Forex ilivyofilisi maduka yangu mawili ya nguo

Anaweza akajenga nyumba baadaye ilo eneo likawa la familia ama likaleta mgogoro ama watumishi wakahamishiwa dodoma ,ama wanafunzi wakajengewa hostel za Bei nafuu na serikali wakahama.
.......Ama vunja vunja kama ile ya Morogoro Road, wakati wa awamu ya 5.
 
Sasa hio risk analysis kwenye FX nayo iko tena deep sawa

Mkuu huna hoja
 
Forex yenye inataka risk analysis hawa unaosikia kelele za kupigwa hio risk analysis yenyewe hawaijui kiundani.

Wanajiendea endea tu.

Ukifungua duka katikati msitu kusko kuwa na watu hio ni high risk

Ukinunua yutong iwe inapiga root za kimara-bonyokwa hio high risk hujui uta breakeven lini!? Yawezekana hadi linakufa hutorudisha hata mtaji.

Huwezi nunua boti ya kisasa luxury ukaiweka mto kilomboro ivushe watu hio high risk nauli za watu kilomboro na uchumi wao hawawezi hata rudisha mtaji

Same to forex hujui kitu unakurupuka tu unaweka hela yako humo hujui ni nani analiendesha hilo soko kwa misingi ipi wala huna time kujua anatrede ili uende nae sambamba wewe u buy na kusell sababu imegusa kimstari chako ulichochora una sema [emoji2]napigwa hela utakula konzi la utosi hado uzimie

Ndio hawa sasa wanajileta mmoja mmoja humu ndani na kuishit FX ipe mbaya

Na kwakuwa wabongo ni wafuata upepo bila kufanya utafiti wote mnadandia treni kwa mbele [emoji2]

Anyway kila mtu abalilolijua as long as unaleta mkate na siagi mezani kwako
 
Andika kwa herufi ndogo utaeleweka hizo ni kama unapiga kelele sana huku macho yamekutoka
 
Stone-age-nigger hawezi kukuelewa kabisa

Watu wakishasikitu fx akili zinawatuma ni kudownload hela[emoji1787][emoji1787] ingekuwa simpo hakyanani maisha yangekuwa easy sana
 
Wewe utakuwa ulikuwa unajilipua, hukuwa na risk management. Account za fx huwa haziungui bila sababu ya msingi.
 
Wewe utakuwa ulikuwa unajilipua, hukuwa na risk management. Account za fx huwa haziungui bila sababu ya msingi.
[emoji23][emoji23][emoji23]We hujui kama JP Morgan wali flip $20B sembuse watu wenye mitaji chini ya $100K
 
Wewe utakuwa ulikuwa unajilipua, hukuwa na risk management. Account za fx huwa haziungui bila sababu ya msingi.
Risk management sijui trading psychology hivyo havisaidii ni kupigana Giza tu its fun but based in true story for all financial hustlers
 
Tusipangiane jinsi ya kutafuta bana we umefeli ni wewe si tulifeli na bado tukainuka,fx ingekuwa rahiisi basi kila mtu angefanya,fx sio kwa watu dhaifu,betting ni betting fx ni fx yani ni kama maziwa na tui la nazi vinafanana kwa kuangalia ila ni vitu viwili tofauti kabisa

Nimebet kwa zaidi ya miaka kumi tangu premier bet inaanza nimetrade miaka mitano ila sijaweza ifananisha fx na bet na iliniwia vigumu sana kutwist mind set kutoa za kubet kuweka za fx

Bet ukiliwa hakuna cha kujifunza wala backtesting ni kujilaumu tuu na kuwazia pesa zako,hasira,kuongeza mikeka mingine mingi,na kulaumu ukiweka mindset izo ktk fx utoboi nakuhakikishia,

miaka mitano ijayo tutakuwa mbali sana,kwanini fx isisajiliwe na gambling board😂😂😂
 
Saw kiongozi [emoji410]
 
Forex s mchezo mcehezo ni life style kuna kufeli vibayaa sasa kuna watu wanatumia kufeli kama njia ya kukatia tamaaa na wengine huchukulia kufeli kama njia ya kuamka na kusonga mbele strong a hawa watu hutoboa hakika
 
Daaaaah

"Asie sikia la mkuu huvunjika guu" na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"...
Watu wengi wanaferi wakizani Forex ni bahati na sibu wanashindwa kujua Kama forex ni sawa na taaluma ya udactari au mwanasgeria hilo la kwanza, pili ili ufanikiwe kwenye forex waza kuvuuna pips sio dollar sasa hapo ndio mtihani wanapopigwa watu . Ni ngumu kuwaza pips ikiwa ujasoma lazima utawaza dollar tu
 
upo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…