wewe NDIO USIKARIRI KWAMBA FOREX SIO BETTING.. Mwenzako kaliwa maduka mawili ya nguo yotee. MIMI SIPOTEZI MUDA KUELIMISHA MTU KAMA WW NDUGU YANGU. NENDA KAFANYE FOREX.. UTALIA TU.. GUARANTEED!!
Endeleeni na mawazo mazuri kama haya hatutaki watu wengi humu msije stukia tunavyopiga hela kijanja asee
 
Forex ni betting. Stock market ni betting. Cryptocurrency investments ni betting. Kwa hizo investments, Watu wanaweka millions of dollars ambayo hata ikipotea hawajali. Sasa ww unaweka hela yako pekee kwenye kamari? Lazima ulie tu
Stock na Crypto usifananishe kabisa na Forex. Ukitaka pesa nyingi kwa haraka lazima uone Stock na Crypto haifai.

Uzuri wa Stock na Crypto unaweza ku-invest kiasi kidogo sana cha pesa na return yake ikawa kubwa sana. Cha muhimu katika Stock na Crypto ni kuwekeza kwenye kampuni au projects zenye future nzuri kipindi zikiwa katika bei ya chini na kuja kuuza zikilipuka. Kwenye Stock na Crypto uvumilivu ni muhimu sana, huku watu wanawekeza kwa ajili ya miaka 5 hadi 10 ijayo.
 
Stock na Crypto usifananishe kabisa na Forex. Ukitaka pesa nyingi kwa haraka lazima uone Stock na Crypto haifai.

Uzuri wa Stock na Crypto unaweza ku-invest kiasi kidogo sana cha pesa na return yake ikawa kubwa sana. Cha muhimu katika Stock na Crypto ni kuwekeza kwenye kampuni au projects zenye future nzuri kipindi zikiwa katika bei ya chini na kuja kuuza zikilipuka. Kwenye Stock na Crypto uvumilivu ni muhimu sana, huku watu wanawekeza kwa ajili ya miaka 5 hadi 10 ijayo.
Na ndio nilisema.. inatakiwa uweke millions of dollars ambayo hata ikipotea hauumii. Sasa mtu unatoaje hela ya duka, halafu uiweke kwenye forex? Hilo ni kosa sana..
 
Stock na Crypto usifananishe kabisa na Forex. Ukitaka pesa nyingi kwa haraka lazima uone Stock na Crypto haifai.

Uzuri wa Stock na Crypto unaweza ku-invest kiasi kidogo sana cha pesa na return yake ikawa kubwa sana. Cha muhimu katika Stock na Crypto ni kuwekeza kwenye kampuni au projects zenye future nzuri kipindi zikiwa katika bei ya chini na kuja kuuza zikilipuka. Kwenye Stock na Crypto uvumilivu ni muhimu sana, huku watu wanawekeza kwa ajili ya miaka 5 hadi 10 ijayo.
Uko sahihi kabisa.. pia ni long term investment. Manake matunda usiyategemee hadi miaka kadhaa ijayo.
 
Forex ni betting. Stock market ni betting. Cryptocurrency investments ni betting. Kwa hizo investments, Watu wanaweka millions of dollars ambayo hata ikipotea hawajali. Sasa ww unaweka hela yako pekee kwenye kamari? Lazima ulie tu
Kulima matikiti maji kwa mtaji mkubwa ambayo hujuhi hata kama utavuna na ukivuna utamuuzia nani na kwa bei gani ni GRAND BETTING!
 
Kulima matikiti maji kwa mtaji mkubwa ambayo hujuhi hata kama utavuna na ukivuna utamuuzia nani na kwa bei gani ni GRAND BETTING!
Kabla haujaweka mtaji mkubwa inatakiwa uwe umeshatumia mtaji mdogo kwa Majaribio na ukafanikiwa Vizuri. Kabla ya mtaji mkubwa Inatakiwa ujue kilimo hicho vizuri . .. Inatakiwa ujue msimu mzuri. Inatakiwa ujue soko zuri utauzia wapi na msimu mzuri wa kuuzia ni upi. Inatakiwa ujue vitu gani vitaharibu mazao kisha uchukue Tahadhari Zote. Inatakiwa utumie maji ya kumwagilia yanayopatikana muda wote. Ujue mbolea gani nk zinafaa. Uwe na wakulima au wafanyakazi wataalamu shambani na waliobobea katika kilimo hicho. Ww mwenyewe USIMAMIE KAZI YAKO KILA SIKU NA UWEPO SHAMBANI NA UWE NA UTAALAM KIASI FULANI.
 
Kulima matikiti maji kwa mtaji mkubwa ambayo hujuhi hata kama utavuna na ukivuna utamuuzia nani na kwa bei gani ni GRAND BETTING!
Ni Grand Betting Ya Kijinga. Kumbe ndio mnawekezaga namna hio?? Poleni sana ww na huyo Keisangora wako..
 
Back
Top Bottom