Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Na uzuri zile nyuzi za malalamiko kuhusu Forex zote nilizisoma, zipo zingine zlikuwa zinafutwa lakini 70% ya nyuzi nilibahatika kuzisoma.

Unaweza ukawa unapita na mbinu mpya tofauti na wale mashuhuda kuepuka kuchoma account na hicho ndio kikawa kinakufanya uone wale wa mwanzo kuna mahala walikuwa wanakosea

Ila huo mchezo una risk nyingi sana (japo na faida inadai2a kuwa kubwa) lakini hasara yake kama ni pesa basi huwa ni kipande.
Kwenye hiyo nakubali ndo maana miaka yote miwili nimeshindwa kufanya maamuzi i know the risk
 
M
Hakuna mahali nimesema sio real , Forex ni real kwa wale wanaonufaika nayo , Umesema upo kwenye Demo na hujawahi trade live account na ushaanzisha uzi tayari ni mapema sana , Kakomae na real account nakupa miez sita tu utaelewa point yangu.
Miezi sita unataka auze nyumba aliyopanga? Mpe miezi mitatu au minne apunguze na uzito alionao
 
Kama maada inavyojieleza, katika harakati zangu za kutafuta side hustle nlikutana na hiyo idea ya forex. Ila baada ya kufanya research matokeo yalikuwa negative especially kwa hapa Jf.
Inavyoonekana kuna watu washalizwa kupitia forex na wanaishi na hiyo trauma. Maada yoyote inayozungumzia hiyo online trade huwa inakuwa attacked kama we ni beginner ni rahisi kukata tamaa.
Lakini baada ya kupata knowledge nimegundua hiyo sio tu side hustle bali unaweza kujiajiri kabisa na ukasahau hiyo 9/5 jobs.
Ujanja ni huu;
a. Usimuamini mtu anayekwambia umtumie hela ili a trade on your behalf then mgawane faida, hiyo utapigwa.
b. Tafuta maarifa na kujifunza mwenyewe uelewe financial markets zinavyooperate, hiyo utakuwa hatua moja kabla ya kutoboa.
c. Baada ya kupata knowledge fungua demo akaunti ufanye mazoezi ya kutosha, hiyo utakuwa unakaribia lengo.
Nb. Kulifikia lengo lenyewe hayo juu hayatoshi, kuna discipline, usipokubali kuliwa huli utaishia kuwa frustrated, kuna kumanage risk hayo yote utayapata kutokana na experience.
Soon najilipua na live account so sad maada za fx Jf haziungwi mkono kutokana na matapeli wachache waliotutangulia kuliona jua
Hakuna alosema ni utapeli ila moyo wako unastahimili vishindo vya ulale umesahau kufunga pair na asubui kukuta una sh mbili😊
 
Tafuteni Tu Knowledge Forex sio ngumu ukielewa namna market makers wanavocheza na akili za retail traders....Focus tafuta mwalimu mzur,don't trade emotionally,follow your rules and principles forex will take you somewherr
IMG-20221024-WA0001.jpg
 
Kama maada inavyojieleza, katika harakati zangu za kutafuta side hustle nlikutana na hiyo idea ya forex. Ila baada ya kufanya research matokeo yalikuwa negative especially kwa hapa Jf.
Inavyoonekana kuna watu washalizwa kupitia forex na wanaishi na hiyo trauma. Maada yoyote inayozungumzia hiyo online trade huwa inakuwa attacked kama we ni beginner ni rahisi kukata tamaa.
Lakini baada ya kupata knowledge nimegundua hiyo sio tu side hustle bali unaweza kujiajiri kabisa na ukasahau hiyo 9/5 jobs.
Ujanja ni huu;
a. Usimuamini mtu anayekwambia umtumie hela ili a trade on your behalf then mgawane faida, hiyo utapigwa.
b. Tafuta maarifa na kujifunza mwenyewe uelewe financial markets zinavyooperate, hiyo utakuwa hatua moja kabla ya kutoboa.
c. Baada ya kupata knowledge fungua demo akaunti ufanye mazoezi ya kutosha, hiyo utakuwa unakaribia lengo.
Nb. Kulifikia lengo lenyewe hayo juu hayatoshi, kuna discipline, usipokubali kuliwa huli utaishia kuwa frustrated, kuna kumanage risk hayo yote utayapata kutokana na experience.
Soon najilipua na live account so sad maada za fx Jf haziungwi mkono kutokana na matapeli wachache waliotutangulia kuliona jua
Don't rust to demo account. Add one digit kwa demo account ndio ujilipue. Yaani mfano ukifungua demo ya $10k make sure inagusa $100k ndio uingie live.

If you've desire anything in your life you'll find a way otherwise you'll find an excuse.

Read below paragraph kwa umakini nakuona unaanza kuelewa Ni Nini Cha kufanya.
Kumbuka hii Ni mental game Sasa Kama Ni mental game inatakiwa uwe na mental game strategy. Tukisema game strategy ya football sio shida ama ishu ngeni kwa watu Ila hapa inatakiwa uwe na strategy ya mental game so is common game familia kwa majority. Training ya mpaka uijue trading sio ya kitoto. Otherwise trave safe road with knowns or certainties Mana huku Ni uncertainties and uknowns za kutosha for majority of brains don't comply with this kind of game.



Finally nakuachia kitu Kama ipo damuni mwako najua hii itakuingia.


If you are really great at something - anything - the money will come. So money is never the goal. The goal is competence, skill,Maintaining discipline is vital for consistent and profitable trading
You trade proven forex trading strategies, over and over, so that across a series of trades, the strategies work enough to produce an overall profit.

It’s like making shot after shot on the basketball court so as to accumulate a winning number of points. The more shots you take, the more likely you will amass points The winning player is the person who first develops the skill to make the shot consistently so that at every possible opportunity, the ball is likely to go through the basket.

They’ve developed the skill to learn how to shoot the ball the same way every single time. Consistency is crucial!
It’s the same for trading. One must trade consistently, following a specific trading plan on each and every single trade.

If you trade one approach this time, and a different approach at another time, your performance will more than likely be haphazard.

We can’t stress this enough…
 
tafuta mwalimu mzur,
Mwalimu mzuri atampata wapi. Wakati wengi Ni wa michongo walioangukia pia wanakimbilia kufundisha na kuandika vitabu wakiulizwa wanajitetea kuwa am an F1 car mechanic so I know what a driver needs sio lazima namie niwe mshindani ili kujua kumeki that car.

r,don't trade emotionally
Easy to say but actions it will take him years to adapt and learn even synchronize this statement.

,follow your rules
Trading appears to be easy because of some common wisdom words spoken or said by most traders Ila Ni ngumu mno. In trading is very easy easy very easy to know or understand what is supposed to be done but to do it is very tough mentally since this is mental game.

Mwalimu mzuri jaribu kumuomba trading history yake ya three years hata iwe demo ambayo iko verified and proved by third part like myfxbook atakumaindi kinyama Kama Yale Yale ya padri kuwa fuata nachosema sio nachokifanya.


Wengi wanapost winning trades but waulize wapost details za withdraw from trading account to bank account the same amount of currency utatolewa baru. Hata sirjeff ukimuomba hizo Mambo anaku block.

In this world of social media and internet is very easy to give out wisdom words watu wanakuamini halafu unawauzia kozi.

Trading wengi ni ma YouTubers Ila wale doers kabisa Ni wachache. Wapo wanao tredi demo wanawafundisha wa live account.

Trading Ni ngumu kichwani mwako Ila sio ngumu kuifanya ama kuielewa.
 
profesional trader wanatafuta 5% to 10% a month, trader wa jf ana dola 100 anataka 50% profit a day, forex ni real lakini si kila mtu anaweza.
Usiwe biased na usiwe na fixed mind,unachoelewa ama mie nachoelewa Ni sehemu ndogo mno ya whole knowledge.
Sikiliza Sasa unaweza uka dabo akaunti yako ama uka triple ndani ya siku moja na bila risk ya kuinguza akaunti yako. Uelewe pia hakuna specific curriculum ya trading. Kuna akaunti ikitoka $1460 ndani ya 28hrs ikawa inasoma $64600. Hii ishu Ni skills na inachukua muda mno kuzitrngengeneza. Ile craft and mastery of the craft it takes time to master and build it.
Na sio ivyo tu Bali the right and correct information ndio msingi. Ziko info nyingi ishu kubwa Ni kuzi filter
 
Back
Top Bottom