Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Kama maada inavyojieleza, katika harakati zangu za kutafuta side hustle nlikutana na hiyo idea ya forex. Ila baada ya kufanya research matokeo yalikuwa negative especially kwa hapa Jf.
Inavyoonekana kuna watu washalizwa kupitia forex na wanaishi na hiyo trauma. Maada yoyote inayozungumzia hiyo online trade huwa inakuwa attacked kama we ni beginner ni rahisi kukata tamaa.
Lakini baada ya kupata knowledge nimegundua hiyo sio tu side hustle bali unaweza kujiajiri kabisa na ukasahau hiyo 9/5 jobs.
Ujanja ni huu;
a. Usimuamini mtu anayekwambia umtumie hela ili a trade on your behalf then mgawane faida, hiyo utapigwa.
b. Tafuta maarifa na kujifunza mwenyewe uelewe financial markets zinavyooperate, hiyo utakuwa hatua moja kabla ya kutoboa.
c. Baada ya kupata knowledge fungua demo akaunti ufanye mazoezi ya kutosha, hiyo utakuwa unakaribia lengo.
Nb. Kulifikia lengo lenyewe hayo juu hayatoshi, kuna discipline, usipokubali kuliwa huli utaishia kuwa frustrated, kuna kumanage risk hayo yote utayapata kutokana na experience.
Soon najilipua na live account so sad maada za fx Jf haziungwi mkono kutokana na matapeli wachache waliotutangulia kuliona jua
Trade live angalau miaka mitatu ,ndio uje na mrejesho
 
Si ushuhuda ni uhalisia hata nikifeli haiifanyi forex kuwa uwongo, ila nnachoamini siwezi kufeli nitapambana na saikolojia yangu sipambanani na market
Hakuna mahali nimesema sio real , Forex ni real kwa wale wanaonufaika nayo , Umesema upo kwenye Demo na hujawahi trade live account na ushaanzisha uzi tayari ni mapema sana , Kakomae na real account nakupa miez sita tu utaelewa point yangu.
 
Kama maada inavyojieleza, katika harakati zangu za kutafuta side hustle nlikutana na hiyo idea ya forex. Ila baada ya kufanya research matokeo yalikuwa negative especially kwa hapa Jf.
Inavyoonekana kuna watu washalizwa kupitia forex na wanaishi na hiyo trauma. Maada yoyote inayozungumzia hiyo online trade huwa inakuwa attacked kama we ni beginner ni rahisi kukata tamaa.
Lakini baada ya kupata knowledge nimegundua hiyo sio tu side hustle bali unaweza kujiajiri kabisa na ukasahau hiyo 9/5 jobs.
Ujanja ni huu;
a. Usimuamini mtu anayekwambia umtumie hela ili a trade on your behalf then mgawane faida, hiyo utapigwa.
b. Tafuta maarifa na kujifunza mwenyewe uelewe financial markets zinavyooperate, hiyo utakuwa hatua moja kabla ya kutoboa.
c. Baada ya kupata knowledge fungua demo akaunti ufanye mazoezi ya kutosha, hiyo utakuwa unakaribia lengo.
Nb. Kulifikia lengo lenyewe hayo juu hayatoshi, kuna discipline, usipokubali kuliwa huli utaishia kuwa frustrated, kuna kumanage risk hayo yote utayapata kutokana na experience.
Soon najilipua na live account so sad maada za fx Jf haziungwi mkono kutokana na matapeli wachache waliotutangulia kuliona jua
20220901_121516.jpg
 
Hakuna mahali nimesema sio real , Forex ni real kwa wale wanaonufaika nayo , Umesema upo kwenye Demo na hujawahi trade live account na ushaanzisha uzi tayari ni mapema sana , Kakomae na real account nakupa miez sita tu utaelewa point yangu.
Uzi huu utachangia kunipa will power thats what im looking for
 
Usiwe unaweka 1M at least weka 10M au 20M up to 50M ili ukipoteza akili ikukae vizuri
Sasa ndo kipato changu ningekuwa nayo ningeweka 10ml natrade comfortable ,uzuri ninkwamba sijachoma kwamba siijui forex la ni kutokana na human nature zangu nimetawaliwa na hasira sana Forex imenifanya nijitambue mi ni mtu wa hasira japo nilikuwa najionaga kawaida
 
Sasa ndo kipato changu ningekuwa nayo ningeweka 10ml natrade comfortable ,uzuri ninkwamba sijachoma kwamba siijui forex la ni kutokana na human nature zangu nimetawaliwa na hasira sana Forex imenifanya nijitambue mi ni mtu wa hasira japo nilikuwa najionaga kawaida
Pole sana mkuu
 
Bro ningekua na hela mingi nisingeumiza kichwa kutafuta side hustle, na sijaona mahali nimeimba hizo pambio, ninajaribu kusikiliza maoni ya like minded but your not the one.
Sawa mkuu nimekuelewa, all the best
 
Na uzuri zile nyuzi za malalamiko kuhusu Forex zote nilizisoma, zipo zingine zlikuwa zinafutwa lakini 70% ya nyuzi nilibahatika kuzisoma.

Unaweza ukawa unapita na mbinu mpya tofauti na wale mashuhuda kuepuka kuchoma account na hicho ndio kikawa kinakufanya uone wale wa mwanzo kuna mahala walikuwa wanakosea

Ila huo mchezo una risk nyingi sana (japo na faida inadai2a kuwa kubwa) lakini hasara yake kama ni pesa basi huwa ni kipande.
 
Kama maada inavyojieleza, katika harakati zangu za kutafuta side hustle nlikutana na hiyo idea ya forex. Ila baada ya kufanya research matokeo yalikuwa negative especially kwa hapa Jf.
Inavyoonekana kuna watu washalizwa kupitia forex na wanaishi na hiyo trauma. Maada yoyote inayozungumzia hiyo online trade huwa inakuwa attacked kama we ni beginner ni rahisi kukata tamaa.
Lakini baada ya kupata knowledge nimegundua hiyo sio tu side hustle bali unaweza kujiajiri kabisa na ukasahau hiyo 9/5 jobs.
Ujanja ni huu;
a. Usimuamini mtu anayekwambia umtumie hela ili a trade on your behalf then mgawane faida, hiyo utapigwa.
b. Tafuta maarifa na kujifunza mwenyewe uelewe financial markets zinavyooperate, hiyo utakuwa hatua moja kabla ya kutoboa.
c. Baada ya kupata knowledge fungua demo akaunti ufanye mazoezi ya kutosha, hiyo utakuwa unakaribia lengo.
Nb. Kulifikia lengo lenyewe hayo juu hayatoshi, kuna discipline, usipokubali kuliwa huli utaishia kuwa frustrated, kuna kumanage risk hayo yote utayapata kutokana na experience.
Soon najilipua na live account so sad maada za fx Jf haziungwi mkono kutokana na matapeli wachache waliotutangulia kuliona jua
Forex ni kama betting tu.... Kazi njema
 
Back
Top Bottom