.......Ama vunja vunja kama ile ya Morogoro Road, wakati wa awamu ya 5.Anaweza akajenga nyumba baadaye ilo eneo likawa la familia ama likaleta mgogoro ama watumishi wakahamishiwa dodoma ,ama wanafunzi wakajengewa hostel za Bei nafuu na serikali wakahama.
anakula asali na maliwaKwani Ontario anasemaje?
Sasa hio risk analysis kwenye FX nayo iko tena deep sawaKila kitu sio betting. Unatakiwa ufanye risk analysis kabla ya kujiingiza kwa project ya investment. Risks ni kubwa sana kwa investor mdogo katika hizo investments nimekuambia. Binafsi nawekeza in real estate na haijawahi niangusha. Faida inaweza isiwepo kubwa, lakini hasara hakuna.. na majengo ni yangu. Kwa hio unavyosema kila kitu kwenye maisha ni kamari.. sio kweli. Binafsi hata chuo nilichagua course ambayo ina ajira. Na KUOA SIJAOA NA SITAKI KUOA sababu kweli siku hizi ndoa ni kamari tu.
Forex yenye inataka risk analysis hawa unaosikia kelele za kupigwa hio risk analysis yenyewe hawaijui kiundani.Naona hapa unakubaliana na mimi. Risks zipo.. lakini ni muhimu u-invest huku uki-minimize risks. Binafsi imenisaidia sana. Naona watu wanalia kila siku.. na asilimia kubwa wana-invest tu bila risks analysis. Nyumba kuungua ndio maana ya reliable insurance. Ulisema maisha ni kamari.. hio ni kwako. Binafsi maisha yangu siyachezei KAMARI KAMWE
Andika kwa herufi ndogo utaeleweka hizo ni kama unapiga kelele sana huku macho yamekutokaHakuna biashara isio na Risk. Lakini Risks ya investments kama real estate ni ndogo sana. Waliopoteza nyumba USA mwaka 2008 ni mabwege sababu ambao hawakupoteza nyumba sasa ivi nyumba zina thamani zaidi ya mara 2 tokea 2008. TATIZO WATU HAMJUI KUTOFAUTISHA KATI YA RISKS YA KU-INVEST HELA ZAKO KWA INVESTMENTS NYINGINE NA RISKS YA KU-INVEST HELA ZAKO KWENYE INVESTMENTS ZA KAMARI KAMA FOREX, BETTING NK.. hizo biashara nyingine AMBAZO SIO KAMARI, Mtu ukiendelea kupambana na kujifunza kupunguza risks LAZIMA UTATOBOA. ILA HIZO ZA KAMARI,,, RISKS ALWAYS NI KUBWA NA UTAFILISIKA KIMOJA KAMA MLETA MADA NA HAKUNA SOMO LA MAANA UTAKALOKUWA UMEJIFUNZA ZAIDI YA KUJIFUNZA KWAMBA KAMARI NI MBAYA...
Stone-age-nigger hawezi kukuelewa kabisaHata forex Ina namna ya kupunguza risk za kupoteza wengi wanai treat Kama kamari really wakati inatakiwa uwe speculation.
Unaponunua nafaka zipande uuze kwa so zinaweza zisipande Bei zikashuka kwani sio kamari iyo ama wewe umekariri kamari ni kubeti mpira.
Mie ni kilaza wa statistics banaSomebody kaelewa probability to the extreme
Hahahah ndg yangu Just kidding
Wewe utakuwa ulikuwa unajilipua, hukuwa na risk management. Account za fx huwa haziungui bila sababu ya msingi.Daaaaah
"Asie sikia la mkuu huvunjika guu" na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"
"Ulafi ulimponza mzee fisi"[emoji24][emoji24]
Thread in a nutshell[emoji993]
____________________________
OK ngoja tuanze thread [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nijambo la kufurahisha sana kuona jinsi wazungu, wa south Africa wanavyopata mamilioni ya pesa kila siku kupitia biashara hii ya kudownload pesa [emoji23][emoji848]
Vijana wadogo wanaendesha magari ya kifahari very fu" ng expensive car, nyumba Kali Kali aisee nikashawishika sana na ukizingatia mda huo X wangu aliniambia sina mbele wala nyuma
Nikasema hapa kwenye forex ndio pa kutobolea maana tundu nimeliona nikawasa nitaendesha magari makali BMW i8, Cadillac escalade, Mercedes Benz, Lamborghini, Ferrari mtaa mzima Mimi ndio nitakua tajiri
Ukoo mzima utanitambua Mimi vizazi vingi kwenye ukoo wetu vitanijua mtaa mzima utajua kuna tajiri kijana mdogo under 20 age aisee
Nitakula bata[emoji485][emoji512][emoji513] na wasanii maarufu dunia akiana Drake, Rihanna, Chris brown na wengine Nita pop champagne[emoji898][emoji898][emoji898] na mawaziri na wafanyabiashara wakubwa kama upcoming young billionaire in Tanzania
Isee nitakua mtu maarufu sana hapa Tanzania na nchi nyingi zitanijua kama kijana tajiri zaidi duniania under 20's age
[emoji24][emoji24][emoji24]zikaanza nyakati za kutaka mafanikio kwa pupa ukawa ndio mwaka wa kupigwa na vitu vizito mfululizo, ni marungu na mawe jua na mvua zote zangu vumbi na matope vyote vyangu kwenye forex lakini naambulia kichapo kikali nakosa hata hela ya mswaki[emoji23][emoji23] kila nikipata hela akili inasema weka kwenye forex kijana hela nje nje[emoji23][emoji23] nikiweka ni marungu mfululizo kila siku ni heart attack disese[emoji848]
Nikasema au hii forex niya wa south Africa tu
Ukaafika mda wa kula maziwa na asali katika nchi ya ahadi [emoji898][emoji485]unajua kilifata nini?[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23]We hujui kama JP Morgan wali flip $20B sembuse watu wenye mitaji chini ya $100KWewe utakuwa ulikuwa unajilipua, hukuwa na risk management. Account za fx huwa haziungui bila sababu ya msingi.
Risk management sijui trading psychology hivyo havisaidii ni kupigana Giza tu its fun but based in true story for all financial hustlersWewe utakuwa ulikuwa unajilipua, hukuwa na risk management. Account za fx huwa haziungui bila sababu ya msingi.
TUKISHAPIGWAForex is not for everyone or everyone is not for forex [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah wabongo tunajua kujifariji
Saw kiongozi [emoji410]Tusipangiane jinsi ya kutafuta bana we umefeli ni wewe si tulifeli na bado tukainuka,fx ingekuwa rahiisi basi kila mtu angefanya,fx sio kwa watu dhaifu,betting ni betting fx ni fx yani ni kama maziwa na tui la nazi vinafanana kwa kuangalia ila ni vitu viwili tofauti kabisa
Nimebet kwa zaidi ya miaka kumi tangu premier bet inaanza nimetrade miaka mitano ila sijaweza ifananisha fx na bet na iliniwia vigumu sana kutwist mind set kutoa za kubet kuweka za fx
Bet ukiliwa hakuna cha kujifunza wala backtesting ni kujilaumu tuu na kuwazia pesa zako,hasira,kuongeza mikeka mingine mingi,na kulaumu ukiweka mindset izo ktk fx utoboi nakuhakikishia,
miaka mitano ijayo tutakuwa mbali sana,kwanini fx isisajiliwe na gambling board[emoji23][emoji23][emoji23]
Na kitu kizitoTUKISHAPIGWA
Sawa sawa[emoji485]naweka kambi hapa
Watu wengi wanaferi wakizani Forex ni bahati na sibu wanashindwa kujua Kama forex ni sawa na taaluma ya udactari au mwanasgeria hilo la kwanza, pili ili ufanikiwe kwenye forex waza kuvuuna pips sio dollar sasa hapo ndio mtihani wanapopigwa watu . Ni ngumu kuwaza pips ikiwa ujasoma lazima utawaza dollar tuDaaaaah
"Asie sikia la mkuu huvunjika guu" na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu"...
upo sahihiWatu wengi wanaferi wakizani Forex ni bahati na sibu wanashindwa kujua Kama forex ni sawa na taaluma ya udactari au mwanasgeria hilo la kwanza, pili ili ufanikiwe kwenye forex waza kuvuuna pips sio dollar sasa hapo ndio mtihani wanapopigwa watu . Ni ngumu kuwaza pips ikiwa ujasoma lazima utawaza dollar tu