Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwl kwema?Rejea comment #28 nimeeleza points za msingi inazotakiwa kuzingatia, Bila kujali mtaji au leverage.
Woii,ndefu sana bebe...bora ndefu ile kuliko maandishi yanachosha jomonii 😎😎😁Mwenyewe nimeishia kati [emoji2296][emoji2296]
Haahhah babe kila unavyozidi kusogeza haiishi nimeamua niishie kati nije kusoma comments tuWoii,ndefu sana bebe...bora ndefu ile kuliko maandishi yanachosha jomonii [emoji41][emoji41][emoji16]
Ndefu tamm fupi inakeeeeraaaa💃💃🤸🤸🤸😉👌Haahhah babe kila unavyozidi kusogeza haiishi nimeamua niishie kati nije kusoma comments tu
Ndefu ile haichoshi inakuwa tamu bwana[emoji6]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tena inakera haswaaaNdefu tamm fupi inakeeeeraaaa[emoji126][emoji126][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji6][emoji108]
aisee,,Haahhah babe kila unavyozidi kusogeza haiishi nimeamua niishie kati nije kusoma comments tu
Ndefu ile haichoshi inakuwa tamu bwana[emoji6]
[emoji137] Habari yako mkuuaisee,,
Mi kila kitu kwangu kirefu, hata nikiandika naandika habari ndefu, na ile ninayo ndefu, gari ninayotumia ni ndefu hata pesa ninayo ndefu, so sorry Mother Confessor univumilie mommy!!!!🙃Woii,ndefu sana bebe...bora ndefu ile kuliko maandishi yanachosha jomonii 😎😎😁
Siandiki habari ndefu tu! mi kwangu kila kitu kirefu.....Haahhah babe kila unavyozidi kusogeza haiishi nimeamua niishie kati nije kusoma comments tu
Ndefu ile haichoshi inakuwa tamu bwana[emoji6]
Hiyo nukuu hapo chini hujaitendea haki.-Mkuu, tunaishi katika information age,in this "era", information is most powerful weapon that can give u a abundant wealth...we are in information age
-Wewe ukishindwa haina maana ya mwingine kushindwa,Kuna msemo wa kijapani unasema "wengine wakishindwa jitahidi uwe wa kwanza kuweza"....
"If you think you can,you can
If you think you can't, you can't
in either way you're right"
.......................................................................
View attachment 1861319
Tuone na benki ilivyoingia mkuu ama uliituma kwa skrill
Ili iwejeTuone na benki ilivyoingia mkuu ama uliituma kwa skrill
Kwani ulivyoonyesha hizo umeonyesha ili iweje mkuu.Ili iweje
Ni Henry Ford.....sio Ford Henry mkuuHiyo nukuu hapo chini hujaitendea haki.
Cite aliyeitoa bana aka Ford Henry
Onyesha na wewe kama ivyo simple as that na mi nimeweka kumthibitishia jsmaa alieuliza unawezaje kutoa account ndogo kwenda kubwa nikamjibu na mfano,na si kwamba tulibishana kuwithdrawals hapana, aya napost acc inasoma 20ml Tsh alaf unakuta mt hana mia kipande nikiasi gani unamdisapoint uyo mtu ,aya anakuomba hela unamyima ili hali keshaziona live,Kwani ulivyoonyesha hizo umeonyesha ili iweje mkuu.
Hizo ama ivyo ulivyoonyesha kila mtu anaweza kuonyesha hata amateur aliyeanza leo. Sema kimbembe ni icho Sasa Kama umetoa hela onyesha screenshot ya muamala ulivyoingia benki.
Ninachokuhakikishia a real a real I mean a really really really Professional Trader don't even bother to show his/ her trades in public Mana tayari another human demons kicked in or conquer his head.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Onyesha na wewe kama ivyo simple as that na mi nimeweka kumthibitishia jsmaa alieuliza unawezaje kutoa account ndogo kwenda kubwa nikamjibu na mfano,na si kwamba tulibishana kuwithdrawals hapana, aya napost acc inasoma 20ml Tsh alaf unakuta mt hana mia kipande nikiasi gani unamdisapoint uyo mtu ,aya anakuomba hela unamyima ili hali keshaziona live,
Pamoja mkuu.nilijua ni wale ambao mnaamsha emotions za watu afu muanze kuwafundishaOnyesha na wewe kama ivyo simple as that na mi nimeweka kumthibitishia jsmaa alieuliza unawezaje kutoa account ndogo kwenda kubwa nikamjibu na mfano,na si kwamba tulibishana kuwithdrawals hapana, aya napost acc inasoma 20ml Tsh alaf unakuta mt hana mia kipande nikiasi gani unamdisapoint uyo mtu ,aya anakuomba hela unamyima ili hali keshaziona live,
Hapo umeona kuwa wewe na mie tupo tofauti mkuu.Ni Henry Ford.....sio Ford Henry mkuu