Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

Kuna mzee wa karibia miaka 60 jana kanipa simu yake nikuelekeze jinsi ya 'ku-screen shot'. Hiyo page aliyokuwa kafungua inahusu mambo ya forex. Kimoyomoyo nikajisemea mzee anaenda kuliwa kichwa siku sio nyingi.
 
Kuna mzee wa karibia miaka 60 jana kanipa simu yake nikuelekeze jinsi ya 'ku-screen shot'. Hiyo page aliyokuwa kafungua inahusu mambo ya forex. Kimoyomoyo nikajisemea mzee anaenda kuliwa kichwa siku sio nyingi.
Nitumie namba ya huyo mzee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuuu nimekua inspired na story yako. We on the same chain with different vision.
Ila jiwekeze tu. Just imagine mm nimefanya kazi zote ngumungumu Kama kuvunja mawe, kuponda kokoto, kuchimba mchanga na vifusi ili Maisha yaende.
But now at least nimejiwekeza kdgo napata hela ya kula. Mradi unanipa zaidi ya kilo 6 kwa mwezi.
Tukomae tu mkuuu hakuna namna
 
Kama stori hii ni kweli, una mkono na akili ya kamari ndugu. Tumia strategy uliyokuwa unatumia wakati una shida. Weka mental state ya umakini kama vile ulivyokuwa una shida.

Cheza na 10% ya hela yako katika hizo forex na kamari kidogo kidogo kama una laki. Una skills tayari za kufikisha 100m ila naona akili yako haijakubali kufunction vizuri muda wote mpaka iwe do or die.

Utapofika hapo 100m anza hayo mambo ya kudivertify. Kwa sasa endelea kuishi kidogokidogo. Hela utapata ila nasisitiza zisiingie akilinj. Ushafeli mara moja katika hilo usifeli tena. Usihame, usinunue gari, usiongeze allowance kwa mama, usigawe hela ovyo mpaka ufikishe 100m.
Hana akili ana bahati, maana alivyokuwa kwenye hiyo forex alikuwa akifanya randomly tu mwenyewe Amesema. hata kwenye ku bet alikuwa akibet kiasi kingi , Sasa mtu Kama huyu mkimpa kichwa Sana anarudia Tena na bahati haiji Mara 2
 
Hata ukiweka position moja tu ya 0.02 kwenye 4hr au daily pia utachoma akaunti?
Yes any open positions if won't be managed can burn account, so know you edge cut losses hold profit and don't be frustrated,enjoy pips
 
Nataman nikushaurii vitu ilq naona weee ni mpanbanqji mzuriii. Skia fanya ivi kama kwelii ulikuwa unaiweza forex na ukatusua ivyoo ila ukafanya makosa jifunze katika hayo makosa rudii sokon nakama unaona huna maaarifa mengi lipia course soma kwa mtu anaeaminika ndani na njee ya tz. Huku ukiwa unafanya iviii tumia kama milion tano kufanyia biashara hapa je ni biashara gan sasa. Hapa unaweza fungua duka la chakula. Unaweza fungua sehem za chips zenye hali nzuriii. Au nendea kalime. Sikushaurii uache fx ninakushari ufanye diversification ya mtaji ulio nao.
 
Back
Top Bottom