Forex ilivyofilisi maduka yangu mawili ya nguo

Forex ilivyofilisi maduka yangu mawili ya nguo

Sio kuwa ivyo tu ndivyo betting mkuu. Bali maisha yetu yote huwa ni kamari Mana huwa hauna uhakika na kinachotokea even a picosecond ahead.
Unaifungua duka hujui Kama utauza urudishe initial costs,unalima hujui Kama utavuna,unaoa/kuolewa hujui Kama utazalishwa ama utazaliwa pia humjui atakavyokuwa huko mbeleni,unasoma hujui Kama utamaliza masomo yako upate ajira yako,unasafiri hauna uhakika kwa chombo kitawafikisha salama.
So usiogope betting mkuu.
Yaani unaweza ukanunua mzigo afu ghafula Bei ikashuka so itakukata.
Je wanaonunua mipunga magunia hata ya 500M afu mchele haupandi.
Ujue tu Kuna watu walinunua mpunga mwaka juzi mwaka huu ndo wamekobia Mana mwaka Jana mchele haujapanda Sana Bei.
Tell me what isn't betting in life mkuu labda mie ndo siyajui maisha.
Usiogope najua ulitaka kutajirika ndani ya mwaka mmoja.
Nikuambie tu ukiwa na mtaji like 5K USD ni rahisi Sana kuzipata dola 20-100 kwa siku kulingana na upepo wa soko ulivyo.
Mana hata kwa biashara Kuna siku unachanganya unauza Sana smt unatamani hata wa kukuulizia Bei anakosa.
Ila umefungua biashara yako unasubiria mtu ambaye hamjapeana ahadi kuwa anakuja.
Kwa hio watu ambao mnaishi maisha kwa Kamari Poleni sana. Mimi SIISHI MAISHA YANGU NAMNA HIO. Na kweli mafanikio nimeyaona sana kila mwaka baada ya mwaka. Sirudi nyuma kamwe. Na nilizaliwa kwa familia maskini sana
 
Kwa hio watu ambao mnaishi maisha kwa Kamari Poleni sana. Mimi SIISHI MAISHA YANGU NAMNA HIO. Na kweli mafanikio nimeyaona sana kila mwaka baada ya mwaka. Sirudi nyuma kamwe. Na nilizaliwa kwa familia maskini sana
Sasa kila kitu si unakifanya kwa kutafuta ama kuchanganua Mambo mkuu kuwa one outcome is possible to occur than one
Yaani unatafuta odds ziwe nyingi za kui favour outcome Fulani.
Kumbuka hapa naongea mathematically labda hutonielewa.kasome probability labda twaweza elewana
Mfano unatafuta kazi kampuni fulani lazima kwanza uichunguze ikoje inavyolipa.
Hata investors kabla hawajaja kwa nchi fulani lazima wachanganue Mambo ya kisiasa,kiuchumi.
Kabla hujafungua biashara mahali fulani ni lazima utafute uwezekano wa mbegu yako kuota.
Hebu niambie kimojawapo katika maisha yako unachokifanya bila kupiga hesabu.
Mwenyewe kuzaliwa ni probability Mana ingeweza kutokea miscarriage ama ukashikwa na magonjwa ya utotoni ama around billions of sperms alizotoa babaako yako ilikuwa na probability kubwa ya kuogelea na kuwahi kulifikia yai.

Niambie unachofanya ambacho una uhakikaa nacho. Mfano hujui Kama kesho utaiona
 
Kwa hio watu ambao mnaishi maisha kwa Kamari Poleni sana. Mimi SIISHI MAISHA YANGU NAMNA HIO. Na kweli mafanikio nimeyaona sana kila mwaka baada ya mwaka. Sirudi nyuma kamwe. Na nilizaliwa kwa familia maskini sana
Sasa kila kitu si unakifanya kwa kutafuta ama kuchanganua Mambo mkuu kuwa one outcome is possible to occur than one
Yaani unatafuta odds ziwe nyingi za kui favour outcome Fulani.
Kumbuka hapa naongea mathematically labda hutonielewa.kasome probability labda twaweza elewana
Mfano unatafuta kazi kampuni fulani lazima kwanza uichunguze ikoje inavyolipa.
Hata investors kabla hawajaja kwa nchi fulani lazima wachanganue Mambo ya kisiasa,kiuchumi.
Kabla hujafungua biashara mahali fulani ni lazima utafute uwezekano wa mbegu yako kuota.
Hebu niambie kimojawapo katika maisha yako unachokifanya bila kupiga hesabu.
Mwenyewe kuzaliwa ni probability Mana ingeweza kutokea miscarriage ama ukashikwa na magonjwa ya utotoni ama around billions of sperms alizotoa babaako yako ilikuwa na probability kubwa ya kuogelea na kuwahi kulifikia yai.

Niambie unachofanya ambacho una uhakikaa nacho. Mfano hujui Kama kesho utaiona
Kila kitu sio betting. Unatakiwa ufanye risk analysis kabla ya kujiingiza kwa project ya investment. Risks ni kubwa sana kwa investor mdogo katika hizo investments nimekuambia. Binafsi nawekeza in real estate na haijawahi niangusha. Faida inaweza isiwepo kubwa, lakini hasara hakuna.. na majengo ni yangu. Kwa hio unavyosema kila kitu kwenye maisha ni kamari.. sio kweli. Binafsi hata chuo nilichagua course ambayo ina ajira. Na KUOA SIJAOA NA SITAKI KUOA sababu kweli siku hizi ndoa ni kamari tu.
Sijakataaa unavyodai biashara ya real estate Haina risk unakumbuka Kuna miaka Japan waliwekeza kwa majengo USA baadaye iyo biashara iliporomoka Sana wakapata hasara. Tafuta house bubble mkuu.
Pia unapojenga kumbuka pia nyumba yako yaweza kuungua ama any natural calamity ikaikumbuka investment.
Hapo uliposema kuwa unacheki risk ni kweli Ila pia penye high risk Kuna high return.
So ukiogopa risk utakaa bila kufanya kitu
Kuna risk kila sekta mkuu. Hata mkeo unajua kuwa anachapwa na anaweza akaleta magonjwa sema Nini hujaiogopa iyo risk umeamua kuzama ndoani ili umeki family uitwe baba ama mama.
Sio kuwa nakuombea Bali nakuonyeshea everything is risk hata kukaa bila kuteki risk ni risk pia.
Ina Mana mfano unapojenga hela unayojengea ungeamua kununulia Kosta ndani ya kila mwaka na nusu Kosta inakujengea na unaweza dumu nayo above five years.
Ila umeamua ku diversify your capital.
Pia kumbuka unapo diversify it means you don't know what are you doing na pia hauna uhakika na ukifanyacho.
Ni sawa hauna uhakika kuwa mbinguni hakuna Mungu
 
Daaaaah

"Asie sikia la mkuu huvunjika guu",
na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"

"Ulafi ulimponza mzee fisi"[emoji24][emoji24]

Thread in a nutshell[emoji993]
____________________________

OK ngoja tuanze thread [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nijambo la kufurahisha sana kuona jinsi wazungu, wa south Africa wanavyopata mamilioni ya pesa kila siku kupitia biashara hii ya kudownload pesa [emoji23][emoji848]

Vijana wadogo wanaendesha magari ya kifahari very fu""" ng expensive car ,nyumba Kali Kali aisee nikashawishika sana na ukizingatia mda huo X wangu aliniambia sina mbele wala nyuma

Nikasema hapa kwenye forex ndio pa kutobolea maana tundu nimeliona nikawasa nitaendesha magari makali BMW i8,Cadillac escalade,Mercedes Benz,Lamborghini, Ferrari mtaa mzima Mimi ndio nitakua tajiri

Ukoo mzima utanitambua Mimi vizazi vingi kwenye ukoo wetu vitanijua mtaa mzima utajua kuna tajiri kijana mdogo under 20 age aisee

Nitakula bata[emoji485][emoji512][emoji513] na wasanii maarufu dunia akiana Drake,rihanna, Chris brown na wengine Nita pop champagne[emoji898][emoji898][emoji898] na mawaziri na wafanyabiashara wakubwa kama upcoming young billionaire in Tanzania


Isee nitakua mtu maarufu sana hapa Tanzania na nchi nyingi zitanijua kama kijana tajiri zaidi duniania under 20's age

[emoji24][emoji24][emoji24]zikaanza nyakati za kutaka mafanikio kwa pupa ukawa ndio mwaka wa kupigwa na vitu vizito mfululizo, ni marungu na mawe jua na mvua zote zangu vumbi na matope vyote vyangu kwenye forex lakini naambulia kichapo kikali nakosa hata hela ya mswaki[emoji23][emoji23] kila nikipata hela akili inasema weka kwenye forex kijana hela nje nje[emoji23][emoji23] nikiweka ni marungu mfululizo kila siku ni heart attack disese[emoji848]


Nikasema au hii forex niya wa south Africa tu

Ukaafika mda wa kula maziwa na asali katika nchi ya ahadi [emoji898][emoji485]unajua kilifata nini

nimechoka kuandika itaendelea......
Huu ni uongo kama uongo mwingine.
 
Sasa kila kitu si unakifanya kwa kutafuta ama kuchanganua Mambo mkuu kuwa one outcome is possible to occur than one
Yaani unatafuta odds ziwe nyingi za kui favour outcome Fulani.
Kumbuka hapa naongea mathematically labda hutonielewa.kasome probability labda twaweza elewana
Mfano unatafuta kazi kampuni fulani lazima kwanza uichunguze ikoje inavyolipa.
Hata investors kabla hawajaja kwa nchi fulani lazima wachanganue Mambo ya kisiasa,kiuchumi.
Kabla hujafungua biashara mahali fulani ni lazima utafute uwezekano wa mbegu yako kuota.
Hebu niambie kimojawapo katika maisha yako unachokifanya bila kupiga hesabu.
Mwenyewe kuzaliwa ni probability Mana ingeweza kutokea miscarriage ama ukashikwa na magonjwa ya utotoni ama around billions of sperms alizotoa babaako yako ilikuwa na probability kubwa ya kuogelea na kuwahi kulifikia yai.

Niambie unachofanya ambacho una uhakikaa nacho. Mfano hujui Kama kesho utaiona

Sijakataaa unavyodai biashara ya real estate Haina risk unakumbuka Kuna miaka Japan waliwekeza kwa majengo USA baadaye iyo biashara iliporomoka Sana wakapata hasara. Tafuta house bubble mkuu.
Pia unapojenga kumbuka pia nyumba yako yaweza kuungua ama any natural calamity ikaikumbuka investment.
Hapo uliposema kuwa unacheki risk ni kweli Ila pia penye high risk Kuna high return.
So ukiogopa risk utakaa bila kufanya kitu
Kuna risk kila sekta mkuu. Hata mkeo unajua kuwa anachapwa na anaweza akaleta magonjwa sema Nini hujaiogopa iyo risk umeamua kuzama ndoani ili umeki family uitwe baba ama mama.
Sio kuwa nakuombea Bali nakuonyeshea everything is risk hata kukaa bila kuteki risk ni risk pia.
Ina Mana mfano unapojenga hela unayojengea ungeamua kununulia Kosta ndani ya kila mwaka na nusu Kosta inakujengea na unaweza dumu nayo above five years.
Ila umeamua ku diversify your capital.
Pia kumbuka unapo diversify it means you don't know what are you doing na pia hauna uhakika na ukifanyacho.
Ni sawa hauna uhakika kuwa mbinguni hakuna Mungu
Naona hapa unakubaliana na mimi. Risks zipo.. lakini ni muhimu u-invest huku uki-minimize risks. Binafsi imenisaidia sana. Naona watu wanalia kila siku.. na asilimia kubwa wana-invest tu bila risks analysis. Nyumba kuungua ndio maana ya reliable insurance. Ulisema maisha ni kamari.. hio ni kwako. Binafsi maisha yangu siyachezei KAMARI KAMWE
 
Naona hapa unakubaliana na mimi. Risks zipo.. lakini ni muhimu u-invest huku uki-minimize risks. Binafsi imenisaidia sana. Naona watu wanalia kila siku.. na asilimia kubwa wana-invest tu bila risks analysis. Nyumba kuungua ndio maana ya reliable insurance. Ulisema maisha ni kamari.. hio ni kwako. Binafsi maisha yangu siyachezei KAMARI KAMWE
Big yes life is a poker mkuu and not a chess.
Niambie ambacho haufanyii analysis ya ku minimize risk.
Unapominimize risk Ina Mana unafanya probability ama mahesabu kuwa huu upande sio na ndo Mana ukiwa na risks nyingi kwa Mana probability haijaku favour unakwepa hapo hauingizi pesa yako.
Yaani hata ukatae hiyo ni probability huwa unafanya.
Mana unacheki proba ya kitu fulani kuja vibaya.
I know people love white or blacks but between like gray no.
People love to say yes or no but nothing is 100% sure or 0% impossible everything is dancing between zero and one.
Yaani ndo Mana watu huwa wanaambiwa uongo ili wafurahi Mana everything in investment going on is probability.
So probability mindset ni ngumu kibinadamu kuipenda.
Kwani why Sasa unaweka reliable insurance Sasa si kwa Mana kuwa risks inaweza ikatokea.
Listen insurance companies zinafanya biashara zao kwa probability mkuu.
Probability una assess risks so unafanya ambayo ni less risk kwani iyo sio kubeti kwa lazima analysis zako zikubali Kama ulivyo analyze.
Nimekuambia hata unapoamua kusafiri hauna uhakika Kama utafika.
Ila naona Kama hatuelewani. Ngoja nisevu hizi energy Mana zapotea bure.

If you're hundred sure with real estate why unakata insurance?
So kubaliana namie kuwa nothing sure hapa duniani.
Waweza fanya maamuzi mazuri ukapata matokeo mabaya na ukafanya maamuzi mabaya still ukapata matokeo mazuri.
An event can be extremely likey but not happen and an event can be extremely unlikely to happen but still happen.
 
Daaaaah

"Asie sikia la mkuu huvunjika guu",
na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"

"Ulafi ulimponza mzee fisi"[emoji24][emoji24]

Thread in a nutshell[emoji993]
____________________________

OK ngoja tuanze thread [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nijambo la kufurahisha sana kuona jinsi wazungu, wa south Africa wanavyopata mamilioni ya pesa kila siku kupitia biashara hii ya kudownload pesa [emoji23][emoji848]

Vijana wadogo wanaendesha magari ya kifahari very fu""" ng expensive car ,nyumba Kali Kali aisee nikashawishika sana na ukizingatia mda huo X wangu aliniambia sina mbele wala nyuma

Nikasema hapa kwenye forex ndio pa kutobolea maana tundu nimeliona nikawasa nitaendesha magari makali BMW i8,Cadillac escalade,Mercedes Benz,Lamborghini, Ferrari mtaa mzima Mimi ndio nitakua tajiri

Ukoo mzima utanitambua Mimi vizazi vingi kwenye ukoo wetu vitanijua mtaa mzima utajua kuna tajiri kijana mdogo under 20 age aisee

Nitakula bata[emoji485][emoji512][emoji513] na wasanii maarufu dunia akiana Drake,rihanna, Chris brown na wengine Nita pop champagne[emoji898][emoji898][emoji898] na mawaziri na wafanyabiashara wakubwa kama upcoming young billionaire in Tanzania


Isee nitakua mtu maarufu sana hapa Tanzania na nchi nyingi zitanijua kama kijana tajiri zaidi duniania under 20's age

[emoji24][emoji24][emoji24]zikaanza nyakati za kutaka mafanikio kwa pupa ukawa ndio mwaka wa kupigwa na vitu vizito mfululizo, ni marungu na mawe jua na mvua zote zangu vumbi na matope vyote vyangu kwenye forex lakini naambulia kichapo kikali nakosa hata hela ya mswaki[emoji23][emoji23] kila nikipata hela akili inasema weka kwenye forex kijana hela nje nje[emoji23][emoji23] nikiweka ni marungu mfululizo kila siku ni heart attack disese[emoji848]


Nikasema au hii forex niya wa south Africa tu

Ukaafika mda wa kula maziwa na asali katika nchi ya ahadi [emoji898][emoji485]unajua kilifata nini

nimechoka kuandika itaendelea......
Hata usiendelee stori haina hata chembe ya mvuto
 
Big yes life is a poker mkuu and not a chess.
Niambie ambacho haufanyii analysis ya ku minimize risk.
Unapominimize risk Ina Mana unafanya probability ama mahesabu kuwa huu upande sio na ndo Mana ukiwa na risks nyingi kwa Mana probability haijaku favour unakwepa hapo hauingizi pesa yako.
Yaani hata ukatae hiyo ni probability huwa unafanya.
Mana unacheki proba ya kitu fulani kuja vibaya.
I know people love white or blacks but between like gray no.
People love to say yes or no but nothing is 100% sure or 0% impossible everything is dancing between zero and one.
Yaani ndo Mana watu huwa wanaambiwa uongo ili wafurahi Mana everything in investment going on is probability.
So probability mindset ni ngumu kibinadamu kuipenda.
Kwani why Sasa unaweka reliable insurance Sasa si kwa Mana kuwa risks inaweza ikatokea.
Listen insurance companies zinafanya biashara zao kwa probability mkuu.
Probability una assess risks so unafanya ambayo ni less risk kwani iyo sio kubeti kwa lazima analysis zako zikubali Kama ulivyo analyze.
Nimekuambia hata unapoamua kusafiri hauna uhakika Kama utafika.
Ila naona Kama hatuelewani. Ngoja nisevu hizi energy Mana zapotea bure.

If you're hundred sure with real estate why unakata insurance?
So kubaliana namie kuwa nothing sure hapa duniani.
Waweza fanya maamuzi mazuri ukapata matokeo mabaya na ukafanya maamuzi mabaya still ukapata matokeo mazuri.
An event can be extremely likey but not happen and an event can be extremely unlikely to happen but still happen.
SIO KWELI. KAMARI MANAKE UNAWEZA UFANIKIWE AU USIFANIKIWE. MIMI KILA JAMBO NINALOLIFANYA MAISHANI LAZIMA LIFANIKIWE. Mara ngapi kamari inafanikiwa wewe? Mimi SIJASIKIA HATA SIKU MOJA MTU AMETOBOA MAISHA KWA KUCHEZA KAMARI. NEVER! Wewe endelea tu na ku-bet hela zako kwenye michezo ya Betting Halafu Eti UNAKUJA KUANDIKA UJINGA HAPA unaona umeandika kitu cha maana ILO KUKIFARIJI TU. Kwa fikra hizo utakufa maskini. Halafu UNAANDIKA MANENO MENGIII ILA NI PUMBA TU. Kwa ufupi Narudia.. mimi MAISHA YANGU KAMWE SIYACHEZEI KAMARI.. NA KILA NINALOFANYA LAZIMA NIFANIKIWE.
 
Big yes life is a poker mkuu and not a chess.
Niambie ambacho haufanyii analysis ya ku minimize risk.
Unapominimize risk Ina Mana unafanya probability ama mahesabu kuwa huu upande sio na ndo Mana ukiwa na risks nyingi kwa Mana probability haijaku favour unakwepa hapo hauingizi pesa yako.
Yaani hata ukatae hiyo ni probability huwa unafanya.
Mana unacheki proba ya kitu fulani kuja vibaya.
I know people love white or blacks but between like gray no.
People love to say yes or no but nothing is 100% sure or 0% impossible everything is dancing between zero and one.
Yaani ndo Mana watu huwa wanaambiwa uongo ili wafurahi Mana everything in investment going on is probability.
So probability mindset ni ngumu kibinadamu kuipenda.
Kwani why Sasa unaweka reliable insurance Sasa si kwa Mana kuwa risks inaweza ikatokea.
Listen insurance companies zinafanya biashara zao kwa probability mkuu.
Probability una assess risks so unafanya ambayo ni less risk kwani iyo sio kubeti kwa lazima analysis zako zikubali Kama ulivyo analyze.
Nimekuambia hata unapoamua kusafiri hauna uhakika Kama utafika.
Ila naona Kama hatuelewani. Ngoja nisevu hizi energy Mana zapotea bure.

If you're hundred sure with real estate why unakata insurance?
So kubaliana namie kuwa nothing sure hapa duniani.
Waweza fanya maamuzi mazuri ukapata matokeo mabaya na ukafanya maamuzi mabaya still ukapata matokeo mazuri.
An event can be extremely likey but not happen and an event can be extremely unlikely to happen but still happen.
Kila PROJECT NZURI katika maisha ina RISKS. Lakini hio haimaanishi Kila Project Ni Kamari. Kamari kama FOREX au BETTING tatizo lake ni kwamba zinafanya mtu uwe addicted kwa michezo hio.. na mwisho wa siku WATU WANAPOTEZA KILA KITU NA HAWATOBOI KABISA kama huyu ndugu Mleta Mada. Biashara kama real estate, mtu hata usipotoboa mara moja, as long as kwamba LOCATION ni nzuri, jengo ni la kwako. Unaendelea tu kujifunza namna ya kufanya likuletee Faida kubwa. Haupotezi kitu hapo.
 
Big yes life is a poker mkuu and not a chess.
Niambie ambacho haufanyii analysis ya ku minimize risk.
Unapominimize risk Ina Mana unafanya probability ama mahesabu kuwa huu upande sio na ndo Mana ukiwa na risks nyingi kwa Mana probability haijaku favour unakwepa hapo hauingizi pesa yako.
Yaani hata ukatae hiyo ni probability huwa unafanya.
Mana unacheki proba ya kitu fulani kuja vibaya.
I know people love white or blacks but between like gray no.
People love to say yes or no but nothing is 100% sure or 0% impossible everything is dancing between zero and one.
Yaani ndo Mana watu huwa wanaambiwa uongo ili wafurahi Mana everything in investment going on is probability.
So probability mindset ni ngumu kibinadamu kuipenda.
Kwani why Sasa unaweka reliable insurance Sasa si kwa Mana kuwa risks inaweza ikatokea.
Listen insurance companies zinafanya biashara zao kwa probability mkuu.
Probability una assess risks so unafanya ambayo ni less risk kwani iyo sio kubeti kwa lazima analysis zako zikubali Kama ulivyo analyze.
Nimekuambia hata unapoamua kusafiri hauna uhakika Kama utafika.
Ila naona Kama hatuelewani. Ngoja nisevu hizi energy Mana zapotea bure.

If you're hundred sure with real estate why unakata insurance?
So kubaliana namie kuwa nothing sure hapa duniani.
Waweza fanya maamuzi mazuri ukapata matokeo mabaya na ukafanya maamuzi mabaya still ukapata matokeo mazuri.
An event can be extremely likey but not happen and an event can be extremely unlikely to happen but still happen.
Soma Hio Ili Uelimike. Watu Mna Matatizo Sana. Eti kwa nini nakata insurance. Nilishakuambia, hakuna investment nzuri isio na risks. Lakini UWEZEKANO WA KUTOBOA KATIKA INVESTMENTS NYINGI UPO 100% USIPOKATA TAMAA NA UKIENDELEA KUJIFUNZA NAMNA YA KUONDOA RISKS. Ila hizo Betting Zenu UWEZEKANO WA KUTOBOA NI 0% na USIPOKATA TAMAA.. ETI UKAENDELEA KU-BET NDIO UNAZIDI KULIWA SABABU TEARI ODDS ZIKO AGAINST YOU. HATA UFANYEJE, UWEZEKANO WA KUPUNGUZA RISKS HAUPO.
 
Big yes life is a poker mkuu and not a chess.
Niambie ambacho haufanyii analysis ya ku minimize risk.
Unapominimize risk Ina Mana unafanya probability ama mahesabu kuwa huu upande sio na ndo Mana ukiwa na risks nyingi kwa Mana probability haijaku favour unakwepa hapo hauingizi pesa yako.
Yaani hata ukatae hiyo ni probability huwa unafanya.
Mana unacheki proba ya kitu fulani kuja vibaya.
I know people love white or blacks but between like gray no.
People love to say yes or no but nothing is 100% sure or 0% impossible everything is dancing between zero and one.
Yaani ndo Mana watu huwa wanaambiwa uongo ili wafurahi Mana everything in investment going on is probability.
So probability mindset ni ngumu kibinadamu kuipenda.
Kwani why Sasa unaweka reliable insurance Sasa si kwa Mana kuwa risks inaweza ikatokea.
Listen insurance companies zinafanya biashara zao kwa probability mkuu.
Probability una assess risks so unafanya ambayo ni less risk kwani iyo sio kubeti kwa lazima analysis zako zikubali Kama ulivyo analyze.
Nimekuambia hata unapoamua kusafiri hauna uhakika Kama utafika.
Ila naona Kama hatuelewani. Ngoja nisevu hizi energy Mana zapotea bure.

If you're hundred sure with real estate why unakata insurance?
So kubaliana namie kuwa nothing sure hapa duniani.
Waweza fanya maamuzi mazuri ukapata matokeo mabaya na ukafanya maamuzi mabaya still ukapata matokeo mazuri.
An event can be extremely likey but not happen and an event can be extremely unlikely to happen but still happen.
Eti life is a poker.. HALAFU UNAONA UMEANDIKA JAMBO LA MAANA KWELI KWELI.. Nakuambia Your Life is a Poker. Wengine hapa MAISHA YETU HATUYACHEZEI KAMARI.. . NA TUNATOBOA KWELI KWELI. WW endelea tu kuchezesha maisha yako Kamari...
 
Naona hapa unakubaliana na mimi. Risks zipo.. lakini ni muhimu u-invest huku uki-minimize risks. Binafsi imenisaidia sana. Naona watu wanalia kila siku.. na asilimia kubwa wana-invest tu bila risks analysis. Nyumba kuungua ndio maana ya reliable insurance. Ulisema maisha ni kamari.. hio ni kwako. Binafsi maisha yangu siyachezei KAMARI KAMWE
Ni kweli unapofanya risk assessment inakusaidia ku"minimize loss" High risk inakuja na faida kubwa ukifanikiwa, low risk inakuja na faida kidogo. Hata real estate haina uhakika wa faida. Marekani walipata shda saana kulipotokea mtikisiko wa uchumi wakati wa Bus. Wenye nyumba walipoteza na wengine kufunga biashara. Maamuzi kama ya serkali kuhamia Dodoma imeleta mauzauza kwenye biashara ya real estate Dar Es Salaam. Kwa kifupi hakuna biashara isiyo na risk, sema tu how high a risk are you willing to take (how high a loss are prepared to accept)
 
Ni kweli unapofanya risk assessment inakusaidia ku"minimize loss" High risk inakuja na faida kubwa ukifanikiwa, low risk inakuja na faida kidogo. Hata real estate haina uhakika wa faida. Marekani walipata shda saana kulipotokea mtikisiko wa uchumi wakati wa Bus. Wenye nyumba walipoteza na wengine kufunga biashara. Maamuzi kama ya serkali kuhamia Dodoma imeleta mauzauza kwenye biashara ya real estate Dar Es Salaam. Kwa kifupi hakuna biashara isiyo na risk, sema tu how high a risk are you willing to take (how high a loss are prepared to accept)
Hakuna biashara isio na Risk. Lakini Risks ya investments kama real estate ni ndogo sana. Waliopoteza nyumba USA mwaka 2008 ni mabwege sababu ambao hawakupoteza nyumba sasa ivi nyumba zina thamani zaidi ya mara 2 tokea 2008. TATIZO WATU HAMJUI KUTOFAUTISHA KATI YA RISKS YA KU-INVEST HELA ZAKO KWA INVESTMENTS NYINGINE NA RISKS YA KU-INVEST HELA ZAKO KWENYE INVESTMENTS ZA KAMARI KAMA FOREX, BETTING NK.. hizo biashara nyingine AMBAZO SIO KAMARI, Mtu ukiendelea kupambana na kujifunza kupunguza risks LAZIMA UTATOBOA. ILA HIZO ZA KAMARI,,, RISKS ALWAYS NI KUBWA NA UTAFILISIKA KIMOJA KAMA MLETA MADA NA HAKUNA SOMO LA MAANA UTAKALOKUWA UMEJIFUNZA ZAIDI YA KUJIFUNZA KWAMBA KAMARI NI MBAYA...
 
Ni kweli unapofanya risk assessment inakusaidia ku"minimize loss" High risk inakuja na faida kubwa ukifanikiwa, low risk inakuja na faida kidogo. Hata real estate haina uhakika wa faida. Marekani walipata shda saana kulipotokea mtikisiko wa uchumi wakati wa Bus. Wenye nyumba walipoteza na wengine kufunga biashara. Maamuzi kama ya serkali kuhamia Dodoma imeleta mauzauza kwenye biashara ya real estate Dar Es Salaam. Kwa kifupi hakuna biashara isiyo na risk, sema tu how high a risk are you willing to take (how high a loss are prepared to accept)
 
Eti life is a poker.. HALAFU UNAONA UMEANDIKA JAMBO LA MAANA KWELI KWELI.. Nakuambia Your Life is a Poker. Wengine hapa MAISHA YETU HATUYACHEZEI KAMARI.. . NA TUNATOBOA KWELI KWELI. WW endelea tu kuchezesha maisha yako Kamari...
Forex INA pande mbili unaweza kufanya kama kamali au kama biashara ni maamuzi yako tu.
 
Ni kweli unapofanya risk assessment inakusaidia ku"minimize loss" High risk inakuja na faida kubwa ukifanikiwa, low risk inakuja na faida kidogo. Hata real estate haina uhakika wa faida. Marekani walipata shda saana kulipotokea mtikisiko wa uchumi wakati wa Bus. Wenye nyumba walipoteza na wengine kufunga biashara. Maamuzi kama ya serkali kuhamia Dodoma imeleta mauzauza kwenye biashara ya real estate Dar Es Salaam. Kwa kifupi hakuna biashara isiyo na risk, sema tu how high a risk are you willing to take (how high a loss are prepared to accept)
Sasa huyu jamaa bado haelewi kuwa izo calculation anazopiga kuminize risk Ina Mana Ana minimize risk ,kwa maana nyingine ni kuwa anatafuta odds za event or outcome anayoitaka itokee.
Sijui naongea na ngwini Mana naona haelewi kuwa probability is a study of uncertainties of events or outcome.
Yeye kariri kuwa kamari unajilipua bila kufanya calculations,,

Forecaster man anafanya calculation mpaka anasema kuwa mvua itanyesha Sana mwaka huu Kuna factors anaangalia.
Yaani huyu sijui amefunga kichwa haelewi.
Sijui hata mtihani wake wa la Saba alijibuje
 
Back
Top Bottom