Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
- Thread starter
- #21
Sijakuelew kimeumana vpKiumeumana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelew kimeumana vpKiumeumana
Asanteanunue mbinu za kupigwa hela zake?
Hii haipotoshi jamii bali inatoa picha halisi na ukweli halisi juu ya hii kitu jamii ielewe kabisa.Moderator
Active
Maxence Melo
Nadhani mulisema hamu Entertain nyuzi za Forex ndio maana munazifuta
Naomba futa pia hii.
Asante mkuu labda kwa Tzs ila kwa USD hapana kwa kweliHuwezi kua millionaire kwa kutrade forex never never never never never never never never never never never never never never.
Sema siwezi kuwa millionaire kwa kitrade forexHuwezi kua millionaire kwa kutrade forex never never never never never never never never never never never never never never.
UnawezaLeta mtaji wako nikusaidie kuukuza ,hatu gamble tuna trade
Kwanini usiseme betting ni forex?forex ni betting say no more.
Hao jamaa wana akili ndogo sana.Forex is not for crying babies like you.
Hakuna pesa rahisi hapa duniani kila biashara ina changamoto zake, halafu watu wote hawezi kuwa matajiri
Ata kweny kilimo kuna wengine wanakuwa matajiri, wengine wanapata pesa kidogo, wengine wanapoteza.
NB. Forex sio rahisi, ni ngumu sanaaaaa
Sijasena eti hakuna faida faida na kwa sababu umepata faida basi eti itakuwa ni ya uhakika no forex is gambling coz market can change any second.Forex ina wenyewe ni biashara ya matajiri.
ww nenda kalime au kauze karanga.
kamwe usirudie kufanya vitu usivyoweza utapasuka pu.mbu
Kuna marehemu mmoja hakuzikwa vilivyoMbona unafukua makaburii mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
HujuiSijasena eti hakuna faida faida na kwa sababu umepata faida basi eti itakuwa ni ya uhakika no forex is gambling coz market can change any second
Bado kuna tofauti kubwa kati ya gambling na real trade percentage ya kufail kweny gambling ni ni 80%Hao jamaa wana akili ndogo sana....
kila biashara duniani ipo based kwenye probability.....
hata ukisema nikafungue duka kariakoo naweza kutoboa au nikapoteza.....
na Forex ni ngumu sana kwa wanao ijua