Forex ni scam au real?

Forex ni scam au real?

Unaona sasa hapo, kuna brokers wana leverage ya 2000-3000, sasa hapo ukiweka leverage ya 2000, pips 5 tu zikienda against, account ndio imekwisha hivyo, hawa brokers naona huwa wanawachora tu traders, wanakuchora kwa sababu wanajua hutoboi, na kwa hio leverage wanajua kabisa mpunga wako wanaula ni kama unaona dhahabu kwenye kinywa cha mamba.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]watu mna maneno sana

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Hii biashara kama inawatajirisha mbona mnatumia nguvu nyingi saaana kuwaingiza watu wengine??
Kwanini msipige pesa kimyakimya au mkawaunga ndugu zenu ili mtoke kimaisha?
Comment kama hizi huwa zinanichekesha sana Jf ina watu wa kila aina.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
You can teach some basics lakini to make serious money naamini ni wewe mwenyewe, nafikiri watu ambayo ni wazuri in math ambao wanaweza kuona some pattern Wana good chance ya kufanikiwa in forex(not necessarily)
You don't need to be a mathematician to make money from fx trading unless you want to create a mathematical indicator.
 
TUONGEZE MAARIFA KIDOGO



Soko zuri ni lile kuna wanunuzi wengi na wanunuaji wengi, mfano wanaouza samaki ni 10 na kila muuzaji ana samaki 50

10^50= samaki 500 wapo sokoni wanuzwa

Na wanaohitaji kununuliwa samaki ni 500

Hapo tunasema wanunuzi na wauzaji wana nguvu sawa yaani 50 kwa 50

Hapa ndipo tunapata kitu kinaitwa FAIR PRICE yaani wanunuzi wamelizishwa na bei iliyopo sokoni ya kununua samaki pia wauzaji wamekubali kuuza samaki wao kwa bei hiyo sasa hali ya soko inaitwa BALANCED STATE kwamba kati ya pande mbili hakuna yeyote anayeumizwa na bei ya soko, sasa kwa upande wa forex hali hii hushauliwa kutia PESA

Sasa balance state itaenda kwa muda na baadae kutatokea hali nyingine, sasa upande wa kwanza ikitokea wanunuzi wamekuwa wengi kuliko wauzaji, wauzaji watapandisha bei kwa sababu hali inaonesha samaki ni hadimu kwa muda huo, so bei itapanda mpaka pale wanunuzi watashindwa kuhimili kununua samaki na watapungua sokoni kwasababu kunakuwa hakuna namna kuweza kuendelea kununua samaki kwa sababu ya bei kubwa sasa kitendo cha wauzaji kupandisha hiyo bei ya samaki inaitwa IMBALANCED STATE (kwenye forex tunasema DEMAND wana nguvu hivyo wamesabisha bei ya samki kupanda kwa wao kuwa wengi)

Na ikitokea wanunuaji wamepotea sokoni kwa sababu ya bei kubwa wauzazi itawafanya waanze kushusha kidogo kuangalia kama wanunuzi watavutika tena, bei ikishuka kidogo na ikatokea wanunuzi bei wameikubari(FAIR PRICE VALUE) basi soko litatengeneza hali ya BALANCED STATE,sasa ikitokea balance state imekaa muda sana tunasema wanunuzi wengi waliikubali hii price kununua hivyo kufanya 50 kwa 50, na ikitokea balanced state imekaa muda mfupi sanaa, tunasema kuwa wanunuzi wachache walikubaliana na kununua samaki kwa hiyo nazani ni mataita au mfuko mrefu, na wengine wengi choka mbaya kushindwaa kuhimili hiyo bei, sasa wauzaji itawaforce kushusha bei kwa speed sana hapa kwenye forex tunasema wauzazi wameingiwa na uoga(FEAR) may be wasipofanya hivyo samaki zao zingeozwaa, sasa wakifanya hivyo tunatengeneza hali ya soko kuwa IMBALANCED(hapa kwenye forex tunasema suppliers are strong or more in numbers than buyers) sasa hapa tena tunasema kushuka bei kwa samaki kwa speed sana tunasema HIGH MOMENTUM( momentum kwenye physcs, ni mass *velocity, kwenye forex tunasema the PRICE should move widely in short period of TIME, so TIME and PRICE move matter in identifying momentum) wengine wanaitaa momentum ni trend whatever utakavoona kuita, sasa hapa forex traders wanashauliwa kuweka PESA zao wakati soko lipo kwenye hali ya IMBALANCED STATE, ili kuwawezesha kuvuna PIPS nyingi
sas soko linapoendelea kuwa katika hali ya BALANCED STATE, hapa tunasubiri tu hali ibadilike tutie pesa tu, sasa ikitokea kwa vile bei imeshushwa wanunuzi wataingia rohoni mwao na kitu kinaitwa GREED yaani uroho/urafi whatever utakapoita kila mtu atatamani kunua samaki kwa wingi, wakati samki wananunuliwa kwa urafi, kuna hali itatokea wanunuaji wamekuwa wengi sana kuwazidi wauzaji, sasa hapa hali ya soko ndipo inapoenda kubadilika kutoka balanced kwebda IMBALANCED STATE, na tutakuwa na high momentum kwasabu wauzaji watapandisha bei ya samaki kadri wanunuaji watakavokuwa wanaongezeka kununua samaki hadi pale hali itakavyokuja kuwa mbaya na wanunuaji kupotea kwenye soko, na kuanza kutafuta hali nyingne ya soko ambayo ni BALANCED STATE

Lakini bado najiuliza sanaa, je hao wanunuzi na wanunuaji na sisi tunahusishwa tunaospeculate currency??

So market move in cycle BALANCED STATE, IMBALANCED STATE, BALANCED STATE n.k( japo balanced state hutokea clearly na non clearly yaani ndogo na kubwaa)

LEO NIMEKUJA KWA MTINDO WA SAMAKI, kwa sababu wengi bongo zao kucreate IMAGINATION ya how markets works inakuwa ngumu, na ukichanganya na terminologies unakata tama mapema

AHSANTE SANA WAJUMBE
The markets move due the forces of supply and demand.

The imbalance of supply and demand makes the price to move up and down .

I love Fx siwaelewi wachimbachumvi wakitanzania

Anyways baadae
 
Haya maswali hayaongezi chochote cha maana kwa forex trader.

Forex trader anahitaji (strategy, risk management, position sizing)
Mimi naweza kukuambia kama vyote unavyo umepungukiwa na kimoja

Nacho ni "understand yourself better before entering in the market"
 
Nina elf 50 (Tsh) I'm I good to go, on forex market?
You are joking

Usilete utani .

Fx sio Kama kuuza karanga .

Kwanza unao ujuzi .?

Kama huna ujuzi hio 50 kanywe bia itajishukuru baadae

Otherwise unaketa masihara[emoji1]
 
You are joking

Usilete utani .

Fx sio Kama kuuza karanga .

Kwanza unao ujuzi .?

Kama huna ujuzi hio 50 kanywe bia itajishukuru baadae

Otherwise unaketa masihara[emoji1]
Let's say nina ujuzi, kipi kinazuia nisichukue profit?
 
Nina elf 50 (Tsh) I'm I good to go, on forex market?
Your welcome champ ila usipoangalia utaweza ipoteza hata nusu saa haijaisha ila nisikutishe kama una maarifa unawez pata 5 pcnt daily
 
Nice guys, very nice.... naona kuna wakali humu...
Mnaonaje ikiwepo forex contest...

Mu waonyeshe watu jinsi trades zinavyofanyika?... kwa faida za wengine na wanaoamini fx ni betting...
Ningependa zaidi ningeona haya madini na maarifa kazini kuliko kwenye maandishi... au mnasemaje ndg zangu?

Tunaweza kufungua competition fxblue na mtu atakayependezwa ata join, matokeo yata display live....
Capture1212.PNG

najua hamtoniangusha ndugu zangu.... hii itaitwa jf forex cup.. tutaweka hata mwezi 1 au muda wowote...
Tutaweka pia uzi maalumu wa updates...
Acc ukipenda demo au real...

Nawasilisha...

Perth
The imp
LURIGA
sirmweli
Mwl.RCT
Dit000
Matawi ya juu
NDORANGA


Na wengineo .....
 
Unajua watu wanashindwa kuelewa tu kwamba kujifunza kutrade ni pamoja na kujua kuchagua broker yupi wa kutumia,
Wapo brokers wengi ambao hata uwe trader mzuri mwenye strategy yenye accuracy kubwa lakini kutokana na fix atakazokupiga daily unakuwa hutoboi yani,
Msiishie tu kujifunza strategy au kununua signals, jifunzeni pia kuwachunguza brokers wenu.

Uzuri brokers wako wengi sana, kwa kuanzia anza na wale ambao watu wengi huwatumia
Mfano

tickmill ,
JP, templer n.k
 
Unajua watu wanashindwa kuelewa tu kwamba kujifunza kutrade ni pamoja na kujua kuchagua broker yupi wa kutumia,
Wapo brokers wengi ambao hata uwe trader mzuri mwenye strategy yenye accuracy kubwa lakini kutokana na fix atakazokupiga daily unakuwa hutoboi yani,
Msiishie tu kujifunza strategy au kununua signals, jifunzeni pia kuwachunguza brokers wenu.

Uzuri brokers wako wengi sana, kwa kuanzia anza na wale ambao watu wengi huwatumia
Mfano


tickmill ,
JP, templer n.k
Wewe jamaa ondoa matangazo yako hapa Na vilink vyako unataka affiliate percent
Moderator Cookie
 
Mimi naweza kukuambia kama vyote unavyo umepungukiwa na kimoja

Nacho ni "understand yourself better before entering in the market"
Hayo ni maneno ya kujifariji.

Forex trader anahitaji (strategy ambayo ni entry and exit rules)
 
Nice guys, very nice.... naona kuna wakali humu...
Mnaonaje ikiwepo forex contest...

Mu waonyeshe watu jinsi trades zinavyofanyika?... kwa faida za wengine na wanaoamini fx ni betting...
Ningependa zaidi ningeona haya madini na maarifa kazini kuliko kwenye maandishi... au mnasemaje ndg zangu?

Tunaweza kufungua competition fxblue na mtu atakayependezwa ata join, matokeo yata display live....
View attachment 1877919
najua hamtoniangusha ndugu zangu.... hii itaitwa jf forex cup.. tutaweka hata mwezi 1 au muda wowote...
Tutaweka pia uzi maalumu wa updates...
Acc ukipenda demo au real...

Nawasilisha...

Perth
The imp
LURIGA
sirmweli
Mwl.RCT
Dit000
Matawi ya juu
NDORANGA


Na wengineo .....
It is a good idea for self evaluation, sharing experiences and learning more from other traders. Tengeneza hiyo competition na utupe link ya kujoin.
 
It is a good idea for self evaluation, sharing experiences and learning more from other traders. Tengeneza hiyo competition na utupe link ya kujoin.
Sawa mkuu...
 
Mimi naweza kukuambia kama vyote unavyo umepungukiwa na kimoja

Nacho ni "understand yourself better before entering in the market"
"understand yourself better before entering in the market" inaangukia hapa , pale macho yako yanapoona chart akili yako inafikiliaje?(MIND SET) na ikishafikilia akili yako inachukua hatua gani?(PSYCHOLOGY).
 
Ukiniambia neno moja lakukushauri kufanya, hiyo hela kampe mama ntilie kama huna chakufanyia.

Forex ni mchezo mchafu, usidanganyike kuwa odds zipo upande wako, unapigwa na market, na broker, cfd yaani unapigwa kote kote mbaya zaidi ukiwa na nyota nzuri ukapiga hela, my dear hupati hela broker anakupiga na huna pakushitaki, njoo kwenye serikali yetu unawekwa ndani 😁😅 sasa wewe jifanye una tafuta odds

Market yoyote ina circle, ikiwa katika circle nzuri, hata mbumbumbu anaweza kupata profit FX lakini soko likigeuka ni wanao elewa tu, economic, business, stocks, futures etc ndio wanao piga hela.

Wapo wanao fanya hicho kitu, na broker wao sio hawa mnao wajua, kwanza kufungua account tu si mchezo, hebu wewe mwenyewe fikiria yaani kitu chakukuingizia mahela unafungua leo unaanza kutrade eti leo au kesho, kichwa chako kinachaji kweli 😕🙌 wakati kuchukua mkopo mkubwa benki sio siku mbili. Broker hawa ni wawatu wachache, tena entry zao si chini ya $ 50,000 na kuendelea.

FX ni gamble, ila Stock market ni investment, vyote hivi ni lazima ujuwe who are your enemies. Kwenye hela hakuna urafiki ila kuna maadaui.

Kama wewe unapenda ku take risk, fanya hivi kama unataka kufanya FX;
  • Soma chimbuko la FX na uhalisia wote unaozunguka FX.
  • Soma wanaoshikilia FX, na kuelewa structure nzima ya FX marketing.
  • Soma about currency and little bit of economic related to currency exchange, etc.
  • Soma stocks, future and correlation between them and FX.
  • Fahamu pillar za economic.
Na mengineyo utajua ukiwa uasoma hayo, then fanya hivi;

• fungua account ya FX demo, trade efficiently and effectively with resonable strategy kwa 6 mnths hata year. Then ukiweza kutengeneza pesa, win to loose ratio. Then fungua really account na anza kutrade.

Ila nafahamu ukifwata hatua hizo zote hapo utanambia, mwishoni huta trade FX na kama uta trade itakuwa kwa mwezi unatrade mara moja hadi mara tatu nawe utakuwa ni long time trade, wa ku buy and hold kwa miezi kadha, kama Stock investor.

Kama wewe ni forex trade hafu hujaelewa nilicho kisema, ndugu unahatari sana. 😅😅😅🙌🙌🔥
 
Back
Top Bottom